Tuesday , 23 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari MchanganyikoTangulizi

Mume mbaroni kwa kumteka nyara mkewe

MUME anayedaiwa kumteka nyara mkewe na kumficha katika Kaunti ya Meru nchini Kenya, amefikishwa kortini. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa …(endelea). Abdullahi Mohammed Gullei...

Habari MchanganyikoTangulizi

Madadapoa kutoka TZ wafurika Rift Valley kuwakamua wakulima

KAMA ulidhani madadapoa hufurika mikoa ya Kanda ya Ziwa pekee pindi wakulima wanapovuna na kuuza pamba, umekosea kwani hali kama hiyo pia imetokea...

Habari Mchanganyiko

FAO yaahidi kuiunga mkono Tanzania

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) limeahidi kuunga mkono jitihada za Serikali ya Tanzania...

Habari Mchanganyiko

Wananchi watakiwa kuacha kutegemea misaada, wachape kazi

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi wachape kazi hususan katika sekta ya kilimo ili serikali ipate mapato ya kutosha akisema zama za...

Habari Mchanganyiko

Miaka 60 ya NIC, kuwafuta jasho wakulima

WAKATI Shirika la NIC Insurence likitimiza miaka 60 tangu kuanzishwa kwake limekusudia kufanya mageuzi makubwa kwenye kilimo kwa kutoa bima kwa wakulima na...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aagiza viongozi kujipanga kuikabili El-Nino, udumavu

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi wa miji mikubwa nchini, kuchukua jitihada za makusudi katika kuandaa mikakati ya kukabiliana athari za mvua...

Habari Mchanganyiko

Wanaomiliki silaha bila kibali watakiwa kuzisalimisha

Jeshi la Polisi Tanzania limewataka watu  wote wanaomiliki silaha pasipo kuwa na vibali, kutumia  msamaha wa usalimishaji silaha kwa hiyari, kusamilisha silaha hizo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ukitumia VPN faini mil. 5, kifungo mwaka 1

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka wananchi kwa ujumla na kampuni ambazo kwa asili ya majukumu na kazi zao, matumizi ya mtandao binafsi...

Habari Mchanganyiko

SBL yashirikiana na Polisi kukuza kunywa kwa uwajibikaji na usalama barabarani kupitia mpira

KAMPUNI ya Serengeti Breweries Limited kupitia chapa yake ya Serengeti Premium Lager, inafurahi kutangaza ushirikiano wake na Polisi wa Trafiki wa Tanzania kwa...

Habari Mchanganyiko

TARURA yatangaza kiama wakandarasi, watumishi watakaozoroteza ujenzi barabara

Meneja wa Wakala ya Barabara za Vijijini  na Mijini (TARURA) mkoa wa Morogoro, Mhandisi Emmauel Ndyamkama amesema ataendelea kusimamia ubora wa kazi zinazofanyika...

Habari Mchanganyiko

Serikali yamwaga mabilioni Babati kuimarisha huduma ya maji

UPATIKANAJI  huduma ya maji safi na salama Wilaya ya Babati, mkoani Manyara, umeongezeka kutoka asilimia 72 iliyokuwa kabla ya 2021 na kufikia 92%,...

Habari Mchanganyiko

Kikeke ala shavu Zanzibar

Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) imempa jukumu la kuwa mshauri wa masuala ya habari na uhusiano mtangazaji wa zamani wa BBC Salim...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Tanzania, Zambia zakubaliana kutatua changamoto za kibiashara

Tanzania na Zambia zimekubaliana kutatua changamoto nane kati ya 24 za kibiashara na 16 zilizobaki zimewekewa utaratibu wa kuzitatua ifikapo tarehe 31 Disemba...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bweni la Wasichana Hasnuu Makame Sekondari Z’bar lateketea kwa moto

  JENGO la Dakhalia la Skuli ya Sekondari ya Hasnuu Makame ilioko Kibuteni Wilaya ya Kusini Unguja, limeungua moto sehemu ya juu, imeripotiwa....

Habari Mchanganyiko

Kiza ateuliwa Kamishna Uhifadhi Ngorongoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Richard Rwanyakaato Kiza kuwa Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi Eneo la...

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi wamhoji Wakili Dk. Nshala kwa kuzua taharuki

ALIYEKUWA Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Dk. Rugemeleza Nshala leo Alhamisi amehojiwa na katika Kituo cha Polisi Kanda Maalumu Dar Es Salaam...

Habari Mchanganyiko

Wasomi: Heshima ya Tanzania kimataifa imerudi

HESHIMA ya Tanzania katika medani za kimataifa, imereja kutokana na kazi kubwa inayofanywa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kuimarisha mahusiano na mataifa...

Habari Mchanganyiko

Ujenzi daraja la Magufuli wafikia asilimia 78

WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema ujenzi wa daraja la John Pombe Magufuli (Kigongo – Busisi) lenye urefu wa kilomita tatu na Barabara...

Habari Mchanganyiko

TEF: Rais Samia ameondoa hofu

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, amefanikiwa kuondoa maisha ya hofu kwa watanzania kwa kuwapa uhuru wa kuzungumza...

Habari Mchanganyiko

Watafiti kuvuna biliona 9 za kukabili mabadiliko ya tabianchi

SERIKALI ya Tanzania  na Norway imesaini makubaliano ya kufanya  utafiti utakaosaidia  kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi. Anaripoti Faki Sosi …(endelea). Makubaliano hayo...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Mgogoro wa wachimbaji Mafurungu watatuliwa, wapewa leseni

Serikali kupitia Wizara ya Madini imetatua rasmi mgogoro wa wachimbaji wadogo wa madini uliodumu kwa mwaka mmoja katika Kitongoji cha Mafurungu – Wilaya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yatoa elimu ya fedha kwa wafanyabiashara Dar

BENKI ya NMB kupitia Klabu za Biashara ‘NMB Business Club’ imeandaa mafunzo ya kifedha kwa wafanyabiashara jijini Dar es Salaam ikiwa ni utekelezaji...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Bilioni 81 kumaliza foleni kwenye mizani

KATIKA harakati za kuondokana na msongamao wa magari barabarani Serikali inatarajia kutenga Sh 81 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa mizani ya kupima...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Waziri Mhagama akoshwa na Mshikofasta ya NMB 

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama amewataka vijana kuchangamkia fursa ya mkopo wa Mshikofasta inayotolewa na...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aula mfupa uliowashinda wenzie kumuenzi Mwalimu Nyerere

  SERIKALI ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kutekeleza ahadi yake ya kumuenzi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyrere, kwa kufufua...

Habari Mchanganyiko

Wakulima waiomba Serikali iharakishe ujenzi miundombinu ya umwagiliaji

  WAKULIMA katika mabonde ya Bugwema na Suguti, katika Wilaya ya Musoma mkoani Mara, wameiomba Serikali kuharakisha ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji ili...

Habari Mchanganyiko

Polisi wagwa vyeti kwa wamiliki wa silaha za jadi

  KAMISHNA Msaidizi wa Jeshi la Polisi ACP Theopista Malya leo Oktoba 07, 2023 amegawa vyeti kwa wamiliki wa silaha za kiraia tukio...

Habari Mchanganyiko

Madereva Tunduma waridhishwa na usalama wa maegesho, waomba yatanuliwe

  MADEREVA wa magari makubwa ya mazigo (Malori) wanaovuka mpaka wa Tunduma kwenda nchi za kusini mwa afrika (SADC) wameiomba halmashauri ya wilaya...

Habari Mchanganyiko

Dk Wanga atoa somo matumizi bora ya misitu

  KATIBU Mtendaji wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC), Dk Godwill Wanga ametoa rai kwa wadau wa uhifadhi misitu, akiwemo serikali, sekta...

Habari Mchanganyiko

Watakaoharibu alama za barabarani, miundombinu kukiona cha moto

  NAIBU Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya amewataka wakuu wa wilaya nchini kutoka elimu kwa wananchi ngazi ya vijiji,kataka na, Tarafa ikiwemo...

Habari Mchanganyiko

CCM mkoa wa  Songwe yataja barabara zenye kero kubwa

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Songwe kimeitaka Wizara ya Ujenzi  kufanya juu chini kwa kutekeleza ujenzi wa barabara za maeneo matatu...

Habari Mchanganyiko

NBC yazindua msimu wa 3 “Wekeza NBC Shambani Ushinde’’

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua msimu wa tatuwa kampeni yake  maalum kwa wakulima wa zao la korosho katika mikoa ya Mtwara na Lindi...

Habari Mchanganyiko

Kasekenya akagua miundombinu Songwe kukabili El-nino

  WAKALA wa Bararabara Tanzania (TANROADS) mkoani Songwe umewahakikishia wananchi kuwa umejipanga kukabiliana na mvua za El-nino kwa kukamilisha kwa wakati ujenzi wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

GGML yaibuka mshindi wa jumla maonesho ya madini Geita

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited imenyakua tuzo nne ikiwamo mshindi wa jumla katika maonesho ya teknolojia ya madini yaliyofanyika kwa muda wa...

Habari Mchanganyiko

Waziri Chana aipa tano RITA usajili watoto

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Balozi Dk Pindi Chana amefurahishwa na mafanikio ya utekelezaji wa mpango wa Serikali wa kusajili watoto wote chini...

Habari Mchanganyiko

Wawili wanaswa wakitengeneza noti bandia

JESHI la Polisi mkoani Songwe limewakamata watu wawili kwa tuhuza za kukutwa wakitengeneza noti bandia za nchini Zambia. Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe…(endelea). Akizungumza...

AfyaHabari Mchanganyiko

Chanjo mpya ya malaria Sh 5,000-10,000

Shirika la afya la Duniani (WHO) limeridhia chanjo ya pili ya ugonjwa wa malaria kwa watoto ambayo inaweza kuokoa maisha ya maelfu ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Wagonjwa kiharusi waongezeka, Hospitali Mkapa yaja matibabu mapya

HOSPITALI ya Benjamini Mkapa kwa kushirikiana na madaktari Bingwa kutoka nchi Japan kupitia taasisi ya Tokushikai Medical group ya Japan wanatarajia kuanzisha huduma...

Habari Mchanganyiko

Wananchi waamua kujenga zahanati kukwepa adha kufuata huduma mbali

WANANCHI wa Kijiji cha Kwikerege, kilichopo katika Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara, wameamua kujenga zahanati yao ili kuepuka aza ya kutembea umbali...

Habari Mchanganyiko

Safari ya km 1,500 ya Twende Butiama yaanza Dar kumalizika Butiama

KUELEKEA Kumbukumbu ya kumuenzi baba wa taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ambaye alifariki Oktoba 14, 1999, msafara wa waendesha baiskeli unaojulikana...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mobhare Matinyi Msemaji mpya wa Serikali

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mobhare Matinyi, kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na...

Habari Mchanganyiko

Kigogo Polisi ashtukia rushwa mafuta ya gari , atoa agizo

WANANCHI wametakiwa kuwaripoti askari polisi wanaowaomba fedha za mafuta ya gari kwa ajili ya kufika maeneo ya matukio, ili wachukuliwe hatua za kisheria....

Habari Mchanganyiko

Wimbi akina mama kubambikia kesi wanaume lashika kasi

WIMBI la wanawake wanaotelekeza watoto wao  kwa kina baba na kuwabambikia kesi, linadaiwa kuongezeka siku za hivi karibuni, huku chanzo kikitajwa kuwa ni...

Habari Mchanganyiko

Makamu wa pili wa Rais Zanzibar atembelea banda la GGML maonesho ya madini Geita

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman leo Jumamosi ametembelea banda la Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) katika maonesho...

AfyaHabari Mchanganyiko

Wananchi Geita wachangamkia uchunguzi wa saratani bure, wanawake wapewa neno

MAONESHO ya Sita ya Teknolojia ya Madini Geita yameendelea kuwanufaisha wakazi wa Geita na viunga vyake baada ya wananchi na wafanyakazi kutoka taasisi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Basi la Magereza lagonga treni yenye abiria 650 Dar

Basi  Jeshi la Magereza lenye namba MT 0040 limegonga treni ya abiria namba YD16 yenye injini namba 9015 iliyokuwa ikitokea mikoa ya Bara...

Habari Mchanganyiko

Askari Polisi wa wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu

  KAMISHNA wa Polisi Utawala Menejimenti ya rasilimali watu, CP Suzan Kaganda amewataka askari Polisi wanawake kuchangamkia fursa za elimu ili kuongeza ujuzi...

Habari Mchanganyiko

Mwenge wa Uhuru kuzindua miradi ya bilioni 16 Dodoma

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Ally Senga Gugu  kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amepokea Mwenge wa Uhuru...

Habari Mchanganyiko

Vijana 400 waguswa na programu ya “Learning for Life” ya SBL

  PROGRAMU ya “Learning for Life” imetimiza dhamira ya Serengeti Breweries Limited  (SBL) ya kuwawezesha zaidi ya vijana 400 Hanang kupitia stadi muhimu na...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Stamico yafungua fursa za kiuchumi kwa makundi maalumu

SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limemwaga neema kwa watu wenye ulemavu nchini kupitia fursa ya uwakala na uuzaji wa mkaa mbadala wa...

error: Content is protected !!