WAZIRI wa Habari, Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye, amewataka waandishi wa habari kufuata maadili ya kitaaluma wakati wanaripoti mikutano...
By Regina MkondeJanuary 9, 2023MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amemtaka Rais Samia Suluhu Hassan, kuwa jasiri akidai kwamba kuna baadhi ya watu hawapendi...
By Regina MkondeJanuary 7, 2023CHAMA Cha Wananchi (CUF), leo Jumamosi tarehe 7 Januari 2023, kimezindua rasmi mikutano ya hadhara ambapo ufunguzi huo umefanywa na Mwenyekiti wake Taifa,...
By Regina MkondeJanuary 7, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Kamishna Diwani Athumani, katika nafasi ya Katibu Mkuu Ikulu, na kumteua Mululi Majula Mahendeka, kushika...
By Regina MkondeJanuary 5, 2023KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema mtu hatokatika kidole wala kukatwa shingo, endapo atampongeza Rais Dk. Samia Samia Suluhu Hassan kwa...
By Regina MkondeJanuary 5, 2023WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), George Simbachawene, amevitaka vyama vya siasa kufanya siasa za kistaarabu ili kuepusha...
By Regina MkondeJanuary 5, 2023KAMPUNI ya Transworld Aviation Dubai, kutoka Falme za Kiarabu, imeomba Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), kuiondolea zuio la kufanya kazi katika Uwanja wa...
By Regina MkondeJanuary 5, 2023MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, kuyafanyia kazi mapendekezo yaliyotolewa na Kikosi kazi alichokiunda...
By Regina MkondeJanuary 3, 2023MAMLAKA ya mapato Tanzania (TRA), imevunja rekodi ya makusanyo ya mapato Kwa mwezi baada ya kukusanya Sh. 2.77 trilioni kati ya lengo...
By Regina MkondeJanuary 2, 2023BAADA msanii na mfanyabiashara Nasibu Abdul (Diamond Platnumz), kutoa malalamiko dhidi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwamba ina lengo la kuiua Kampuni...
By Regina MkondeDecember 31, 2022SERIKALI imeridhia kufufua mradi mkubwa wa kilimo cha umwagiliaji ndani ya Bonde la Bugwema, liliko mkoani Mara, ikiwa ni utekelezaji wa ombi...
By Regina MkondeDecember 30, 2022CHAMA cha Wananchi (CUF), kimesema kinaunga mkono marekebisho ya sheria za habari yenye lengo la kuongeza uhuru wa tasnia hiyo, huku ikiiomba...
By Regina MkondeDecember 29, 2022MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), amewataka wanahabari kupigania mazingira bora ya utendaji kazi zao bila kusubiri malipo ya fedha, kwa...
By Regina MkondeDecember 28, 2022SERIKALI ya Tanzania iko mbioni kuifanyia marekebisho Sera ya Habari na Utangazaji ya 2003 ili iendane na wakati pamoja na kuondoa mapungufu...
By Regina MkondeDecember 24, 2022KITUO cha Wanahabari Watetezi wa Rasilimali na Taarifa (MECIRA), kimemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kukazia maagizo ya Makamu wa Rais, Dk....
By Regina MkondeDecember 24, 2022FEDHA za mfuko wa Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Tarime, kiasi Cha Sh.75 milioni, zinatarajiwa kujenga maabara ya masomo ya sayansi katika shule...
By Regina MkondeDecember 22, 2022SERIKALI ya Tanzania imeombwa kuongeza bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi, pamoja na Tume ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi, ili...
By Regina MkondeDecember 20, 2022MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kivukoni/Kinondoni imetoa amri ya kufukuliwa mwili wa Stella Moses ili ufanyiwe uchunguzi kujua chanzo cha kifo chake baada ya...
By Regina MkondeDecember 19, 2022IDARA ya Uhamiaji nchini Tanzania, imewataka Watanzania kuwa makini dhidi ya vitendo vya utapeli vilivyoibua katika mchakato wa maombi ya nafasi za...
By Regina MkondeDecember 15, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan, ametajwa kuwa rafiki wa wanahabari, kufuatia dhamira yake aliyoionesha tangu alipoingia madarakani Machi 2021, ya kuifanyia maboresho sekta ya...
By Regina MkondeDecember 14, 2022Serikali ya Tanzania imeombwa kufuta huduma za mabweni katika shule za awali hadi msingi, ili kutoa nafasi kwa watoto kulelewa na familia zao...
By Regina MkondeDecember 12, 2022SERIKALI ya Tanzania, imesema itafanya uchunguzi dhidi ya biashara haramu ya uuzaji viungo vya siri vya wanawake wanaokeketwa, iliyoibuka mkoani Mara. Anaripoti...
By Regina MkondeDecember 10, 2022WATU wenye ulemavu nchini Tanzania, wameiomba Serikali iongeze ushiriki wao katika vyombo vya maamuzi ili waweze kutafuta suluhu dhidi ya changamoto zinazowakabili. Anaripoti...
By Regina MkondeDecember 10, 2022IKIWA dunia inaadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, wanaume wamefunguka kuhusu vitendo hivyo huku madai ya kunyimwa unyumba na vipigo...
By Regina MkondeDecember 10, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameshauriwa kuongeza juhudi katika dhamira yake ya kuimarisha usawa wa kijinsia na kumuinua mwanamke kiuchumi, ili kuondoa...
By Regina MkondeDecember 9, 2022WADAU wa kutetea haki za binadamu, wameitaka Serikali kutafuta mikakati endelevu ya kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia, kwani bado vinaendelea kuligharimu...
By Regina MkondeDecember 9, 2022SERIKALI ya Tanzania, imeombwa kuharakisha mchakato wa marekebisho dhidi ya vifungu vya sheria zinazokandamiza haki za binadamu, hususan uhuru wa kujieleza na...
By Regina MkondeDecember 8, 2022LICHA ya matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya 2022 kuonyesha idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume, mambo matano yametajwa...
By Regina MkondeDecember 5, 2022MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha siasa cha ACT-Wazalendo Bara, Dorothy Semu, amewataka wanawake kuwa wavumilivu kuelekea safari yao ya uongozi wa kisiasa...
By Regina MkondeDecember 2, 2022KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameeleza kuwa chama hicho ni tofauti na Chama Cha Mapinduzi (CCM), pamoja na vyama vingine...
By Regina MkondeNovember 29, 2022ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA), Daktari Ananilea Nkya, amesema wadau wengi wanasubiri Muswada wa Marekebisho ya Sheria...
By Regina MkondeNovember 25, 2022MWENYEKITI mpya wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Fadhil Maganya, amesema ataiongoza jumuiya hiyo katika mapambano ya kusaka...
By Regina MkondeNovember 25, 2022SERIKALI ya Tanzania, imetoa taarifa rasmi kuhusu ripoti ya awali ya uchunguzi wa ajali ya ndege ya Precision Air, ikisema ilitumbukia ziwani...
By Regina MkondeNovember 24, 2022MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje, Bunge na Sera wa chama...
By Regina MkondeNovember 24, 2022MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania(THRDC), umezindua mpango mkakati wake wa miaka mitano (2023-2027), unaotarajia kugharimu kiasi cha Sh. 46.1...
By Regina MkondeNovember 24, 2022SERIKALI ya Tanzania, imekutana na wadau wa sekta ya habari, kwa ajili ya kufanya mapitio ya mwisho kuhusu mapendekezo ya marekebisho ya...
By Regina MkondeNovember 21, 2022KAMPUNI za mawasiliano ya simu nchini zimetakiwa kutobadilisha bei za vifurushi hadi pale matokeo ya tathmini kuhusu gharama za utoaji huduma hiyo...
By Regina MkondeNovember 21, 2022CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesimamisha chaguzi tatu kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali ikiwemo za rushwa zilizoibuliwa, ili kuchukua hatua kwa ajili ya...
By Regina MkondeNovember 21, 2022WAANDISHI wa habari nchini Tanzania, wametakiwa kujenga desturi ya kusoma sheria na sera zinazowaongoza ili waweze kuzifahamu kwa lengo la kudai haki...
By Regina MkondeNovember 17, 2022DEODATUS Thadeo anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa tuhuma za kujiteka baada ya kudaiwa kuiba kiasi...
By Regina MkondeNovember 16, 2022MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikiana na wadau wengine, imeanza utaratibu wa kutoa rasilimali za mawasiliano kwa wabunifu wapya wa Teknolojia ya...
By Regina MkondeNovember 14, 2022SERIKALI ya Tanzania, imetoa wito kwa wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya upungufu wa mazao ya chakula unaosababishwa na ukame uliotokana na ukosefu...
By Regina MkondeNovember 11, 2022MUSWADA wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote, umeshindwa kusomwa kwa mara ya pili bungeni jijini Dodoma, kutokana na mhimili huo...
By Regina MkondeNovember 11, 2022GASTON Danda, mfanyabiashara na mkazi wa Mbezi Beach, Kinondoni jijini Dar es Salaam, amepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Kwa makosa...
By Regina MkondeNovember 8, 2022BAADHI ya wabunge viti maalum wameendelea kudai katika Mahakama Kuu, Masjala Kuu jijini Dar es Salaam, kwamba Chama cha Chadema kiliwateua kushika...
By Regina MkondeNovember 8, 2022MBUNGE Viti Maalum, Nusrat Hanje, amedai Chama Cha Chadema, kiliwafanyia umafia katika mchakato wa kuwavua uanachama. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...
By Regina MkondeNovember 4, 2022MBUNGE Viti Maalum, Nusrat Hanje, ameshauri suala lao la kupinga kuvuliwa uanachama wa Chadema, lirudishwe ndani ya chama hicho, kwani kuendelea kuwepo...
By Regina MkondeNovember 4, 2022MBUNGE Viti Maalum, Nusrat Hanje, amedai alikosa nafasi ya kujitetea kwa mdomo katika Baraza Kuu la Chadema, Ili kueleza viongozi wake waliomteua...
By Regina MkondeNovember 4, 2022MVUTANO mkali umeibuka kati ya Wakili wa Chadema, Peter Kibatala na mleta maombi namba 11, Hawa Mwaifunga, kuhusu ajenda za kikao Cha...
By Regina MkondeNovember 3, 2022HAWA Mwaifunga, aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chama Cha Chadema (BAWACHA), Leo Alhamisi, tarehe 3 Novemba 2022, anaendelea kuhojiwa...
By Regina MkondeNovember 3, 2022