Thursday , 28 March 2024
Home upendo
1837 Articles232 Comments
Habari Mchanganyiko

SUKITA yataka kamati za kutokomeza ukatili zianzishwe nchi nzima

SERIKALI imetakiwa kuhakikisha kamati za Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya wanawake na watoto (MTAKUWWA), ngazi ya kata, zinaundwa nchi...

Habari Mchanganyiko

Rais Mwinyi kuwawezesha wasaidizi kisheria

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, ameahidi kutoa majengo na usafiri wa bajaji, kwa wasaidizi wa kisheria ili waweze kufikisha huduma hiyo kwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwanafunzi mbaroni akidaiwa kumuua mwalimu aliyemtaka akaswali

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kinamshikilia mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Qiblaten Kawe, Mohamed Jabir, kwa tuhuma za kumuua...

Habari za Siasa

Serikali yaweka mapingamizi kesi ya kupinga uwekezaji bandarini

SERIKALI imeweka mapingamizi katika kesi iliyofunguliwa kupinga uwekezaji wa bandari nchini, ikiitaka Mahakama Kuu, Kanda ya Mbeya, iitupilie mbali kwa madai iko kinyume...

Habari za Siasa

Prof Juma: Ukata umekwamisha utekelezaji mapendekezo Tume ya Jaji Bomani

JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, amesema tume mbalimbali zimeundwa kwa ajili ya kukusanya maoni kuhusu maboresho ya haki jinai, lakini mapendekezo...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataka kibano viongozi wanaotumia madaraka vibaya

RAIS Samia Suluhu Hassan, ameshauri sheria itakayowabana viongozi wanaotumia madaraka yao mabaya vibaya itungwe, ili kuimarisha mfumo wa haki jinai nchini. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Polisi yaanza uchunguzi tukio la kifo Mbezi Luis

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limeanza uchunguzi wa tukio la kifo cha Felix Mgeni, anayedaiwa kuuawa kwa kupigwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais atoa neno sakata la bandari

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amezungumzia mjadala unaondelea kuhusu sakata la ukodishwaji bandari, akisema wakati watanzania wanalumbana juu ya suala hilo, nchi jirani...

Habari za SiasaTangulizi

Aliyeongoza majadiliano kati ya Serikali na DP World afunguka

  MWENYEKITI wa Kamati ya Majadiliano kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai, juu ya uwekezaji bandarini, Hamza Johar amesema mvutano mkali uliibuka...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yajaribu kushusha presha sakata la bandari

  SERIKALI ya Tanzania, imesema uwekezaji wa bandari, unaotarajiwa kufanywa na kampuni ya DP World, kwamba hauna matatizo. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Wakili wa Selasini ajitoa kesi aliyofunguliwa na Mbatia

  HASSAN Ruhwanya, Wakili wa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha NCCR-Mageuzi, Joseph Selasini, amejitoa kumuwakilisha katika kesi aliyofunguliwa na James Mbatia, akimtaka amlipe...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yasimamisha kesi ya Mbatia kupinga kung’olewa NCCR-Mageuzi

  MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam, imesimamisha Kwa muda usikilizaji wa kesi iliyofunguliwa na James Mbatia, kupinga kuvuliwa uanachama wa...

Habari za SiasaTangulizi

Msajili aikalia kooni TLP nafasi ya Mrema

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imekitaka Chama cha Tanzania Labpour Party (TLP), kuitisha uchaguzi wa kujaza nafasi ya mwenyekiti wake taifa,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbatia kupinga kung’olewa NCCR-Mageuzi yakwama mahakamani

USIKILIZWA wa kesi Na. 18/2023 iliyofunguliwa katika Mahakama Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam na James Mbatia, kupinga kufukuzwa ndani ya chama...

Habari Mchanganyiko

NGO’s zatoa vilio vya kodi, TRA yaziita mezani

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetakiwa kutatua changamoto za kodi zinazokabili Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), zisizoingiza faida. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Biashara

NGO’s zatoa vilio vya kodi, TRA yaziita mezani

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetakiwa kutatua changamoto za kodi zinazokabili Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), zisizoingiza faida. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari MchanganyikoTangulizi

MwanaHALISI kurejea mtaani kesho, Rais Samia atajwa

GAZETI bingwa la habari za uchunguzi nchini Tanzania, MwanaHALISI, linatarajiwa kuanza kurejea mtaani kesho Alhamisi, tarehe 29 Juni 2023, baada ya kuwa kifungoni...

Habari za SiasaTangulizi

Kikao cha Bunge chaahirishwa ghafla

KIKAO cha Bunge kilichokuwa kinaendelea leo Jumanne, tarehe 27 Juni 2023, kimeahirishwa ghafla baada ya kutokea dharura. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Kikao hicho...

Habari Mchanganyiko

Jezi mbio za kusaidia hedhi salama kwa wasichana zazinduliwa

JEZI zitakazotumika katika mbio za kuchangisha fedha za kusaidia watoto wa kike kuwa na mazingira bora ya kupata hedhi salama, zimezinduliwa. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Mgomo Kariakoo: Wafanyabiashara wa kigeni waiangukia Serikali

  WAKATI mgomo wa kufungua Biashara katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, ukishika Kasi, baadhi ya wafanyabiashara kutoka nchi jirani wameomba...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Ponda atia mguu sakata la mali za BAKWATA

  KATIBU wa Shura ya Maimamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema wanajipanga kuishauri Serikali namna bora ya kupata suluhu dhidi ya mali za...

Elimu

Rais Samia awapa ujumbe watahiniwa kidato cha sita

RAIS Samia Suluhu Hassan, amewataka kheri watahiniwa wa mtihani wa kumaliza kidato cha sita, huku akiwaahidi kwamba Serikali yake inaandaa mazingira Bora ya...

Michezo

Sakata kuzima taa Taifa: Vigogo wasimamishwa, mechi za usiku zapigwa ‘stop’

  VIONGOZI wanaosimamia Uwanja wa Taifa wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa sakata la kuzima kwa taa...

Habari Mchanganyiko

Wahamasisha uzalishaji ‘Pedi’ za kufua kupunguza gharama, uharibifu mazingira

JAMII imetakiwa kujikita katika uzalishaji wa taulo za kike za kufua ‘Pedi’, ili kuimarisha hedhi salama kwa watoto wa kike, pamoja na kuhifadhi...

Habari Mchanganyiko

Wadau wa habari wawaangukia wabunge

  WADAU wa Haki ya Kupata Taarifa nchini (CoRI), wamewaomba wabunge kuwasikiliza waandishi wa habari ili wapate mapendekezo yao yaliyoachwa katika Muswada wa...

Habari za Siasa

Kesi ya kina Mdee kupinga kufukuzwa Chadema yapigwa kalenda

KESI iliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee, imeahirishwa hadi tarehe 18 na 19 Mei,2023 kutokana na Jaji anayeisikiliza, Cyprian...

Afya

Serikali yatenga Sh. 15 bilioni kukamilisha maboma 300 ya zahanati

  SERIKALI imetenga kiasi cha fedha Sh. 15 bilioni, katika mwaka wa fedha wa 2022/23, kwa ajili ya ukamilishaji ujenzi wa maboma ya...

Afya

Serikali: Tumedhibiti virusi vya Murburg

  SERIKALI ya Tanzania, imesema imefanikiwa kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa virusi vya Murburg, huku ikiahidi kuutokomeza kwa kufuata miongozo ya Shirika la...

Habari za Siasa

Dk. Mpango ataka mambo sita yazingatiwe uandaaji Dira ya Taifa 2050

  MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango, ametaka mambo sita yazingatiwe katika uandaaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari Mchanganyiko

NGO’s zilizotuhumiwa na Dk. Mwakyembe kuhamasisha ushoga kikaangoni

BARAZA la Taifa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NACoNGO), limeanza kuzihoji asasi za kiraia (NGO’s) 29, dhidi ya tuhuma za kuhamasisha vitendo vya...

Habari Mchanganyiko

Heche ataja sababu za kugombea tena uenyekiti mawakili vijana

MWENYEKITI wa Chama cha Mawakili Vijana, anayemaliza muda wake, Wakili Edward Heche, amejitosa kugombea Tena nafasi hiyo ili amalize aliyoyanzisha. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari Mchanganyiko

Sungusia: Nataka kuikwamua TLS

MGOMBEA Urais wa Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Wakili Harold Sungusia, amesema  malengo yake ni kukikwamua chama hicho ili kiweze kutoa mchango...

Habari Mchanganyiko

Wagombea Uchaguzi TLS watangazwa, kampeni kuanza Machi 27

  KAMATI ya Uchaguzi ya Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), imetangaza majina ya walioteuliwa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu...

Habari Mchanganyiko

Hawa hapa waliojitosa kurithi mikoba ya Prof. Hosea TLS

  MAWAKILI wasomi watatu, Harold Sungusia, Reginald Shirima na Sweetbeert Nkuba, wamechukua fomu kuomba uteuzi wa kugombea nafasi ya urais wa Chama cha...

Habari Mchanganyiko

NGO’s zapigwa msasa ukwepaji makosa ya utakatishaji fedha, ugaidi

  MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) 40, yamepewa mafunzo kuhusu ukwepaji makosa ya utakatishaji fedha na ufadhili wa vitendo vya ugaidi. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Fatma Karume ataka mahakama ya kuchunguza vifo vyenye utata

  ALIYEKUWA Rais wa Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Fatma Karume ameishauri uundwaji wa Mahakama maalum itakayochunguza vifo vinavyotokea katika mazingira yenye...

Habari Mchanganyiko

TLS yaendesha kongamano kukusanya maoni kuboresha haki jinai

  CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), limeendesha kongamano la wazi la kukusanya maoni ya wadau juu ya namna ya kuboresha taasisi ya...

Habari Mchanganyiko

Wadau wataka TEHAMA isiwaache nyuma wenye ulemavu

WADAU wa masuala ya haki za binadamu Tanzania, wameiomba Serikali iweke mikakati itakayohakikisha matumizi ya Teknokojia ya Habari na Mawasiliano, haiwaachi nyuma watu...

Habari Mchanganyiko

Nape: Wadau habari bado wanaweza kutoa maoni marekebisho sheria

  WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesema waandishi wa habari na wadau wengine wa tasnia hiyo, bado wana...

Habari za Siasa

Kina Mdee kuwahoji vigogo wa Chadema mahakamani

  MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam, imekubali ombi la wabunge viti maalum 19, kuwahoji baadhi ya wajumbe wa Bodi ya...

Habari Mchanganyiko

NGO’s 2,915 hatarini kufutiwa usajili, THRDC yatoa tamko

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeyataka Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), kuendelea kuzingatia matakwa ya kisheria ili kukwepa...

Elimu

Rais Samia ateua Katibu Mtendaji NECTA

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Dk. Said Ally Mohamed kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA). Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari Mchanganyiko

Mashirika yanayotetea wanawake yatakiwa kujipanga ushiriki mchakato katiba mpya

  MTANDAO wa Wanawake, Katiba na Uongozi umezitaka asasi za kiraia zinazotetea haki za wanawake na watoto kuungana pamoja katika kuwasilisha ajenda za...

Habari Mchanganyiko

THRDC yawasilisha mapendekezo 500 tume ya Rais Samia, yalilia katiba mpya

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umewasilisha mapendekezo yake 500 katika Tume iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan, ili...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yaja na ahadi ya “Taifa la Wote kwa Maslahi ya Wote”

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimezindua ahadi yake kwa Watanzania, ya kujenga Taifa la wote kwa maslahi ya wote kufikia 2035 endapo kitapewa ridhaa ya...

Habari Mchanganyiko

TEF yataja tamu, chungu muswada sheria ya habari

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limesema limeunda kamati ndogo ya watu sita, kwa ajili ya kuchambua Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yawaangukia Watanzania

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimewaomba Watanzania wakiunge mkono ili kiweze kutimiza malengo yake ya kuwakomboa kiuchumi, kijamii na kisiasa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za Siasa

Hii hapa ahadi ya ACT-Wazalendo kwa Watanzania

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema ndoto yake kuu si kushika dola bali kuwakomboa wananchi kiuchumi na kijamii. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba anusurika kifo akitoka kuhutubia mkutano wa hadhara

  MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wenzake watano, wamenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Kilwa mkoani...

Habari Mchanganyiko

Kampeni msaada wa kisheria ya Rais Samia yazinduliwa, kugusa maeneo matano

  KAMPENI ya Huduma ya Msaada wa Kisheria ya Rais Samia Suluhu Hassan, itafanyika katika kipindi cha miaka mitatu mfululizo kwenye mikoa ya...

error: Content is protected !!