Friday , 26 April 2024
Home sosi
808 Articles18 Comments
Habari za SiasaTangulizi

Lissu, Chadema wamsuta Spika Ndugai

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemjibu Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, kuhusu ya matibabu ya mbunge wake wa Singida Mashariki,...

Habari za Siasa

Mbowe yupo fiti, atinga mahakamani

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amefika leo tarehe 31 Januari, 2019 kwenye mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuhudhuria...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, Matiko mahakamani tena

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe na mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko, kesho Alhamisi, tarehe 30 Januari, wanarudi...

Habari Mchanganyiko

Vigogo wa NIDA wasomewa mashtaka 100 Kisutu

DICKSON Maimu aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) na wenzake watano wasomewa mashtaka mapya 100 kwenye Mahakama ya Hakimu...

Habari Mchanganyiko

Zitto akwama Kisutu

SHAHIDI wa Serikali kwenye kesi ya uchechezi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT-Wazalendo amekwamisha usikilizwaji wa kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...

Habari za SiasaTangulizi

‘Mbaya wa Mbowe’ aukwaa ujaji

HAKIMU Mkuu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam, Wilbard Richard Mashauri, ni miongoni mwa maofisa 15 wa mahakama waliotangazwa na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mahakama yamwachia huru Tido Mhando

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachia huru aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando leo tarehe 25 Januari, 2019...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli asikia kilio ujenzi Msikiti UDOM

RAIS John Magufuli amesikia kilio kilichofikishwa na Sheikh Mussa Kundecha, kuhusu kitendo kilichofanywa na uongozi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) cha kuvunja...

Habari za SiasaTangulizi

JPM ajibu kombora la Mchungaji KKKT

RAIS John Magufuli amejibu hoja iliyoibuliwa na Amani Lyimo, Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) kwamba, ‘amebana’ demokrasia nchini. Anaripoti Faki...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yabariki CCM kumsulubu Zitto

WAKATI Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakipanga kumsulibu Zitto Kabwe, Chama cha ACT Wazalendo kimebariki mkakati huo. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

CAG amng’ang’ania Spika Ndugai

PROF. Mussa Assad, Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), apigilia msumali kauli yake kuwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...

Habari za SiasaTangulizi

Afya ya Mbowe kizungumkuti Segerea

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetuma mawakili wake kwenda kufuatilia ukweli kuhusu taarifa za ugonjwa wa Freeman Mbowe, mwenyekiti wa chama hicho...

Habari za Siasa

Serikali yamvaa Lissu

SERIKALI ya Tanzania imedai kuwa, Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki ni muongo. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Imeeleza, wakati Lissu akihojiwa na...

Habari Mchanganyiko

Herbinder Seth, Rugemarila waiangukia mahakama

TANGU Julai 2017, mpaka leo bado upelelezi haujakamilika, tunaomba upelelezi ukamilike ili tujue mwisho wake ni nini. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Hayo...

Habari Mchanganyiko

Mpakistani kizimbani kwa rushwa  

MUHAMMEDI Hasnain Hyderi, Raia wa Pakistan amepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Slaam kwa tuhuma za rushwa. Anaripoti Faki Sosi…(endelea). ...

Habari za Siasa

Mbowe mgonjwa, ashindwa kufika mahakamani

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, ni mgonjwa, hali iliyopelekea kushindwa kufika mahakamani. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Hayo...

Habari za Siasa

Mahakama yawabwaga wapinzani kesi ya muswada

MAHAKAMA Kuu Tanzania imetulia mbali shauri la kupinga Muswada Sheria ya Vyama vya siasa iliyonguliwa na Zitto Kabwe, Salumu Biman na Joran Bashange....

Habari za SiasaTangulizi

Zitto aibua madai mapya CAG & Ndugai

ZITTO Zuberi Kabwe, mbunge wa Kigoma Mjini na kiongozi mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo, ameamua sasa “kulipasua jipu.” Anandika Faki Sosi … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge wamburuza Spika Ndugai kortini

SAKATA kati ya Spika wa Bunge, Job Ndugai na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad, limeanza kuchukua...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Bagonza: Muswada wa Vyama vya Siasa, ni wa Msajili si wa wananchi.

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dk. Benson Bagonza, amedai muswada wa vyama vya siasa, “umeandaliwa mahususi...

Habari za Siasa

Serikali yawasilisha hoja 10, Mahakama kutoa maamuzi J’tatu

SERIKALI imewasiliasha hoja 10 kesi ya kupinga Muswa wa Sheria ya vyama vya siasa iliyofunguliwa na Zitto Kabwe Kiongozi wa ACT-Wazalendo wa Wenzake....

Habari Mchanganyiko

Kitilya na wenzake sasa huru, wakamatwa tena

BAADA ya kusota mahabusu ya Magereza kwa miaka mitatu, aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitiyla na wenzake, hatimaye...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la Prof. Assad; Zitto, Spika Ndugai wapambana kimataifa

NI kama vile sakata la Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof....

Habari za Siasa

Wazee wa Chadema: Muswada wa vyama vya siasa, kaburi la demokrasia

MUSWADA wa Vyama vya Siasa waendelea kupingwa na vyama vya upinzani nchi kwa kilichotajwa kuwa kaburi la Demokrasia. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama Kuu yazuia ‘njama’ za Serikali

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), amegonga mwamba mahakamani. Ni baada ya jopo la majaji watatu wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam,...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto afungua kesi kupinga muswada, yahairishwa mpaka mchana

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na wenzake wawili, Joran Bashange na Salim Bimani wamefungua kesi Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga Muswada...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto: Wabunge ‘makasuku’ wanatukwamisha Bungeni

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo ameeleza kuwa wingi wa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) bungeni kuna kwamisha maslahi ya wananchi kutokana kutumia...

Habari za SiasaTangulizi

Vigogo hawa kutikisa Kisutu leo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo inatarajia kusikiliza kesi ya vigogo tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)....

Habari za SiasaTangulizi

Abdul Nondo arejea UDSM

ZIMEBAKI siku mbili kwa Abdul Nondo, Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP) kurejea chuoni (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam-UDSM) baada ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Watoto 5,500 watazaliwa 2019, UNICEF wajipanga kwa usalama wao

SHIRIKA la Wototo Duniani (UNICEF) limeeleza kuwa siku ya mwaka mpya kutazaliwa watoto 395,072 ambapo nchini Tanzania watazaliwa watoto 5,500 ambao ni sawa...

Habari za SiasaTangulizi

Chungu na tamu ya siasa 2018

TAMATI ya mwaka 2018 inakaribia, yapo yaliyofurahisha na kuchukiza. mwaka inakwisha huku taifa likibeba matukio mengi. miongozini mwayo yanahuzunisha na hata kuumiza mtu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Nusura ya MV. Nyerere kutokea Mafia

IKIWA ni miezi minne tangu Tanzania kupoteza zaidi ya watu 200 katika Ziwa Victoria kwenye ajali ya MV. Nyerere, watu 75 wamenusurika kufa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema waanza kupanga safu yao ya uongozi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeanza maandalizi ya uchaguzi ndani wa ndani. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Wakati harakati hizo zikiendelea Mwenyekiti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli amtolea nje Mnyika

RAIS John Magufuli amemgomea John Mnyika, Mbunge wa Kibamba na Saed Kubenea, Mbunge wa Ubungo kuhusu ombi lao la kuitaka serikali kuwalipa fidia...

Habari za SiasaTangulizi

Hukumu ya Uenyekiti wa Prof. Lipumba Januari mwakani

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imehalisha kutoa uamuzi juu ya uhalali wa Msajili wa vyama vya siasa nchini kumtambua Profesa Ibrahim...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya dhamana ya Mbowe, Matiko kiza kinene

MAHAKAMA Kuu, kanda ya Dar es Salaam, inatarajiwa kutoa maamuzi muda mfupi ujao, iwapo maombi ya Freeman Mbowe na Ester Matiko ya kupewa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, Matiko waruka kihunzi

JAJI wa Mahakama Kuu, Sam Rumanyika, ametupilia mbali, mapingamizi ya serikali yaliyolenga kumzuia Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini,...

ElimuTangulizi

Ngono, ngono, ngono UDSM

LEO yaweza kuwa siku ngumu kwa utawala na baadhi ya wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) iwapo Dk. Vicensia Shule...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe, Matiko yalala tena, Mawakili wavutana

JAJI wa Mahakama Kuu, Sam Rumanyika, amepanga kutoa umauzi wa pingamizi la awali kwenye kesi iliyofunguliwa na mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...

Habari za Siasa

Mradi wa Lipumba kumng’oa Maalim Seif wakumbana na vigingi

MKAKATI wa mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), “aliyechongwa” na msajili wa vyama vya siasa, Prof. Ibrahimu Lipumba, kutaka kuwaondoa wafuasi wa Katibu...

Habari za SiasaTangulizi

Sababu za Mbowe, Matiko kutupwa magerezani hizi hapa  

HAKIMU Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, jijini Dar es Salaam, Wilbard Mashauri, ametoa sababu kubwa tano alizofikia kufanya maamuzi ya kufuta dhamana...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, Matiko wafutiwa dhamana

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imewafutia dhamana, mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na mbunge...

Habari za SiasaTangulizi

Bwege, Vigogo wa CUF wahamishiwa Lindi

JESHI la Polisi limewasafirisha viongozi watatu waandamizi wa Chama cha Wananchi (CUF), waliowakamata juzi jioni baada ya kampeni za udiwani kwenye kata Kivinje...

Habari za SiasaTangulizi

Usafiri wakwamisha kesi ya Rugemalira, Seth

TATIZO la usafiri limekwamisha kesi ya Harbinder Seth na mfanyabiashara James  Rugemalira iliyokuwa ikitajwa leo Alhamisi Novemba 22, 2018 lakini imeshindikana kutoka na...

Habari za Siasa

Kesi ya Mdee hakimu awakia serikali

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashataka kuharakisha ushahidi kwenye kesi inayomkabili Halima Mdee Mbunge wa Kawe ya ya kutumia lugha...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge Bwege atiwa mbaroni na polisi

VIONGOZI watatu wandamizi wa Chama cha Wananchi (CUF), wamekamatwa na jeshi pa polisi, wilayani Kilwa, mkoani Lindi, kwa tuhuma “zisizojulikana.” Anaripoti Faki Sosi...

Habari za Siasa

Sherehe za Uhuru zapigwa ‘stop’

RAIS John Magufuli amepiga ‘stop’ kufanyika Sherehe za Uhuru mwaka huu. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa amesema hayo leo...

Habari za Siasa

“Tusiiogope sheria ya vyama vya siasa tuikabili”

NI siku ya tatu tangu Serikali kuifikisha Bungeni Muswada wa sheria ya vyama vya siasa nchini ambapo umoja wa vyama vya siasa visivyokuwa...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yaigeukia Serikali kesi ya kina Kitilya

MAHAKAMA ya hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa Jamhuri kuharakakisha upelelezi wa kesi inayomkabili Kamishna wa zamani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),...

Habari za SiasaTangulizi

Waitara: Wathubutu waone

NAIBU Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mwita Waitara amesisitiza kuwa, marufuku ya wazazi kuchangishwa michango ya wananfunzi shuleni...

error: Content is protected !!