MADUDU yaliyojitokeza katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wa 2020, bado yanaendelea kuwatesa wanasiasa wa vyama vya upinzani,...
By Regina MkondeMarch 11, 2024WATU tisa wamenusurika kufa baada ya boti ya uvuvi ya My Legacy inayomilikiwa na Yakoub Juma, kuzama katika baharini maeneo ya ufukwe wa...
By Regina MkondeMarch 11, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na kuwahamisha vituo wakuu wa mikoa na wilaya, wakurugenzi pamoja na makatibu tawala. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeMarch 9, 2024MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amezishauri halmashauri zianzishe leseni maalum zitakazoruhusu wenye baa kufanya kazi usiku kucha ili kujiongezea...
By Regina MkondeMarch 5, 2024BAADA ya kuibuka tetesi za kwamba Mwenyekiti anayemaliza muda wake wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa, Babu Juma Duni Haji, anashinikizwa asitetee tena kiti...
By Regina MkondeMarch 4, 2024Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu Lissu amesema aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Tanzania, Hayati Mzee...
By Regina MkondeMarch 4, 2024WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba, amesema Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi, aliikuta nchi katika kipindi kigumu cha kiuchumi na kisiasa, lakini alifanikiwa...
By Regina MkondeMarch 1, 2024MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango, amesema Hayati Ali Hassan Mwinyi, alikuwa na karama ya uongozi na kwamba viongozi vijana wanapaswa kuiga mfano...
By Regina MkondeMarch 1, 2024RAIS Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete, amesema amepokea kwa mshtuko kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, kwa kuwa alikuwa...
By Regina MkondeMarch 1, 2024SERIKALI imekiita mezani Chama cha Wenye Hospitali Binafsi (APHFTA), ili kutafuta suluhu ya mvutano wao kuhusu matumizi ya kitita kipya cha gharama za...
By Regina MkondeMarch 1, 2024MWILI wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi, unatarajiwa kuzikwa tarehe 2 Machi 2024, mjini Unguja. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeFebruary 29, 2024KATIBU wa Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum wa ACT-Wazalendo Taifa, Mbarala Maharagande ametangaza vipaumbele vyake vinne aliyoahidi kuanza navyo kazi...
By Regina MkondeFebruary 23, 2024MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, anayemaliza muda wake, Dorothy Semu amechukua fomu kwa ajili ya kugombea uongozi wa chama hicho taifa, baada...
By Regina MkondeFebruary 23, 2024KADA wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ndolezi Petro amerejesha fomu ya kuomba kugombea uenyekiti wa ngome ya vijana ya chama hicho, na kutaja vipaumbele...
By Regina MkondeFebruary 20, 2024VIKAO vya Bunge, vilivyoanza mwishoni mwa Januari 2024, vimeahirishwa hadi tarehe 2 Aprili mwaka huu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...
By Regina MkondeFebruary 16, 2024SERIKALI imeamriwa kuwalipa kiasi cha Sh. 169.2 milioni, baadhi ya wakazi wa Loliondo mkoani Arusha, kama fidia ya kutaifisha mifugo yao kinyume cha...
By Regina MkondeFebruary 14, 2024Mbunge wa zamani wa Busega na rafiki wa karibu aliyekuwa Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Edward Lowassa, Dk. Raphael Chegeni (CCM) amesema huenda mwanasiasa...
By Regina MkondeFebruary 14, 2024MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema ataongoza maandamano ya amani ya kudai katiba mpya, ili kumuenzi aliyekuwa mgombea...
By Regina MkondeFebruary 14, 2024FAMILIA ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Hayati Edward Lowassa, imesema kiongozi huyo mstaafu alipigania uhai wake kabla ya mauti kumkuta. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeFebruary 13, 2024CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema yapo baadhi ya masuala kimejifunza kutoka kwa aliyekuwa kada wake na waziri Mkuu mstaafu, Hayati Edward Lowassa. Anaripoti...
By Regina MkondeFebruary 13, 2024RAIS Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete, amesema Lowassa alikuwa na mchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi na ameacha alama. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Regina MkondeFebruary 13, 2024WAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba, amesema Hayati Edward Lowassa alikuwa kiongozi mwenye hekima na mvumilivu na kwamba hata alipokejeliwa na kuchafuliwa hakurudisha...
By Regina MkondeFebruary 13, 2024MAMIA ya watu wamejitokeza katika Viwanja vya Karimejee jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani,...
By Regina MkondeFebruary 13, 2024CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeitaka Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumuenzi Hayati Edward Lowassa, kwa kukamilisha mchakato wa upatikanaji katiba...
By Regina MkondeFebruary 13, 2024KATIBU Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, amesema sababu ya kupinga chama chake kumsimamisha Hayati Edward Lowassa kugombea urais...
By Regina MkondeFebruary 13, 2024RAIS mstaafu, Jakaya Kikwete ambaye alikuwa swahiba mkubwa wa Hayati Edward Lowassa kiasi cha kupewa jina la ‘Boys II Men,’ amekwepa kuzungumzia namna...
By Regina MkondeFebruary 12, 2024MBUNGE Viti Maalum, Dk. Thea Ntara ameitaka Serikali kutoa elimu kwa mabinti juu ya athari za matumizi holela ya dawa za dharura za...
By Regina MkondeFebruary 12, 2024SERIKALI imetakiwa kuhakikisha maarifa, ujuzi, uvumbuzi na udadisi vinazingatiwa kwenye mitaala mipya ya elimu ili kupata wahitimu watakaoweza kushindana katika soko la ajira...
By Regina MkondeFebruary 9, 2024MBUNGE Viti Maalum, Esther Matiko, ameihoji Serikali imejipangaje kutatua changamoto za faragha za watu kuingiliwa mitandaoni kutokana na ukuaji wa matumizi ya akili...
By Regina MkondeFebruary 9, 2024JOTO la uchaguzi ndani ya Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, limezidi kupanda baada ya makada wake machachari kujitokeza kutaka kumng’oa Abdul...
By Regina MkondeFebruary 7, 2024KUTOKANA na ongezeko la wagonjwa wa kisukari na tezi dume, Serikali imetakiwa kuweka fedha za ruzuku zitakazosaidia kutibu wananchi wasiokuwa na uwezo ili...
By Regina MkondeFebruary 6, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amewaita wawekezaji wa sekta binafsi kuja kushirikiana na serikali katika sekta ya uchimbaji gesi asilia. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeFebruary 3, 2024MLIPUKO wa gesi umeuwa watu wawili huku wengine 222 wakijeruhiwa, jijini Nairobi, nchini Kenya. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea). Kwa mujibu wa mitandao ya...
By Regina MkondeFebruary 2, 2024MBUNGE Viti Maalum mkoani Tanga (CCM), Mwantum Zodo, ameiomba Serikali irejeshe mikopo inayotolewa na halmashauri kwa makundi maalum hususan wanawake, ili kuepusha na...
By Regina MkondeFebruary 2, 2024MWANAHARAKATI huru, Bihimba Mpaya ametoa msaada wa mifuko ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa madrasa iliyopo katika msikiti wa Aisha, Kivule jijini...
By Regina MkondeJanuary 27, 2024JAMHURI ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Indonesia zimesaini mikataba minne ya ushirikiano kati ya mataifa hayo mawili. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeJanuary 25, 2024BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika Novemba 2023, ambapo watahiniwa 484,823 (87.65%) wamefaulu. Anaripoti...
By Regina MkondeJanuary 25, 2024HATIMAYE Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetinga katika ofisi za Umoja wa Mataifa (UN), jijini Dar es Salaam, baada ya kuandamana Kwa...
By Regina MkondeJanuary 24, 2024Chama cha Chadema kimeibua shangwe kwa baadhi ya wananchi waliokuwa maeneo ya Buguruni jijini Dar es Salaam, huku Mwenyekiti wake Freeman Mbowe akiteka...
By Regina MkondeJanuary 24, 2024MAMIA ya watu wamewasili katika maeneo ya Buguruni Sheli jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kushiriki maandamano ya amani yaliyoratibiwa na Chama...
By Regina MkondeJanuary 24, 2024MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufanya maandamano yao kwa amani...
By Regina MkondeJanuary 24, 2024CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemuonya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, asivuruge maandamano yao ya amani wanayofanya kupinga...
By Regina MkondeJanuary 24, 2024BAADHI ya viongozi na wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameanza kuwasili maeneo ya Buguruni Sheli jijini Dar es Salaam, kwa...
By Regina MkondeJanuary 24, 2024MBUNGE wa zamani wa viti maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Upendo Peneza, amejiunga rasmi na Cha Mapinduzi (CCM), akidai chama...
By Regina MkondeJanuary 22, 2024AMIRI Jeshi Mkuu wa nchi na Rais, Dk. Samia Suluhu Hassan, amelitaka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na vikosi vingine vya ulinzi...
By Regina MkondeJanuary 22, 2024CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kiko tayari kufanya mdahalo na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul...
By Regina MkondeJanuary 15, 2024BAADHI ya wananchi wa Kata ya Kivule, wamembana mbunge wao (Ukonga), Jerry Silaa, kuhusu utatuzi wa changamoto sugu zinazowakabili ikiwemo ubovu wa...
By Regina MkondeJanuary 15, 2024MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe, amesema wanaotegemea chama hicho kipasuke kutokana na migogoro watasubiri sana. Anaripoti Mwandishi...
By Regina MkondeJanuary 13, 2024MAFURIKO ya maji mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo ya wilayani Kiteto mkoani Manyara, yamesababisha usumbufu kwa watumiaji wa barabara ya Morogoro-Dodoma, baada ya...
By Regina MkondeJanuary 9, 2024BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), leo tarehe 7 Januari 2024, limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha pili na darasa la nne wa...
By Regina MkondeJanuary 7, 2024