Friday , 29 March 2024
Home mwandishi
8556 Articles1226 Comments
Kimataifa

Putin, Xi Jinping kujadili mpango kumaliza vita nchini Ukraine

  Vladimir Putin amesema atajadili mpango wenye vipengele 12 wa Xi Jinping wa “kusuluhisha mgogoro mkubwa nchini Ukraine”, wakati wa ziara inayotarajiwa mjini...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yakabidhi rasmi msaada nchini Malawi

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Stergomena Tax kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati ya pamoja kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa mashamba makubwa ya pamoja...

Habari Mchanganyiko

Bashe: Tumeshagawa pikipiki 5,500 kati ya 7,000 kwa maafisa ugani

  WAZIRI wa Kilimo, Hussen Bashe, amesema wizara hiyo tayari imegawa pikipiki 5,500 kati ya 7000 zilizonunuliwa kwa ajili ya maafisa ugani kusimamia...

Kimataifa

Xi Jinping awasili Urusi, kufanya mazungumzo na Putin

  RAIS wa uchini Xi Jinping amewasili sasa nchini Urusi, na kulingana na Shirika la habari la Urusi TASS news , Xi Jinping...

Habari Mchanganyiko

Spika Tulia awapa neno mawaziri utekelezaji mashamba ya pamoja

  SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amewataka mawaziri kushirikiana kwa pamoja katika utekelezaji wa mashamba makubwa ya pamoja katika Programu ya Building...

Kimataifa

Maandamano Kenya, Afrika Kusini yashika kasi, wapinzani wakishikiliwa

  MAANDAMANO ya kupinga serikali zilizoko madarakani nchini Kenya na Afrika Kusini, yameendelea kushika kasi katika mataifa hayo, huku baadhi ya walioandamana wakitiwa...

Elimu

Mfuko wa Jimbo Musoma Vijijini wamwaga mamilioni ujenzi maabara za sekondari

  MFUKO wa Jimbo la Musoma Vijijini, Mkoa wa Mara, umetoa fedha kiasi cha Sh. 75.8 milioni, kwa ajili ya ujenzi na ukamilishaji...

Kimataifa

Maandamano Afrika Kusini: Tanzania yatahadharisha raia wake

  WAKATI maandamano yaliyoitishwa na Chama cha upinzani Afrika Kusini, Economic Freedom Fighters, yakiendelea kufanyika katika maeneo mbalimbali , Ubalozi wa Tanzania nchini...

Makala & Uchambuzi

Ruth Zaipuna: Sekta ya kibenki imeimarika maradufu miaka miwili ya Dk. Samia

Tarehe 19 ya mwezi Machi, ni siku muhimu sana kwa taifa letu, watu wake na historia ya nchi yetu. Kama nchi, tunaungana kusherehekea...

Habari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Miaka miwili ya Rais Samia, TMA yaimarika, yatoa utabiri kwa usahihi

MACHI 19, 2023 Rais Samia Suluhu Hassan anatamiza miaka miwili ya kuiongoza Tanzania baada ya kifo cha Rais wa awamu ya tano, John...

Habari Mchanganyiko

Dk. Gwajima awafunda Ma-DC, awataka kudhibiti ukatili kwa jamii

  RAI imetolewa kwa Wakuu wa Wilaya nchini kuwa mstari wa mbele kubaini na kuibua mienendo isiyofaa ndani ya jamii ikiwemo vitendo vya...

Kimataifa

ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa rais Vladmir Putin wa Urusi

  MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu wa kivita (ICC) imetoa hati ya kukamatwa kwa Rais wa Urusi Vladimir Putin. Vinaripoti Vyombo vya Habari...

Habari Mchanganyiko

Ugonjwa wakwamisha hukumu kesi anayedaiwa kubaka mwanafunzi

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni, jijini Dar es Salaam, imeahirisha kutoa hukumu ya kesi ya kubaka inayomkabili Isack Jacob kutokana na hali ya...

Habari Mchanganyiko

Tanzania ipo tayari kuilisha Dunia

  KWA mujibu wa takwimu kutoka Benki ya Tanzania (BoT) na Wizara ya Kilimo, Tanzania imeongeza mauzo ya nje ya chakula mwaka hadi...

Habari Mchanganyiko

Ibada ya kumuombea Hayati Magufuli yafanyika Chato

  IBADA maalum ya kumuombea aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dk. John Magufuli, imefanyika katika Kanisa la Mt. Yohana Mria Muzeyi,...

Habari Mchanganyiko

Dkt. Kiruswa: GGML inaibeba Geita, Wizara ya Madini kutafsiri vema maboresho sheria ya madini

NAIBU Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa amesema mojawapo ya kampuni za madini zinazoongoza nchini kwa kutafsiri na kutekeleza vyema matakwa ya Sheria...

Kimataifa

Puto la kijasusi la China halikuleta tishio la usalama Marekani, lilifichua udhaifu wa ulinzi

  PUTO la kijasusi la China limetajwa kuwa halikuweza kusababisha tishio la usalama nchini Marekani badala yake limeweza kugundua udhaifu wa kijeshi Marekani...

Habari Mchanganyiko

TBA: Taasisi za fedha zisiwaache nyuma wanawake

CHAMA cha  Mabenki Tanzania (TBA)  kimetoa wito kwa taasisi za kifedha nchini kuhakikisha kuwa makundi yote kwenye jamii hususani wanawake ushirikishwaji wao unapewa kipaumbele....

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

ALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald Kusaya ameteuliwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuwa Katibu Tawala wa Mkoa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa acharuka wasoma mita kubambika bili, “wanaichafua serikali”

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaonya wasoma mita za maji nchini kuacha tabia ya kuwabambikia wananchi bili kubwa za maji kwani hatua hiyo inaichafua...

Kimataifa

Mwanaye Museveni: Nimechoka kusubiri, nitagombea urais 2026

MTOTO wa kiume wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, Jenerali Muhoozi Kainerugaba amesema  akiwa kama kijana amechoka kusubiri na sasa atagombea kiti cha...

Kimataifa

Raia wa Kongo zaidi ya 2000 waomba hifadhi Tanzania

Zaidi ya raia 2000 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wameingia nchini kuomba hifadhi ya ukimbizi kufuatia machafuko yanayoendelea katika mikoa ya...

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

UONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan zimeongeza ari kubwa kwa...

Habari Mchanganyiko

AfrONet wapongeza uteuzi wa Dk. Mwatima.

  MTANDAO wa Kilimo Hai Afrika (AfrONet), umempongeza Mwenyekiti wa Taasisi ya Kilimo Hai Tanzania (TOAM), Dk. Mwatima Juma kwa kuteuliwa na Rais...

ElimuHabari

CBE yaanzisha Shahada 10 za Uzamili, CBE yajivunia wahitimu wanaoajirika

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimewataka wenye  kampuni na taasisi mbalimbali kupeleka wafanyakazi wake kupata mafunzo yatakayowawezesha kuboresha ujuzi wao sehemu za...

Afya

LHRC yapinga kufutwa Toto Afya: Ni ukiukaji wa sheria za watoto

  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimekosoa vikali hatua ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya(NHIF) kuondoa usajili wa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

MWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mzee Sylvester Masinde amefariki dunia katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando...

Habari Mchanganyiko

LHRC kutinga kwa Rais Samia sakata la masheikh wanaotuhumiwa kwa ugaidi

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC), kimesema kina mpango wa kwenda kwa Rais Samia Suluhu Hassan, kuwasilisha ombi la kufanyiwa...

Habari Mchanganyiko

Ujenzi JNHPP wafikia asilimia 82, umeme Juni 2024

MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Maharage Chande amesema Ujenzi wa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) umefikia asilimia...

Kimataifa

Idadi ya vifo Malawi, Msumbiji yafikia 200

  IDADI ya vifo vilivyotokana na Kimbunga Freddy nchini Malawi na Msumbiji imeongezeka na kuzidi watu 200 baada ya dhoruba hiyo iliyovunja rekodi...

Habari Mchanganyiko

NHIF yatoa ufafanuzi maboresho usajili wa watoto

  MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Bernard Konga amesema watoto wote wanaotumia Toto Afya Kadi hivi sasa...

Habari Mchanganyiko

Ajali za barabarani zasababisha vifo 4,060 kwa miaka 3

  WATU 4,060 wamepoteza maisha kwa ajali za barabarani na wengine 6,427 wakipata majeraha kutokana na ajali za barabarani kwa kipindi cha miaka...

Habari Mchanganyiko

Mabasi ya masafa marefu sasa lazima kuwa na madereva wawili

  WAZIRI Mkuu nchini Tanzania, Kassim Majaliwa, ameliagiza Jeshi la Polisi nchini humo kuhakikisha wanakagua mabasi yote ya masafa marefu na kujiridhisha kuwa...

Habari Mchanganyiko

Vodacom yarahisisha upatikanaji wa bima wiki ya Nenda kwa Usalama Mwanza

  TAASISI za umma nchini zimeshauriwa kushirikiana na taasisi binafsi katika jitihada za kuhakikisha teknolojia inatumika ipasavyo ili kupunguza ajali za magari nchini....

Habari Mchanganyiko

NMB yazindua mikopo nafuu elimu ya juu, Waziri Mkenda asema…

BENKI ya NMB imetenga Sh bilioni 200 kwa ajili ya kuwakopesha wafanyakazi wanaotaka kupata elimu ya juu au wale wanaohitaji fedha za kuwasomesha...

Kimataifa

Kimbunga Freddy chaua 100 Malawi, Msumbiji

  KIMBUNGA Freddy, kilichoambatana na upepo mkali na mvua kubwa, kimerejea kusini mwa Afrika na kuua watu takriban 100 katika nchi za Malawi...

Habari za Siasa

Zitto: Nikifa Ado atavaa viatu vyangu

  KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema Katibu Mkuu wa chama hicho, Ado Shaibu atavaa viatu vyake vya uongozi...

Habari Mchanganyiko

BoT yaongeza siku 30 usimamizi wa Yetu Microfinance Bank Plc

  BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imeongeza muda wa siku 30 wa usimamizi wa Yetu Microfinance Bank Plc baada ya mchakato wa kutathmini...

Habari za Siasa

Ataka vifungu vinavyowabana vijana kugombea uongozi viondolewe

  MWENYEKITI wa Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, Mkoa wa Dar es Salaam, Felix Kamugisha, ameitaka Serikali kurekebisha vifungu vinavyozuia vijana...

Habari Mchanganyiko

Serikali yakadiria bajeti ya Sh 44.3Tril. mwaka 2023/24

  SERIKALI imewasilisha kwa Wabunge Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/24,...

Habari za SiasaKimataifa

Marekani yataja sababu Kamala Harris kutua nchini

SERIKALI ya Marekani imesema ziara ya Makamu wa Rais wa Taifa hilo, Kamala Harris kwa nchi za Afrika ikiwamo Tanzania, ni kujadili vipaumbele...

Habari za Siasa

Dk. Mpango awafunda Ma-DC, atoa maelekezo saba

  MAKAMU wa Rais nchini Tanzania, Dk. Philip Mpango, amewafunda Wakuu wa Wilaya kwa kuwapa maelekezo saba yakuzingatia ili kuwasaidia kutimiza majukumu yao...

Habari Mchanganyiko

Samsung, Vodacom waileta Galaxy S23 kwa mara kwanza Tanzania

  KAMPUNI za Samsung na Vodacom Tanzania Plc zimeshirikiana tena kwa mara nyingine kuzindua simu ya mkononi ya Samsung Epic Galaxy S23. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Papa Francis atimiza miaka 10 ya uongozi

  KIONGOZI mkuu wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, leo Jumatatu anaadhimisha miaka 10 tangu alipochaguliwa kuliongoza kanisa hilo duniani. Papa Francis, mwenye...

Habari Mchanganyiko

Saba wadaiwa kupoteza maisha kwa kula kasa Mafia

  WATU saba wanadaiwa kupoteza maisha kisiwani Mafia, mkoani Pwani baada ya kula samaki aina ya kasa anayedaiwa alikuwa na sumu. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Dk. Mpango: Siri ndiyo uhai wa Serikali

  MAKAMU wa Rais nchini Tanzania, Dk. Philip Mpango, amewataka Wakuu wa Wilaya kote nchini kudhibiti uvujaji wa siri za serikali kwa kuepuka...

Habari Mchanganyiko

Bwala la Nyerere kujaa kwa misimu miwili

BODI ya Maji Bonde la Rufiji (RBWB) imesema iwapo mvua zitanyesha kwa kipindi cha miaka miwili ya msimu, Bwawa la Mwalimu Nyerere litakalozalisha...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa aipongeza GGML kwa kuwainua wanawake, mhitimu FFT aula

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuwawezesha wanawake walioajiriwa ndani ya kampuni hiyo kujiendeleza kielimu pamoja...

Habari Mchanganyiko

NMB yashinda Tuzo ya Benki Bora Tanzania 2023, Ruth Zaipuna aibuka tena Mkurugenzi Bora

Benki ya NMB imeandika historia nyingine baada ya kutwaa Tuzo ya Benki Bora Tanzania kwa mwaka 2023 katika mkutano wa Africa Bank 4.0...

error: Content is protected !!