Tuesday , 19 March 2024
Home pendo
38 Articles1 Comments
Habari za Siasa

Mfahamu Dk. Philip Mpango

  DAKTARI Phillip Isdor Mpango, mtaalamu wa masuala ya uchumi aliyependekezwa kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania na Rais Samia Suluhu Hassan, alizaliwa...

Habari za SiasaTangulizi

Utabiri wa MwanaHALISI, watimia, Mbunge wa Chadema ang’oka

MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Siha, mkoani Kilimanjaro, Dk. Godwin Mollel, amekihama chama hicho. Anaripoti Pendo Omary…(endelea). Dk. Mollel alitangaza kujivua uanachama...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea: Serikali imeidharau Mahakama

KAMPUNI ya Hali Halisi Publishers Ltd (HHPL) inayomiliki na kuchapisha magazeti likiwemo la MwanaHALISI inaamini kuwa serikali imekiuka amri ya Mahakama Kuu ya...

Habari Mchanganyiko

Wachimbaji madini wanawake wamlilia Magufuli 

WACHIMBAJI madini wanawake nchini wameitaka serikali kuwawezesha ili kukuza sekta hiyo inayochangia pato la taifa na kukuza ajira kwa vijana, anaandika Pendo Omary....

Elimu

Shule ‘Direct’ yakomboa wanafunzi na walimu

MPANGO wa “Shule Direct” yenye kauli mbiu “jifunze mahali popote, wakati wote” inayomwezesha mwanafunzi kutumia simu ya mkononi au kompyuta kujifunza imetajwa kuchochea...

Habari Mchanganyiko

Wanaharakati wamkumbusha Rais Magufuli milioni 50

WANAHARAKATI wa maendeleo haki za binadamu na usawa wa kijinsia wameitaka Serikali kutekeleza ahadi yake ya kutoa Sh. 50 milioni kwa kila kijiji...

Habari Mchanganyiko

TGNP yatoa tuzo kwa wanawake

TGNP Mtandao imetoa tuzo kwa wanawake waliojitoa kwa ajili ya kutetea wenzao hapa nchini na nje ya Tanzania anaandika Pendo Omary. Akizungumza wakati...

Habari Mchanganyiko

Mabalozi, mashirika ya kimataifa yapongeza tamasha la jinsia

BALOZI wa Ireland nchini Tanzania, Fionnuala Gilsenan amesema hakutakuwa na mafanikio bila utambuzi wa haki za makundi yaliyokandamizwa, anaadika Pendo Omary. Gilsenan ametoa...

Habari Mchanganyiko

Waziri kivuli asema  Bodi ya Mikopo imevunja Katiba

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Imetajwa kuvunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 katika...

Habari za Siasa

Bunge limepoteza sifa yake-Mngwali

RIZIKI Shahari Mngwali, Mbunge wa Mafia- viti maalum kwa tiketi ya Chama cha Wananchi- CUF amesema Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepoteza...

Habari Mchanganyiko

Sherehe za miaka 60 tangu Aga Khan kusimikwa uimamu kuanza kesho

KESHO kunatarajiwa kuanza kwa sherehe za maadhimisho ya miaka 60 tangu  Mtukufu Aga Khan alipochaguliwa kuwa imamu Mkuu wa dhehebu la Shia Ismailia ulimwenguni, tukio...

Habari za Siasa

NCCR yalia na ukandamizaji wa demokrasia  

JUJU Danda, Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR – Mageuzi amesema hali ya demokrasia nchini Tanzania kwa sasa siyo nzuri kutokana na Serikali...

Habari za Siasa

Wanawake ACT wamvaa JPM

NGOME ya Wanawake ya Chama cha ACT –Wazalendo imemtaka Rais John Magufuli atengue kauli yake kuhusu marufuku ya wanafunzi wanaopata ujauzi kurejea masomoni...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli apingwa

MSIMAMO wa Rais John Magufuli kuhusu katazo la watakaopata mimba katika utawala wake kutopata haki ya kurudi shuleni imeibua mjadala mpana mitandaoni, sehemu...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea ahoji: Who is Makonda?

MBUNGE wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea, amemvaa Waziri Mkuu wa Jamhuri, Kassim Majaliwa kuhusiana na kauli yake kuwa “serikali inachunguza vitendo vya utekaji,”...

Habari za Siasa

Mahakama Kuu yazuia ruzuku ya CUF

MAHAKAMA Kuu, Masijala ya Dar es Salaam imemzuia Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kutoa fedha za ruzuku ya Chama cha...

Habari za SiasaTangulizi

Lijualikali: Nimepata mateso makali Ukonga

PETER Lijualikali, Mbunge wa Kilombero, (Chadema) amesema akiwa mfugwa kwa yake kwa siku 79 katika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam, aliteswa...

Habari za SiasaTangulizi

Lijualikali arudi uraiani, Sumaye ampokea

FREDERICK Sumaye, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, ameongoza viongozi wa Chadema waliofika kwenye gereza la Ukonga kumtoa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali,...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama Kuu yamtoa Lijualikali gerezani

PETER Lijualikali (30), Mbunge wa Kilombero kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yupo huru. Amevuka vinzingiti dhidi ya haki. Ameshinda...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli awaonya wanahabari, asema hawana uhuru

RAIS John Magufuli leo amewaonya waandishi na wamiliki wa vyombo vya habari kwa namna wanavyofanya kazi yao. “Be careful, watch it. Sasa mnafikiri...

Habari za Siasa

Wanasiasa, wadau wamtia moyo Nape

WANANCHI na wadau mbalimbali wametoa maoni juu ya Rais John Magufuli kutengua uteuzi wa Nape Nnauye aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda alitishia kuwafunga jela Clouds

KAMATI ya Nape Nnauye, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ya kuchunguza uvamizi uliofanywa kwa studio za Clouds Media na Mkuu wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wahariri, Waandishi wamsusia Makonda

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) na Klabu ya Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Dar es Salaam (DCPC), wameazimia kumnyima Paul Makonda, Mkuu...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli amwambia Makonda “chapa kazi”

RAIS John Magufuli amemwambia Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, “endelea kuchapa kazi” na anamtaka aamini kuwa ni yeye rais...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema: Bajeti ijayo maumivu tupu

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema Bajeti inayopendekezwa na serikali katika mwaka wa fedha 2017/2018 ina mapungufu makubwa yanayotishia hata utekelezaji wake,...

Habari Mchanganyiko

Magufuli, Zitto, Mwigulu wanena kuhusu wanawake

VIONGOZI mbalimbali wa kisiasa pamoja na watu mashuhuri hapa nchini akiwemo Rais John Magufuli, wametoa salamu za kuwatakiwa heri wanawake katika kilele cha...

Habari za SiasaTangulizi

CUF yampuuza Prof. Lipumba

NASSOR Ahmed Mazrui, Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Zanzibar amesema Katiba ya chama hicho haimpi mamlaka yoyote Profesa Ibrahim Lipumba...

Habari za Siasa

‘Katiba pendekezwa itachochea Wazanzibar kudai uhuru’

OTHMAN Masoud Othman, aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kabla ya kutimuliwa kwa kuunga mkono mapendekezo ya serikali tatu, amesema Katiba inayopendekezwa  itajenga mfumo...

Habari Mchanganyiko

Mama Kikwete afariki dunia

NURU Khalfan Kikwete, mama mlezi wa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefariki dunia mapema hii...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo walilia Azimio la Arusha

CHAMA cha ACT- Wazalendo kimesema chimbuko la kiwango cha kutisha cha rushwa na ufisadi uliotamalaki nchini kwa sasa, ni uamuzi wa uongozi kufuta...

Habari MchanganyikoTangulizi

Washukiwa wa unga, wamtii Makonda

WEMA Sepetu amefika. Babuu wa Kitaa amefika. Khalid Mohamed (TID) amefika. Hamidu Chambuso (Nyandu tozi) naye amefika. Ni wasanii walioepuka ‘kiaina’ mgogoro mkubwa...

Habari Mchanganyiko

Polisi: wanaoporwa mamilioni hawatunzi siri

WASAFIRISHAJI wa fedha wametakiwa kuwa na usiri katika michakato yote inayohusiana na usafirishaji wa fedha ili kuepuka matukio ya kuvamiwa na majambazi, anaandika...

Habari za SiasaTangulizi

ACT yazidi kuikaba serikali

CHAMA Cha ACT-Wazalendo sasa kinataka serikali imwelekeze Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kufanya ukaguzi maalum kwenye utoaji wa vibali...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema alia na kodi

ONGEZEKO la kodi limetajwa kuchochea hali ngumu ya maisha inayolalamikiwa na wananchi wengi hapa nchini, anaandika Pendo Omary. Casimir Mabina, Mratibu wa Chama...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dar kuwavaa wauza silaha

JESHI la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewataka wafanyabiashara kuacha kuuza silaha kama mapanga, majambia, visu, manati na upinde bila utaratibu...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amwaga siri kufungwa Lijualikali

HATUA ya Mahakama ya Wilaya ya Kilombero, Morogoro kumfunga Peter Lijualikali, Mbunge wa Jimbo la Kilombero miezi sita jela, inatokana na visa vya...

Afya

MSD yawatangazia ‘neema’ wagonjwa

BOHARI ya Dawa hapa nchini (MSD) leo imetangaza hali ya kuridhisha ya upatikanaji wa dawa na kusema hadi kufikia mwishoni mwa mwezi huu...

Habari za SiasaTangulizi

Kimbembe CUF, 369 milioni zatoroshwa

SHILINGI 369.4 milioni mali ya Chama Cha Wananchi (CUF) zinadaiwa kutoroshwa kutoka Hazina ya Serikali Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania siku...

error: Content is protected !!