MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imewakaribisha Watanzania, kutoa maoni yao juu ya maboresho ya Kanuni za Maudhui Mtandaoni za mwaka 2018, ili...
By Regina MkondeMay 11, 2021MBUNGE asiye na chama, Esther Matiko amelishauri Bunge liunde kamati maalum kwa ajili ya kuchunguza miradi ya maji yenye harufu ya ubadhirifu. Anaripoti...
By Regina MkondeMay 10, 2021BARAZA la Habari Tanzania (MCT) na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limeiomba Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, iondoe sheria zote...
By Regina MkondeMay 10, 2021SERIKALI imetangaza nafasi za ajira kwa walimu wa shule za msingi na sekondari pamoja na watumishi wa kada mbalimbali za sekta ya afya....
By Regina MkondeMay 9, 2021BARAZA la Wazee la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limeishauri Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, ifanye marekebisho ya Katiba ili nchi...
By Regina MkondeMay 9, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema katika serikali yake, atateua mtu yeyote mwenye uwezi kutoka chama chochote cha siasa ili kujenga...
By Regina MkondeMay 7, 2021WAZEE wa Mkoa wa Dar es Salaam, wameiomba Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, ianzishe utaratibu wa kundi hilo kuwa na...
By Regina MkondeMay 7, 2021SPIKA wa Bunge, Job Ndugai analazimika kutoa maelezo ya mara kwa mara kutokana na ‘mashambulizi’ yanayoelekezwa katika kiti chake, kuhusu kushindwa kuwatimua...
By Regina MkondeMay 7, 2021SERIKALI ya Tanzania imeshauriwa kuwapunguzia mzigo wa kodi wafadhili wa miradi ya maji. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Ushauri...
By Regina MkondeMay 6, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia mazingira mazuri wafanyabiashara wa Kenya na Tanzania, akisema upande mmoja kuna uhuru wa kufanyabiashara na...
By Regina MkondeMay 5, 2021MAKAKATI umeanza kusukwa ili kuhakikisha Halima Mdee na wenzake 18, wanang’olewa bungeni. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Mkakati huo...
By Regina MkondeMay 4, 2021MZEE Ali Hassan Mwinyi, Rais wa Awamu ya Pili wa Tanzania, anatarajia kuzindua tawasifu kuhusu maisha yake, Jumamosi ijayo tarehe 8 Mei...
By Regina MkondeMay 2, 2021SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, amewahutubia kwa mara ya kwanza, wafanyakazi na kutoa ahadi mbalimbali zenye kurejesha tabasamu miongoni mwao. Anaripoti...
By Regina MkondeMay 1, 2021SERIKALI ya Tanzania, ametangaza ajira mpya 40,000 na kupandisha vyeo watumishi 90,000 katika mwaka wa fedha 2021/22. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Regina MkondeMay 1, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amepunguza Kodi ya Mshahara (PAYE), kutoka asilimia tisa hadi nane. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...
By Regina MkondeMay 1, 2021CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimepata pigo baada ya kuondokewa na wenyeviti wawili wa kanda na kurejea Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...
By Regina MkondeApril 30, 2021KAIMU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rodrick Mpogolo, amesema aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Hayati Dk. John Magufuli, amekiwezesha chama...
By Regina MkondeApril 30, 2021SERIKALI imeeleza itatumia Dola za Marekani milioni 120 (Sh. 278.8 Bil), kwa ajili ya kutatua changamoto ya mafuriko yanayotokana na Bonde la...
By Regina MkondeApril 29, 2021SERIKALI ya Tanzania imesema, inaandaa muswada wa sheria ya uvunaji, utunzaji na upandikizaji wa viungo vya binadamu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Regina MkondeApril 29, 2021KAMATI ya Kudumu ya Bunge, Viwanda, Biashara na Mazingira, limeonya uwezekano wa kutokea ukame nchini Tanzania, kufuatia kukithiri kwa vitendo vya ukataji...
By Regina MkondeApril 27, 2021JOHN Pombe Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tanzania, leo Jumanne, tarehe 27 Aprili 2021, amefikisha siku 40, tangu alipofariki dunia 17 Machi 2021....
By Regina MkondeApril 27, 2021RAIS wa Awamu ya Sita, Samia Suluhu Hassan, ameagiza fedha zilizopangwa kufanya sherehe za maadhimisho ya miaka 57 ya Muungano wa Tanganyika...
By Regina MkondeApril 26, 2021JESCA Kishoa, mbunge wa Viti Maalumu (asiyekuwa na chama), ameuthibitishia ulimwengu, kuwa kuwako kwake bungeni, ni kinyume na amefutwa uanachama katika Chama...
By Regina MkondeApril 23, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan, ameonya Watanzania wanaotumia mitandao ya kijamii kuchonganisha watu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Kiongozi huyo wa Tanzania...
By Regina MkondeApril 22, 2021MAMA Samia Suluhu Hassan, Rais wa Awamu ya Sita wa Tanzania, amewataka wabunge kuikosoa serikali yake, pale inapofanya vibaya. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeApril 22, 2021RAIS wa Awamu ya Sita, Samia Suluhu Hassan, amesema anapanga kukutana na viongozi wa vyama vya siasa, ili kujadili namna ya kuiendesha...
By Regina MkondeApril 22, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameahidi kufanya marekebisho kadhaa katika sera na sheria sambamba na kuondoa vikwazo katika kukuza uwekezaji. Anaripoti...
By Regina MkondeApril 22, 2021MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo na Dk. Azaveli Lwaitama, wamewaomba Watanzania wampe muda Rais Samia...
By Regina MkondeApril 21, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi sita wa taasisi mbalimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Uteuzi huo umetangazwa leo Jumatano,...
By Regina MkondeApril 21, 2021AKAUNTI za Benki za Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), zilizofungwa Agosti 2020, zimefunguliwa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Regina MkondeApril 21, 2021JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limekemea tabia ya wasanii kuvunja sharia hasa kusambaza picha za utupu. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeApril 20, 2021DAKTARI Edward Hoseah, Rais mpya wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), ameomba kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan, ili kujadili namna...
By Regina MkondeApril 17, 2021DAKTARI Edward Hoseah, ameapishwa kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), akimrithi Dk. Rugemeleza Nshala, aliyemaliza muda wake. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeApril 17, 2021DAKTARI Rugemeleza Nshala, Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika aliyemaliza muda wake, amemtaka mrithi wake, Dk. Edward Hoseah, ailinde heshima ya...
By Regina MkondeApril 17, 2021MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeishauri Serikali nchini humo na vyama vya siasa, kuiga mfano wa Chama cha...
By Regina MkondeApril 17, 2021DAKTARI Edward Hoseah, Rais Mteule wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), amesema, uchaguzi wa nafasi hiyo ulikuwa na ushindani mkubwa na Watanzania,...
By Regina MkondeApril 16, 2021DAKTARI Edward Hoseah, ameibuka mshindi wa urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS). Anaripoti Regina Mkonde, Arusha … (endelea). Uchaguzi huo,...
By Regina MkondeApril 16, 2021WANACHAMA wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), wameanza kujitokeza katika zoezi la upigaji kura kuchagua viongozi wa ngazi za juu za...
By Regina MkondeApril 16, 2021RAIS wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) anayemaliza muda wake, Dk. Rugemeleza Nshala, amesema mgombea yeyote atayechaguliwa kuwa rais wa chama...
By Regina MkondeApril 15, 2021WANACHAMA wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), wamewachambua wagombea urais wa chama hicho kwa mwaka 2021. Anaripoti Regina Mkonde, Arusha … (endelea)....
By Regina MkondeApril 15, 2021DAKTARI Edward Hoseah, Mgombea Urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), amesema atashangaa wanachama wa chama hicho wasipomchagua, kwani anawafaa katika...
By Regina MkondeApril 14, 2021WAKATI baadhi ya wagombea wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), wakijinadi kuthibiti mapato na matumizi kwenye chama hicho, Kaleb Gamaya ambaye...
By Regina MkondeApril 14, 2021KERO ya kujaa maji eneo la Jangwani, Dar es Salaam ambapo husababisha adha kubwa ya usafiri kwa wananchi, ipo mbioni ‘kutibiwa.’ Anaripoti...
By Regina MkondeApril 13, 2021FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema chama hicho kimemwandikia barua Rais Samia Suluhu Hassan, kuomba kukutana naye....
By Regina MkondeApril 11, 2021CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kinakusudia kuanza operesheni nchi nzima. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Akizungumza na Watanzania kupitia mitandao...
By Regina MkondeApril 11, 2021KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema, Taifa linalipa gharama ya kuendesha nchi gizani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Zitto...
By Regina MkondeApril 11, 2021MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amebaini ubadhirifu wa Sh.23.8 bilioni, katika halmashauri 59. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeApril 8, 2021MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, kufanyia kazi uamuzi uliotolewa na mahakama za kitaifa...
By Regina MkondeApril 8, 2021RIPOTI za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kwa mwaka 2019/20, zimewasilishwa bungeni jijini Dodoma huku taasisi kumi zikipata...
By Regina MkondeApril 8, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, ataunda kamati maalum ya kufanyia utafiti ugonjwa wa maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19) kwani...
By Regina MkondeApril 6, 2021