Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo Bodi ya Ligi yafungia viwanja saba
Michezo

Bodi ya Ligi yafungia viwanja saba

Uwanja wa Nangwanda Sijaona wa Mtwara
Spread the love

BODI ya Ligi imevifungia viwanja vya Majimaji (songea), Mkwakwani (Tanga), Sabasaba (Njombe), Ali Hassan Mwinyi (Tabora), Kipija (Mbeya), Nagwanda Sijaona (Mtwara) na Jamhuri (Dodoma) mara baada ya kukosa baadhi ya sifa ili viweze kutumika kwenye michezo ya kimashidano. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa kutoka ndani ya bodi hiyo imeleza kuwa viwanja hivyo vilivyokuwa vinatumika kwa michezo ya Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza havitatumika kwa sasa mpaka vitapofanyiwa marekebisho na kamati ya leseni kukagua na kujilidhisha.

Sababu kubwa ya kuvifungia viwanja hivyi ni kuwa na maeneo mabovu ya kuchezea (pitch), mabenchi ya kukaa wachezaji wa akiba sambamba na vyumba vya kubadilishia nguo.

Kwa mantiki hiyo klabu zote zilikuwa zinacheza kwenye viwanja hivyo kwa michezo yake ya nyumbani vitalazimika kutafuta viwanja vingine vyenye sifa ili waweze kutumia kwenye michezo yao ya kimashindano.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!