Thursday , 25 April 2024
Home mwandishi
8714 Articles1250 Comments
Habari za Siasa

RC mstaafu afariki dunia, CCM yamlilia

ALIYEWAHI kuwa mkuu wa mikoa ya Dodoma, Mara, Mtwara na Arusha kwa nyakati tofauti, Isdory Shirima amefariki dunia leo tarehe 31 Machi 2023....

Habari Mchanganyiko

Luhemeja ahimiza utunzaji rasilimali maji kwa faida ya vizazi vijavyo

  NAIBU Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema kuendeleza na kutunza rasilimali za maji hapa nchini ni jambo la msingi...

Habari za Siasa

Kamala ataja hatua mpya kuimarisha uhusiano wa kibiashara Tanzania, Marekani

KATIKA kuimaridha uhusiano wa kibiashara na kiuchumi baina ya Tanzania na Marekani, Makamu wa Rais wa Taifa hilo kubwa duniani, Kamala Harris, amesema...

Habari Mchanganyiko

NMB yadhamini mkutano TEF, yapewa cheti

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limetoa cheti cha utambuzi kwa Benki ya NMB kuwa moja ya wadhamini wakuu wa mkutano wa 12 wa...

Habari za Siasa

Ukaguzi wa CAG yabaini madudu ‘Plea Bargain’

  UKAGUZI Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu fedha makubaliano ya washatakiwa na Ofisi ya Taifa ya Mwendesha Mashitaka...

Habari Mchanganyiko

NHIF yazidiwa, yalipa malipo kwa vituo hewa

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Charles Kicheere amesema ukaguzi wa mfumo wa ulipaji wa Mfuko wa Bima ya Afya...

Kimataifa

Marekani yatia mguu maaandamano Kenya, yatoa maagizo kwa Rais Ruto, Odinga

  Mabalozi kutoka nchi sita za Magharibi, zikiongozwa na Marekani, zimeonesha wasiwasi kuhusu maandamano yanayoendelea nchini Kenya na kutaka kuwepo kwa maridhiano kati...

Kimataifa

Papa Francis alazwa hospitali kutokana na maambukizi ya mapafu

  KIONGOZI wa Kanisa katoliki duniani, Papa Francis jana Jumatano amelazwa hospitali kutokana na maambukizi ya mapafu baada ya kukabiliwa na matatizo ya...

Habari Mchanganyiko

NMB yakabidhi vifaa vya ujenzi, samani kwa shule ya msingi Sinyaulime, Chuo cha FDC Morogoro

BENKI ya NMB imekabidhi vifaa vya ujenzi kwa shule ya msingi Sinyaulime na Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa (FDC) vyenye thamani ya...

Makala & Uchambuzi

Kondomu zinavyotumika kufukuza Tembo

MIKUMI ni miongoni mwa hifadhi za Taifa, inashika nafasi ya 9 kwa ukubwa kati ya hifadhi 22 zinazosimamiwa na Shirika la Hifadhi za...

Habari Mchanganyiko

NMB Bonge la Mpango – ‘Moto Uleule’ yazinduliwa, Milioni 180…

MSIMU wa tatu wa Kampeni ya kuhamasisha utamaduni wa Kuweka Akiba na Benki ya NMB ‘NMB Bonge la Mpango’, umezinduliwa rasmi na Mkuu...

Habari za Siasa

TEMESA iliyokarabati Kivuko kwa Bil 7.5 yapata hati chafu

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kicheere ametoa hati mbaya kwa Wakala wa Umeme na Ufundi Tanzania (TEMESA)...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yakusanya Mil 8.5/- kodi ya zuio na kutokomea nazo

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema amebaini upotevu wa kodi ya zuio ya Sh 749 uliotokana...

Habari za Siasa

DC Kasilda Mgeni ahamasisha chakula shuleni

  MKUU wa Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni amewataka wazazi kupeleka chakula shuleni, ili watoto wasiwe watoro, hali ambayo itaongeza ufaulu....

Habari Mchanganyiko

Rais Samia awataka wahariri kufanya kazi bila uoga, upendeleo

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amewataka wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari Tanzania kufanya kazi kitaaluma bila uoga, upendeleo na uonevu. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

STAMICO yasaini mkataba wa bilioni 55.2 kuchoronga miamba GGML

SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limezidi kufanya vizuri katika shughuli za uchorongaji miamba ya madini baada ya kusaini mkataba wa thamani ya...

Habari Mchanganyiko

NMB yatoa traksuti za Mwenge wa Uhuru Mtwara

BENKI ya NMB imetoa traksuti kwa mkoa wa Mtwara ambako kutafanyika shughuli ya kuwashwa Mwenge wa Uhuru Aprili 2, 2023, katika Uwanja wa...

Kimataifa

Nyumba ya babu yake Makamu wa Rais wa Marekani yatafutwa Zambia

  KAMALA Harris, makamu wa rais wa Marekani, amepanga kutembelea nyumba ambayo aliwahi kuishi yeye na babu yake miaka ya 1960, jambo ambalo...

Habari Mchanganyiko

Mkulima maarufu Mbeya amuangukia Majaliwa, alizeti yadoda ghalani

  MKULIMA maarufu wa mazao ya alizeti, mahindi, mpunga pamoja na mazao mengine ya chakula katika mkoa wa Mbeya, Raphael Ndelwa amesema shehena...

Kimataifa

Benki ya Uswizi mbioni kuziwekea vikwazo akaunti za siri za Wachina

  WAKATI Serikali na Benki ya Uswizi ikichukua hatua kali kwa kuzifungia akaunti za watu wa Urusi kutokana na operesheni zake za kijeshi...

Kimataifa

Netanyau asitisha mipango yenye utata marekebisho mfumo wa sheria

  WAZIRI Mkuu wa nchini Israel, Benjamin Netanyahu amesema atachelewesha sehemu muhimu ya mipango yenye utata ya kurekebisha mfumo wa sheria ambao umefanya...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango kumpokea Makamu wa Rais wa Marekani

MAKAMU wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania tarehe 29 Machi 2023 na kupokewa na Makamu wa Rais Dk. Philip...

Habari Mchanganyiko

Serikali:Tupo kwenye majadiliano na Marekani kurejea MCC

UJIO wa Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, nchini Tanzania unaweza kuwa fursa ya kurudishwa kwa ufadhili wa Marekani kupitia Shirika la...

Habari Mchanganyiko

Sababu Kamala Harris kufanya ziara Tanzania zatajawa

TANZANIA ni miongoni mwa nchi tatu barani Afrika zitakazotembelewa na Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris zingine zikiwa ni Ghana na Zambia. ...

Habari Mchanganyiko

NALA kuwekeza zaidi ya bilioni 2 baada ya kupata leseni ya BoT

KAMPUNI ya Kitanzania inayowezesha huduma ya kutuma na kupokea fedha kwa njia ya kidigitali sehemu mbalimbali duniani (NALA), imepata leseni ya Benki Kuu...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango aipongeza NMB kampeni upandaji miti, Shule zatengewa mamilioni

MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango, ameipongeza Benki ya NMB na kuitaja kuwa kinara katika kuunga mkono jitihada za Rais Samia...

Kimataifa

Raila ahutubia waandamanaji, mabomu yarindima

MSAFARA wa kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga umepita katika eneo la Kawangware jijini Nairobi nchini Kenya na kupata fursa ya...

Kimataifa

Sheria ya kudhibiti maandamano yaandaliwa kumfunga Odinga ‘speed governor’

WIZARA ya mambo ya ndani ya Kenya inapendekeza mabadiliko ya sheria za usalama ambayo yatafanya iwe vigumu kwa watu kufanya maandamano. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa aagiza makatibu wakuu, wakurugenzi kuajiri maofisa habari

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza makatibu wakuu wote, wakurugenzi wa halmashauri, wakuu wa taasisi za umma kuhakikisha taasisi zote za serikali kuanzia ngazi...

Habari Mchanganyiko

Nape atangaza ujio mkakati mpya wa upashanaji habari serikali

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema wizara hiyo ipo hatua ya mwisho ya kukamilisha utayarishaji wa mkakati wa...

Habari Mchanganyiko

Wahariri kujadili Muswada Sheria ya Habari

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), linatarajiwa kufanya kongamano la siku nne kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali kuhusu tasnia ya habari, ikiwemo Muswada...

Kimataifa

Washirika wa Odinga wapokonywa walinzi

SERIKALI ya Kenya imedaiwa kuwaondoa walinzi wa washirika wa kinara wa muungano wa upinzani nchini humo unaofahamika kama ‘Azimio la Umoja’ wanaoshiriki maandamano...

Kimataifa

Makamu wa Rais wa Marekani awasili Ghana

MAKAMU wa Rais wa Marekani Kamala Harris, amewasili hii jana tarehe 26 Machi 2023 mjini Accra nchini Ghana ambako amesema ana matumaini na...

Habari Mchanganyiko

SBL yafadhili semina ya uwezeshaji kwa wasanii wa kike wa Tanzania

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) kwa kushirikiana na Mdundo, kampuni ya huduma ya muziki, imeendesha semina ya uwezeshaji kwa wasanii wa kike...

Michezo

TANROADS wawataka watumishi wazingatie michezo kazini

  WAKALA wa barabara Tanzania (TANROADS) imesema michezo inapaswa kuzingatiwa kwa watumishi kazini na hata jamii majumbani ili kuboresha Afya ya mwili kupambana...

Habari za Siasa

Bilioni 223.9 zapelekwa Tunduru ndani ya miaka 2 ya SSH

  ZAIDI ya Sh. bilioni 223.9 zimepelekwa Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma kusimamia shughuli mbalimbali za maendeleo tangu mwezi Machi 2021 – Machi...

Habari Mchanganyiko

Mahakama: Hatujashindwa kusikiliza mashauri ya ugaidi sababu ya ukosefu wa bajeti

MAHAKAMA ya Tanzania imesema si kweli kwamba imeshindwa kusikiliza mashauri ya watuhumiwa wa ugaidi kutokana na ukosefu wa bajeti. Taarifa hiyo imekuja kufuatia...

Kimataifa

Rwanda kufanya uchaguzi wa rais na wabunge kwa pamoja

BARAZA la mawaziri la Rwanda limesema ofisi ya waziri mkuu imeamua kuoanisha tarehe za uchaguzi wa rais na wabunge nchini humo. Inaripoti Mitandao...

Kimataifa

Mpinzani mkuu wa Rais Kagame aachiwa huru

  PAUL Rusesabagina, aliyewahi kuripotiwa kama ‘shujaa’ katika filamu ya Hollywood “Hotel Rwanda,” baadaye akahukumiwa kifungo cha miaka 25 gerezani na serikali ya...

Habari Mchanganyiko

Mchina wa SGR aburuzwa kortini kwa kumjeruhi Mtanzania, TRC waja juu

  RAIA wa China, Zheng Yuan Feng, amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumjeruhi mfanyakazi mwenzake katika mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa...

Habari Mchanganyiko

Wadau wauchambua muswada sheria ya habari “ muswada wa kupunguza adhabu”

  WADAU wa Umoja wa Haki ya Kupata Habari (CoRI), wameuchambua Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari ya 2016, uliowasilishwa bungeni jijini...

Habari Mchanganyiko

Watendaji Kata, Mitaa watakaoshindwa kusimamia usafi kukiona

  WATENDAJI wa kata, mitaa na vitongoji na maofisa afya wote ndani ya Jiji la Dodoma wametakiwa kuhakikisha wanasimamia usafi wa mazingira ambao...

Kimataifa

Rais Tshisekedi amteua kiongozi wa wanamgambo kuwa Waziri wa Ulinzi

  RAIS wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi, amemteua aliyekuwa kiongozi wa wanamgambo wa DR Congo kuwa waziri wa ulinzi. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Mtia nia urais TLS kukata rufaa kupinga kuenguliwa

  MTIA nia ya kugombea Urais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Sweetbert Nkuba amelaani kuenguliwa kwa jina lake kwenye hatua za awali...

Habari Mchanganyiko

NBC yazindua kampeni ya mkeka wa ushindi na ATM zake

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetangaza uzinduzi wa kampeni ya mkeka wa ushindi na ATM za NBC inayolenga kuwapa watumiaji wake nafasi...

Habari Mchanganyiko

Uholanzi wampongeza Rais Samia kuimarisha vyombo vya habari, demokrasia

  UBALOZI wa Uholanzi nchini Tanzania, umempongeza Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuimarisha uhuru na utendaji wa vyombo vya habari nchini.Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Wanajeshi Namibia watembelea TRC, waimwagia sifa SGR

SHIRIKA la Reli Tanzania  (TRC) limepokea ugeni wa wanafunzi wanajeshi wanaoshiriki kozi ya ukamanda na unadhimu kutoka nchini Namibia ambao wametembelea ujenzi wa...

Habari Mchanganyiko

NMB yamwaga mamilioni kuimarisha afya, elimu katika Kanda ya Kati

BENKI ya NMB imetoa msaada vifaa mbalimbali kwa sekta za elimu na afya vyenye thamani ya shilingi milioni 39 kwa Wilaya za Kanda...

Habari Mchanganyiko

Mwanamke afariki akifanya mapenzi kichakani

  Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 37 anakabiliwa na mashtaka ya mauaji baada ya mpenzi wake aliyefahamika kwa jina moja la Milca...

Habari Mchanganyiko

Taasisi ya kuendeleza uchimbaji mdogo imetakiwa kushirikiana na serikali

  KAMISHNA wa Madini Dk. AbdulRahman Mwanga ameitaka Taasisi ya Kuendeleza Uchimbaji Mdogo (FADev) kushirikiana na Serikali katika utekelezaji wa majukumu yake ili...

error: Content is protected !!