Thursday , 28 March 2024
Home mwandishi
8554 Articles1221 Comments
Kimataifa

Xi afanya mabadiliko makubwa baraza mawaziri

Baraza Kuu la Chama cha Kikomunisti cha China limeidhinisha baraza jipya la mawaziri linaoundwa na marafiki wa karibu wa Rais Xi Jinping katika...

Habari Mchanganyiko

Askofu awataka vijana kufanya kazi, kuacha utegemezi

ASKOFU mkuu wa kanisa la The Potter’s House Tanzania (PHCT), Ruth Kusenah amewataka vijana  wote nchini kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kujiongezea...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

WAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0 dhidi ya Mtibwa Sugar ya Turiani mkoani Morogoro, uongozi wa klabu hiyo umesema...

Habari Mchanganyiko

TRC waendesha zoezi la kutwaa ardhi kwa ajili ya kupisha ujenzi wa SGR Tabora

SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) linaendelea na utekelezaji wa utwaaji ardhi kwa matumizi ya ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) mkoani Tabora katika...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia ampandisha cheo RPC wa Dar

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, amempandisha cheo Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar...

Habari Mchanganyiko

Wadau haki binadamu wataka mfumo wa jinai ufumuliwe

WADAU wa masuala ya utetezi wa haki za binadamu, wameshauri mfumo mzima wa haki jinai nchini ufumuliwe kwa maelezo kwamba haukidhi mahitaji ya...

Habari Mchanganyiko

Wanavijiji waikumbuka sekondari iliyokosa maabara kwa miaka 17

WANAVIJIJI wa Kata ya Bukumi, wilayani Musoma Vijijini, Mkoa wa Mara, wamejenga maabara tatu za masomo ya sayansi katika Shule yao ya Sekondari...

Habari Mchanganyiko

Michuzi aipongeza GGML kufungua fursa kwa wanawake, aahidi ushirikiano

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Zahara Michuzi ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuanzisha program zinazolenga kufungua fursa...

Habari za SiasaTangulizi

Wanachama 384 CUF watimkia Chadema, Mbowe awapokea, Kambaya ndani…

JUMLA ya wanachama 384 wanachama wa Chama cha Wananchi CUF akiwamo aliyekuwa Mkurugenzi wa habari na uenezi wa chama hicho, Abdul Kambaya, wametangaza...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi saba NMB wahitimu mafunzo ya Mwanamke Kiongozi (FFT)

JUMLA wafanyakazi wa kike saba wa Benki ya NMB wamehitimu mafunzo Mwanamke Kiongozi yanayoratibiwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE)  yenye lengo la kuwajengea uwezo...

Kimataifa

India, China hatarini kuingia katika mzozo wa kijeshi

RIPOTI ya Jumuiya ya Kijajusi ya Marekani imebaini kuna uwezekano wa kuwepo wa hatari ya kuibuka mzozo wa kijeshi kati ya India na...

Habari Mchanganyiko

UWT Kivukoni Dar waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kupima afya bure

UMOJA wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi UWT Kata ya Kivukoni jijini Dar es Salaam umeadhimisha Siku ya Wanawake duniani kwa kuendesha kampeni...

Habari Mchanganyiko

TLS yatakiwa kuwajengea uwezo wanacha wake

  WAKILI Mkuu wa Serikali amekitaka Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS) kuendelea kuwajengea uwezo wanachama wake ili waweze kufanya kazi kwa weledi...

Habari Mchanganyiko

Majaji wanawake waongezeka, Jaji Mkuu awapa changamoto

  JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, amewataka majaji na mahakimu wanawake nchini, kuwa mstari wa mbele katika matumizi ya Teknolojia ya...

Habari za Siasa

Kesi kina Mdee:Dk. Lwaitama asema atatetea uanachama wao wakiachia ubunge

MJUMBE wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Prof. Azavel Lwaitama, amesema atakuwa wa kwanza kuwatetea wabunge viti maalum...

Burudika

Makali ya Skillager kwenye ‘Busy Body’ usipime!

MWANAMUZIKI anayekuja kwa kasi kwenye game ya Afro Pop, Felix Philemon Sola ‘Skillager’ ameachia kitu kipya, ‘Body Busy’. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Msanii...

Habari za Siasa

Dk. Lwaitama aeileza mahakama kina Mdee walivyomtesa Mbowe

  MJUMBE wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Azavel Lwaitama, amedai wanachama 19 waliofukuzwa na chama hicho...

Habari Mchanganyiko

Wakandarasi watumia mikokote ya ng’ombe kujenga barabara Songwe

IMEELEZWA kuwa kutelekezwa kwa baadhi ya miradi ya ujenzi wa barabara na madaraja katika mkoa wa Songwe imetokana na baadhi ya wakandarasi waliopewa...

Habari za Siasa

Mahakama yakubali ombi la Serikali kuwahoji vigogo Chadema

  MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam, imekubali ombi la upande wa Serikali kuwahoji wajumbe wa Baraza la Wadhamini la Chama...

Habari za Siasa

Dk. Lwaitama: Wakati wa Magufuli ungeweza kutagazwa mbunge hata kama hujachaguliwa

UTEUZI wa wabunge wa viti maalum 19 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiongozwa na Halima Mdee, umeibua mvutano wakati Mjumbe wa...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Equity yaadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake kidigitali

BENKI ya Equity imeadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa kubainisha vipaumbele vya vinavyotoa suluhisho kidigitali katika utoaji huduma za benki kwa wanawake....

Habari Mchanganyiko

Kesi kina Mdee: Serikali yaomba kuwahoji mahakamani vigogo wa Chadema

  UPANDE wa Serikali, umeiomba Mahakama Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam, kupata kibali cha kuwauliza maswali ya dodoso wajumbe wa Bodi...

Burudika

Savage adondosha ‘your waist’ X King Perryy, Psycho YP

MSANII wa muziki wa Rap kutoka Nigeria, Savage a.k.a Savage tha Beast amerejea tena na wimbo wake mpya ‘Your Waist’ akiwa amegonga kolabo...

Habari Mchanganyiko

Barrick yawataka wanawake kuchangamkia fulsa katika sekta ya madini

MENEJA Mkuu wa Barrick Tanzania, Dk. Melkiory Ngido amewataka Wanawake kijiamini na kuchangamkia fursa mbalimbali zilizopo katika sekta ya uchimbaji wa madini. Anaripoti...

Burudika

Lojay aachia ‘moto’, kusafishia njia EP mpya ‘gangster romantic’

STAA wa Amapiano aliyetesa vilivyo na kibao chake ‘Monalisa’, Lojay sasa ameachia mtaani singo yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘MOTO’, ikiwa ni...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Akiba wazindua waridi akaunti kwa wanawake wajasiriamali

BENKI ya Akiba Commercial Bank (ACB) imezindua akaunti mpya iliyopewa jina la WARIDI ambayo ni maalumu kwa wafanyabiashara wanawake nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za Siasa

Vigogo Chadema kubanwa na kina Mdee mahakamani leo

  WAJUMBE wa Bodi ya Wadhamini ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Azavel Lwaitama na Ruth Mollel, wanaanza kuhojiwa na mawakili...

Elimu

Harambee ujenzi sekondari za Musoma Vijijini yashika kasi

  HARAMBEE ya ujenzi na ukarabati wa shule za sekondari zilizoko katika Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara, imeshika kasi baada ya Kampuni...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi wa kike GGML watoa msaada wa vifaa tiba katika halmashauri ya Geita

KIKUNDI cha wafanyakazi wa kike wanaofanya kazi katika kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML ladies) wanaofanya kazi mjini Geita, wametoa msaada wa...

Habari Mchanganyiko

NMB yaweka historia mpya, yaorodhesha hatifungani soko la mitaji Ulaya

Tukiwa tunaadhimisha siku ya wanawake duniani, NMB imeandika historia mpya kwa kuwa Benki ya kwanza Kusini mwa Jangwa la Sahara kuorodhesha hatifungani ya...

Habari Mchanganyiko

Bayport yatoa milioni 15 kusaidia watoto 300 Muhimbili

  TAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mikopo kwa watumishi wa umma, imejitolea Sh milioni 15 kusaidia gharama ya matibabu...

Habari Mchanganyiko

LSF yatatua migogoro 315 ya kifamilia mtandaoni

  SHIRIKA linaloshughulika na masuala ya msaada wa kisheria, Legal Services Facility (LSF), limetatua migogoro ya kifamilia 315, kupitia huduma yao ya mtandaoni...

Habari za Siasa

Kamati ya kufufua mchakato wa Katiba mbioni kutangazwa

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema hivi karibuni Serikali yake itatangaza kamati itakayokuwa na jukumu la kusimamia ufufuaji mchakato wa marekebisho ya katiba,...

Habari za Siasa

Rais Samia agoma kuingilia sakata la kina Mdee

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amekataa kukubali ombi la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuingilia kati sakatala la wabunge viti maalum 19,...

Habari za Siasa

Rais Samia: Wasiotaka mabadiliko wako CCM, Chadema

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema watu wasiotaka mabadiliko na mageuzi anayoyafanya kupitia maridhiano, wako ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama...

Habari Mchanganyiko

Bawacha wamtwisha Samia zigo la akina Mdee, Mbowe agongelea msumari

  BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aangilie kwa jicho la tatu sakata la...

Habari za Siasa

Bawacha wavunja ukimya mbele ya Rais Samia

  BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), limemtaka Rais Samia Suluhu Hassan asikatishwe tamaa na baadhi ya watu wanaopinga...

Habari za Siasa

Bawacha wamchongea kwa Rais Samia aliyewakataza kupanda miti Moshi

  BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Mkoa wa Kilimanjaro, wamemchongea kwa Rais Samia Suluhu Hassan mtumishi wa Shule...

Habari Mchanganyiko

Ado: Rais Samia ameitoa gizani tasnia ya habari

  KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameitoa nchi gizani katika masuala ya uhuru wa habari...

Makala & Uchambuzi

Hawa ndio wanawake wanaotikisa, wanaoigusa jamii ya Watanzania

MACHI 8 kila mwaka Siku ya Kimataifa ya Wanawake duniani ambayo huadhimishwa kwa lengo kuongeza chachu katika harakati za mapambano ya kuleta usawa...

Habari Mchanganyiko

Mwandishi wa habari afariki dunia katika ajali Geita

MWANDISHI wa Habari mwandamizi wa gazeti la Nipashe kutoka kampuni ya IPP Media, Richard Makore amefariki dunia katika ajali iliyoua watu saba eneo...

Habari Mchanganyiko

Nchi 26 kushiriki kongamano la maji Dar es Salaam

  WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso anatarajia kufungua Kongamano la Kimataifa la Maji la Kisayansi litakaloshirikisha takribani nchi 26 duniani ambalo litafanyika kwa...

Habari

Tanzania yaungana na nchi 180 kushiriki maonesho ya utalii Ujerumani

  TANZANIA imeungana na mataifa 180 duniani kushiriki maonesho makubwa ya utalii duniani (International Tourism – Börse Berlin) yanayofanyika katika jiji la Berlin...

Habari Mchanganyiko

Barrick yaadhimisha Siku ya Wanawake kwa kutoa msaada hospitali ya Mwananyamala

  KATIKA kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, Wafanyakazi Wanawake wa kampuni ya Barrick kutoka ofisi ya Dar es Salaam wametembelea hospitali ya Rufaa...

Habari Mchanganyiko

Mmomonyoko maadili watajwa marufuku watoto shule za bweni

  SERIKALI imepiga marufuku huduma ya bweni kwa wanafunzi wa umri mdogo kuanzia darasa la awali hadi darasa la nne. Anaripoti Judith Mbasha,...

Habari Mchanganyiko

Uamuzi rufaa kesi ya Kubenea, Makonda kutolewa Aprili 20

  MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam, imepanga tarehe 20 Aprili 2023, kutoa uamuzi wa rufaa iliyokatwa na Mwanahabari Saed Kubenea,...

Habari Mchanganyiko

Mkuu wa Wilaya ya Rungwe awakabidhi maafisa ugani pikipiki 61

  MKUU wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu amekabidhi jumla ya pikipiki 61 kwa Maafisa Ugani katika Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe ikiwa...

Habari Mchanganyiko

Sheikh aliyetuhumiwa kwa ugaidi afariki mbele ya Jaji

  SHEIKH Said Ukatule, aliyekuwa mahabusu ya Gereza Kuu la Ukonga, jijini Dar es Salaam, alikokuwa akishikiliwa na serikali kwa mashitaka ya ugaidi,...

Afya

Manesi 7 mbaroni tuhuma za kuwauzia dawa wagonjwa usiku wa manane

  JUMLA ya wauguzi/manesi saba wa Hospitali ya Manispaa ya Kahama wamefikishwa polisi baada ya kudaiwa kuwauzia dawa wagonjwa usiku wa manane. Anaripoti...

Elimu

Shule ya Alpha yazindua mfumo wa kugundua vipaji vya watoto

  SHULE ya Sekondari ya Alpha ya jijini Dar es Salaam imezindua mfumo wa kupima na kugundua vipaji vya watoto kidigitali. Anaripoti Mwandishi...

error: Content is protected !!