Friday , 19 April 2024
Home sosi
808 Articles18 Comments
Habari za SiasaTangulizi

Mdude: Nilitekwa, sihofii kifo

MWANAHARAKATI Mdude Nyagali, amehusisha kutekwa kwake na sababu za kisiasa huku akisisitiza kwamba, hatorudi nyuma. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). “Ninachojua ni kuwa, nilitekwa kwa...

Habari za Siasa

Shahidi wa Jamhuri: Nyaraka hizi alisaini Zitto

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeendelea kusikiliza kesi Na. 237/2018 ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi apiga ‘yowe’ baada ya kubanwa na Wakili

MASHAKA Juma, shahidi wa pili kwenye kesi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo ameieleza mahakama kuwa, wakili anambana kwenye maswali....

Habari za Siasa

Shahidi kesi ya Zitto amtaja Lissu

SHAHIDI wa tatu, Shabani Hamis (40) kwenye kesi  Na. 327/2018 ya uchochezi inayomkabili Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameieleza mahakama kwamba,...

Habari za Siasa

Kesi ya Zitto: Shahidi asema ‘nawachukia polisi’

SHAHIDI wapili kwenye kesi ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa, analichukia...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi abanwa, Dk. Mashinji augua ghafla kizimbani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imeahairisha kusikiliza ushahidi wa shahdi wa tatu wa upande wa mashitaka katika kesi inayowakabili...

Habari za Siasa

Shahidi kesi ya Mbowe: Nilipigwa jiwe, nikazimia

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeendelea kusikiliza kesi namba 112 ya uchochezi, inayowakabili viongozi wa Chama cha Demokrasia na...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi: Sina mahaba na Mbowe

SHABANI Hassani  Shahidi kwenye kesi namba 112 ya mwaka 2018 inayowakabali viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ameweka wazi kuwa hana...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi ‘fundi magrili’ amng’ang’ania Mbowe, Matiko, Mdee kuhusika

LEO tarehe 14 Mei 2019, shahidi wa pili upande wa serikali kwenye kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi wa Chadema, ametoa ushahidi wake. Jopo...

Habari za SiasaTangulizi

Kibano: Shahidi Serikali Vs Mawakili wa Mbowe, wenzake

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu inaendele na usikilizwaji wa kesi namba 112, ya mwaka 2018, inayowakabili viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Shahidi: Maandamano Chadema zilipigwa zaidi ya risasi 90, Akwilina atajwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kusutu imeendelea na usikilizaji wa kesi inayowakbali viongozi Waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ambapo leo tarehe...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema waibuka na madai saba

BAADA ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuwang’oa wakurugenzi wa halmashauri kusimamia chaguzi, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeibuka na madai saba. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Freeman Mbowe, Zitto Kabwe kuiteka Kisutu wiki nzima

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu itaendelea na usikilizaji wa kesi  za uchochezi zinazowakabili viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama wang’oa Wakurugenzi H’shauri, Manispaa kusimamia Uchaguzi

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imebatilisha kifungu cha sheria cha 7(3), kinayowaruhusu Wakurugenzi wa Manispaa na Halmashauri kuwa wasimamizi wa Uchaguzi...

Habari za Siasa

Chadema: Mdude amejeruhiwa kichwani

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeeleza maendeleo ya afya ya mwanachama wake Mdude Nyagali, amejeruhiwa kichwani. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Kwa...

Habari za Siasa

Bunge laagiza Mdude wa Chadema atafutwe

SAKATA la kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mdude Nyagawa limetua bungeni ambapo sasa, Bunge limetaka maelezo kujua alipo. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Wanasiasa, wasanii waomboleza kifo cha Dk. Mengi

MAMIA ya waombelezaji wameendelea kumiminika nyumbani kwa Dk. Reginald Mengi Hananasif, Kinondoni, jijini Dar es Salaam kutoa salamu za pole huku wakimuelezea marehemu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwili wa Dk. Mengi kuwasili Jumatatu, kuzikwa Alhamisi

MWILI wa aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni za IPP, Dk. Reginald Mengi, unatarajiwa kuwasili nchini Jumatatu wiki ijayo, kutoka Dubai,  Umoja wa Falme...

Habari Mchanganyiko

Kilio kingine, Wakili atoweka pasipojulikana

KILIO kimeibuka kwenye familia ya Wakili Maneno Mbunda, Mwanasheria wa Hifadhi ya Wanyama ya Arusha kwa kudaiwa kukamatwa na watu wasiojulikana. Anaripoti Faki...

Habari Mchanganyiko

Ratiba ya Msiba wa Dk. Mengi kesho, Makonda, Rungwe watoa neno

RATIBA ya Msiba wa Reginald Mengi, Mkurugenzi wa Kampuni  za IPP zitafahamika kesho saa saba mchana. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Akizungumza na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mbowe: Msiba wa Dk. Mengi hasara kwa Taifa

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Taifa  amesema kuwa, msiba wa Dk. Reginald Abraham Mengi ni msiba kwa taifa. Anaripoti Faki Sosi...

Michezo

SportPesa yaikutanisha Simba na Sevilla

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetegua kitendawili cha nani atakayecheza na timu ya Sevilla ya Hispania iliyoalikwa kuja kucheza na timu...

Habari Mchanganyiko

Watengenezaji vinywaji vya Energy waonywa

JANUARI Makamba, Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Mazingira na Muungano ametoa angalizo kwa watengenezaji wa vinywaji vya Enegy kwamba, chupa zake hazidhibitiki. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli asamehe wafungwa 3,530

RAIS John Magufuli leo tarehe 26 Aprili 2019, ametoa msamaha kwa wafungwa 3, 530 pamoja na wenye maradhi mbalimbali. Anaripoti Faki Sosi …...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Zitto: Polisi akiri mauaji Uvinza

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imeendelea kusikiliza kesi Na 327 ya 2018 ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Kigoma Mjini...

Habari za SiasaTangulizi

Kibatala amhenyesha ‘mbaya wa Zitto’  

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeanza kusikiliza ushahidi kwenye kesi ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama...

Habari Mchanganyiko

Raia wa Nigeria, Lativia wadakwa na dawa za kulevya

JESHI la Polisi, Kitengo cha Kuzuia Kupambana na Dawa za Kulevya, limewatia mbaroni raia wawili wa Nigeria na Raia wawili wa Walativia wakiwa na kilogram...

Habari Mchanganyiko

UBA: Tunajivunia mafanikio Tanzania

BENKI ya UBA nchini imeeleza kuwa, kwa sasa wanakwenda kwa wananchi baada ya mafanikio makubwa ya kufanya kazi na serikali. Anaripoti Faki Sosi …...

Habari Mchanganyiko

Tapeli wa ‘Tuma kwenye namba hizi’ matatani

MAMLAKA ya  Mawasiliano Tanzania ( TCRA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi limemfikisha kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Fadhili Mahenge anayedaiwa kumiliki...

Habari za SiasaTangulizi

Kibano; Wakili Chadema Vs Shahidi Jamhuri

SHAHIDI  wa kwanza kwenye ya kesi uchochezi  inayowakabili viongozi wa Chadema, ameeleza kwamba hajui sababu za muuaji wa Akwelina Akwilini kutofikishwa mahakamani mpaka...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe, wenzake; Shahidi akiri kuruhusu matumizi ya risasi za moto

SHAHIHIDI wa kwanza kwenye kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi wa Chadema, amekiri kuruhusu matumizi ya risasi za moto kwenye maandamano yaliyofanyika na chama hicho tarehe 16...

Kimataifa

Ubalozi Palestina waadhimisha ‘Siku ya Mateka wa Kipalestina’ 

BALOZI za Palestina duniani kote, leo tarehe 17 Aprili 2019 zinaadhimisha Siku ya Mateka wa Kiapestina wanaoendelea kushikiliwa na Jeshi la Israel kwenye...

Habari za Siasa

Dk. Mashinji awa kikwazo kesi ya Mbowe, wenzake 

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeahirisha kesi ya uchochezi inayowakibili viongozi waandamizi wa Chadema, kutokana na mshtakiwa namba sita...

Habari za Siasa

Wapinzani wamtaka Spika Ndugai ajiuzulu

HATUA ya Job Ndugai, Spika wa Bunge kumwingiza Rais John Magufuli kwenye mgogoro wake na Prof. Mussa Assad, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Upinzani watinga Mahakama ya Afrika Mashariki, kupinga sheria vya Vyama vya Siasa

UMOJA wa vyama nane vya upinzani nchini, vimefungua shauri la madai katika Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), jijini Arusha, kupinga sheria mpya ya...

Habari za Siasa

Ndugai amtaka Profesa Assad ajiuzulu

JOB Ndugai Spika wa Bunge la Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania  ameshauri  Professa Mussa Assad Mkaguzi na Mdhibiti  Mkuu wa Hesabu za Serikali...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yamtia hatiani Bosi wa Vodacom 

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini Sh. 5.8 bilioni, Hisham Hendi, Mkurugenzi  Mtendaji wa kampuni ya...

Habari za Siasa

Sheikh Ponda amlima barua Ndugai, sakata la CAG

TAASISI na Jumuiya za Kislamu Tanzania imemuomba Spika wa Bunge Job Ndugai nakala ya mahojiano ya Kamati ya Maadili, Haki na Madaraka ya...

Habari Mchanganyiko

Mke wa Robert Kisena kuburuzwa kizimbani

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru inatarajia kumburuza kortini Florencia Mashauri ambaye ni mke wa Robart Kisena, Mkurugenzi wa Kampuni ya Usafisirishaji...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi amkwamisha Zitto Kisutu

KESI ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma mjini, imekwama kuendelea kusikilizwa leo katika Mahakama ya Kisutu, jijini Dar es Salaam. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais TLS: Lissu ahojiwe

RAIS wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Dk. Rugemaliza Nshala amesema, ipo haja kwa Tundu Lissu kuhojiwa kutokana na shambulio lake. Anaripoti Faki...

Habari Mchanganyiko

Anayedaiwa kutumia jina la Katibu Mkuu CCM kutapeli akamatwa

JESHI la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata Wilfred Welandumi kwa madai ya kutumia jina la Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu...

Habari za Siasa

TEF: Spika Ndugai kakosea

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limeeleza kutofurahishwa na hatua ya Job Ndugai, Spika wa Bunge kuzuia waandishi wa habari kuzungumza na wabunge baada...

Habari Mchanganyiko

Serikali yafungua mjadala Sheria ya Vyombo vya Habari

SERIKALI ya Jamhuri imeeleza kuwa, imefungua mlango wa majadiliano kuhusu kubadili Sheria ya Vyombo vya Habari ya Mwaka 2016. Anaripoti Faki Sosi … (Endelea)....

Habari za Siasa

Prof. Shivji: Kuna sheria mbovu zinatungwa

MSOMI wa masuala ya sheria na utawala nchini Profesa Issa Shivji, ameeleza kukerwa na mwelekeo wa utungaji sheria mbovu kwa maslahi ya wachache....

Habari Mchanganyiko

Kigogo wa TAKUKURU aburuzwa kizimbani kwa uhujumu uchumi

TAASISI ya Kuzuiya na Kupambana na Rushwa  (Takukuru)  imemburuza kortini Kulthum Mansoor, Mkurugenzi wa Taasisi hiyo wa Mipango, Ufuatiliaji na Tathimini  kwa kudaiwa...

Habari za Siasa

Bulaya akwamisha kesi ya vigogo Chadema

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeshindwa kuendelea kusikiliza kesi inayowakabili viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutokana...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yabatilisha hukumu ya Bob Chaha Wangwe

MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam imebatilisha hukumu ya mtoto wa aliyekuwa Mbunge wa Tarime, marehemu Chacha Wange- Bob Chacha Wangwe. Anaripoti Faki...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Mdhamini wa Lissu afunguka

ROBERT Katula, mdhamini wa kwanza wa mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu, ametaja sababu tatu kubwa za kuomba kujitoa kwenye udhamini wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kimbunga ACT-Wazalendo; CCM yaungana na CUF ‘kulaani’

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeungana na Chama cha Wananchi (CUF) kulalamikia hatua ya waliokuwa wanachama wa chama hicho (CUF) kubadili rangi za majengo...

error: Content is protected !!