Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Bodaboda waanza kuelewa somo
Habari Mchanganyiko

Bodaboda waanza kuelewa somo

Spread the love

MADEREVA wa Bodaboda katika jiji la Dar es Salaam wameonekana kuanza kuelewa umuhimu wa matumizi wa kofia ngumu wakati wa kuendesha usafiri huo, anaandika Mwandishi wetu.

MwanaHALISI Online limeshuhudia kundi la madereva wa bodaboda wakiwa wamevalia kofia hizo katika makutano ya barabara za Morogoro na Kawawa eneo la Magomeni jambo ambalo linaashiria kutii agizo la kuvaa kofia hizo.

Watazame hapa kwenye VIDEO hii…

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!