Thursday , 25 April 2024
Home upendo
1868 Articles238 Comments
Habari za SiasaTangulizi

Ushahidi wa RPC Kingai alioutoa kesi ya Mbowe

  KAMANDA wa Polisi wa Kinondoni (RPC), Ramadhan Kingai ambaye ni shahidi namba 2 upande wa Jamhuri katika kesi inayomkabili kiongozi wa chaa...

Habari za SiasaTangulizi

Kinachoendelea kesi ya kina Mbowe, RPC Kingai anatoa ushahidi

  KESI ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa chaa kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na...

Habari za Siasa

January Makamba atwishwa zigo sekta ya nishati

  WAZIRI wa Nishati, January Makamba, amepewa jukumu la kutatua changamoto za sekta ya nishati hasa umeme. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Rais Samia ataja siri ya kumpa wizara ya ulinzi mwanamke

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema amemteua Dk. Stergomena Tax kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, ili kuvunja...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji aruhusu Mbowe, wenzake kutotaja mashahidi wao

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, imeridhia ombi la mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman...

Habari za SiasaTangulizi

Hati ya mashtaka katika kesi ya Mbowe na wenzake yarekebishwa

  UPANDE wa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi Na. 16/2021, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema na wenzake, kwenye Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba aendelea kung’oa vigogo CUF

  MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, ameendelea kufanya mabadiliko madogo ya uongozi wa chama hicho, kwa kutengua uteuzi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, wenzake wapangiwa Jaji mwingine, kesi kuanza…

  KESI ya jinai inayomkabili kiongozi wa chama kikuu cha upinzani bchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, sasa itaanza kusikilizwa...

Habari za Siasa

Majaliwa ataja muarobaini migogoro ya wafugaji, wakulima

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameagiza Serikali za Vijiji zitenganishe maeneo ya wafugaji na wakulima, ili kudhibiti migogoro inayopoteza maisha ya...

Habari za Siasa

Wafugaji wamfikishia kilio Rais Samia

  WAFUGAJI nchini Tanzania, wameioomba Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, itatue changamoto zinazowakabili, ikiwemo mifugo yao kushikiliwa na hifadhi ya wanyamapori kinyume...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe yaibua dosari sheria ya ugaidi

  KESI ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, imeibua dosari katika sheria ya kuzuia...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji anayesikiliza kesi ya kina Mbowe ajitoa, kisa…

  JAJI Elinaza Luvanda, aliyekuwa anasikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima: Tumsapoti Rais Samia

  ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amewaomba Watanzania wamuunge mkono Rais Samia Suluhu Hassan, katika mkakati wake wa kutangaza...

Tangulizi

Mbivu, mbichi kesi ya Mbowe Jumatatu ijayo

  HATMA ya kusikilizwa ama kutosikilizwa  kesi ya uhujumu uchumi, yenye mashtaka ya kula njama za kufanya ugaidi iliyoko katika Mahakama Kuu, Divisheni...

Habari Mchanganyiko

THRDC yawanoa Mawakili wanawake kushiriki kesi za kimkakati

  MAWAKILI wanawake 40 kutoka mikoa mbalimbali nchini, wamepewa mafunzo ya kuendesha kesi zenye maslahi ya umma ‘kesi zakimkakati’ na Mtandao wa Watetezi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe na wenzake, wazidi kuikomalia serikali

KESI ya ugaidi, inayomkabili mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu, imepangwa kusikiliza Ijumaa wiki hii. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Pingamizi la Mbowe, wenzake katika kesi ya ugaidi lagonga mwamba

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Mawasiliano Dar es Salaam,  imetupilia mbali pingamizi la Mwenyekiti wa Chadema, Freeman...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, wenzake waweka pingamizi kesi ya ugaidi

  MAWAKILI wanaomtetea Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, katika kesi ya kula njama za kufanya ugaidi, wameweka pingamizi kwa Mahakama Kuu...

Habari za SiasaTangulizi

Kamati ya Bunge yapendekeza Jerry Silaa avuliwe ubunge wa PAP 

  KAMATI ya Haki,  Maadili na Madaraka ya Bunge, imemkuta na hatia Mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa, katika tuhuma za kudharau mhimili...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yaweka mapingamizi kesi ya Mbowe

  SERIKALI ya Tanzania, imeweka mapingamizi manne katika kesi ya kikatiba, iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe akipinga utaratibu uliotumika kumkamata...

Habari Mchanganyiko

Majeruhi tukio la mauaji Dar wafanyiwa upasuaji Muhimbili

  ASKARI Polisi wawili kati ya watano, waliojeruhiwa katika tukio la mauaji ya watu wanne, lililotokea karibu na Ubalozi wa Ufaransa nchini Tanzania,...

Habari Mchanganyiko

THRDC yataka uchunguzi huru tukio la mauaji Dar

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeviomba vyombo vya ulinzi na usalama nchini viunde tume huru ya uchunguzi, ili...

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza uchunguzi tukio mauaji Dar

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameliagiza Jeshi la Polisi nchini humo, lifanye uchunguzi wa kina kuhusu tukio la mauaji ya watu...

Habari Mchanganyiko

Jeshi la Polisi Tanzania lafumua mwongozo kazi wake

  JESHI la Polisi nchini Tanzania, limezindua mwongozo wake wa utendaji kazi (PGO), baada ya kuufanyia marekebisho ili kuongeza ufanisi. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaweka mapingamizi kesi kupinga tozo miamala simu

  SERIKALI ya Tanzania, imeweka mapingamizi matatu katika kesi Na. 14/2021, iliyofunguliwa na Odero Charles Odero, kupinga makato ya tozo ya miamala ya...

Habari Mchanganyiko

Askofu Ruwa’ichi aagiza mapadre wote kuchanjwa

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Yuda Thadeus Ruwa’ichi amewaagiza mapadre wote wa jimbo hilo kupata chanjo...

Habari Mchanganyiko

Askofu Ruwa’ichi ampinga Gwajima

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Yuda Thadeus Ruwa’ichi, amewataka Watanzania wapuuze maneno yanayotolewa na baadhi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima ahojiwa, kurudi tena kikaangoni Jumatano

  MBUNGE wa Kawe, mkoani Dar es Salaam (CCM), Askofu Josephat Gwajima, ameanza kuhojiwa na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge,...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba apangua wakurugenzi CUF

  MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amefanya mabadiliko madogo ya wakurugenzi wa chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe kuwatumia IGP Sirro, Ole Sabaya kujitetea

  UPANDE wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kula njama za kufanya ugaidi inayomkabili Kiongozi wa chama kikuu cha...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Serikali kutumia mashahidi 24, vielelezo 19

  UPANDE wa mashtaka katika kesi inayomkabili Kiongozi wa chama kikuu kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu...

Habari Mchanganyiko

Mvutano chanjo ya Corona wamuibua Rais Samia, atoa msimamo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatoa hofu Watanzania dhidi ya chanjo ya ugonjwa wa corona, akisema kwamba ni salama kwani inasaidia...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwakabibi, wenzake wapandishwa kizimbani kwa uhujumu uchumi

  ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, mkoani Dar es Salaam, Lusubilo Mwakabibi, amefunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...

Habari Mchanganyiko

LSF yazindua mpango mkakati upatikanaji haki

  SHIRIKA lisilo la kiserikali la Legal Services Facility (LSF), limezindua mpango mkakati wa pili wa miaka mitano, utakaochagiza upatikanaji haki kwa makundi...

Habari za SiasaTangulizi

Bil 68 tozo ya miamala ya simu, mafuta zakusanywa, punguzo bado

  SERIKALI ya Tanzania, imekusanya zaidi ya Sh.68 bilioni, kupitia tozo ya miamala ya simu na mafuta. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari za Siasa

Dar kutoa chanjo ya corona kwa wote

UONGOZI Mkoa wa Dar es Salaam, umeanzisha utaratibu wa kutoa chanjo ya virusi vya corona (UVIKO-19), kwa wananchi wote walio tayari kupata huduma...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe waigeuzia kibao Serikali, Hakimu atoa agizo

  KIONGOZI wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania-Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya kina Mbowe kusikilizwa kimtandao

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, leo Ijumaa tarehe 13 Agosti 2021, inasikiliza kesi ya kiongozi wa chama kikuu...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yawanyooshea kidole Polepole, Askofu Gwajima “subirini matokeo”

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, kimeanza taratibu za kuwachukulia hatua makada wake wanaokwenda kinyume na misimamo ya chama...

Habari MchanganyikoTangulizi

Gazeti la Uhuru lasimamisha uzalishaji, vigogo 3

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza kulifungia kwa siku saba Gazeti lake la Uhuru kuanzia leo Jumatano, tarehe 11...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaonya gazeti lake Uhuru kisa uchaguzi 2025

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema, kitachukua hatua kali dhidi ya watumishi wa gazeti la Uhuru kwa kuandika habari...

Habari Mchanganyiko

RITA yatahadharisha wananchi dhidi ya vishoka

  WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), umewahimiza wananchi kutumia mfumo wa kielektroniki wa utoaji vyeti, badala ya kuwatumia vishoka ambao wanasababisha...

Tangulizi

Wadau wataja muarobaini ukatili wa kingono vyumba vya habari

  VYOMBO vya Habari nchini Tanzania, vimetakiwa kufuata miongozo na sera zilizowekwa na Serikali na taasisi binafsi, kwa ajili ya kudhibiti vitendo vya...

Habari za Siasa

Rais Samia asema hataki siasa za fujo, awapa masharti wapinzani

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka wanasiasa nchini humo kufanya siasa za maendeleo, badala ya kufanya siasa za fujo na vurugu....

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ajitosa sakata la Mbowe ‘mahakama itaamua’

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaomba Watanzania na ulimwengu kwa ujumla, kusubiri maamuzi ya mahakama dhidi ya mashtaka yanayomkabili kiongozi wa...

Afya

Hizi hapa sababu za watoto kutoathirika na Korona

  MKURUGENZI wa Idara ya Menejimenti ya Maafa, katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali Jimmy Said, amesema watoto wadogo hawaathiriki sana na Ugonjwa...

Habari Mchanganyiko

Mauaji wivu wa mapenzi yatisha wanaharakati “ni janga la kitaifa”

  SERIKALI ya Tanzania, imeombwa itangaze matukio ya ukatili katika ndoa hasa mauaji yanayosababishwa na wivu wa mapenzi, kuwa ni janga la kitaifa....

Habari Mchanganyiko

THRDC yataka sheria, sera za maafa zifumuliwe

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeiomba Serikali ifanye marekebisho katika Sheria na sera zinazosimamia masuala ya majanga ili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wananchi watakiwa kujiandaa wimbi la nne Korona, wasisahau tiba asili

  WATANZANIA wametakiwa kuendelea kuchukua hatua za kujikinga na mlipuko wa Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19), ili kudhibiti athari zake. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za Siasa

Kesi ya Mbowe: Hakimu amkunjulia makucha DPP

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, imeitaka Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), kuharakisha taratibu za...

error: Content is protected !!