Friday , 29 March 2024
Home mwandishi
8556 Articles1227 Comments
Habari Mchanganyiko

Kampuni 500 kushiriki maonyesho ya TIMEXPO 2024

SHIRIKISHO la Wenye Viwanda nchini  ( CTI) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (Tantrade), wamezindua  mipango ya ushiriki wa Maonesho ya...

Biashara

Puma Tanzania yaneemesha wanafunzi 2,050 Z’bar

KATIKA jitihada za kuunga mkono serikali kupunguza uhaba wa matundu ya choo kwa wanafunzi shuleni, Puma Energy Tanzania imefanya ukarabati mkubwa wa majengo...

Michezo

Kusanya maokoto na mechi za UEFA leo

  LIGI ya mabingwa barani Ulaya inaendelea hii leo kwa hatua ya 16 kwa timu ambazo wiki iliyopita hazikucheza. Na wewe mteja una...

Habari Mchanganyiko

NIMR: Simu kutumika kufanya utafiti wa magonjwa yasiyoambukiza

  TAASISI ya Taifa ya Tafiti za Magonjwa ya Binadamu NIMR kwa kushirikiana na Wizara ya Afya hivi karibuni inatatarajia kuanza kufanya utafiti...

Habari Mchanganyiko

Uwekezaji mkubwa wa Serikali wafanikisha ukamataji wa shehena ya dawa za kulevya

  SERIKALI kupitia Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imesema imepata mafanikio makubwa katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya...

Habari za SiasaTangulizi

Mvua yakatisha mkutano wa Chadema Mbeya

MKUTANO wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), uliokuwa unafanyika kwenye Viwanja vya Ruanda Nzovwe, umeahirishwa baada ya mvua kubwa kunyesha....

Habari za Siasa

Sugu atumia maandamano ya Chadema kumfikishia ujumbe Spika Tulia

ALIYEKUWA Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi “Sugu”, ametumia maandamano na mkutano wa hadhara wa chama chake cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufikisha...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la DP World na bandari lafufuka upya

SAKATA la mkataba wa kiserikali kati ya Tanzania na Imarati ya Dubai, juu ya ushirikiano wa uwekezaji kwenye baadhi ya maeneo ya Bandari...

Biashara

Huu hapa mchezo mpya Poker “All Aces”, ushindi kugusa Meridiabet kasino 

  Unapotembelea kasino ya mtandaoni ya Meridianbet bila shaka huwa unakutana na michezo mingi ya Poker na kasino lakini mchezo wa All Aces...

Habari za Siasa

Wazabuni Liwale wacharuka, wambebesha zigo Makonda

WAZABUNI waliofanyakazi na Halmashauri ya Liwale na kushindwa kulipwa fedha zao, wamembebesha mzigo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

Habari za SiasaTangulizi

Maelfu waitikia maandamano ya Chadema Mbeya

MAELFU ya wafuasi na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamejitokeza katika maandamano ya amani ya kudai katiba mpya na  tume...

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi 40 waula GGML, kupata mafunzo kazini kwa mwaka 1

KATIKA kudhihirisha dhamira ya kuwajengea wahitimu wa vyuo mbalimbali kukubalika kwenye soko la ajira, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imezindua mafunzo...

Biashara

NMB yamwaga misaada kwa shule tano Rorya

BENKI ya NMB imetoa msaada wenye thamani ya zaidi ya Sh 80 milioni ukiwa ni madawati 250 pamoja na mabati 368 kwa shule...

Habari za Siasa

Upinzani watakiwa kushiriki uchaguzi bila kinyongo

VYAMA vya siasa vya upinzani vimetakiwa kushiriki chaguzi zijazo hata kama madai yao ya upatikanaji tume huru ya uchaguzi na katiba mpya hayajafanyiwa...

Biashara

Mchezo wa karata usiotumia Jokeri, Poker Teen Patti kasino mtandaoni, ushindi kwa karata 3 tu 

  HABARI yako mpenzi wa Michezo ya Kasino, leo nataka kukupekea kwenye ulimwengu wa Poker Teen Patti. Kama hujapata fursa ya kucheza poker...

Habari Mchanganyiko

Watetezi haki za binadamu waikaba koo Serikali kisa mgawo wa umeme

SERIKALI imetakiwa kuchukua hatua za haraka kutatua changamoto ya mgawo wa umeme kwa kuwa tatizo hilo linakiuka haki za binadamu hususan ya kufanya...

Habari za Siasa

Selasini: CCM walitunyima vingi kumzuia Lowassa kugombea urais

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Joseph Selasini, amedai Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimewafanya watanzania kutonufaika na Hayati Edward Lowassa, kufuatia hatua yake...

Michezo

Mkwanja utaendelea kutoka leo kupitia ligi kubwa barani Ulaya

LIGI mbalimbali barani ulaya zitaendelea kupigwa leoJumapili ambapo zitakuwezesha wewe mteja waMeridianbet kupiga mkwanja wa kutosha kupitia michezoambayo itapigwa leo,Kwani michezo hiyo imepewa ODDS...

Biashara

Meridianbet yatoa msaada kwa wauza chakula Coco Beach

KAMPUNI bingwa ya michezo ya kubashiri Meridianbet wamefanikia kufika eneo la Coco Beach jijini Dar-es-salaam leo na kuweza kutoa msaada wa vifaa vya usafi...

Michezo

Leo ndiyo siku yako ya wewe kuwa milionea na Meridianbet

  JUMAMOSI ya leo mechi mbalimbali zinaendelea kuanzia kule EPL, Laliga, Bundesliga, Ligue 1 na nyingine nyingi. Huu ndio muda wa wewe kujipigia...

Habari za Siasa

Rais Samia: Lowassa hakukubali kuyumbishwa

  ALIYEKUWA Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, Hayati Edward Lowassa, hakukubali kuyumbishwa katika utekelezaji wa majukumu yake serikalini. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za Siasa

Rais Samia amjibu Mbowe Chadema kutotajwa wasifu wa Lowassa

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema kama historia ya Hayati Edward Lowassa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ingewekwa katika...

Habari za SiasaTangulizi

Uvumilivu wamshinda Mbowe, aivaa familia ya Lowassa

  MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe ameeleza kusikitishwa na hatua ya familia ya Hayati Edward Lowassa kuandika historia ya waziri mkuu huyo mstaafu...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Paroko amshukia diwani, mbunge Ulanga

PAROKO wa Kanisa Katoliki la Sali, Padri Charles Kuandika, amemshukia Mbunge wa Ulanga Mashariki, Salim Almasi (CCM) na Diwani wa Kata ya Sali,...

Biashara

Giant Wild Goose Pagoda sloti kutoka Meridianbet kasino 

  GIANT Wild Goose Pagoda ni mchezo wa sloti kwenye kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zilizopangwa katika mistari minne na ina njia...

Michezo

Unaachaje kuwa milionea ukibashiri na Meridianbet?

  IJUMAA ya leo mechi mbalimbali zinaendelea kuanzia kule Laliga, Bundesliga, Ligue 1 na nyingine nyingi. Huu ndio muda wa wewe kujipigia mkwanja...

Michezo

Cobhams Asuquo agonga kolabo na Sauti Sol kwenye video “Lady Fiona”

MSANII maarufu nchini Nigeria, Cobhams Asuquo ameshirikiana na kundi maarufu nchini Kenya, Sauti Sol kwenye video inayokwenda kwa jina la ‘Lady Fiona’. Anaripoti...

Habari za Siasa

Kigezo mafunzo JKT kutumika ajira serikalini, chaibua mvutano bungeni

  KIGEZO cha mafunzo katika Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), kutumika katika kuajiri vijana kwenye vyombo vya ulinzi na usalama hasa majeshi, kimeibua...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Rostam amuaga Lowassa kwa machozi

  MFANYABIASHARA, mwanasiasa nguli na swahiba wa karibu wa aliyekuwa Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa amewasili nyumbani kwa kiongozi huyo Ngarash wilayani Monduli...

Habari za Siasa

Nchimbi: Tumepoteza mwana Afrika wa kweli

  KATIBU mkuu wa CCM, Balozi Dk. Emanuel Nchimbi amesema mbali na kumpoteza rafiki, na kaka, pia Taifa na Afrika imempoteza Mwana Afrika...

Habari za Siasa

Wabunge wataka wakaguzi wa ndani wapewe meno kudhibiti ubadhirifu

  SERIKALI imetakiwa kuwaongezea mamlaka wakaguzi wa ndani ili waweze kuzuia ubadhirifu na wizi wa mali ya umma unaofanywa na baadhi ya viongozi...

Habari Mchanganyiko

Serikali yasaka wawekezaji uzalishaji sukari

  SERIKALI imeanza utekelezaji mikakati ya kutafuta wawekezaji kwenye sekta ya uzalishaji sukari ili kukabiliana na upungufu wake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme kuisha Machi, Bunge laongezea muda

  MGAWO wa umeme nchini unatarajiwa kumalizika Machi 2024, baada ya mtambo namba tisa wa Bwawa la Kuzalisha Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mzee Mwinyi aendelea na matibabu chini ya uangalizi wa madaktari

  RAIS Mstaafu wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi, anaendelea kupatiwa matibabu chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari, huku familia ikiwaomba Watanzania wamuombee...

Michezo

Leo ni Alhamisi ya Ligi ya UEFA Conference

ALHAMISI ya leo itakua ya neema kwa wateja wa Meridianbetkwani michezo ya Uefa Conference league itakwendakupigwa ambayo itakuwezesha wewe mteja lupiga mkwanjawa kutosha kupitia...

Biashara

Chronicles of Olympus 2 Zeus, sloti yenye historia ya Ugiriki

  MBELE yako ni mchezo wa kasino ya mtandaoni wa kusisimua unaofanyika kwenye Mlima Olympus wenye historia kubwa sana nchi ya Ugiriki kutokana...

Michezo

Alhamisi nyingine hii hapa kwa ajili ya Ligi ya EUROPA 

  BAADA za kushuhudia mechi za ligi ya mabingwa siku hizi mbili, leo hii ni siku ya EUROPA LEAGUE hatua ya 16 bora...

Habari za Siasa

Mamia waupokea mwili wa Lowassa kimyakimya nyumbani kwake

  HATIMAYE Mwili wa aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Hayati Edward Lowassa, umewasili nyumbani kwake Ngarash wilayani Monduli mkoani Arusha kutoka jijini...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe awakaribisha Dk. Slaa, Mwabukusi Chadema

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe, amemkaribisha aliyekuwa katibu mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa, arejee...

BiasharaHabari za Siasa

Serikali yavutiwa na mpango wa Vodacom wa ‘Code like a Girl’

  SERIKALI imevutiwa na mpango wa Kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania wa ‘Code like a Girl’ na kuahidi kujenga chuo maalum kitachofundisha...

Habari za Siasa

Mwili wa Lowassa wawasili Arusha, vilio vyatawala

  MWILI wa aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Hayati Edward Lowassa, umewasili mkoani Arusha, kwa ajili ya kupelekwa nyumbani kwake Monduli, ili...

Habari za Siasa

Malaigwanan waomba Lowassa azikwe kimila

  VIONGOZI wa kimila wa jamii ya Wamasai (Malaigwanan), wameomba aliyekuwa Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Edward Lowassa, azikwe kimila kwa kuwa enzi za...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Sina doa na Lowassa

  MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, ambaye alikuwa kinara kumtuhumu kwa ufisadi aliyekuwa Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, amesema hana doa...

Michezo

Jumatano ya kupigwa mkwanja kwenye usiku Ulaya 

  LIGI ya mabingwa ulaya itaendelea leo katika viwanja mbalimbali barani ulaya ambapo itakujia na ODDS KUBWA kama ilivyo kawaida ya mabingwa wa...

Biashara

Cake & Ice Cream kasino mtandaoni ushindi x2500

  HAKUNA mtu asiyejua utamu wa keki, na utamu huo hupatikana kwa kutengenezwa vizuri na kupambwa kwa Ice Cream bomba ili kuivutia keki,...

Habari za Siasa

Chadema yawaita CCM kwenye maandamano

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimewataka wanachama wa vyama vya siasa hususan Chama Cha Mapinduzi (CCM), kushiriki maandamano waliyoyaandaa kupinga ugumu wa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Askofu Malasusa awataka viongozi wa kisiasa kumrudia Mungu

MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Malasusa, amewataka viongozi wa kisiasa kufanya ibada kulingana na imani zao ili...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yaamuru nyumba ya Mbowe ipigwe mnada

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Divisheni ya Kazi imetoa amri na kumteua dalali wa kukamata nyumba ya mtoto wa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe,...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Ujumbe wa Kwaresma: TEC walia na malezi katika familia, viongozi wasiowaadilifu

BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limetoa waraka wa kipindi cha Kwaresma, huku likihimiza mifumo ya uongozi ya kifamilia na kisiasa iimarishwe ili...

error: Content is protected !!