Thursday , 25 April 2024
Home upendo
1869 Articles238 Comments
ElimuTangulizi

Haya hapa matokeo ya mtihani kidato pili, darasa la nne

BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), leo tarehe 7 Januari 2024, limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha pili na darasa la nne wa...

Habari Mchanganyiko

Kaya 500 zajiandikisha kuhama kwa hiari Ngorongoro

AWAMU ya pili ya zoezi la uhamaji kwa hiari kwa wananchi wanaoishi ndani ya eneo la hifadhi ya Ngorongoro jijini Arusha, imeanza rasmi...

Habari Mchanganyiko

Wananchi Rufiji wamwita Samia, wamtupia lawama Mchengerwa

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa afike wilayani Rufiji Mkoa wa Pwani, kwa ajili ya kuwasilikiliza wananchi wenye changamoto sugu zinazodaiwa kutofanyiwa kazi...

Habari za Siasa

Ado amuangukia Samia uwakili wa Fatma Karume, amtaja Magufuli

KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amemuomba Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, aingilie kati ili Fatma Karume arejeshewe leseni yake ya...

KimataifaTangulizi

Felix Tshisekedi ashinda tena urais DRC

RAIS Mteule wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi, amefanikiwa kutetea kiti chake baada ya kutangazwa mshindi kwenye uchaguzi wa urais...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Viongozi wenye roho ngumu waombewe

MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amewataka watanzania kutumia nyumba za ibada kuwaombea viongozi wa kisiasa wenye roho ngumu...

Habari za Siasa

Miswada sheria za uchaguzi zamuibua Prof. Lipumba, alilia katiba mpya

MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF), ameitaka Serikali kupeleka muswada wa mabadiliko madogo ya katiba ili kupata tume huru ya uchaguzi kabla ya...

Kimataifa

Vita Gaza: Afrika Kusini yaishtaki Israel ICC

NCHI ya Afrika Kusini, imefungua kesi katika Mahakama ya Kimataifa ta Uhalifu wa Jinai (ICC), dhidi ya Israel ikiituhumu kwa kufanya mauaji ya...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yamuita Mdee na wenzake

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimefungua milango kwa wabunge viti maalum 19 waliofukuzwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wajiunge nacho. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yajivunia mambo manne 2023

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimetaja mambo manne kilichofanikiwa kuyafanya ndani ya mwaka 2023 unaolekea ukingoni, huku kikitaja mikakati yake mipya kuelekea 2024. Anaripoti Regina...

Habari za Siasa

Kipyenga uchaguzi ACT-Wazalendo mikoa chapulizwa

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimefungua rasmi kinyang’anyiro cha uchaguzi wa viongozi wake ngazi ya mikoa upande wa Tanzania Bara, unaotarajiwa kufanyika kati ya tarehe...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaomba msaada vifaa vya ujenzi kwa wananchi wa Hanang

SERIKALI imetoa wito kwa jamii kujikita katika kutoa misaada ya vifaa vya ujenzi wa nyumba kwa waathirika wa maporomoko ya udongo yaliyotokea Hanang...

Habari Mchanganyiko

Bihimba atoa msaada wagonjwa Kivule, aomba ukarabati barabara

MWANAHARAKATI huru, Bihimba Mpaya, ametoa msaada wa fedha kwa Taasisi ya Jamiiyatul Akhlaaqul Islaam (JAI), kwa ajili ya kuhudumia chakula wagonjwa wanaohitaji msaada...

Habari za Siasa

CCM yataka wananchi washiriki marekebisho sheria za uchaguzi

WANANCHI wametakiwa kushiriki marekebisho ya sheria za uchaguzi, kwa kuwasilisha mapendekezo yao bungeni jijini Dodoma, kwa ajili ya maboresho ya miswada ya sheria...

Habari za Siasa

Sakata la kina Mdee: Chadema kumchongea Spika Tulia IPU

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kitakwenda kumchongea Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, katika Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), ili avuliwe...

Kimataifa

Wananchi DRC kuamua hatima yao leo

NCHI ya Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC), leo tarehe 20 Disemba 2023, inafanya uchaguzi wake mkuu huku vigogo watatu, Rais anayemaliza muda...

Kimataifa

Mahakama yamwekea kigingi Trump urais 2024

MBIO za aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump kuliongoza tena taifa hilo, zimeingia doa baada ya kuwekewa kipingamizi cha kugombea kwenye Uchaguzi Mkuu...

Habari Mchanganyiko

SUKITA yatumia michezo kufikisha elimu ukatili kwa jamii

SHIRIKA la Usawa wa Kijinsia Tanzania (SUKITA), limeamua kutumia michezo kama mbinu ya kufikisha elimu ya kupambana na ukatili wa kijinsia kwa jamii....

Habari Mchanganyiko

Serikali yawarejesha waathirika 460, bilioni 4.7 zakusanywa kuwafariji

SERIKALI imesema imewarejesha kwa ndugu zao waathirika 460 kati ya 500, wa maporomoko ya udongo yaliyotokea hivi karibuni kwenye Mji Mdogo wa Katesh,...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yamng’ang’ania Spika Tulia kesi ya akina Mdee

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), kimesema kinawasiliana na mawakili wake ili kuangalia namna ya kufanyia kazi hukumu iliyotolewa na Mahakama Kuu, Masjala Kuu...

Habari za Siasa

CUF yalia Polisi kuzuia mikutano ya hadhara

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimelaani hatua ya Jeshi la Polisi kukizuia kufanya mikutano ya hadhara katika baadhi ya maeneo, bila sababu za msingi....

Habari za Siasa

Jaji Kiongozi akerwa wananchi kukosa imani na mahakama

WATENDAJI wa Mahakama ya Tanzania, wametakiwa kuweka mikakati itakayosaidia kurejesha imani ya wananchi kwa mahakama, ili kuimarisha utoaji haki nchini. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Miaka 62 ya uhuru tujenge upya mioyo yetu

WAKATI Tanganyika ikiadhimisha miaka 62 tangu kupata uhuru, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amewataka watanzania kuongeza jitihada za...

Habari Mchanganyiko

Mawasiliano Dar – Bagamoyo yarejea

MAWASILIANO ya barabara ya Mkoa wa Pwani na Dar es Salaam, kupitia Bagamoyo, yaliyokuwa yamefungwa baada ya sehemu ya Daraja la Mto Mpiji...

BiasharaTangulizi

Bei ya Dizeli, Petroli yashuka

BEI ya mafuta kwa mwezi Disemba, imeshuka kutokana na kupungua kwa bei za mafuta ghafi kwenye soko la dunia, pamoja na  gharama za...

Habari za Siasa

Serikali yaagiza uchunguzi chanzo maporomoko Hanang

SERIKALI imeagiza uchunguzi ufanyike ili kubaini chanzo cha maporomoko ya udongo ya Mlima Hanang mkoani Manyara, yaliyosababisha mauji ya watu zaidi ya 50...

Habari za SiasaTangulizi

Maafa Manyara: Rais Samia akatisha ziara yake Dubai

RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amekatisha ziara yake za kikazi jijini Dubai kwa ajili ya kurejea nchini kushughulikia maafa yaliyotokana na...

Habari za Siasa

AG aiagiza kamati ya maadili kuwashughulikia mawakili wanaokiuka maadili

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), Dk. Eliezer Feleshi, ameagiza Kamati ya Maadili ya Mawakili, kuwachukulia hatua mawakili wanaokiuka maadili yao pamoja na kuipotosha...

Habari Mchanganyiko

Bihimba awakumbuka watoto yatima Msongola

MWANAHARAKATI huru, Bihimba Mpaya ametoa msaada wa mahitaji mbalimbali ikiwemo chakula, katika Kituo cha Watoto Yatima Msongola, kilichopo Ilala jijini Dar es Salaam,...

Elimu

Prof. Mkenda avitaka vyuo vikuu Afrika kujikita katika tafiti

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, Prof. Adolf Mkenda amevitaka vyuo vikuu barani Afrika, kujikita katika kufanya tafiti zitakazojibu changamoto za...

Habari za Siasa

Somalia mwanachama mpya wa EAC

JAMHURI ya Shirikisho la Somalia, imekubaliwa rasmi kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Uamuzi wa EAC...

Habari za Siasa

Rais Samia ataka vikwazo vya kibiashara viondolewe Afrika Mashariki

RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ametaka watendaji wa serikali za nchi wanachama wa Afrika Mashariki, wafanyie kazi maelekezo ya wakuu wa...

Habari Mchanganyiko

Watanzania watakiwa kutotegemea vyama, NGO’s kutetea haki zao

WATANZANIA wametakiwa kujenga desturi ya kujitetea wenyewe, badala ya kutegemea taasisi mbalimbali, hususan vyama vya siasa na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali (NGO’s), zisimame...

Habari Mchanganyiko

UN, EU kuendelea kusapoti ulinzi wa haki za binadamu Tanzania

UMOJA wa Mataifa (UN), pamoja na Umoja wa Ulaya (EU), zimeahidi kuendelea kushirikiana na Serikali pamoja na wadau mbalimbali, katika ukuzaji na ulinzi...

Habari Mchanganyiko

THRDC yataka harakati utetezi haki za binadamu zirejeshwe vyuoni

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umesema hali ya utetezi wa haki za binadamu nchini katika kipindi cha miaka ya...

Habari Mchanganyiko

Bihimba achangia ujenzi wa msikiti, awapa neno waislamu

MWANAHARAKATI huru, Bihimba Mpaya, amechangia ujenzi wa msikiti katika Madrasa ya Muhajirina, iliyoko Mtaa wa Kigezi Chini, wilayani Ilala, Jiji la Dar es...

Habari za Siasa

Wabunge wakomalia mgawo wa majimbo, kata

BAADHI ya wabunge wameitaka Serikali ikamilishe mchakato wa kugawa majimbo, kata na tarafa zenye maeneo makubwa, ili kusogeza karibu na wananchi huduma za...

Habari Mchanganyiko

DC Ilala aunda tume kuchunguza vibanda vya wamachinga Kivule kubomolewa

MKUU wa Wilaya ya Ilala (DC), Edward Mpogolo, ameunda timu kwa ajili ya baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge waazimia kumchangia fedha, kumfariji Prof J

WABUNGE wamepitisha azimio la kumchangia fedha aliyekuwa Mbunge wa Mikumi (Chadema), Joseph Haule, ili kumfariji kutokana na matatizo ya kiafya aliyoyapata. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Bunge latakiwa kudhibiti unyanyasaji kwa wafugaji

MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’S), 16 yakiongozwa na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), wameliomba Bunge lichukue hatua ili kulinda...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi aanza kujisafishia njia Pemba

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi  amesema Serikali yake haijakitenga Kisiwa cha Pemba na kwamba inachukua hatua kuhakikisha maendeleo kati yake na Unguja...

Habari MchanganyikoTangulizi

Muswada bima ya afya wasomwa bungeni, wasiojiunga kupewa adhabu

MUSWADA wa Bima ya Afya kwa Wote wa 2022, umewasilishwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu na kusomwa kwa mara...

Habari za SiasaTangulizi

Ujerumani kuwalipa fidia wahanga wa ukoloni Tanzania, kurejesha mabaki

RAIS wa Shirikisho la Ujerumani, Dk. Frank Walter Steinmeier, ameahidi kufanya mazungumzo na watu walioathiriwa na ukoloni uliofanywa na taifa hilo, juu ya...

Elimu

My Legacy yagusa shule 28 Kinondoni

  MRADI unaohamasisha utunzaji wa mazingira na hedhi salama ( Wash), unaotekelezwa na Taasisi ya Urithi Wangu (My Legacy), umegusa wanafunzi katika shule...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aipigia debe bandari Dar kwa wafanyabiashara Zambia, awapa hekta 20

RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewataka wafanyabiashara wa Zambia, kuitumia Bandari ya Dar es Salaam, kwa kuwa sasa inafanyiwa maboresho ili...

Habari za SiasaTangulizi

Uamuzi kesi ya akina Mdee Disemba 14

MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, imepanga tarehe 14 Disemba 2023 kutoa uamuzi wa kesi iliyofunguliwa na wabunge viti Maalum 19...

Habari za Siasa

Watanzania waishio Zambia wamsubiri Rais Samia wakiwa na mzigo wa changamoto

WATANZANIA waishio  Zambia, wameandaa utaratibu wa kumpokea Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, anayetarajiwa kuwasili nchini humo mchana wa leo tarehe 23 Oktoba 2023,...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa kuiwakilisha Afrika Baraza la Utalii duniani

Tanzania imechaguliwa kuziwakilisha nchi za Afrika katika Baraza Tendaji la Shirika la Utalii Duniani (UNWTO), kwa kipindi cha miaka minne mfululizo kuanzia 2023...

Habari Mchanganyiko

Wizara ya afya yatangaza nafasi za ajira 289

WIZARA ya afya nchini imetangaza nafasi za ajira 289 za watumishi wa kada za afya, baada ya kupata kibali cha Ofisi ya Rais,...

Elimu

Bihimba asaidi ujenzi shule, wadau wengine waitwa

MWANAHARAKATI huru, Bihimba Nasoro Mpaya, imesaidia ujenzi wa ukuta wa shule ya Sekondari ya Abbuy Jumaa, iliyoko Kivule jijini Dar es Salaam, kwa...

error: Content is protected !!