Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa BREAKING NEWS: Zitto ahukumiwa, apewa masharti magumu
Habari za SiasaTangulizi

BREAKING NEWS: Zitto ahukumiwa, apewa masharti magumu

Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT-Wazalendo
Spread the love

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Zitto Kabwe Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, kutotoa na kuandika maneno ya uchochezi kwa muda wa mwaka mmoja. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea).

Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Huruma Shaidi baada ya kumtia hatiani katika makosa yote matatu katika kesi ya uchochezi namba 327/2018.

Habari zaidi zitakujia kupitia hapa hapa MwanaHALISI ONLINE

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

error: Content is protected !!