BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), leo tarehe 7 Januari 2024, limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha pili na darasa la nne wa...
By Regina MkondeJanuary 7, 2024AWAMU ya pili ya zoezi la uhamaji kwa hiari kwa wananchi wanaoishi ndani ya eneo la hifadhi ya Ngorongoro jijini Arusha, imeanza rasmi...
By Regina MkondeJanuary 5, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa afike wilayani Rufiji Mkoa wa Pwani, kwa ajili ya kuwasilikiliza wananchi wenye changamoto sugu zinazodaiwa kutofanyiwa kazi...
By Regina MkondeJanuary 1, 2024KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amemuomba Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, aingilie kati ili Fatma Karume arejeshewe leseni yake ya...
By Regina MkondeJanuary 1, 2024RAIS Mteule wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi, amefanikiwa kutetea kiti chake baada ya kutangazwa mshindi kwenye uchaguzi wa urais...
By Regina MkondeDecember 31, 2023MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amewataka watanzania kutumia nyumba za ibada kuwaombea viongozi wa kisiasa wenye roho ngumu...
By Regina MkondeDecember 31, 2023MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF), ameitaka Serikali kupeleka muswada wa mabadiliko madogo ya katiba ili kupata tume huru ya uchaguzi kabla ya...
By Regina MkondeDecember 31, 2023NCHI ya Afrika Kusini, imefungua kesi katika Mahakama ya Kimataifa ta Uhalifu wa Jinai (ICC), dhidi ya Israel ikiituhumu kwa kufanya mauaji ya...
By Regina MkondeDecember 30, 2023CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimefungua milango kwa wabunge viti maalum 19 waliofukuzwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wajiunge nacho. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeDecember 29, 2023CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimetaja mambo manne kilichofanikiwa kuyafanya ndani ya mwaka 2023 unaolekea ukingoni, huku kikitaja mikakati yake mipya kuelekea 2024. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeDecember 29, 2023CHAMA cha ACT-Wazalendo kimefungua rasmi kinyang’anyiro cha uchaguzi wa viongozi wake ngazi ya mikoa upande wa Tanzania Bara, unaotarajiwa kufanyika kati ya tarehe...
By Regina MkondeDecember 28, 2023SERIKALI imetoa wito kwa jamii kujikita katika kutoa misaada ya vifaa vya ujenzi wa nyumba kwa waathirika wa maporomoko ya udongo yaliyotokea Hanang...
By Regina MkondeDecember 25, 2023MWANAHARAKATI huru, Bihimba Mpaya, ametoa msaada wa fedha kwa Taasisi ya Jamiiyatul Akhlaaqul Islaam (JAI), kwa ajili ya kuhudumia chakula wagonjwa wanaohitaji msaada...
By Regina MkondeDecember 23, 2023WANANCHI wametakiwa kushiriki marekebisho ya sheria za uchaguzi, kwa kuwasilisha mapendekezo yao bungeni jijini Dodoma, kwa ajili ya maboresho ya miswada ya sheria...
By Regina MkondeDecember 21, 2023CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kitakwenda kumchongea Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, katika Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), ili avuliwe...
By Regina MkondeDecember 20, 2023NCHI ya Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC), leo tarehe 20 Disemba 2023, inafanya uchaguzi wake mkuu huku vigogo watatu, Rais anayemaliza muda...
By Regina MkondeDecember 20, 2023MBIO za aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump kuliongoza tena taifa hilo, zimeingia doa baada ya kuwekewa kipingamizi cha kugombea kwenye Uchaguzi Mkuu...
By Regina MkondeDecember 20, 2023SHIRIKA la Usawa wa Kijinsia Tanzania (SUKITA), limeamua kutumia michezo kama mbinu ya kufikisha elimu ya kupambana na ukatili wa kijinsia kwa jamii....
By Regina MkondeDecember 18, 2023SERIKALI imesema imewarejesha kwa ndugu zao waathirika 460 kati ya 500, wa maporomoko ya udongo yaliyotokea hivi karibuni kwenye Mji Mdogo wa Katesh,...
By Regina MkondeDecember 15, 2023CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), kimesema kinawasiliana na mawakili wake ili kuangalia namna ya kufanyia kazi hukumu iliyotolewa na Mahakama Kuu, Masjala Kuu...
By Regina MkondeDecember 15, 2023CHAMA cha Wananchi (CUF), kimelaani hatua ya Jeshi la Polisi kukizuia kufanya mikutano ya hadhara katika baadhi ya maeneo, bila sababu za msingi....
By Regina MkondeDecember 12, 2023WATENDAJI wa Mahakama ya Tanzania, wametakiwa kuweka mikakati itakayosaidia kurejesha imani ya wananchi kwa mahakama, ili kuimarisha utoaji haki nchini. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeDecember 11, 2023WAKATI Tanganyika ikiadhimisha miaka 62 tangu kupata uhuru, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amewataka watanzania kuongeza jitihada za...
By Regina MkondeDecember 9, 2023MAWASILIANO ya barabara ya Mkoa wa Pwani na Dar es Salaam, kupitia Bagamoyo, yaliyokuwa yamefungwa baada ya sehemu ya Daraja la Mto Mpiji...
By Regina MkondeDecember 9, 2023BEI ya mafuta kwa mwezi Disemba, imeshuka kutokana na kupungua kwa bei za mafuta ghafi kwenye soko la dunia, pamoja na gharama za...
By Regina MkondeDecember 6, 2023SERIKALI imeagiza uchunguzi ufanyike ili kubaini chanzo cha maporomoko ya udongo ya Mlima Hanang mkoani Manyara, yaliyosababisha mauji ya watu zaidi ya 50...
By Regina MkondeDecember 4, 2023RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amekatisha ziara yake za kikazi jijini Dubai kwa ajili ya kurejea nchini kushughulikia maafa yaliyotokana na...
By Regina MkondeDecember 4, 2023MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), Dk. Eliezer Feleshi, ameagiza Kamati ya Maadili ya Mawakili, kuwachukulia hatua mawakili wanaokiuka maadili yao pamoja na kuipotosha...
By Regina MkondeDecember 1, 2023MWANAHARAKATI huru, Bihimba Mpaya ametoa msaada wa mahitaji mbalimbali ikiwemo chakula, katika Kituo cha Watoto Yatima Msongola, kilichopo Ilala jijini Dar es Salaam,...
By Regina MkondeNovember 30, 2023WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, Prof. Adolf Mkenda amevitaka vyuo vikuu barani Afrika, kujikita katika kufanya tafiti zitakazojibu changamoto za...
By Regina MkondeNovember 28, 2023JAMHURI ya Shirikisho la Somalia, imekubaliwa rasmi kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Uamuzi wa EAC...
By Regina MkondeNovember 24, 2023RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ametaka watendaji wa serikali za nchi wanachama wa Afrika Mashariki, wafanyie kazi maelekezo ya wakuu wa...
By Regina MkondeNovember 24, 2023WATANZANIA wametakiwa kujenga desturi ya kujitetea wenyewe, badala ya kutegemea taasisi mbalimbali, hususan vyama vya siasa na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali (NGO’s), zisimame...
By Regina MkondeNovember 24, 2023UMOJA wa Mataifa (UN), pamoja na Umoja wa Ulaya (EU), zimeahidi kuendelea kushirikiana na Serikali pamoja na wadau mbalimbali, katika ukuzaji na ulinzi...
By Regina MkondeNovember 23, 2023MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umesema hali ya utetezi wa haki za binadamu nchini katika kipindi cha miaka ya...
By Regina MkondeNovember 23, 2023MWANAHARAKATI huru, Bihimba Mpaya, amechangia ujenzi wa msikiti katika Madrasa ya Muhajirina, iliyoko Mtaa wa Kigezi Chini, wilayani Ilala, Jiji la Dar es...
By Regina MkondeNovember 17, 2023BAADHI ya wabunge wameitaka Serikali ikamilishe mchakato wa kugawa majimbo, kata na tarafa zenye maeneo makubwa, ili kusogeza karibu na wananchi huduma za...
By Regina MkondeNovember 10, 2023MKUU wa Wilaya ya Ilala (DC), Edward Mpogolo, ameunda timu kwa ajili ya baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es...
By Regina MkondeNovember 10, 2023WABUNGE wamepitisha azimio la kumchangia fedha aliyekuwa Mbunge wa Mikumi (Chadema), Joseph Haule, ili kumfariji kutokana na matatizo ya kiafya aliyoyapata. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeNovember 9, 2023MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’S), 16 yakiongozwa na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), wameliomba Bunge lichukue hatua ili kulinda...
By Regina MkondeNovember 9, 2023RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi amesema Serikali yake haijakitenga Kisiwa cha Pemba na kwamba inachukua hatua kuhakikisha maendeleo kati yake na Unguja...
By Regina MkondeNovember 3, 2023MUSWADA wa Bima ya Afya kwa Wote wa 2022, umewasilishwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu na kusomwa kwa mara...
By Regina MkondeNovember 1, 2023RAIS wa Shirikisho la Ujerumani, Dk. Frank Walter Steinmeier, ameahidi kufanya mazungumzo na watu walioathiriwa na ukoloni uliofanywa na taifa hilo, juu ya...
By Regina MkondeOctober 31, 2023MRADI unaohamasisha utunzaji wa mazingira na hedhi salama ( Wash), unaotekelezwa na Taasisi ya Urithi Wangu (My Legacy), umegusa wanafunzi katika shule...
By Regina MkondeOctober 28, 2023RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewataka wafanyabiashara wa Zambia, kuitumia Bandari ya Dar es Salaam, kwa kuwa sasa inafanyiwa maboresho ili...
By Regina MkondeOctober 24, 2023MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, imepanga tarehe 14 Disemba 2023 kutoa uamuzi wa kesi iliyofunguliwa na wabunge viti Maalum 19...
By Regina MkondeOctober 24, 2023WATANZANIA waishio Zambia, wameandaa utaratibu wa kumpokea Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, anayetarajiwa kuwasili nchini humo mchana wa leo tarehe 23 Oktoba 2023,...
By Regina MkondeOctober 23, 2023Tanzania imechaguliwa kuziwakilisha nchi za Afrika katika Baraza Tendaji la Shirika la Utalii Duniani (UNWTO), kwa kipindi cha miaka minne mfululizo kuanzia 2023...
By Regina MkondeOctober 20, 2023WIZARA ya afya nchini imetangaza nafasi za ajira 289 za watumishi wa kada za afya, baada ya kupata kibali cha Ofisi ya Rais,...
By Regina MkondeOctober 20, 2023MWANAHARAKATI huru, Bihimba Nasoro Mpaya, imesaidia ujenzi wa ukuta wa shule ya Sekondari ya Abbuy Jumaa, iliyoko Kivule jijini Dar es Salaam, kwa...
By Regina MkondeOctober 20, 2023