HAMAHAMA ya wabunge, madiwani na wanasiasa wa upinzani ndani ya vyama vyao na kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) imeelezwa kuwa inasababishwa uroho...
By Faki SosiNovember 16, 2018MKATABA uliosainiwa Tarehe 23 Oktoba mwaka 2018 wa uchimbaji mafuta visiwani Zanzibar umetabiriwa kuwa ni chanzo kingeni cha Mgogoro ndani ndani ya Muungano...
By Faki SosiNovember 11, 2018RAIS John Magufuli amefanya mabadiliko madogo ya Baraza lake la Mawaziri ambapo Charles Mwijage na Dk. Charles Tizeba wametemwa. Anaandika Faki Sosi …...
By Faki SosiNovember 10, 2018MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru kumatwa kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Ester Matiko, Mbunge wa Tarime Mjini. Anaripoti...
By Faki SosiNovember 8, 2018MAHAKAMA ya Hakim Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imempa dhamana mwanasiasa machachari wa upinzani nchini, Zitto Zuberi Kabwe. Anaripoti Faki Sosi …...
By Faki SosiNovember 2, 2018WEMA Sepetu, Msanii wa Filamu nchini, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa shitaka la kuchapisha video yake ya ngono...
By Faki SosiNovember 1, 2018KIONGOZI wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Zubery Kabwe, amekamatwa na jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....
By Faki SosiOctober 31, 2018UPEPO unaoendelea kuvuma kwenye Ukanda wa Pwani umesababisha kifo cha mtu mmoja aliyedondokewa na mnazi kisiwani Mafia. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Mtu...
By Faki SosiOctober 24, 2018TAARIFA KWA UMMA Imetolewa 24/October/2018 Kuhusu ufafanuzi wa Mtatiro kufuatia Mazungumzo yake na Wanahabari yaliofanyika Kisiwa cha Unguja . CUF-Chama cha Wananchi kinayachukulia...
By Faki SosiOctober 24, 2018KASSIM Majaliwa, Waziri Mkuu amestukia ufisadi wa Sh. 1.2 bilioni katika sekta ya kilimo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akiwa kwenye ziara yake...
By Faki SosiOctober 22, 2018MFANYABIASHARA Bilionea nchini akiyetekwa na watu wasiojulikana Mohammed Dewji ‘Mo’ apatikana alfajiri ya leo akiwa hai. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Kupitia mtandao...
By Faki SosiOctober 20, 2018KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. Bashiru Ally amesema kuwa, ndani ya chama chake amekuta wezi. Anaandika Faki Sosi…(endelea). Na kwamba,...
By Faki SosiOctober 12, 2018CECIL Mwambe, Mbunge Jimbo la Ndanda (Chadema) anayetajwa kwenye orodha ya wabunge wanaotaka kukimbilia CCM amesema, hajashindwa kazi. Anaandika Faki Sosi … (endelea)....
By Faki SosiOctober 11, 2018KESI inayomkabili Mbunge wa Kawe, Halima Mdee katika Mahakama Hakimu Mkazi Kisutu, ya kutoa lugha chafu dhidi ya Rais John Magufuli imekwama kusikilizwa...
By Faki SosiOctober 8, 2018MSHAMBULIAJI wa timu ya Taifa ya Argentina na klabu ya Machester City, Sergio Aguero ameungana wachezaji mahiri duniani waliotajwa kuwania tuzo ya FIFA...
By Faki SosiOctober 8, 2018MADIWANI wa vyama viwili, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wale Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamezichapa wakati wa uchaguzi wa Naibu Meya...
By Faki SosiOctober 3, 2018KAMBI ya Maalim Seif Shariff Hamad, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) imeendelea kutikiswa na utawala wa Rais John Magufuli baada ya...
By Faki SosiOctober 2, 2018ALIYEKUWA Diwani wa Mtoni kwa tiketi ya CHADEMA, Bernard Mwakyembe, ametoa sababu 10 zilizomfanya aondoke Chadema na kuhamia CCM. Anaripoti Gerva Lyenda …...
By Faki SosiSeptember 29, 2018MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amelitumia Jukwaa la Uzinduzi wa Daraja la Juu (Mfugale Flyover) kumweleza Rais John Magufuli...
By Faki SosiSeptember 27, 2018IWAPO Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa) pia Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra) watashindwa kuboresha usafiri wa...
By Faki SosiSeptember 26, 2018CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimezindua sera mbadala ya Taifa leo Jumanne tarehe 25 Septemba, 2018. Akizungumza wakati wa uzinduzi, Mwenyekiti wa...
By Faki SosiSeptember 25, 2018MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachilia kwa dhamana watangazaji Sudi Kadio maarufu kama Soudy Brown na Shaffih Dauda na wengine wanne. Anaripoti Faki...
By Faki SosiSeptember 24, 2018MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeridhia ombi la Serikali kujibu kwa kiapo shauri la maombi ya dhamana kwa Msanii wa Bongo Fleva, Maua...
By Faki SosiSeptember 24, 2018KIUNGO wa Manchester United ambaye ni raia wa Ubelgiji, Marouane Fellaini, ameongezewa mshahara unaomfanya ashike namba nne kati ya wachezaji wanaolipwa mshahara mkubwa...
By Faki SosiSeptember 24, 2018BONDIA wa Uingereza, Anthony Joshua (28), usiku wa kuamkia Jumapili Septemba 23, 2018, ameendeleza ubabe kwa kumtwanga Alexander Povetkin (39) kwa KO (Knock...
By Faki SosiSeptember 23, 2018JAMES Mbatia, Mbunge wa Vunjo na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi-Taifa amesema, ajali ya MV. Nyerere iliyotokea jana katika Ziwa Victoria ni ya...
By Faki SosiSeptember 21, 2018MSIMAMIZI wa kituo cha Uchaguzi Pugu mnadani, Mustapha Zayumba amewatimua mawakala Chadema, NCCR-Mageuzi na NLD. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Mustapha amesema, amewatimua...
By Faki SosiSeptember 16, 2018MOHAMED Faki, mgombea udiwani katika Kata ya Vingunguti (CUF) Dar es Salaam ameanza kukaangwa mapema. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Mawakala wa Faki...
By Faki SosiSeptember 16, 2018SHIRIKA la Ugavi wa Umeme nchini (Tanesco) mkoani Kilimanjaro limekata umeme kwenye hoteli inayomilikiwa na Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa. Anaripoti Faki...
By Faki SosiSeptember 15, 2018TAMKO la Maalim Seif Shariff Hamad, Katibu Mkuu wa CUF kwamba ‘muda ukifika nitazungumza’ kuhusu kuhama chama hicho inatikisa msimamo wake wa awali....
By Faki SosiSeptember 14, 2018KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hussein Bashe anaweza kuondoka kwenye chama hicho pale kitakapoboronga. Anaandika Faki Sosi … (endelea). Amesema kuwa, anaweza...
By Faki SosiSeptember 12, 2018CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimepinga kauli za Rais John Magufuli alizozitoa alipokuwa kwenye ziara yake Kanda ya Ziwa. Anaripoti Faki Sosi …...
By Faki SosiSeptember 12, 2018VITA vya kisiasa ndani ya Chama cha Wananchi (CUF) vinawasogeza karibu viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na sasa wanampigia hesabu...
By Faki SosiSeptember 11, 2018TAIFA la Marekani ambalo ni kubwa na lenye nguvu leo linaadhimisha miaka 17 ya shambulio la kigaidi na lisiloweza kusahaulika kwa miaka mingi...
By Faki SosiSeptember 11, 2018WACHINA walilia hata kufikia hatua ya kukufuru kuwa aliyeaga dunia ni mungu wao. Walikuwa wakiomboleza msiba wa muasisi wa taifa lao, Mao Tse...
By Faki SosiSeptember 5, 2018RAIS John Magufuli amegoma kupokea wanachama wapya wanaotaka kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaandika Faki Sosi … (endelea). Taarifa za awali zinadai...
By Faki SosiSeptember 4, 2018BARAZA Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata) limekuwa likituhumiwa kwa mambo mengi ikiwa ni pamoja na kufanya kazi kwa maslahi ya serikali badala ya...
By Faki SosiSeptember 1, 2018WIMBI la hamahama ya madiwani na wabunge wa upinzani nchini limelalamikiwa kuwa linaipeleka nchi kwenye giza la uchumi kutokana na kuingia kwenye gharama...
By Faki SosiAugust 31, 2018JOSEPH Mbilinyi, Mbunge wa Mbeya Mjini amedai kuwa, kifo cha marehemu mama yake, Desderia Mbilinyi kilichotokea tarehe 26 Agosti, 2018 katika hospitali ya...
By Faki SosiAugust 28, 2018MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi imeipiga karenda kesi inayowakabili viongozi waandamizi tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa...
By Faki SosiAugust 27, 2018MAHAKAMA ya Mkoa wa Iringa imemkuta na kesi ya kujibu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi nchini (TSNP) Abdul Nondo aliyeshitakiwa kwa madai ya...
By Faki SosiAugust 27, 2018WAISLAM wa Madhuhebu ya Answer Sunna nchi wameungana na Waislamu wengine duniani katika kusherehekea Sikukuu ya Eid Alhaji. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....
By Faki SosiAugust 21, 2018WABUNGE watatu wa upinzani- wawili Chadema na mmoja Chama cha Wananchi (CUF), wako mbioni kuvikimbia vyama vyao na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi...
By Faki SosiAugust 20, 2018WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amesema, wizara yake imeleta Vifaa vya kisasa vya upimaji wa ardhi ambavyo vitagawiwa...
By Faki SosiAugust 19, 2018VIKAO vya Kamati ya Bunge vinaanza wiki ijayo ambapo miongoni mwa kazi zitazofanywa ni pamoja na kupitia na kuchambua Taarifa ya Mkaguzi Mkuu...
By Faki SosiAugust 18, 2018PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na msajili wa vyama vya siasa amesema, ni kinara kwa kuwatetea Wazanzibari. Anaandika Faki...
By Faki SosiAugust 17, 2018RIPOTI ya Haki za Binadamu na Biashara imetaja kupungua vitendo vya Ukatili wa kupigwa chapa ya moto kama mnyama kwa watoto mkoani Geita....
By Faki SosiAugust 16, 2018KAMPUNI ya Star Media (T) Ltd inayomiliki king’amuzi cha StarTimes imesalimu amri kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....
By Faki SosiAugust 14, 2018MUDA wowote kuanzia sasa, wateja wanaotumia king’amuzi cha Star Times watashindwa kupata matangazo yanayopitia king’amuzi hiko kutokana na kugoma kutii sheria kama inavyoelekezwa...
By Faki SosiAugust 14, 2018ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Wananchi (CUF), Julius Mtatiro amekula matapishi yake baada ya kutangaza kuunga mkono juhudi za...
By Faki SosiAugust 12, 2018