Friday , 29 March 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Dk. Mwigulu aagiza watendaji: Anayeanzisha shughuli ya uzalishaji aheshimiwe

  WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, ametoa wito kwa watendaji wa Serikali kuhakikisha wanawasaidia wale wanaotaka kuanzisha uwekezaji kwani hao...

Habari Mchanganyiko

Jaji Mkuu asisitiza Mahakama kutenda haki

  ZIKIWA zimebaki siku 12 kuelekea siku ya maadhimisho wa wiki ya sheria, Mahakama nchini Tanzania imesema itaendelea kutoa haki kwa wakati na...

Habari Mchanganyiko

Samia mgeni rasmi siku ya sheria, Jaji mkuu atoa ujumbe kwa mahakama

  ZIKIWA zimebaki siku 12 kuelekea siku ya maadhimisho wa wiki ya sheria, Mahakama nchini imesema itaendelea kutoa haki kwa wakati na kwa...

Habari Mchanganyiko

Sh bilioni 60 kujenga barabara ya lami Mbinga

  ZAIDI ya Sh bilioni 60 zinatarajiwa kujenga kilometa 35 za lami katika Kijiji cha Amanimakoro hadi Kijiji cha Ruanda – wilayani Mbinga...

Habari Mchanganyiko

Nape: Tusitumie mawasiliano kutapeli watu, kulaghai wanawake

  WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nauye amewataka Watanzania kutumia vizuri mawasiliano kujiajiri na kujiletea maendeleo badala ya kutapeli...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mtanzania aishiye Ujerumani aomba msaada kwa Rais Samia

MTANZANIA aishiye Ujerumani, Lucy Koble aliyeomba msaada kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezidi kuomba msaada kwa kiongozi huyo mkuu wa nchi kwani...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango kupanda miti miaka 59 ya Mapinduzi

  MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango anatarajiwa kuwaongoza wananchi wa Jiji la Dodoma kupanda miti ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya miaka...

Habari Mchanganyiko

Serikali yakanusha uvumi wa Wanyama kusafirishwa Loliondo

  SERIKALI imekanusha taarifa za uwepo wa ndege iliyoingia hifadhini na kusafirisha wanyama na rasilimali ambapo imedai kuwa taarifa zilizosambazwa mitandaoni “ni uzushi...

Habari Mchanganyiko

Nape awatahadharisha wanahabari kuhusu mikutano ya hadhara

  WAZIRI wa Habari, Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye, amewataka waandishi wa habari kufuata maadili ya kitaaluma wakati wanaripoti mikutano...

Habari Mchanganyiko

Mgodi waiangukia Serikali uvamizi wachimbaji wadogo

UONGOZI wa Mgodi wa CANUCK uliopo Wilaya ya Msalala  kata ya Mwakanta kijiji cha Magung’humwa mkoani Shinyanga umeiomba Serikali kupitia Wizara ya Madini...

Habari Mchanganyiko

Mgeja ataka vyama visitumie mikutano ya hadhara kuchafua wengine

MWENYEKITI wa Tanzania Mzalendo foundation Khamis Mgeja amevitaka vyama vya siasa nchini kutumia ruhusa ya Mikutano ya hadhara iliyotolewa na Rais Samia Suluhu...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 2 kujenga minara ya mawasiliano Kilombero

NAIBU Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Mathew amesema Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kutumia...

Habari Mchanganyiko

Sangoma afariki akirusha roho na mke wa Mchungaji gesti

MGANGA mmoja wa kienyeji amepoteza fahamu na kufariki wakati akidaiwa kurushana roho na mke wa mchungaji katika hoteli moja huko Ikere, jimbo la...

Habari Mchanganyiko

Afungwa miaka 30 jela kwa kumbaka dada’ke

  MKULIMA Frank Kigomba, amehukumiwa na Mahakama ya Wilaya ya Kilolo,mkoani Iringa, kifungo cha miaka 30 jela pamoja na kulipa fidia ya Sh....

Habari Mchanganyiko

Serikali yafufua mradi wa maji uliotelekezwa miaka 60 iliyopita

ZAIDI ya wananchi elfu tano wa Kijiji cha Msimba wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wanatarajiwa kunufaika na huduma ya maji safi na salama baada...

Habari Mchanganyiko

Samia ateua Gavana BoT, apangua wizara ya fedha

RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwamo Emanuel Mpawe Tutuba kuwa Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT). Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari Mchanganyiko

Wateja 623 wajishindia Mil. 150 kampeni ya NMB MastaBata Kote Kote

NMB imeanza mwaka kwa kusambaza upendo kupitia kampeni ya #MastaBataKoteKote kwa kumzawadia mshindi wa pikipiki mpya aina ya boxer wa droo ya sita,...

Habari Mchanganyiko

BoT yabaini ongezeko udanganyifu miamala ya fedha

  BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imebaini kuongezeka kwa udanganyifu wa fedha nchini unaohusisha mwananchi kupokea taarifa(hati au barua pepe) inayodai kuwa ni...

Habari Mchanganyiko

Sakata la aliyefia mahabusu lachukua sura mpya, ndugu kupinga hukumu

  NDUGU wa marehemu Stella Moses, aliyedaiwa kufia katika mahabusu ya Kituo Cha Polisi Cha Mburahati, jijini Dar es Salaam, imepanga kukata rufaa...

Habari Mchanganyiko

IGP apangua makamanda wa mikoa, Muslim apelekwa Makao Makuu

  MKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura, amefanya mabadiliko madogo ya Makamnda wa Polisi wa Mikoa ambapo wengine wamehamishiwa makao...

Habari Mchanganyiko

Dk. Samia ateua viongozi 6, Kafulila arejeshwa kundini

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan leo Alhamisi ameteua viongozi mbalimbali akiwamo David Kafulila kuwa Kamishna wa Ubia kati ya sekta ya umma na...

Habari Mchanganyiko

Waziri apanda bodaboda kwenda kukagua mradi wa maji

WAZIRI wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso, amelazimika kutumia usafiri wa pikipiki maarufu kama bodaboda ili kuweza kufika kwenye mradi wa maji wa...

Habari Mchanganyiko

Mke wa Afande adaiwa kutumia nafasi ya mumewe kukomoa wenzake

JESHI la Polisi wilayani Same, linapitia wakati mgumu baada ya kilichoelezwa kuwa ni mke wa askari ambaye ni raia kutumia vibaya madaraka ya...

Habari Mchanganyiko

Wateja NMB washinda milioni 55 Mastabata Kote-Kote

KAMPENI ya kuchagiza malipo ya kidijitali na matumizi ya kadi za NMB Mastercard na NMB Mastercard QR ya MastaBata Kote-Kote inaelekea kuhitimika baada...

Habari Mchanganyiko

Songwe waunda jukwaa za wadau wa parachichi

WADAU wa zao la Parachichi kutoka wilaya zote nne za mkoa wa Songwe wamekutana na kuzindua jukwaa na kujitambulisha kwa Serikali ili kutatua...

Habari Mchanganyiko

Polisi mbaroni tuhuma za rushwa ya Sh milioni 100

MMOJA  wa askari anayetuhumiwa kuhusika na tukio la kuomba rushwa ya Sh milioni 100 kwa mfanyabiashara wa Usa River Jijini Arusha, Profesa Justine...

Habari Mchanganyiko

Kizungumkuti watoa huduma Uwanja wa Ndege Zanzibar, watishia kwenda mahakamani

KAMPUNI ya Transworld Aviation Dubai, kutoka Falme za Kiarabu, imeomba Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), kuiondolea zuio la kufanya kazi katika Uwanja wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwenyekiti UVCCM auawa kwenye fumanizi

MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana  wa CCM (UVCCM) kata ya Kaselya Wilaya ya Iramba  mkoani Singida, Ramadhani Hamisi (30) ameuawa kwa kuchomwa na...

Habari Mchanganyiko

TEF: 2023 mwaka wa mageuzi sekta ya habari

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limesema mwaka 2023 utakuwa mwaka wa mageuzi katika sekta ya habari kwa kuwa marekebisho ya Sheria ya...

Habari Mchanganyiko

Baraza la ardhi Kinondoni laipiga ‘stop’ Manispaa kujenga eneo lenye mgogoro

BARAZA la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kinondoni limetoa amri ya zuio ya ujenzi wa Kituo cha Afya eneo la Tegeta ‘A’...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mwinyi ashuhudia utiaji saini makubaliano ujenzi Uwanja wa ndege Pemba

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi leo Jumatano tarehe 4, Januari,  2023, ameshuhudia utiaji saini wa makubaliano...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bei ya dizeli yazidi kupaa, ruzuku yawekwa kando

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini huku mafuta...

Habari Mchanganyiko

JUKATA yataka ratiba mchakato marekebisho ya sheria, katiba mpya

JUKWAA la Katiba Tanzania (JUKATA), limeiomba Serikali kutoa ratiba ya utekelezaji wa marekebisho ya Sheria na namna ya kukwamua mchakato wa upatikanaji katiba...

Habari Mchanganyiko

Wananchi Tegetero Morogoro kunufaika na mradi wa maji

IMEBAINISHWA kuwa wananchi wa Kata ya Tegetero wilayani Morogoro wanakabiliwa na changamoto ya uhaba wa maji unaodaiwa kusababishwa na wataalam pamoja na wahandisi...

Habari Mchanganyiko

NMB yakabidhi msaada vifaa tiba hospitali Pemba, Rais Mwinyi…

BENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa tiba mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni tisa kwa Hospitali ya Wilaya ya Micheweni...

Habari Mchanganyiko

Zaidi ya asilimia 90 ya laini za simu zimehakikiwa: TCRA

  SIKU chache baada ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kutoa wito kwa watumiaji wa huduma za Mawasiliano ya simu, kuhakiki laini zao...

Habari Mchanganyiko

Mtendaji atumbuliwa akituhumiwa kufanya mapenzi ofisini, kuhonga fedha za Serikali

  MTENDAJI wa Kijiji cha Mbigili wilayani Kilosa, Briton Mshani, amefukuzwa kazi kwa tuhuma za kufanya mapenzi ofisini, pamoja na kumhonga mpenzi wake...

Habari Mchanganyiko

Serikali yapiga marufuku uuzaji viwanja 20/20

  SERIKALI imepiga marufuku uuzaji wa viwanja visivyopangwa maarufu kama 20/20, kwa kuwa unakwenda kinyume cha sheria na kuzuia wananchi husika kupata huduma...

Habari Mchanganyiko

Kijiji cha Sali, Ulanga ‘vululuvululu’

  MGOGORO kati ya uongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Ulanga, mkoani Morogoro na Serikali ya Kijiji cha Sali, umesababisha kuvurugika kwa shughuli...

Habari MchanganyikoTangulizi

TRA yavunja rekodi, makusanyo yakua kwa 12.2%

  MAMLAKA ya mapato Tanzania (TRA), imevunja rekodi ya makusanyo ya mapato Kwa mwezi baada ya kukusanya Sh. 2.77 trilioni kati ya lengo...

Habari Mchanganyiko

Spika Tulia ahimiza viongozi wa dini kuhubiri amani

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson ametoa wito kwa viongozi wa dini na waumini wote...

Habari MchanganyikoTangulizi

Salamu za Rais Samia kuuaga mwaka 2022 na kuukaribisha mwaka mpya 2023

Ndugu Wananchi na Watanzania wenzangu; NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA! Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu, Mwingi wa Rehema...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi NMB wagawa magodoro, kompyuta magereza ya Chato, Kasungamile

KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya sita kwenye kuhudumia wananchi, Wafanyakazi wa benki ya NMB kutoka matawi ya Chato na...

Habari Mchanganyiko

Dk. Samia amlilia Papa Benedikto XVI

RAIS Samia Suluhu Hassan ameeleza kusikitishwa na kifo cha Baba Mtakatifu Mstaafu Benedikto XVI aliyefariki dunia leoJumamosi saa 3: 34 Asubuhi tarehe 31...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mazishi ya Papa Benedict XVI kufanyika Alhamisi

MAZISHI ya Baba Mtakatifu Mstaafu Benedikto XVI aliyefariki dunia leoJumamosi saa 3: 34 Asubuhi tarehe 31 Desemba 2022 akiwa na umri wa miaka...

Habari Mchanganyiko

Rais Mwinyi afuta sherehe za mapinduzi 2022

RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk. Hussein Mwinyi, amesema  2022 hakutakuwa na sherehe za kitaifa za maadhimisho ya miaka 59 ya...

Habari Mchanganyiko

Sakatala la kodi: TRA yamuita Dimond Platnumz

BAADA  msanii na mfanyabiashara Nasibu Abdul (Diamond Platnumz), kutoa malalamiko dhidi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwamba ina lengo la kuiua  Kampuni...

Habari MchanganyikoTangulizi

Aliyekuwa Papa – Benedict XVI afariki dunia

PAPA wa zamani Benedict XVI amefariki dunia katika makazi yake Vatican, akiwa na umri wa miaka 95, karibu muongo mmoja baada ya kujiuzulu...

Habari Mchanganyiko

Balile: Zama tulizopo nzuri kwa vyombo vya habari

  MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amesema Tanzania iko katika zama nzuri kutokana na kuwepo kwa uhuru wa habari...

Habari Mchanganyiko

Maboresho Bandari Tanga kufanya mapinduzi ya kiuchumi, kijamii

MAMLAKA ya Bandari ya Tanga imesema maboresho ya bandari hiyo yatawezesha kupokea zaidi ya tani milioni 3 za shehena za mizigo kwa mwaka,...

error: Content is protected !!