Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa BAVICHA kumuombea Tundu Lissu
Habari za Siasa

BAVICHA kumuombea Tundu Lissu

Patrick Ole Sosopi, Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) akiwa jukwaani
Spread the love

IKIWA ni wiki moja tangu kupigwa risasi za moto mbunge wa  Singida Mashariki Tundu Lissu Chadema), Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), linatarajia kufanya maombi maalumu ya kitaifa, anaandika Faki Sosi.

Akizungumza na waandishi wa habari leo makamu  mwenyekiti wa BAVICHA,   Patrick Ole Sosopi amesema  maombi hayo yatajumuisha madhehebu ya dini zote na yatafanyika jumapili ijayo Septemba  17 , mwaka huu.

Amesema maombi hayo yatafanyika katika viwanja vya TP Sinza darajani jijini Dar es Salaam na kuwa hatarajii Jeshi la Polisi kuzuia maombi hayo na badala yake kufika kwa ajili ya kuimarisha ulinzi.

Hata hivyo, ameeleza kuwa tayari jeshi hilo wameshalipelekea taarifa ya kutekelezwa kwa maombi hayo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Dk. Mwakyembe : Zanzibar waliongoza kutaka Serikali 2 za muungano

Spread the love  MWANASIASA mkongwe nchini, Dk. Harrison Mwakyembe, amesema mjadala wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

error: Content is protected !!