Friday , 29 March 2024
Home mwandishi
8556 Articles1227 Comments
Kimataifa

Muuaji aliyetoroka jela Sauzi adakwa kimafia Arusha

MHALIFU wa makosa ya mauaji na ubakaji kutoka Afrika Kusini, Thabo Bester amekamatwa jijini Arusha nchini baada ya kusakwa kwa muda mrefu toka...

Habari Mchanganyiko

Maofisa 10 TEA watokomea na mkopo wa mamilioni

RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere imeonyesha mikopo yenye thamani ya Sh milioni 167 haijarejeshwa na...

Kimataifa

Lori laparamia na kuua madereva bodaboda 10

WATU 10 wanadaiwa kupoteza maisha baada ya lori lililokuwa likisafirisha changarawe kupoteza mwelekeo na kuparamia kijiwe cha bodaboda katika eneo lao mjini Migori...

Kimataifa

Waziri aburuzwa kortini kwa kuuza mabati ya msaada

  MAHAKAMA nchini Uganda imemfungulia rasmi mashtaka ya ufisadi na rushwa Waziri Marie Goretti Kitutu kutokana na tuhuma za kuuza mabati 14,500 ya...

Habari Mchanganyiko

Maboresho haki jinai: Sheikh Ponda akomaa na DPP, Polisi, Magereza

  KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, amewasilisha mapendekezo juu ya namna ya kuboresha mfumo wa haki jinai,...

Kimataifa

Rwanda yaadhimisha miaka 29 ya mauaji ya Kimbari

  WANANCHI wa Rwanda leo Ijumaa, tarehe 7 Aprili 2023, wanaadhimisha miaka 29 ya mauaji ya Kimbari, ambapo Wahutu wenye msimamo mkali waliwaua...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi aongoza kumbukizi miaka 51 kifo cha Hayati Karume

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, ameongoza maadhimisho ya kumbukizi ya miaka 51 ya kifo cha aliyekuwa Rais wa kwanza visiwani humo,...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo ampa tano Rais Samia

  MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, ameipongeza Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kutoa fedha kiasi cha Sh. 4.75 bilioni,...

Kimataifa

Mpango wa Ukraine, Marekani na NATO kushambulia Urusi wavuja kwenye mitandao ya kijamii

  PICHA za hati za siri kutoka Pentagon na NATO juu ya utayarishaji wa shambulio la Ukraine dhidi ya Urusi zimevuja katika mitandao...

Kimataifa

Israel yashambulia Lebanon, Gaza baada yakushambuliwa kwa roketi

  JESHI la Israel limesema kuwa limeshambulia maeneo yenye uhusiano na kundi la wapiganaji wa Palestina Hamas ndani ya Lebanon na katika Ukanda...

Makala & Uchambuzi

Ripoti za CAG: Ufisadi haujazidi nchini, kilichozidi ni uhuru

  RIPOTI za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali (CAG) zimeibua mjadala mkubwa na mpana nchini tangu zitolewe hadharani siku chache zilizopita. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

SMZ: Ushirikiano, mchango wa NMB kwa maendeleo ya Zanzibar ni wa kuigwa

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imekiri kuvutiwa na jitihada za Benki ya NMB visiwani humo, ikiwemo kutoa ushirikiano wa dhati na mchango...

Michezo

Uzinduzi wa duka jipya la Meridianbet Posta

  KAMPUNI ya Meridianbet Tanzania wanaendelea walipoishia kwa kuhakikisha wateja wake wanapata huduma popote na ndio sababu ya kuendelea kusambaza maduka, Na leo...

Habari Mchanganyiko

Bodi ya Nafaka kuilipa kampuni binafsi Mil. 200/- kuandaa Mpango Mkakati

BODI ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (CPB), imesaini mkataba wa Sh. 200 milioni na Kampuni ya KPMG kwa ajili ya kuandaa mpango mkakati...

Afya

Ujenzi wa zahanati kwa ufadhili wa TASAF wafikia asilimia 95

  UJENZI wa mradi wa Zahanati ya Mwanalugali A Kibaha Mjini unaofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF itakayowahudhumia wakati 3367 umefikia asilimia...

Habari za Siasa

Spika Tulia atoa maagizo serikalini ajira za watumishi wanaojitolea

  SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, ameagiza Serikali kuweka kanzi data maalum (data base), yenye taarifa za watumishi wanaojitolea ili wapewe kipaumbele...

Habari za Siasa

Lissu arudi tena, “Si mlisema nimekimbia!”

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo Jumatano amerudi jijini Dar es Salaam kutokea nchini Ubelgiji ambako alidai kwenda...

Michezo

Kasino ya mtandaoni yaifanya stori ya Roman Empire kuwa mchezo

  FURAHIA sloti mpya kutoka Kasino ya Mtandaoni ikielezea Roma ya Kale! Cheza kipekee katika sloti ya Meridianbet Veni Vidi Vici! Miongoni mwa...

Habari za Siasa

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai,  Lengai Ole Sabaya, ambaye alikuwa akikabiliana na  mashtaka saba ikiwemo uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya madaraka na...

Tangulizi

Prof. Muhongo agawa msaada kwa wananchi waliokumbwa na mafuriko

  MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, ametoa msaada wa dharura ikiwemo vyakula, kwa wananchi walioathirika na mafuriko ya mvua jimboni humo....

Kimataifa

Trump ajitetea mahakamani kesi ya ngono, alia kuhujumiwa urais

  RAIS wa zamani Marekani, Donald Trump jana Jumanne amefikishwa mahakamani kwa mashtaka ya kumlipa mwanamke mmoja nyota wa filamu za ngono kabla...

Habari Mchanganyiko

Ujenzi miradi ya maji washika kasi Musoma Vijijini

  UJENZI wa miradi ya maji katika Jimbo la Musoma Vijijini, Mkoa wa Mara, umetajwa kuendelea kushika kasi, ambapo maji kutoka Ziwa Victoria...

Michezo

Meridianbet yaja na promosheni ya utajiri

  USIFANYE makosa katika kuutafuta utajiri haswa kwenye harakati zako za kila siku, hata iweje ishi na Imani ya kuwa siku moja utatoboa...

Habari Mchanganyiko

NMB yamwaga mamilioni halmashauri tatu Morogoro

BENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali katika sekta ya afya na elimu kwa halmashauri tatu za Mlimba, Malinyi na Manispaa ya...

Habari Mchanganyiko

Mhariri Raia Mwema apata pigo

  MHARIRI wa Gazeti la Raia Mwema, Martin Malera, amepata pigo baada ya kufiwa na mkewe, Patricia Malera, ikiwa ni miezi michache tangu...

Habari Mchanganyiko

TRA yakusanya Tril. 5.9/- kuanzia Januari hadi Machi

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania(TRA), imekusanya Sh. 5.9 trilioni katika robo ya tatu (Januari-Machi) ya mwaka wa fedha 2022/23 ikiwa ni sawa na...

Habari Mchanganyiko

NIDA yatahadharisha uwepo matapeli kuhusu ajira

  MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imesema haijatangaza nafasi za kazi baada ya kuwepo kwa taarifa za baadhi ya wananchi kupigiwa simu...

Kimataifa

Kenya kurusha satelaiti yake ya kwanza ya uchunguzi wa dunia

  KENYA inajiandaa kurusha satelaiti yake ya kwanza kabisa ya uchunguzi wa dunia katika kile kinachoelezwa kuwa mafanikio ya kihistoria katika juhudi za...

Habari za Siasa

Mbunge Chadema watolea uvivu wabunge wa CCM bungeni

  MBUNGE wa Nkasi Kaskazini, (Chadema), Aida Khenani, amewataka baadhi ya wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM), “waache unafiki” ili wamsaidie Rais Samia...

AfyaHabari za Siasa

Wabunge walia na serikali uchakavu vituo vya afya

  BAADHI ya wabunge wameihoji Serikali ina mpango gani wa kuboresha vituo vya afya chakavu, ili viweze kutoa huduma bora za afya kwa...

Habari Mchanganyiko

Ugonjwa mpya wa zinaa waibuka Kenya

WAKATI wanasayansi wakihaha kutafuta dawa ya kutibu Virusi Vya Ukimwi (VVU), nchini Kenya imebainika kuwa kuna ugonjwa mpya unaohusiana na magonjwa ya zinaa....

Habari Mchanganyiko

Ditopile agawa futari Kondoa, asisitiza Watanzania kuliombea Taifa

KATIKA  mendelezo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma,  Mariam Ditopile amegawa futari kwa wazee, wajane na watu...

Habari Mchanganyiko

GGML yaunga mkono jitihada kupanda miti Halmashauri ya Mbogwe

WAKATI Tanzania ikiadhimisha Siku ya Upandaji Miti Kitaifa tarehe 1 Aprili 2023, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeahidi kudumisha dhamira yake...

Michezo

Mwarabu mshindi wa Tsh 54m apatikana

NI stori ambayo inafanya vizuri sana kwa vijana wengi wenye ndoto za kumiliki magari, nyumba na kusimamia biashara zao, habari za Mwarabu mshindi...

Habari Mchanganyiko

Finland kuwa mwanachama wa NATO kuanzia kesho

  Finland itakuwa mwanachama wa 31 wa Muungano wa Kijeshi wa NATO kuanzia kesho Jumanne tarehe 4 Aprili 2023. Yameripoti Mashirika ya Kimataifa...

Habari za Siasa

Zitto atia neno maandalizi Dira ya Taifa 2050

  KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameshauri mchakato wa maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, uwe wa wazi pamoja...

Habari Mchanganyiko

Ramadhan Omary achaguliwa kuwa Katibu wa Baraza la Wafanyakazi TMA

  WAJUMBE wa Baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) wamemchagua, Ramadhani Omary kuwa Katibu wa Baraza la Wafanyakazi...

Kimataifa

Benki ya Dunia yaonesha wasiwasi juu mikopo ya China kwa Afrika

  RAIS wa Benki ya Dunia (WB), David Malpass amesema ana wasiwasi kuhusu baadhi ya mikopo ambayo China imekuwa ikitoa kwa nchi zinazoendelea...

Habari za Siasa

Simbachawene, Jenista wala kiapo Ikulu

RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amemuapisha Jenista Mhagama kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) kwenye...

Habari Mchanganyiko

NMB yafuturisha wateja wake Dar, Mufti Zuberi asema…

KATIKA kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhan, Benki ya NMB mwishoni mwa wiki iliandaa hafla ya futari kwa wateja wake jijini Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua mawaziri

RAIS Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri, Kwa kuwahamisha mawaziri wawili. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Ditopile aungana na Wana-Kongwa kwa Iftar, wamuombea dua Rais Samia

KATIKA muendelezo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile (CCM) ameungana na Waumini zaidi ya 500...

Habari za Siasa

RC mstaafu afariki dunia, CCM yamlilia

ALIYEWAHI kuwa mkuu wa mikoa ya Dodoma, Mara, Mtwara na Arusha kwa nyakati tofauti, Isdory Shirima amefariki dunia leo tarehe 31 Machi 2023....

Habari Mchanganyiko

Luhemeja ahimiza utunzaji rasilimali maji kwa faida ya vizazi vijavyo

  NAIBU Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema kuendeleza na kutunza rasilimali za maji hapa nchini ni jambo la msingi...

Habari za Siasa

Kamala ataja hatua mpya kuimarisha uhusiano wa kibiashara Tanzania, Marekani

KATIKA kuimaridha uhusiano wa kibiashara na kiuchumi baina ya Tanzania na Marekani, Makamu wa Rais wa Taifa hilo kubwa duniani, Kamala Harris, amesema...

Habari Mchanganyiko

NMB yadhamini mkutano TEF, yapewa cheti

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limetoa cheti cha utambuzi kwa Benki ya NMB kuwa moja ya wadhamini wakuu wa mkutano wa 12 wa...

Habari za Siasa

Ukaguzi wa CAG yabaini madudu ‘Plea Bargain’

  UKAGUZI Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu fedha makubaliano ya washatakiwa na Ofisi ya Taifa ya Mwendesha Mashitaka...

Habari Mchanganyiko

NHIF yazidiwa, yalipa malipo kwa vituo hewa

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Charles Kicheere amesema ukaguzi wa mfumo wa ulipaji wa Mfuko wa Bima ya Afya...

Kimataifa

Marekani yatia mguu maaandamano Kenya, yatoa maagizo kwa Rais Ruto, Odinga

  Mabalozi kutoka nchi sita za Magharibi, zikiongozwa na Marekani, zimeonesha wasiwasi kuhusu maandamano yanayoendelea nchini Kenya na kutaka kuwepo kwa maridhiano kati...

Kimataifa

Papa Francis alazwa hospitali kutokana na maambukizi ya mapafu

  KIONGOZI wa Kanisa katoliki duniani, Papa Francis jana Jumatano amelazwa hospitali kutokana na maambukizi ya mapafu baada ya kukabiliwa na matatizo ya...

error: Content is protected !!