Friday , 29 March 2024
Home yusuf
7 Articles0 Comments
Michezo

AFCON 2019; Wasiotarajiwa watengeneza hesabu

JANA usiku vigogo wa soka Afrika, timu ya taifa ya Aljeria iliungana na Madagasca na Afrika Kusini kutinga hatua ya robo fainali ya...

MichezoTangulizi

Waziri Mwakyembe asiturudishe nyuma

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe ametangaza rasmi, kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni kutumika katika mchezo mmoja. Anaandika...

Michezo

Man United: Duniani hakukaliki, Akhera hakuendeki

MCHEZO wa leo saa 4:00 usiku wa Ligi Kuu ya England kati ya Manchester United na Manchester City (Manchester Debby) kwenye uwanja wa...

Michezo

Namrudisha Karia aongoze FAT

YANAYOFANYWA na TFF ya rais wa sasa Wellace Karia, hayakupata kufanywa hata katika tawala za miaka 30 iliyopita. Anaandika Yusuf Abood … (endelea)....

Makala & Uchambuzi

Gombaneni lakini kunyimana hapana!  

NAWAKARIBISHA katika safu hii ya Jamvi la Babu Jongo. Babu yenu niko salama na pia namshukuru Muumba kwa kunijaalia afya na uwezo wa...

Habari Mchanganyiko

Kisa cha Panya, Kuku, Mbuzi na Ng’ombe

NYUMBANI kwa mwanadamu uliwekwa mtego wa panya, lengo likiwa kumnasa panya. Anaandika Babu Jongo … (endelea). Panya alipoona mtego akamuambia kuku amsaidie kuutegua, kuku...

Makala & UchambuziTangulizi

Mafia inasubiri ya MV Nyerere?

NAWAKUMBUSHA tu wale mahodari wa kutuma salaam za rambirambi, na wakukataza majanga ya ajali yasigeuzwe mtaji wa kisiasa,  wakumbuke na Kisiwa cha Mafia...

error: Content is protected !!