WAKATI Mwenyekiti wa Mtandao wa Wananfunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo akipandishwa kizimbani leo asubuhi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Iringa, Mahakama...
By Faki SosiMarch 21, 2018WAZIRI wa Kilimo, Charles Tizeba na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina siku zao zinahesabika kutokana kushindwa kuhudhuria bila kutoa taarifa kwenye...
By Faki SosiMarch 20, 2018MAWAKILI wanaomwakilisha Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi nchini (TSNP), Abdul Nondo wamefungulia kesi Mkuu wa jeshi la Polisi nchini (IGP), Mkurugenzi wa Upelelezi...
By Faki SosiMarch 19, 2018WAJUMBE wawili kutoka nchini Marekani kutoka katika kitengo cha Mshauri wa Marekani kinachohusu Siasa na Uchumi wametua nchini kwa kile kinachodhaniwa kuchunguza Serikali ya...
By Faki SosiMarch 15, 2018JESHI la Polisi nchi limewahoji viongozi wa Mtandao wa wafunzi (TSNP) kama mashahidi kwenye kesi anayotarajiwa kufunguliwa Mwenyekiti wa mtandao huo Abdul Nondo....
By Faki SosiMarch 14, 2018KAULI za viongozi wa serikali inayoongozwa na Rais John Magufuli kwa wananchi, zinaweza kusababisha kufikishwa kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai...
By Faki SosiMarch 13, 2018JUHUDI za Taasisi ya Namaingo Business Agents (NBA), imezindua mradi Shamba Mji Msolwa wilayani Mkuranga, Pwani ikiwa ni mwendelezo wa kuinua uchumi wa...
By Faki SosiMarch 12, 2018MWENYEKITI wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Wananchi (CUF), Julius Mtatiro amejibu uongozi wa CUF wilaya ya Ubungo, uliomvua uanachama, na kusema...
By Faki SosiMarch 5, 2018KITUO cha sheria na Haki za Binaadamu (LHRC) kimeeleza mauaji, kubaguliwa kwa mawakala wa upinzani kumetia dosari uchaguzi wa marudi wa jimbo la...
By Faki SosiMarch 1, 2018MAHAKAMA imewaachia huru wafuasi saba wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuwapa dhamana wanachama watatu wenye majeraha ya risasi baada ya kufyatuliwa...
By Faki SosiFebruary 28, 2018MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe amesema kuwa jeshi la Polisi limewajeruhi waandamanaji wa tano wa risasi za moto...
By Faki SosiFebruary 27, 2018CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeitahadharisha serikali kuwa mashambulizi ya demokrasia yanaweza kuleta athari kwa jamii. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Hayo yameelezwa leo...
By Faki SosiFebruary 26, 2018NI binti wa miaka 18 ambaye alikimbia kwa zaidi ya mita 100 ili kujiokoa na shambulizi, hatimaye alianguka chini kwa uchovu, wauaji wakamfikia...
By Faki SosiFebruary 23, 2018MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), amemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Lameck Nchemba, kujiuzulu mara moja wadhifa wake. Anaripoti Faki Sosi...
By Faki SosiFebruary 21, 2018VIONGOZI waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamewasili kituo cha Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam kwa mahojiano kama walivyotakiwa na...
By Faki SosiFebruary 20, 2018AFISA mmoja mwandamizi wa serikali amepora sanduku la kupigia kura na kutoweka nalo, kwenye eneo la Magomeni, mtaa wa Idrisa, jimbo la Kinondoni,...
By Faki SosiFebruary 17, 2018VURUMAI kubwa imeibuka jijini Dar es Salaam, jioni hii, kufuatia jeshi la polisi kutumia mabomu ya machozi, risasi za moto na maji ya...
By Faki SosiFebruary 16, 2018MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiongozana na Mgombea Ubunge Jimbo la Kinodnoni, Salumu Mwalimu pamoja na wabunge wa...
By Faki SosiFebruary 15, 2018MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Dodoma imemwachia huru aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM, Sadifa Hamis baada ya Jamhuri kuwasilisha ombi la kuifuta kesi...
By Faki SosiFebruary 15, 2018NAIBU Meya wa Manispaa ya Iringa ambaye ni Diwani wa Kata ya Gangalonga (Chadema), mkoani Iringa Dady Igogo, amenusururika kuwa baada ya kuvamiwa...
By Faki SosiFebruary 14, 2018RIPOTI ya Jeshi la Polisi mkoa wa Kinondoni limeiweka kwenye mazingira magumu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kuonesha chama hicho kutoa...
By Faki SosiFebruary 12, 2018CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeahidi kumuenzi mwanachama wake Richard Tambwe Hiza kwa kushinda na kutangazwa washindi katika jimbo la Kinondoni. Anaripoti...
By Faki SosiFebruary 10, 2018MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi-Mbeya imewaachia kwa dhamana washtakiwa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyanda za Juu...
By Faki SosiFebruary 9, 2018MMOJA kati ya waathirika wa vitendo vya ubakaji ni motto wa umri wa miaka 13 (jina limehifadhiwa) anayedaiwa kubakwa na kijana anayeitwa Baraka...
By Faki SosiFebruary 8, 2018UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umepata pigo kutokana na kifo cha mwanasiasa machachari, Richard Tambwe Hizza. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Ukawa ni...
By Faki SosiFebruary 8, 2018CHAMA cha Chadema kimehusisha tukio kutekwa kwa mgombea wa udiwani wa kata ya Buhangazi wilayani Muleba Mkoani Kagera, Nelson Makoti kuwa ni njama...
By Faki SosiFebruary 7, 2018IMANI sugu za ushirikiana mkoani Iringa ni mojawapo ya chanzo cha imani potofu zinazochochea vitendo viovu vya ubakaji, ulawiti na udhalilishaji wa watoto...
By Faki SosiFebruary 7, 2018MBUNGE wa Chadema jimbo la Ubungo, Saed Kubenea amesema, ni lazima chama chake kiibuke kidedea kwenye kinyang’anyiro cha ubunge jimboni Kinondoni. Anaripoti Faki...
By Faki SosiFebruary 7, 2018EDWARD Lowasa Mjumbe wa Kamati kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ameawambia wananchi wasipopigania Demokrasia watakuwa kwenye kibano. Anaripoti Faki Sosi...
By Faki SosiJanuary 27, 2018LICHA ya juhudi za serikali na watetezi wa haki za watoto kuendeleza harakati za kulinda hadhi na afya za watoto nchini Tanzania, matukio...
By Faki SosiJanuary 25, 2018WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wamemtuhumu Rais wa serikali yao, kwa kukiuka katiba na kutumia nafasi yake kufanya mambo...
By Faki SosiJanuary 16, 2018USHINDI wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwenye uchaguzi wa Naibu Meya wa Jiji la Dar es Salaam ni ishara kwamba uchaguzi...
By Faki SosiJanuary 6, 2018MWENYEKITI wa Chadema, Kanda ya Pwani, Fredrick Sumaye, atakutana na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, muda wowote wiki hii. Anaripoti Faki...
By Faki SosiJanuary 5, 2018DIWANI mmoja kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), jina tunalihifadhi kwa sasa, ameibua taharuki baada ya kuamua kumpigia kura mgombea wa nafasi ya naibu...
By Faki SosiJanuary 3, 2018KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimejivisha mabomu na kukataa wazi wazi mpango wa serikali kilichodai kwamba ni muendelezo wa kuminya...
By Faki SosiJanuary 3, 2018MAMLAKA ya mawasiliono nchini TCRA imetoa hukumu kwa televisheni nne kwa tuhuma za uchochezi na kukiuka kanunuzi za utangazaji, Anaripoti Faki Sosi….(endelea) Mamlaka hiyo...
By Faki SosiJanuary 2, 2018IKIWA ndani ya mwaka mpya watoto 48,000 wamezaliwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini shirika la watoto duniani Unicef limezisihi nchi za ukanda...
By Faki SosiJanuary 1, 2018BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linadaiwa kumbagua Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kwa kilichodaiwa ni kutokana na Spika wa bunge...
By Faki SosiDecember 29, 2017MAHAKAMA ya Rufaa nchini imetupilia mbali pingamizi lililowekwa na wafuasi wa mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), anayetambuliwa na msajili wa vyama vya...
By Faki SosiDecember 22, 2017MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali rufaa ya Serikali dhidi ya Sheikh Issa Ponda, anaandika Faki Sosi. Katika rufaa hiyo Serikali...
By Faki SosiDecember 18, 2017VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuahirisha uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika Januari 13, 2018...
By Faki SosiDecember 11, 2017MBUNGE wa Ubungo (CHADEMA), Saed Kubenea, amekana madai kuwa anataka kukihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Faki Sosi…...
By Faki SosiDecember 9, 2017MAULID Mtulia, Mbunge wa Kinondoni kwa tiketi ya Chama cha Wananchi CUF amejiuzulu uanachama na ubunge kupitia chama hicho kwa madai kuunga mkono...
By Faki SosiDecember 3, 2017KIPYENGA cha uchaguzi mdogo wa ubunge katika majimbo matatu ya Tanzania Bara na kata sita, kimepulizwa rasmi, imefahamika, anaandika Faki Sosi. Makamu Mwenyekiti...
By Faki SosiDecember 2, 2017UCHAGUZI mdogo wa kata 43 nchini uliofanyika Novemba 23 mwaka huu umeingia dosari kutokana kuripotiwa kwa matukio ya kupigwa, kutekwa pamoja matumizi mabaya...
By Faki SosiNovember 30, 2017MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umepinga kauli ya Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa...
By Faki SosiNovember 22, 2017EDWARD Lowassa amesema hana mpango wa kurejea CCM kama ambavyo taarifa zimekuwa zikisambazwa kwenye mitandao ya kijamii, anaandika Faki Sosi. Lowassa amesema amepata...
By Faki SosiNovember 21, 2017MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imehailisha usikilizwaji wa kesi ya matumizi ya dawa za kulevya inayomkabili msanii wa Filamu nchini Wema Sepetu mpaka...
By Faki SosiNovember 17, 2017MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeshindwa kutoa hukumu ya rufaa ya Serikali dhidi ya Sheikh Issa Ponda kwa mara nyingine, anaandika...
By Faki SosiNovember 17, 2017MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhuku kwenda jela mwaka mmoja na nusu au kulipa faini ya Sh. 5 milioni, mtoto wa Marehemu Chacha...
By Faki SosiNovember 15, 2017