Thursday , 28 March 2024
Home mwandishi
8551 Articles1218 Comments
Biashara

Sloti ya Super 20 Star, ishi kistaa ukisaka utajiri na Meridianbet

  KILA mtu ni staa wa maisha yake, kila unachokifanya unaweza kujikuta unafaidika nacho na kukufanya kuwa maarufu, ipo mifano mingi ya watu...

Biashara

Exim yaongeza faida kwa 36% mwaka 2023

Benki ya Exim imetangaza ripoti yake ya kifedha ya mwaka 2023, inayoonesha mafanikio makubwa katika nyanja mbalimbali ikiwemo ongezeko la faida kabla ya...

Habari za Siasa

Mbunge ataka vigoli kuzuiwa kuingia disko

MBUNGE wa Gando (CCM), Mussa Omar Salim, ameitaka Serikali kuweka mikakati ya kuzuia wimbi la wasichana wenye umri chini ya miaka 18 kwenda...

Habari za Siasa

Madereva bodaboda wachongewa bungeni

SERIKALI imetakiwa kuweka mikakati ya kudhibiti ajali za barabarani zinazosababishwa na uzembe wa baadhi ya madereva wa pikipiki (bodaboda), ili kunusuru maisha ya...

Habari za Siasa

CCM yamlilia Thadei Ole Mushi

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimemlilia kada wake, Thadei Ole Mushi, aliyefariki dunia jana tarehe 4 Februari 2024, akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo...

Elimu

St. Mary’s Mbezi Beach High School yafanya maajabu kidato cha nne

  WANAFUNZI waliomaliza  kidato cha nne kwenye shule ya sekondari St Mary’ s Mbezi Beach na kufaulu kwa daraja la kwanza wamepewa zawadi...

Biashara

Ushindi mkubwa na Meridianbet kasino, 9 Enchanted beans sloti 

  ZAMANI kulikuwa na utaratibu na utamaduni wa kusimuliana hadithi, mababu na bibi zetu walikuwa ndiyo vinara wa kutoa stori za kale zenye...

Michezo

Nufaika na maokoto ya Meridianbet leo

LEO ndio siku ya kupiga maokoto ndani ya meridianbet, ingia kwenye App sasa na uanze kutengeneza jamvi lako safi kabisa ujiweke kwenye nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

Samia amlilia Rais Namibia

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameeleza kusikitishwa na kifo cha Rais wa Jamhuri ya Namibia, Dk. Hage Gottfried Geingob kilichotokea leo Jumapili...

Habari Mchanganyiko

Polisi wachunguza kifo mkuu wa kituo aliyedaiwa kuuawa na polisi

Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limetangaza kuendelea kufanya uchunguzl wa tuklo la mauaji ya Mkuu wa kituo kidogo cha Polisi Chiungutwa Wilaya ya...

Michezo

Utamu wa maokoto upo hapa ndani ya Meridianbet

JUMAMOSI ya maokoto imefika ambapo leo hii ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea ambapo wewe una nafasi ya kujipigia maokoto hayo kwa kubashiri mechi hizo...

Habari za Siasa

Wabunge CCM wafunguka miswada uchaguzi kupitishwa bungeni

BAADHI ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamesema hatua ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kukubali marekebisho ya sheria za uchaguzi imeonesha...

Habari za Siasa

Mbunge Chadema kuwasilisha muswada binafsi bungeni kudai katiba mpya

MBUNGE wa Nkasi Kaskazini (Chadema), Aida Khenani, amesema anakusudia kuwasilisha bungeni muswada binafsi wa kudai ufufuaji mchakato wa upatikanaji katiba mpya. Khenani amenuia...

Habari za SiasaTangulizi

Mzee Mwinyi alazwa hospitali

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi amepelekwa hospitali akiugua maradhi ya kifua. Anaripoti...

Biashara

Safari na Meridianbet kasino kutimiza ushindi wako

  MERIDIANBET Inakuletea mchezo kasino mtandaoni wa kushangaza ambao utakushangaza kwa jinsi. Unakaribishwa kukutana na Vikings ambao watakupatia bonasi za kasino mtandaoni za kushangaza. Ni...

Habari za Siasa

Mbunge aichongea wizara ya maji kwa Samia, Spika atoa maagizo

MBUNGE wa Momba (CCM), Condester Sichalwe, ameichongea Wizara ya Maji kwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, akidai imeshindwa kutekeleza agizo lake la kutatua...

Habari Mchanganyiko

Ulanga wapigwa msasa kuhusu elimu ya sheria

KATIKA kuadhimisha wiki ya sheria nchini, Mahakama ya Wilaya Ulanga imetoa elimu ya sheria kwa wadau mbalimbali kwa lengo la kuwaelimisha kuhusu masuala...

Habari za SiasaTangulizi

Simai amjibu Rais Mwinyi “Nilisema ukweli”

NI ‘majibizano’! Ndivyo uanavyoweza kutafsiri kile kinachoendelea kati ya Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi na aliyekuwa Waziri wa Utalii na Mambo ya...

Biashara

Mfahamu shujaa wa Roma ndani ya Meridianbet kasino 

    KAMA umekuwa unapendelea mambo na historia za kale, basi kuna jambo lako pale Meridianbet kasino ya mtandaoni. Mara hii unakaribishwa kwenye...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mwigulu: Ushirikiano mzuri umestawisha sekta ya madini Tz

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amesema mahusiano mazuri yaliyopo kati ya Serikali na Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML)...

Habari Mchanganyiko

Mwalimu, mkewe mbaroni kwa kumficha mtoto (8)

JESHI la polisi mkoani Songwe linamshikilia Mwalimu Baraka Mwashihuya mkazi wa kitongoji cha Tazara – Mamlaka ya mji mdogo wa Mlowo wilayani Mbozi...

AfyaTangulizi

Wanawake walalamikia ukubwa kondomu za kike, waomba zipunguzwe

Wataalamu wa afya wilayani Ileje mkoani Songwe wameagizwa kuanza kutoa elimu ya matumizi sahihi ya kondomu za kike ambazo zimelalamikiwa na  baadhi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yabanwa mgawo wa umeme, yaomba uvumilivu hadi Feb. 16

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amewaomba Watanzania waendelee kuvumilia makali ya mgawo umeme hadi tarehe 16 Februari mwaka huu ambapo majaribio ya...

Biashara

Apata msaada wa chakula kutoka Meridianbet, cheza kasino ushinde.

  SAFARI ya kuelekea maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar Es Salaam kuzishika mkono familia zenye halingumu ya kimaisha, ilianzia makao makuu yakampuni...

Habari za Siasa

Makamba anadi fursa za biashara, uwekezaji Italia

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amenadi fursa za biashara na uwekezaji zinazopatikana nchini katika mkutano wa...

Biashara

TARURA yaonya matumizi vivuko vilivyozuiliwa

Watumiaji wa barabara mkoani Dar es Salaam wameshauriwa kutotumia barabara au vivuko ambavyo vimewekwa vizuizi katika kipindi hiki ambacho mvua zinaendelea kunyesha nchini....

Tangulizi

Serikali kufanya tathmini athari za kimazingira

Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na wizara za kisekta imeanza kufanya tathmini nchi nzima kubainisha maeneo yanayohitaji kufanyiwa maboresho...

Biashara

NEEC yawapa mbinu wanawake, vijana kujikwamua kiuchumi

KATIBU Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), BengI Issa, amewataka wanawake na vijana kutumia vizuri na kwa nidhamu fedha...

Michezo

Ushindi unaanzia na kubashiri na Meridianbet

  MERIDIANBET inasema hivi, mechi za EPL leo zinaendelea na wewe bado una nafasi ya kukusanya maokoto yako kama wikendi hukubahatika kujipigia mkwanja...

Habari za Siasa

Samia akabidhi boti 160 za uvuvi, vizimba vya kufugia samaki

Rais Samia Suluhu Hassan ameitaka wizara ya mifugo na uvuvi kushirikiana na Sekretarieti za Mikoa na Halmashauri kudhibiti na kutokomeza vitendo vya uvuvi...

Habari za Siasa

Haya hapa majina ya madiwani 5 walioteuliwa na NEC

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewateua Madiwani Wanawake wa Viti Maalum watano kujaza nafasi wazi katika Halmashauri tano za Tanzania Bara. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Kamati: Isiwe lazima wakurugenzi kusimamia uchaguzi

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imependekeza kwamba sheria ya uchaguzi wa rais, wabunge na madiwani isiweke ulazima kwa...

Habari za Siasa

Vigogo 51 kikaangoni kwa kufuja fedha za miradi 274

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amesema katika kipindi cha Julai 2022 hadi Desemba...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yaweka historia mpya, faida yapaa hadi bil. 775

BENKI ya NMB imeweka rekodi mpya ya ufanisi kiutendaji kwa kutengeza faida kabla ya kodi ya TZS bilioni 775 na kupata mafanikio mengine...

Biashara

Ingia jangwani kusaka dhahabu kwenye kasino ya Gold Oasis

  GOLD Oasis, mchezo mwingine wa sloti  kutoka Meridianbet kasino ya Mtandaoni unaokupeleka maeneo ya jangwa la Sahara. Kazi yako ni kujiunga na...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge kuanza na miswada 3 ya uchaguzi

Mkutano wa 14 wa Bunge la 12 uliopangwa kufanyika kwa muda wa wiki tatu kuanzia kesho tarehe 30 Januari hadi tarehe 16 Februari...

Biashara

2023: Mwaka wa ubunifu na uendelevu kwa SBL

  KATIKA harakati za kuinua kipato cha mtu mmoja mmoja, Serikali imedhamiria kupambana na umasikini kwa kujenga Uchumi wa Kiushindani wa Viwanda. Serikali imeweka...

Habari za Siasa

Utoaji hati wasitishwa Arusha

KAMISHNA wa Ardhi mkoani Arusha, Geofrey Msomsojo amezuia zoezi la utoaji hati za umiliki wa ardhi, katika eneo la ekari sita, lililopo kata...

Habari za Siasa

Ujenzi bomba la mafuta safi Dar – Ndola Zambia waiva

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko pamoja na Waziri wa Masuala ya Nishati wa Zambia, Peter Kapala wamefanya kikao...

Michezo

Mashindano ‘NBC Waitara Trophy 2024’ yang’ara

Mashindano ya Gofu ya ‘NBC Waitara Trophy 2024’ yamehitimishwa kwa mafanikio makubwa huku mdhamini mkuu wa mashindano hayo, benki ya NBC ikiahidi kuendelea...

Biashara

Afisa Mkuu wa Fedha – AngloGold Ashanti atembelea GGML

Afisa Mkuu wa masuala ya fedha (CFO) kutoka Kampuni ya AngloGold Ashanti inayomiliki Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), Gillian Doran wiki...

Habari za Siasa

Tanzania kunufaika na trilioni 14 za miradi Italia

Tanzania imechaguliwa kuwa moja ya nchi nane za Afrika zitakazopewa kipaumbele na Italia kupitia mpango mpya wa kimkakati wa Mattei (Mattei Plan) ambapo...

Habari za Siasa

Bawacha wamng’ang’ania Spika Tulia sakala la kina Mdee

Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema (Bawacha), limesema iwapo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk....

Habari Mchanganyiko

Oryx Gas yakabidhi mitungi 700 kwa waziri Jafo

KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania kwa kushirikiana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Dk. Selemani Jafo wamekabidhi ...

Habari za Siasa

Makamba amwakilisha Samia mkutano wakuu wa nchi Italia

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amewasili Roma, Italia kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yajifungia kuchagua watendaji wa mikoa, majimbo

IKIWA umesalia takribani mwezi mmoja kwa Chama cha ACT-Wazalendo kufanya uchaguzi wake mkuu, chama hicho kimefanya kikao cha kuteua makatibu wa mikoa na...

Habari za Siasa

Rais Samia aadhimisha ‘birthday’ kwa tukio hili

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameadhimisha kumbumbuku ya siku ya kuzaliwa (Birthday) kwa kushiriki kupanda miti inayotarajiwa 4720, katika eneo la ekari 35.7...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba asema upatikanaji katiba mpya mfupa mgumu

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema mapambano ya kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi bado ni mfupa...

Biashara

Meridianbet wagawa miamvuli kwa wafanyabiashara wa Mbagala rangi 3

MERIDIANBET wameendelea kurejesha kwenye jamii kama ilivyo kawaida yao huku leo hii siku ya Jumamosi wamerudi tena Mbagala Rangi 3 kwaajili ya kugawa...

Habari Mchanganyiko

Watalii 534,065 waingiza bil. 123 Ngorongoro

Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), Richard Kiiza amesema kazi kubwa iliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan imeongeza kasi...

error: Content is protected !!