Wednesday , 24 April 2024
Home upendo
1868 Articles238 Comments
Habari za Siasa

Madudu ya uchaguzi 2019, 2020 yawatesa wapinzani

MADUDU yaliyojitokeza katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wa 2020, bado yanaendelea kuwatesa wanasiasa wa vyama vya upinzani,...

Habari Mchanganyiko

Wavuvi 9 wanusurika kifo boti ikizama Coco Beach

WATU tisa wamenusurika kufa baada ya boti ya uvuvi ya My Legacy inayomilikiwa na Yakoub Juma, kuzama katika baharini maeneo ya ufukwe wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia apangua wakuu wa mikoa, wilaya

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na kuwahamisha vituo wakuu wa mikoa na wilaya, wakurugenzi pamoja na makatibu tawala. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za Siasa

Chalamila ataka baa ziruhusiwe kufanya kazi usiku kucha

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amezishauri halmashauri zianzishe leseni maalum zitakazoruhusu wenye baa kufanya kazi usiku kucha ili kujiongezea...

Habari za Siasa

Babu Duni atema bungo ACT-Wazalendo

BAADA ya kuibuka tetesi za kwamba Mwenyekiti anayemaliza muda wake wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa, Babu Juma Duni Haji, anashinikizwa asitetee tena kiti...

Habari za Siasa

Lissu aeleza Mzee Mwinyi alichomfanyia aliposhambuliwa na wasiojulikana

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu Lissu amesema aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Tanzania, Hayati Mzee...

Habari za SiasaTangulizi

Mzee Warioba aeleza Mwinyi alivyoivusha nchi katika magumu

WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba, amesema Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi, aliikuta nchi katika kipindi kigumu cha kiuchumi na kisiasa, lakini alifanikiwa...

Habari za Siasa

Dk. Mpango ataka vijana kufuata nyayo za Mzee Mwinyi

MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango, amesema Hayati Ali Hassan Mwinyi, alikuwa na karama ya uongozi na kwamba viongozi vijana wanapaswa kuiga mfano...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Kikwete afunguka kifo cha Mzee Mwinyi

RAIS Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete, amesema amepokea kwa mshtuko kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, kwa kuwa alikuwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mgomo kitita kipya cha NHIF: Serikali yaita hopsitali binafsi mezani

SERIKALI imekiita mezani Chama cha Wenye Hospitali Binafsi (APHFTA), ili kutafuta suluhu ya mvutano wao kuhusu matumizi ya kitita kipya cha gharama za...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Mwinyi kuzikwa Machi 2 visiwani Unguja

MWILI wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi, unatarajiwa kuzikwa tarehe 2 Machi 2024, mjini Unguja. Anaripoti Regina...

Habari za Siasa

Mbarala ajitosa kumrithi Zitto, aahidi kuipa ushindi ACT-Wazalendo uchaguzi mkuu

KATIBU wa Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum wa ACT-Wazalendo Taifa, Mbarala Maharagande ametangaza vipaumbele vyake vinne aliyoahidi kuanza navyo kazi...

Habari za Siasa

Dorothy Semu ajitosa kumrithi Zitto ACT-Wazalendo

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, anayemaliza muda wake, Dorothy Semu amechukua fomu kwa ajili ya kugombea uongozi wa chama hicho taifa, baada...

Habari za Siasa

Ndolezi ataja vipaumbele 8 akirejesha fomu kugombea uenyekiti vijana ACT-Wazalendo

KADA wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ndolezi Petro amerejesha fomu ya kuomba kugombea uenyekiti wa ngome ya vijana ya chama hicho, na kutaja vipaumbele...

Habari za Siasa

Bunge laahirishwa, kurejea Aprili

  VIKAO vya Bunge, vilivyoanza mwishoni mwa Januari 2024, vimeahirishwa hadi tarehe 2 Aprili mwaka huu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yaiamuru Serikali kuwalipa mamilioni wakazi Loliondo kwa kutaifisha mifugo yao

SERIKALI imeamriwa kuwalipa kiasi cha Sh. 169.2 milioni, baadhi ya wakazi wa Loliondo  mkoani Arusha, kama fidia ya kutaifisha mifugo yao kinyume cha...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Chegeni adai ajali za kisiasa zimefupisha maisha ya Lowassa

Mbunge wa zamani wa Busega na rafiki wa karibu aliyekuwa Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Edward Lowassa, Dk. Raphael Chegeni (CCM) amesema huenda mwanasiasa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe kumuenzi Lowassa kwa maandamano

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema ataongoza maandamano ya amani ya kudai katiba mpya, ili kumuenzi aliyekuwa mgombea...

Habari za SiasaTangulizi

Familia ya Lowassa yafunguka, yamtaja Rais Samia

FAMILIA ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Hayati Edward Lowassa, imesema kiongozi huyo mstaafu alipigania uhai wake kabla ya mauti kumkuta. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

CCM: Tumejifunza kwa Lowassa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema yapo baadhi ya masuala kimejifunza kutoka kwa aliyekuwa kada wake na waziri Mkuu mstaafu, Hayati Edward Lowassa. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Kikwete: Lowassa ameacha alama

RAIS Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete, amesema Lowassa alikuwa na mchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi na ameacha alama. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Warioba aeleza alivyomtuliza Lowassa baada ya kukatwa CCM

WAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba, amesema Hayati Edward Lowassa alikuwa kiongozi mwenye hekima na mvumilivu na kwamba hata alipokejeliwa na kuchafuliwa hakurudisha...

Habari za SiasaTangulizi

Mamia wajitokeza kumuaga Lowassa Karimjee

MAMIA ya watu wamejitokeza katika Viwanja vya Karimejee jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani,...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaitega CCM kuhusu Lowassa

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeitaka Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumuenzi Hayati Edward Lowassa, kwa kukamilisha mchakato wa upatikanaji katiba...

Habari za SiasaTangulizi

Mnyika ataja sababu kumpinga Lowassa Chadema

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, amesema sababu ya kupinga chama chake kumsimamisha Hayati Edward Lowassa kugombea urais...

Habari za SiasaTangulizi

Kikwete akwepa kuzungumzia alivyomuengua Lowassa 2015

RAIS mstaafu, Jakaya Kikwete ambaye alikuwa swahiba mkubwa wa Hayati Edward Lowassa kiasi cha kupewa jina la ‘Boys II Men,’ amekwepa kuzungumzia namna...

Habari za Siasa

Mbunge aonya ongezeko la utasa kwa mabinti kisa matumizi ya P2

MBUNGE Viti Maalum, Dk. Thea Ntara ameitaka Serikali kutoa elimu kwa mabinti juu ya athari za matumizi holela ya dawa za dharura za...

ElimuHabari za Siasa

Prof Muhongo ataka ubunifu mitaala mipya ya elimu

SERIKALI imetakiwa kuhakikisha  maarifa, ujuzi, uvumbuzi na udadisi vinazingatiwa kwenye mitaala mipya ya elimu ili kupata wahitimu watakaoweza kushindana katika soko la ajira...

Habari za Siasa

Esther Matiko ambana Nape bungeni taarifa za wanasiasa kuvuja

MBUNGE Viti Maalum, Esther Matiko, ameihoji Serikali imejipangaje kutatua changamoto za faragha za watu kuingiliwa mitandaoni kutokana na ukuaji wa matumizi ya akili...

Habari za Siasa

Hapatoshi uchaguzi ngome vijana ACT-Wazalendo, wajitosa kumng’oa Nondo

JOTO la uchaguzi ndani ya Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, limezidi kupanda baada ya makada wake machachari kujitokeza  kutaka kumng’oa Abdul...

Habari za Siasa

Mbunge ataka Serikali iweke ruzuku kutibu wagonjwa kisukari, tezi dume

KUTOKANA na ongezeko la wagonjwa wa kisukari na tezi dume, Serikali imetakiwa kuweka fedha za ruzuku zitakazosaidia kutibu wananchi wasiokuwa na uwezo ili...

Habari za Siasa

Samia awaita wawekezaji, ‘sekta hii ina faifa kubwa”

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amewaita wawekezaji wa sekta binafsi kuja kushirikiana na serikali katika sekta ya uchimbaji gesi asilia. Anaripoti Regina Mkonde,...

Kimataifa

Mlipuko wa gesi wauawa 2, wajeruhi 222

MLIPUKO wa gesi umeuwa watu wawili huku wengine 222 wakijeruhiwa, jijini Nairobi, nchini Kenya. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea). Kwa mujibu wa mitandao ya...

Habari za Siasa

Mbunge ataka mikopo ya halmashauri irejeshwe kuwaepusha wanawake na kausha damu

MBUNGE Viti Maalum mkoani Tanga (CCM), Mwantum Zodo, ameiomba Serikali irejeshe mikopo inayotolewa na halmashauri kwa makundi maalum hususan wanawake, ili kuepusha na...

Habari Mchanganyiko

Bihimba atoa msaada ujenzi wa madrasa

MWANAHARAKATI huru, Bihimba Mpaya ametoa msaada wa mifuko ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa madrasa iliyopo katika msikiti wa Aisha, Kivule jijini...

Habari za Siasa

Tanzania, Indonesia zasaini mikataba minne ya ushirikiano

JAMHURI ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Indonesia zimesaini mikataba minne ya ushirikiano kati ya mataifa hayo mawili. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari MchanganyikoTangulizi

Shule za serikali zang’ara matokeo kidato cha nne, 102 wafutiwa matokeo

BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika Novemba 2023, ambapo watahiniwa 484,823 (87.65%) wamefaulu. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema watinga UN, RPC Dar ampa maelekezo Lissu

HATIMAYE Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetinga katika ofisi za Umoja wa Mataifa (UN), jijini Dar es Salaam, baada ya kuandamana Kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaisimamisha Buguruni

Chama cha Chadema kimeibua shangwe kwa baadhi ya wananchi waliokuwa maeneo ya Buguruni jijini Dar es Salaam, huku Mwenyekiti wake Freeman Mbowe akiteka...

Habari za SiasaTangulizi

Mamia wajitokeza maandamano ya Chadema, Mbowe afunguka

MAMIA ya watu wamewasili katika maeneo ya Buguruni Sheli jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kushiriki maandamano ya amani yaliyoratibiwa na Chama...

Habari za SiasaTangulizi

RC Chalamila: Samia ameruhusu maandamano Chadema

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufanya maandamano yao kwa amani...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamuonya Chalamila

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemuonya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, asivuruge maandamano yao ya amani wanayofanya kupinga...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema waanza kuwasili vituo vya maandamano, Mbowe kuongoza Buguruni

BAADHI ya viongozi na wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameanza kuwasili maeneo ya Buguruni Sheli jijini Dar es Salaam, kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge wa zamani Chadema atimkia CCM

MBUNGE wa zamani wa viti maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Upendo Peneza, amejiunga rasmi na Cha Mapinduzi (CCM), akidai chama...

Habari za SiasaTangulizi

Samia aipa kibarua JWTZ kuelekea chaguzi, aeleza ilivyomweka madarakani

AMIRI Jeshi Mkuu wa nchi na Rais, Dk. Samia Suluhu Hassan, amelitaka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na vikosi vingine vya ulinzi...

Habari za Siasa

Chadema yamjibu Makonda

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kiko tayari kufanya mdahalo na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul...

Habari za Siasa

Wakazi Kivule wambana Silaa

  BAADHI ya wananchi wa Kata ya Kivule, wamembana mbunge wao (Ukonga), Jerry Silaa, kuhusu utatuzi wa changamoto sugu zinazowakabili ikiwemo ubovu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Wanaotabiri mpasuko Chadema watasubiri sana

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe, amesema wanaotegemea chama hicho kipasuke kutokana na migogoro watasubiri sana. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mafuriko yatikisa Kongwa, DC afunguka

MAFURIKO ya maji  mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo ya wilayani Kiteto mkoani Manyara, yamesababisha usumbufu kwa watumiaji wa barabara ya Morogoro-Dodoma, baada ya...

ElimuTangulizi

Haya hapa matokeo ya mtihani kidato pili, darasa la nne

BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), leo tarehe 7 Januari 2024, limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha pili na darasa la nne wa...

error: Content is protected !!