Thursday , 28 March 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Serikali yatoa ufafanuzi maiti 59 zilizozikwa na Jiji Dodoma

  SERIKALI ya Tanzania kupitia Halmashauri ya Jiji la Dodoma imesema maiti 59 zilizozikwa na mamlaka hiyo ni ambazo hazijatambuliwa na ndugu ndani...

Habari Mchanganyiko

Washindi 435 wa NMB MastaBata KoteKote wajishindia milioni 117

MSIMU huu wa sikukuu, Blue Santa kutoka Benki ya NMB ameachia zawadi mbalimbali ambapo mpaka sasa ameshatoa zaidi ya Sh117 milioni  kwa washindi...

Habari Mchanganyiko

TPAWU walia na nyongeza ya mshahara

CHAMA cha Wafanyakazi Mashambani na Kilimo Tanzania (TPAWU), kimesema Sh.40,000 iliyoongezwa kwenye kima cha chini cha mshahara wa mfanyakazi wa sekta ya kilimo...

Habari Mchanganyiko

Joketi amuanika mwanaye, Barbara, wadau wampongeza

  HATIMAYE Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo amejitokeza hadharani na kuachia picha ya mwanaye ikiwa zimepita wiki kadhaa tangu alipojifungua. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Balile:Wanahabari tusisubiri kulipwa fedha kupigania haki zetu

  MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), amewataka wanahabari kupigania mazingira bora ya utendaji kazi zao bila kusubiri malipo ya fedha, kwa...

Habari Mchanganyiko

ACT wataka sheria ya habari iharakishwe

WAKATI serikli ikiwa mbioni kuwasilisha muswada wa  mabadiliko ya sheria ya huduma za vyombo vya habari nchini, Chama cha ACT-Wazalendo kimetoa wito kwa...

Habari Mchanganyiko

Sera ya habari ya 2003 kufumuliwa

  SERIKALI ya Tanzania iko mbioni kuifanyia marekebisho Sera ya Habari na Utangazaji ya 2003 ili iendane na wakati pamoja na kuondoa mapungufu...

Habari Mchanganyiko

MECIRA yapongeza hatua za Rais Samia kulinda vyanzo vya maji

  KITUO cha Wanahabari Watetezi wa Rasilimali na Taarifa (MECIRA), kimemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kukazia maagizo ya Makamu wa Rais, Dk....

Habari Mchanganyiko

Polisi yasema Mtanzania aliyekamatwa na ‘unga’ Afrika Kusini hakupita nao JNIA

  JESHI la Polisi Kikosi cha Viwanja vya Ndege limesema kuwa Mtanzania, Ahmad Chonde, aliyekamatwa katika nchi ya Afrika kusini akiwa amebeba dawa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mtambo wa kuzalisha umeme kupigwa mnada

MTAMBO wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 45 za umeme  mali ya Kampuni ya uzalishaji na usambazaji umeme nchini – Aqua Power Tanzania Limited...

Habari Mchanganyiko

Wamiliki runinga za mitandaoni zinazotoa taarifa za uongo mbaroni

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na timu maalum ya kuzuia na kupambana na makosa ya mtandao...

Habari Mchanganyiko

Ataka waliochoma vifaranga washughulikiwe

  MCHAMBUZI wa masuala ya mifugo, Onesmo Olengurumwa, ameiomba Serikali iwachukulie hatua watu waliochoma vifaranga kutokana na kukosa soko, akisema ni kinyume cha...

Habari Mchanganyiko

TMA yawahakikishia huduma bora na ufanisi wadau wa usafiri wa anga

  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imekutana na wadau wa usafiri wa Anga wa jijini Dodoma katika ukumbi wa TAA, Dodoma...

Habari Mchanganyiko

Exim yamwaga zawadi ya pesa, simu kwa washindi wa “Chanja Kijanja, Kimasta Zaidi’’

BENKI ya Exim Tanzania imeendelea kugawa zawadi mbalimbali ikiwemo fedha taslimu na simu janja (smartphones) kwa washindi wa kampeni yake  “Chanja Kijanja, Kimasta...

Habari Mchanganyiko

Malipo yote ardhi sasa kupitia NMB  

BENKI ya NMB imeingia makubaliano na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, yanayolenga kutanua wigo wa uhamasishaji na ulipaji wa Kodi...

Habari Mchanganyiko

Jamii ya wenye ulemavu kupewa mafunzo kidogitali

TAASISI inayojishughulisha na masuala ya kutoa elimu kwa jamii Zaina Foundation inajipanga kutoa mafunzo ya matumizi sahihi ya vifaa vya kidigitali kwa watu...

Habari Mchanganyiko

Kampuni ya mabasi ya Kilimanjaro yahukumiwa kulipa fidia ya Mil. 300/=

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeiamuru Kampuni ya Mabasi ya Kilimanjaro kulipa fidia ya Sh. 300 milioni baada ya moja...

Habari Mchanganyiko

Ongezeko migogoro ya wafugaji: Serikali yashauriwa kufumua Sheria, sera

  KUFUATIA ongezeko la migogoro ya wafugaji nchini, Serikali imeshauriwa kufumua Sheria na sera zinazosimamia sekta ya mifugo, ili ziendane na wakati kwa...

Habari Mchanganyiko

Habari za kuiwajibisha Serikali nadra – Utafiti

  KIWANGO cha uandishi unaochagiza uwajibikaji nchini Tanzania kinapanda taratibu mno huku magazeti yakijitutumua kwenye eneo la kuwapa haki ya kusema wale wanaotuhumiwa....

Habari MchanganyikoSiasa

Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) waapishwa rasmi  

WABUNGE wa Bunge la Tano la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) jana tarehe 18 Disemba, 2022 wameapa rasmi kuanza shughuli za Bunge hilo...

Habari Mchanganyiko

NMB yaendelea kung’ara, yatwaa tuzo ya mwajiri bora Afrika

KWA mara nyingine tena, Benki ya NMB imedhihirisha umahiri na ukubwa wake kiutendaji na kiundeshaji nchini baada yakufanikiwa kunyakuwa tuzo ya mwajiri bora...

Habari Mchanganyiko

India kushirikiana na Tanzania kuongeza thamani madini

SERIKALI ya India imeahidi kushirikiana na Tanzania katika uendelezaji wa teknolojia za uongezaji thamani madini nchini kupitia Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC). Hayo...

Habari Mchanganyiko

Rais Dk. Samia kushuhudia ujazaji maji Bwawa la Julius Nyerere

WAZIRI wa Nishati, January Makamba amewaeleza watanzania kuwa zoezi la kuanza kujaza maji katika Bwawa la kufua Umeme la Julius Nyerere (JHPP) litaanza...

Habari Mchanganyiko

NMB yatumia Mil. 37 kuchangia elimu Kibaha

BENKI ya NMB imekabidhi vifaa vya kusaidia maendeleo ya elimu wilayani Kibaha vyenye thamani ya zaidi ya Sh37 milioni kama sehemu ya kuchangia...

Habari Mchanganyiko

Costech yatoa milioni 50 kwa wabunifu wanawake

TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknlojia (Costech) imetoa Sh milioni 50 kwa wabunifu wa wanawake watano walioshinda shindano la Buni Divaz. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaahidi ajira zaidi sekta ya usafirishaji

Serikali imewahakikishia wahitimu wa kozi mbalimbali za usafirishaji kuwa itaendelea kuwekeza kwenye miundombinu ya usafiri na usafirishaji pamoja na kuzingatia ongezeko la wataalam...

Habari Mchanganyiko

Mwakibete: Watanzania someni vitabu kukuza maarifa

NAIBU Waziri wa Wizara ya Miundo Mbinu na  Uchukuzi, Atupele Mwakibete ametoa wito kwa jamii  kuongeza juhudi katika kusoma vitabu ili kukuza maarifa....

Habari MchanganyikoTangulizi

DIASPORA wamtwisha Kibatala zigo la uraia pacha, watinga mahakamani

WATANZANIA sita waishio nje ya nchi (DIASPORA), wamefungua kesi ya kikatiba Na. 18/2022 katika Mahakama Kuu, Masjala Kuu, ya Dar es Salaam, kupinga...

Habari Mchanganyiko

NGO’s zamuomba Samia airudishe Tanzania kwenye mpango Serikali wazi

MASHIRIKA yasiyo ya kiserikali (NGO’s) 263 yanayotetea haki za binadamu, yamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, airejeshe tena Tanzania katika Mpango wa Ubia wa...

Habari Mchanganyiko

Mkazi Dodoma akabidhiwa pikipiki ya Mastabata

MKAZI wa Kizota jijini Dodoma, Salum Jumanne Rajabu jana Alhamisi Desemba 15, 2022 alikabidhiwa pikipiki yake baada ya kushinda katika shindano la MastaBata...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Ruwa’ichi kuongoza vijana 30,000 kuliombea Taifa

VIJANA zaidi ya 30,000 wanatarajia kukutana tarehe 17 Disemba, 2022 kwa ajili ya kuliombea taifa wakiongozwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la...

Habari Mchanganyiko

Mume kizimbani akituhumiwa kughushi ridhaa ya mkewe na kujipatia Sh. 140 milioni

SELEMANI Maziku, amepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, kwa tuhuma za kujipatia Sh. 140 milioni, baada ya kughushi...

HabariHabari MchanganyikoTangulizi

Uhamiaji yaonya utapeli nafasi za ajira mpya

  IDARA ya Uhamiaji nchini Tanzania, imewataka Watanzania kuwa makini dhidi ya vitendo vya utapeli vilivyoibua katika mchakato wa maombi ya nafasi za...

Habari Mchanganyiko

TCRA: Tumieni msimu wa likizo kuhakiki laini zenu

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imewasihi watumiaji wa huduma za mawasiliano kutumia msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka kuhakiki laini zao...

Habari Mchanganyiko

Exim yatoa msaada wa majaketi ya viakisi mwanga kwa bodaboda Mwanza

BENKI ya Exim tawi la Mwanza imekabidhi msaada wa majaketi yenye viakisi mwanga (Reflector Jackets) kwa madereva wa pikipiki maarufu kama bodaboda wa...

Habari Mchanganyiko

NBC yakusanya bilioni 38 mauzo ya Hati Fungani ya Twiga

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetangaza kufunga mauzo ya hati fungani yake iliyofahamika kama NBC Twiga Bond kwa mafanikio makubwa baada ya...

Habari Mchanganyiko

Mashahidi 9 kutumika kesi ya kimtandao inayomkabili Mwandishi wa Habari

MASHAHIDI tisa na vielelezo kumi vitatumika  katika kesi namba 407 ya 2022 ya kimtandao katika kundi la whassap inayokambili  mwandishi wa habari za...

Habari Mchanganyiko

NMB wazindua akaunti ya kidijitali inayofunguliwa kwa buku tu!

ZAMA mpya ya huduma za kibenki imejiri nchini baada ya Benki ya NMB kuzindua suluhisho la kisasa ‘NMB Pesa Akaunti’ ambayo ni akaunti...

Habari Mchanganyiko

Wananchi 13,000 Bunda wawalalamikia wateule Rais Samia

WANANCHI zaidi ya 13,000 wa vijiji vinne vya Kata ya Nyatwali Wilaya ya Bunda mkoani Mara wameulalamikia uongozi wa wilaya hiyo kwa kile...

Habari Mchanganyiko

Ajali ya baiskeli chanzo kifo cha Mwandishi TBC

SHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limetoa ufafanuzi kuwa sababu ya kifo cha Joachim Kapembe (45) kilichotokea katika Mlima Kilimanjaro jana tarehe...

Habari Mchanganyiko

UTPC yataja mchango wa Rais Samia katika sekta ya habari

RAIS Samia Suluhu Hassan, ametajwa kuwa rafiki wa wanahabari, kufuatia dhamira yake aliyoionesha tangu alipoingia madarakani Machi 2021, ya kuifanyia maboresho sekta ya...

Habari Mchanganyiko

Rais Mwinyi ateua viongozi nane

RAIS wa Zanzibar, amefanya uteuzi wa viongozi nane katika taasisi mbalimbali za umma, ikiwemo Tume ya Mipango visiwani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Watoto 9,537 wafanyiwa ukatili wa kijinsia 2022, IGP Wambura atoa maagizo

INSPEKTA Jenerali wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Wambura amesema katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Oktoba 2022, matukio ya ukatili wa...

Habari Mchanganyiko

Mwandishi wa Habari TBC afariki akishuka mlima Kilimanjaro

MWANDISHI wa habari na mpiga picha wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) mkoani Manyara Joachim Kapembe amefariki dunia alipokuwa akishuka kutoka katika kilele...

Habari Mchanganyiko

Mabadiliko ya tabiachi yaathiri Tanzania

UTAFITI uliyofanywa na Mtandao wa Jinsia na Mabadiliko ya Tabianchi Tanzania (GCCTC), umebaini kuwa kila eneo katika nchi ya Tanzania limeathirika na mabadiliko...

Habari Mchanganyiko

Machinga mbaroni kwa wizi wa kichanga cha siku 21

JESHI la POLISI Mkoa wa Songwe linamshikilia Praxeda Msanganzila (28) Mkazi wa mtaa wa Ilolo, wilayani Mbozi kwa tuhuma za kuiba mtoto mdogo...

Habari MchanganyikoKitaifa

Wananchi KIA walia kunyang’anywa ardhi

WANANCHI wa vijiji vinavyozunguka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro, (KIA), wamelalamikia serikali kwa kudai kuwanyang’anya ardhi bila kuzingatia sheria. Anaripoti Mwandishi...

HabariHabari Mchanganyiko

Serikali Zanzibar yawakaribisha wadau wa sheria

WADAU wanaojishughulisha na masuala ya utoaji msaada wa kisheria visiwani Zanzibar, wametakiwa kushirikiana na Serikali ili kuhakikisha wananchi wanapata haki na wanajua majukumu...

Habari Mchanganyiko

DC apiga marufuku mifugo kuingia Kilombero

Uongozi Wilayani Kilombero mkoani Morogoro umepiga marufuku mifugo mipya kuingia wilayani humo katika jitihada za kulinda bonde la Bonde la Kilombero. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

TMDA yakabidhi vifaa vya ukaguzi Mtwara

MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA)  Kanda ya Kusini yakabidhi taarifa za ukaguzi wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi katika Halmashauri ya...

error: Content is protected !!