Tuesday , 23 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Balozi Mahiga awatwisha mzigo maofisa wake
Habari za Siasa

Balozi Mahiga awatwisha mzigo maofisa wake

Balozi Augustine Mahiga, Waziri wa Katiba na Sheria
Spread the love

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Augustine Mahiga amewahimiza maafisa wa wizara yake waliopo nje ya nchi kutafuta wawekezaji, ili waje kuwekeza Tanzania. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Balzi Mahiga ametoa agizo hili katika hafla za uzinduzi wa hati za kusafiria na vibali vya ukaazi kwa njia ya kielektroniki (E-VISA & E-PERMIT), ambapo amewataka maafisa hao kujitahidi katika hilo ili kusaidia jitihada za serikali za kufikia uchumi wa viwanda.

Kuhusu uzinduzi wa visa na vibali vya ukaazi kwa njia ya kielektroniki, Balozi Mahiga amesema mfumo huo mpya utarahisisha Tanzania kupata wawekezaji wengi.

Balozi Mahiga ameagiza utaratibu wa ukaguzi wa wageni wanaoingia nchini hasa watalii ufanyike kwa njia rafiki ili kuondoa malalamiko.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aridhishwa utendaji mabalozi, awapa neno

Spread the loveRais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewapongeza mabalozi  wanaowakilisha ...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the loveMBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi...

error: Content is protected !!