Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Michezo Bayern mabingwa wa Ulaya
Michezo

Bayern mabingwa wa Ulaya

Spread the love

TIMU ya Bayern Munich ya Ujerumani imetwaa ubingwa wa Ligi ya Mabigwa Bara la Ulaya (UEFA) kwa kuifunga PSG ya Ufaransa bao 1-0 lililofungwa na beki Kingsley Camon dakika ya 59. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)

Katika mchezo huo, Bayern ilitawala karibu dakika zote 90 za mchezo huku wachezaji wa PSG Neymar, Mbappe na Di Maria wakishindwa kutumia nafasi walizopata.

Mlinda mlango wa Bayern, Manuel Never alifanya kazi kubwa kuokoa hatari zilizokuwa zikifanywa na washambuliaji wa PSG akiwemo Neymar, Mbappe na Di Maria.

Ubingwa huo wa Bayern ni wa sita na mara ya mwisho walitwaa taji hilo mwaka 2013.

Miaka mingine ambayo walitwaa ni 1974, 1975, 1976, 2001, 2013 na mwaka huu 2020.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!