Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Biashara za Saudia, Emirates, Bahrain, Misri zazuiwa Qatar
Kimataifa

Biashara za Saudia, Emirates, Bahrain, Misri zazuiwa Qatar

Spread the love

MGOGORO wa Qatar na mataifa jirani unazidi kukua na sasa taifa hilo (Qatar) limezuia kuingizwa biashara kutoka Saudi Arabia, Emirates, Bahrain na Misri. Anaandika Faki Sosi … (endelea).

Sheikh Ahmed Jassem bin Mohammed Al Thani ambaye ni Waziri wa Uchumi na Biashara wa Qatar ameagiza sekta zote nchini humo kuacha kuagiza na kununua bidhaa yoyote inayotoka miongoni mwa nchi hizo.

Waziri huyo amesema kuwa, serikali itaendesha msako ili kujiridhisha kama agizo hilo limetekelezwa sana na namna lilivyokusudiwa na kwamba, atakayebainika kukiuka, hatua kali zitachukuliwa dhidi yake.

Serikali ya Qatar imeeleza kushinda vikwazo vya awali vilivyowekwa Bahrain, Saudia, Emirates na Misri.

Juni mwaka jana Bahrain, Saudi, Bahrain, Emirates na Misriziliitenga Qatar kwa madai kusaidia ugaidi jambo lililoenda sambamba na kufunga mipaka yao.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!