Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari BoT yachapisha noti mpya
Habari

BoT yachapisha noti mpya

Benki Kuu ya Tanzania (BoT)
Spread the love

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imezifanyia maboresho fedha za noti, toleo la mwaka 2010, katika kipengele cha usalama. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na BoT tarehe 2 Aprili 2020, fedha hizo ni Tsh. 1,000, 2,000, 5,000 na 10,000.

Maboresho hayo ni pamoja na saini,  ambapo imewekwa saini ya Dk. Phillip Mpango, Waziri wa Fedha na Mipango wa sasa, pamoja na saini ya Gavana wa BoT iliyeko madarakani, Profesa Florens Luoga.

Maboresho mengine ni kamba nyembamba iliyowekwa maelezo ya fedha, ambayo ina picha inayotembea wakati fedha ikigeuzwa juu chini, au upande mmoja kwenda upande mwingine.

Aidha taarifa ya BoT inaeleza kwamba, alama zingine za usalama zitabaki kama zilizvyo, pia fedha hizo zimeshatolewa katika mzunguko wa fedha.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

HabariSiasa

Dk. Rose Rwakatare atoa kadi 500 kila Wilaya Morogoro

Spread the loveMWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk...

ElimuHabari

CBE, WMA wasaini makubaliano wanafunzi kusoma wakifanyakazi

Spread the loveNAIBU Spika Musa Azzan Zungu amekipongeza Chuo cha Elimu ya...

HabariTangulizi

Dk. Slaa, Mwabukusi kuhojiwa na jeshi la Polisi Mbeya

Spread the loveJESHI la Polisi jijini Mbeya, linawashikilia kwa mahojiano Dk. Wilbroad...

HabariHabari Mchanganyiko

Kairuki Hospital Green IVF  yawanoa madaktari kuhusu upandikizaji mimba

Spread the love KITUO cha Upandikizaji Mimba cha Kairuki Hospital Green IVF...

error: Content is protected !!