Friday , 19 April 2024
Home mwandishi
8678 Articles1236 Comments
Habari Mchanganyiko

Infinix, Vodacom wazindua Infinix Hot 30 na chemsha Bongo ya Tech kwa wanachuo 

KAMPUNI ya Vodacom kwa kushirikiana na Infinix leo wametangaza uzinduzi wa sim mpya ya Infinix toleo la HOT  30 pamoja na kampeni ya...

Habari Mchanganyiko

GGML yaja na teknolojia za kisasa maonesha ya afya na usalama mahali pa kazi

KATIKA kuadhimisha siku ya usalama na afya mahala pa kazi duniani – 2023 ambayo kitaifa yanafanyika mkoani Morogoro, Kampuni ya Geita Gold Mining...

Habari za Siasa

Samia ateua Mwenyekiti mpya baraza la maadili

  RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji mstaafu Rose Teemba kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Maadili kuanzia tarehe 24 Aprili 2023. Jaji mstaafu...

Habari Mchanganyiko

NMB yaahidi neema ya meza, viti shule ya Sekondari ya Kumbukumbu ya Sokoine

 BENKI ya NMB ipo mbioni kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa kumaliza changamoto ya upungufu wa meza na viti kwa walimu wa shule ya...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa awataka wananchi kuitumia kampeni ya Samia Aid kutokomeza ukatili

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wananchi watumie huduma ya msaada wa kisheria ya Mama Samia (Samia Legal Aid Campaign), kutokomeza vitendo vya...

Habari Mchanganyiko

NMB yatenga bilioni 1 kuwawezesha wabunifu wanaochipukia

BENKI ya NMB imeendelea kuunga mkono juhudi ya Serikali kupitia Wizara ya Sayansi, Elimu na Teknolojia, kwa kutenga kiasi cha bilioni moja kwa...

Michezo

Meridianbet yatoboa siri ya kushinda kirahisi kupitia BlackJack Live

MOJA kati ya michezo pendwa na wengi ni Sloti ya BlackJack Live, mchezo huu unapatikana kasino ya mtandaoni ya Meridianbet ambapo huu unakuwa...

Habari Mchanganyiko

Halmshauri Tunduma yacharuka, yataka vikundi 50 kurejesha bilioni 1.2 za mikopo

  HALMASHAURI ya mji Tunduma, wilayani Momba mkoani Songwe imevitaka vikundi vyote vilivyokopa mikopo ya asilimia 10 kurejesha kwa wakati wakati wakiendelea kusubiri...

Habari Mchanganyiko

Uholanzi yaridhishwa na mazingira ya biashara, demkkrasia na utawa bora nchini

  BALOZI wa Uholanzi nchini Tanzania, Wiebe de Boer ameeleza kuridhishwa na mazingira ya biashara na uwekezaji, demokrasia, haki za binadamu na utawala...

Habari za Siasa

Tunduma yatenga bilioni 4 kujenga barabara

  HALMASHAURI ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe inatarajia kutumia fedha zake za mapato ya ndani Sh bilioni nne kujenga barabara zenye...

Kimataifa

Al-Bashiru bado anashikiliwa na jeshi

  MAMLAKA ya kijeshi nchini Sudan limesema, aliyekuwa rais wa taifa hilo aliyepinduliwa Omar Hassan al-Bashir, bado yuko mikononi mwa jeshi. Aidha, jeshi...

Michezo

Cheza Titan Dice kushinda karahisi

  KASINO mtandaoni ya Meridianbet inakupa ushindi kirahisi kupitia sloti ya Titan Dice ambayo ni moja ya michezo inayotoa fedha nyingi kirahisi. Anaripoti...

Habari za Siasa

Rais Samia: Miaka 59 ya Muungano imekuwa ya umoja, amani

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema miaka 59 ya Muungano imekuwa yenye umoja, amani na ustawi wa Taifa kama ilivyokuwa ndoto za waasisi...

Habari Mchanganyiko

Kampuni yashusha neema kwa wakulima wa tumbaku Tabora

  KAMPUNI ya Mkwama imejitosa katika ununuzi wa zao la tumbaku mkoani Tabora na kuwataka wakulima wa mkoa huo kulima kwa wingi zao...

Kimataifa

Joe Biden atangaza kuwania urais muhula wa pili

  RAIS wa Marekani, Joe Biden ametangaza kuwa atawania muhula wa pili katika uchaguzi wa mwaka 2024. Biden mwenye umri wa miaka 80...

Habari Mchanganyiko

Wabunge watoa mbinu za kuongeza mapendekezo yaliyoachwa kwenye Muswada wa Habari

  WADAU wa Haki ya Kupata Habari (CoRI), wameshauriwa kuwasilisha hoja nzito zitakazoshawishi wabunge kuwasilisha bungeni maoni yao yaliyoachwa katika Muswada wa Sheria...

Habari Mchanganyiko

Makamba: Maji Bwawa la Nyerere yamefikia mita za ujazo bilioni 6

WAZIRI wa Nishati January Makamba ameeleza kuridhishwa na kasi ya ujazaji maji Bwawa la kuzalisha Umeme la Mwalimu Nyerere Hydro Power. Kwa sasa...

Habari Mchanganyiko

Wabunge wapokea maoni yaliyoachwa kwenye muswada wa habari

  BAADHI ya wabunge wameanza kupokea mapendekezo ya wadau wa habari yaliyoachwa katika Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Huduma ya Habari ya...

Habari Mchanganyiko

Tanzania kuwa mwenyeji mkutano wa wahisani

  TANZANIA inatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wa nane wa mtandao unaojishughulisha na masuala ya utoaji misaada kwa jamii, East African Philanthropy network...

Afya

Kipindupindu chabisha hodi Dar, wagonjwa 10 waripotiwa

  Ugonjwa wa Kipindupindu umeibuka jijini Dar es salaam ambapo zaidi ya watu 10 wamethibitika kuugua ugonjwa huo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Kimataifa

Waliokufa kwa njaa Kenya wafikia watu 73, walifunga ili kukutana na Yesu

  IDADI ya maiti zilizofukuliwa na polisi nchini Kenya zimefikia 73. Watu hao waliofunga hadi kufa walikuwa wafuasi wa Kanisa la Good News...

ElimuTangulizi

Global Education Link kuitafutia TIA fursa vyuo vya nje.

TAASISI ya  Uhasibu Tanzania (TIA), imesaini mkataba na wakala wa vyuo vikuu nje ya nchi Global Education Link (GEL), lengo ikiwa ni kushirikiana kuitafutia...

Michezo

Meridianbet wamwaga Reflectors katika kampeni ya Mtaa kwa Mtaa

  KAMPUNI ya ubashiri Meridianbet Tanzania kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Usalama wa Barabarani limeanzisha kampeni ya Mtaa kwa Mtaa na Meridianbet...

Kimataifa

Ruto asema mchungaji Mackenzie ni gaidi, waliokufa wafikia 58, mwenyewe agoma kula

RAIS wa Kenya, Dk. William Ruto amemtaja mchungaji Paul Mackenzie kama mhalifu na gaidi kufuatia kufukuliwa kwa maiti 58 kutoka kwenye  ardhi yake...

Makala & Uchambuzi

Miradi inayofadhiliwa na GGML inavyoleta mageuzi ya kiuchumi Geita

TANGU kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), ambayo ni kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti ilipoanzishwa mwaka 2000 nchini Tanzania, imekuwa kampuni kinara...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaagiza uchunguzi “Energy Drinks”

  SERIKALI imeiagiza Taasisi ya Taifa ya Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kufanya uchunguzi dhidi ya vinywaji vya kuongeza nguvu (Energy Drinks), ili kubaini...

Habari Mchanganyiko

Wadau wa Habari wapeleka bunge mapendekezo yaliyoachwa Muswada wa Habari

  WADAU wa Haki ya Kupata Habari nchini (CoRI), wametinga bungeni jijini Dodoma, kwa ajili ya kuwasilisha kwa wabunge mapendekezo yao yaliyoachwa nje...

Habari Mchanganyiko

Mafanikio ya STAMICO yamkosha Msajili Hazina, asema Shirika limefanya mageuzi kwa kuingiza faida

MSAJILI Mkuu wa Hazina, Nehemiah Mchechu amelipongeza Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) baada ya uongozi wake kufanikiwa kuleta mageuzi makubwa na kulifanya...

Kimataifa

Miili ya waliojiua kwa njaa wakitaka kukutana na Yesu yafukuliwa

  POLISI nchini Kenya kwamba wamefukua miili ya watu watatu inayodhaniwa kuwa ya wafuasi wa dhehebu la kidini wanaoaminika walijiua kwa njaa, mashariki...

Habari za Siasa

Sheikh Ponda ataka Bunge lisikwamishe hatua kwa vigogo walioguswa na CAG

  KATIBU wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, amemtaka Rais Samia Suluhu Hassan, aanze kuwashughulikia vigogo waliohusika na vitendo vya...

Habari Mchanganyiko

Shura ya Maimamu yataja mwarobaini vitendo vya ushoga, usagaji

  SHURA ya Maimamu Tanzania, imeitaka Serikali kuchukua hatua dhidi ya watu wanaofanya au kuhamasisha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja, ili kulinda...

Habari Mchanganyiko

Mtoto aliyesaidiwa matibabu na Rais Samia atoa simulizi ya kusisimua

  KIJANA Hamimu Mustapha Baranyikwa (15), mkazi wa kijiji cha Nyakanazi, Biharamulo, Mkoani Kagera, amesimulia jinsi alivyougua maradhi ya ngozi mwilini mwake kwa...

Kimataifa

Ongezeko la idadi ya watu India, waitishia usalama wa Beijing

  CHINA imeingia katika wasiwasi baada ya baada ya India kutangazwa kuwa nchi yenye idadi kubwa ya watu, ambao wanaonyesha kutishia usalama wa...

Michezo

Meridianbet wanaupiga mwingi wikiendi hii Odds za kumwaga

  MERIDIANBET wikiendi hii wanaupiga mwingi kwa kuhakikisha wanakupa odds bomba na kubwa katika michezo mbalimbali ambayo itapigwa katika ligi Barani Ulaya kuanzia...

Kimataifa

400 wapoteza maisha mapigano Sudani

  MAPIGANO yaliyozuka katikati ya mwezi wa Aprili nchini Sudan tayari yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 400 na wengine zaidi ya 3,500...

Michezo

Shinda Sh. 2.5 milioni za Meridianbet Kasino ya mtandaoni

  KUTOKA nyumba ya mabingwa Meridianbet Kasino ya mtandaoni yaja na promosheni nyingine, baada ya kutambulisha Drops &Wins sasa kuna hii ya Spring...

Kimataifa

Rais Museven aagiza muswada wa adhabu ya kifo kwa mashoga ufanyiwe marekebisho

  RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amekataa kutia saini muswada wenye utata  dhidi ya mashoga na wasagaji, ambao umezungumzia adhabu ya kifo katika...

Habari za Siasa

Rais Samia amteua Balozi Kagasheki kumrithi Mrema

RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Khamis Sued Kagasheki kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Parole kuanzia tarehe 18 Aprili 2023. Awali nafasi hiyo...

Habari Mchanganyiko

DC Rungwe apongeza mchango wa Wananchi katika ujenzi wa Shule ya Msingi na Bweni la Sekondari

  MKUU wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu amefanya ziara katika Kata ya Ikuti na kukagua miradi ya maendeleo pamoja na kuzungumza na...

Michezo

Meridianbet yazindua duka jipya Vingunguti Relini

  KAMPUNI ya Meridianbet yenye ODDS KUBWA imeendelea kutanua wigo wa huduma kwa wateja wake baada ya kufungua duka lingine mitaa ya Vingunguti...

Habari za Siasa

Mdee ang’ang’ania mshahara wa waziri kisa madai ya watumishi

  MBUNGE Viti Maalum, Halima Mdee (Chadema), ametishia kutopitisha fungu lenye bajeti ya mashahara wa Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi...

Habari Mchanganyiko

Wassira: Mikataba mibovu inapoteza uaminifu wa wananchi kwa serikali

  MWENYEKITI wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA), Stephen Wassira, amesema kitendo cha baadhi ya taasisi za Serikali kusaini...

Habari za Siasa

Spika aagiza changamoto malipo kwa wastaafu iishe

  SPIKA wa Bunge, Tulia Ackson, ameagiza Serikali kutokomeza changamoto ya ucheleweshaji malipo ya mafao ya wastaafu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Spika Tulia...

Habari za Siasa

Kilio uhaba wa maji kuwa historia Musoma Vijijini

  CHANGAMOTO ya uhaba wa maji katika Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara, iko mbioni kuisha baada ya Serikali kupeleka miradi ya maji...

Habari Mchanganyiko

21 wadakwa kwa tuhuma wizi vifaa vya miundombinu ya maji

  JESHI la Polisi Mkoani Tabora limewanasa watu 21 kwa tuhuma ya kujihusisha na wizi wa vifaa vya na miundombinu ya maji mali...

Habari Mchanganyiko

Zungu alia popo kukithiri Kivukoni

  NAIBU Spika wa Bunge, Mussa Azan Zungu, ameitaka Serikali kuchukua hatua za haraka kuondoa popo wanaoharibu mazingira maeneo ya Kivukoni, jijini Dar...

Habari za Siasa

Tanzania yalaani mapigano Sudan, kuwarejesha nyumbani Watanzania 210

  SERIKALI ya Tanzania, imezitaka pande mbili zinazosigana nchini Sudan na kusababisha mapigano yaliyogharimu maisha ya watu zaidi ya 180 na majeruhi 1,000,...

Habari Mchanganyiko

Mkono afariki dunia

NIMROD Elirehema Mkono, aliyekuwa mbunge wa Musoma Vijijini na baadaye Butiama, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amefariki dunia leo Jumanne nchini Marekani. Anaripoti...

Habari za Siasa

Rais Samia amtumbua Mkurugenzi Mwanza

Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Sekiete Yahaya Selemani, Mkurugenzi wa Halmashauri ya jiji la Mwanza kuanzia tarehe 16 Aprili 2023.

Habari Mchanganyiko

Serikali yatoa bilioni 8 kusomesha madaktari bingwa 400

SERIKALI kwa mara ya kwanza imeanzisha utaratibu wa ‘Samia Suluhu Super specialist program’ wa kusomesha madaktari bingwa zaidi ya 400 ili kukabiliana na...

error: Content is protected !!