SERIKALI imetakiwa kuhakikisha kamati za Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya wanawake na watoto (MTAKUWWA), ngazi ya kata, zinaundwa nchi...
By Regina MkondeJuly 27, 2023RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, ameahidi kutoa majengo na usafiri wa bajaji, kwa wasaidizi wa kisheria ili waweze kufikisha huduma hiyo kwa...
By Regina MkondeJuly 22, 2023JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kinamshikilia mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Qiblaten Kawe, Mohamed Jabir, kwa tuhuma za kumuua...
By Regina MkondeJuly 21, 2023SERIKALI imeweka mapingamizi katika kesi iliyofunguliwa kupinga uwekezaji wa bandari nchini, ikiitaka Mahakama Kuu, Kanda ya Mbeya, iitupilie mbali kwa madai iko kinyume...
By Regina MkondeJuly 17, 2023JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, amesema tume mbalimbali zimeundwa kwa ajili ya kukusanya maoni kuhusu maboresho ya haki jinai, lakini mapendekezo...
By Regina MkondeJuly 15, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan, ameshauri sheria itakayowabana viongozi wanaotumia madaraka yao mabaya vibaya itungwe, ili kuimarisha mfumo wa haki jinai nchini. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeJuly 15, 2023JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limeanza uchunguzi wa tukio la kifo cha Felix Mgeni, anayedaiwa kuuawa kwa kupigwa...
By Regina MkondeJuly 14, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan, amezungumzia mjadala unaondelea kuhusu sakata la ukodishwaji bandari, akisema wakati watanzania wanalumbana juu ya suala hilo, nchi jirani...
By Regina MkondeJuly 14, 2023MWENYEKITI wa Kamati ya Majadiliano kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai, juu ya uwekezaji bandarini, Hamza Johar amesema mvutano mkali uliibuka...
By Regina MkondeJuly 14, 2023SERIKALI ya Tanzania, imesema uwekezaji wa bandari, unaotarajiwa kufanywa na kampuni ya DP World, kwamba hauna matatizo. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Regina MkondeJuly 14, 2023HASSAN Ruhwanya, Wakili wa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha NCCR-Mageuzi, Joseph Selasini, amejitoa kumuwakilisha katika kesi aliyofunguliwa na James Mbatia, akimtaka amlipe...
By Regina MkondeJuly 13, 2023MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam, imesimamisha Kwa muda usikilizaji wa kesi iliyofunguliwa na James Mbatia, kupinga kuvuliwa uanachama wa...
By Regina MkondeJuly 13, 2023OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imekitaka Chama cha Tanzania Labpour Party (TLP), kuitisha uchaguzi wa kujaza nafasi ya mwenyekiti wake taifa,...
By Regina MkondeJuly 11, 2023USIKILIZWA wa kesi Na. 18/2023 iliyofunguliwa katika Mahakama Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam na James Mbatia, kupinga kufukuzwa ndani ya chama...
By Regina MkondeJuly 11, 2023MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetakiwa kutatua changamoto za kodi zinazokabili Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), zisizoingiza faida. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Regina MkondeJune 30, 2023MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetakiwa kutatua changamoto za kodi zinazokabili Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), zisizoingiza faida. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeJune 30, 2023GAZETI bingwa la habari za uchunguzi nchini Tanzania, MwanaHALISI, linatarajiwa kuanza kurejea mtaani kesho Alhamisi, tarehe 29 Juni 2023, baada ya kuwa kifungoni...
By Regina MkondeJune 28, 2023KIKAO cha Bunge kilichokuwa kinaendelea leo Jumanne, tarehe 27 Juni 2023, kimeahirishwa ghafla baada ya kutokea dharura. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Kikao hicho...
By Regina MkondeJune 27, 2023JEZI zitakazotumika katika mbio za kuchangisha fedha za kusaidia watoto wa kike kuwa na mazingira bora ya kupata hedhi salama, zimezinduliwa. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeJune 22, 2023WAKATI mgomo wa kufungua Biashara katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, ukishika Kasi, baadhi ya wafanyabiashara kutoka nchi jirani wameomba...
By Regina MkondeMay 15, 2023KATIBU wa Shura ya Maimamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema wanajipanga kuishauri Serikali namna bora ya kupata suluhu dhidi ya mali za...
By Regina MkondeMay 2, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan, amewataka kheri watahiniwa wa mtihani wa kumaliza kidato cha sita, huku akiwaahidi kwamba Serikali yake inaandaa mazingira Bora ya...
By Regina MkondeMay 2, 2023VIONGOZI wanaosimamia Uwanja wa Taifa wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa sakata la kuzima kwa taa...
By Regina MkondeMay 1, 2023JAMII imetakiwa kujikita katika uzalishaji wa taulo za kike za kufua ‘Pedi’, ili kuimarisha hedhi salama kwa watoto wa kike, pamoja na kuhifadhi...
By Regina MkondeApril 29, 2023WADAU wa Haki ya Kupata Taarifa nchini (CoRI), wamewaomba wabunge kuwasikiliza waandishi wa habari ili wapate mapendekezo yao yaliyoachwa katika Muswada wa...
By Regina MkondeApril 20, 2023KESI iliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee, imeahirishwa hadi tarehe 18 na 19 Mei,2023 kutokana na Jaji anayeisikiliza, Cyprian...
By Regina MkondeApril 18, 2023SERIKALI imetenga kiasi cha fedha Sh. 15 bilioni, katika mwaka wa fedha wa 2022/23, kwa ajili ya ukamilishaji ujenzi wa maboma ya...
By Regina MkondeApril 5, 2023SERIKALI ya Tanzania, imesema imefanikiwa kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa virusi vya Murburg, huku ikiahidi kuutokomeza kwa kufuata miongozo ya Shirika la...
By Regina MkondeApril 4, 2023MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango, ametaka mambo sita yazingatiwe katika uandaaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeApril 3, 2023BARAZA la Taifa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NACoNGO), limeanza kuzihoji asasi za kiraia (NGO’s) 29, dhidi ya tuhuma za kuhamasisha vitendo vya...
By Regina MkondeApril 2, 2023MWENYEKITI wa Chama cha Mawakili Vijana, anayemaliza muda wake, Wakili Edward Heche, amejitosa kugombea Tena nafasi hiyo ili amalize aliyoyanzisha. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeMarch 30, 2023MGOMBEA Urais wa Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Wakili Harold Sungusia, amesema malengo yake ni kukikwamua chama hicho ili kiweze kutoa mchango...
By Regina MkondeMarch 27, 2023KAMATI ya Uchaguzi ya Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), imetangaza majina ya walioteuliwa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu...
By Regina MkondeMarch 23, 2023MAWAKILI wasomi watatu, Harold Sungusia, Reginald Shirima na Sweetbeert Nkuba, wamechukua fomu kuomba uteuzi wa kugombea nafasi ya urais wa Chama cha...
By Regina MkondeMarch 14, 2023MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) 40, yamepewa mafunzo kuhusu ukwepaji makosa ya utakatishaji fedha na ufadhili wa vitendo vya ugaidi. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeMarch 13, 2023ALIYEKUWA Rais wa Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Fatma Karume ameishauri uundwaji wa Mahakama maalum itakayochunguza vifo vinavyotokea katika mazingira yenye...
By Regina MkondeMarch 11, 2023CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), limeendesha kongamano la wazi la kukusanya maoni ya wadau juu ya namna ya kuboresha taasisi ya...
By Regina MkondeMarch 11, 2023WADAU wa masuala ya haki za binadamu Tanzania, wameiomba Serikali iweke mikakati itakayohakikisha matumizi ya Teknokojia ya Habari na Mawasiliano, haiwaachi nyuma watu...
By Regina MkondeMarch 9, 2023WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesema waandishi wa habari na wadau wengine wa tasnia hiyo, bado wana...
By Regina MkondeMarch 7, 2023MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam, imekubali ombi la wabunge viti maalum 19, kuwahoji baadhi ya wajumbe wa Bodi ya...
By Regina MkondeMarch 6, 2023MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeyataka Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), kuendelea kuzingatia matakwa ya kisheria ili kukwepa...
By Regina MkondeMarch 3, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Dk. Said Ally Mohamed kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA). Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeFebruary 27, 2023MTANDAO wa Wanawake, Katiba na Uongozi umezitaka asasi za kiraia zinazotetea haki za wanawake na watoto kuungana pamoja katika kuwasilisha ajenda za...
By Regina MkondeFebruary 25, 2023MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umewasilisha mapendekezo yake 500 katika Tume iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan, ili...
By Regina MkondeFebruary 21, 2023CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimezindua ahadi yake kwa Watanzania, ya kujenga Taifa la wote kwa maslahi ya wote kufikia 2035 endapo kitapewa ridhaa ya...
By Regina MkondeFebruary 19, 2023JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limesema limeunda kamati ndogo ya watu sita, kwa ajili ya kuchambua Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya...
By Regina MkondeFebruary 18, 2023CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimewaomba Watanzania wakiunge mkono ili kiweze kutimiza malengo yake ya kuwakomboa kiuchumi, kijamii na kisiasa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeFebruary 18, 2023CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema ndoto yake kuu si kushika dola bali kuwakomboa wananchi kiuchumi na kijamii. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...
By Regina MkondeFebruary 18, 2023MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wenzake watano, wamenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Kilwa mkoani...
By Regina MkondeFebruary 16, 2023KAMPENI ya Huduma ya Msaada wa Kisheria ya Rais Samia Suluhu Hassan, itafanyika katika kipindi cha miaka mitatu mfululizo kwenye mikoa ya...
By Regina MkondeFebruary 15, 2023