Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Bwege aangushwa ubunge Kilwa Kusini
Habari za Siasa

Bwege aangushwa ubunge Kilwa Kusini

Suleiman Bungara 'Bwege', aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini (CUF)
Spread the love

SELEIMAN Said Bungara maarufu Bwege, amengushwa ubunge wa Kilwa Kusini kupitia ACT-Wazalendo katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarege 28 Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Wetu…(endelea)

Bwege ambaye  amekuwa maarufu ndani na nje ya Bunge kutokana na aina yake ya kuzungumza au kuchangia mijadala bungeni, ameangushwa na mgombea wa CCM, Kassinge Ally.

Hivi karibuni Bwege akitumia msemo wa ‘ulisikia wapi’ aliingia bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 2010 kupitia Chama Cha Wananchi (CUF).

Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 201 5, wananchi wa Kilwa Kusini waliendelea kumwamini Bwege aliyezaliwa Novemba 18 mwaka 1961 kwa kumrejesha bungeni kuendelea kuwawakilisha.

Bwege alikihama chama chake cha CUF na kujiunga na ACT-Wazalendo na kupitishwa kuwania ubunge jimboni himo lakini amejikuta akishindwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza ajira watendaji daftari wapiga kura

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

Habari za Siasa

CCM yamkana mwenyekiti UVCCM aliyetaka wapinzani wapotezwe

Spread the love  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimejitenga na kauli ya mwenyekiti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia kutunukiwa udaktari wa heshima Uturuki

Spread the loveBaraza la Chuo Kikuu cha Ankara, ambacho ni cha pili...

error: Content is protected !!