Saturday , 20 April 2024
Home mwandishi
8681 Articles1237 Comments
Habari Mchanganyiko

Wajumbe Bodi ya Wakurugenzi waridhishwa na kasi ya usambazaji maji

  BODI ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Shinyanga-Shuwasa wameridhishwa na kasi ya miradi mbalimbali inayotekelezwa na mamlaka hiyo...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi gawio la 20 bilioni kwa wanahisa wake

SERIKALI imepokea kiasi cha Sh. sita bilioni kutoka Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ikiwa ni sehemu ya gawio la kiasi cha Tsh...

Kimataifa

Kampuni za kigeni zahofia kuendelea na biashara China

OPERESHENI ya kiuchunguzi inayofanywa na Serikali ya China kwa kampuni za kigeni imeibua wasiwasi kwa kampuni hizo na kupelekea kufunga biashara zao nchini...

Habari Mchanganyiko

NMB yatumia mamilioni kupeleka viti, meza sekondari Mafia

BENKI ya NMB imekabidhi msaada wa viti 100 na meza 100 vyenye thamani ya Sh15 milioni kwa matumizi ya wanafunzi wa Shule za...

Habari Mchanganyiko

Neema yafunguliwa kwa wafanyabiashara wa Tanzania-India

  NEEMA imefunguliwa kwa wafanyabiashara wa Tanzania na India, baada ya Kampuni ya Silent Ocean, kuzindua Huduma za usafirishaji mizigo katika mataifa hayo...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi Vodacom wachangia damu na kutoa msaada hospitali ya Rufaa Dodoma

  WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Vodacom Tanzania mkoa wa Dodoma wamefanya zoezi la kuchangia damu ili kuokoa maisha ya wagongwa wenye mahitaji ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

6 wadakwa tuhuma za mauaji ya daktari Tarime, mfanyakazi GGML

HATIMAYE Jeshi la Polisi nchini limewadaka watuhumiwa watatu wa mauaji ya Dk. Isack Daniel Athumani aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Kerende...

Habari Mchanganyiko

FEMATA walilia benki ya wachimbaji wadogo

  SHIRIKISHO la vyama vya wachimbaji wa Madini Tanzania (FEMATA) limetoa wito kwa Serikali kuunga mkono wazo la kuanzishwa kwa benki ya wachimbaji...

Habari Mchanganyiko

Mgomo Kariakoo ngoma nzito, wafanyabiashara wamtaka Rais Samia

  MGOGORO wa kodi katika Soko la Kimataifa la Kariakoo umechukua sura mpya baada ya baadhi ya wafanyabiashara kutishia kuendelea kufunga maduka yao...

Habari Mchanganyiko

NMB yajidhatiti kuendelea kuchangia ukuaji matumizi ya bima

BENKI ya NMB imesisitiza kuendelea kutoa huduma za bima zinazoendana na matakwa ya wateja ikiwa ni utekelezaji wa dhamira yake ya kuongeza matumizi...

Habari Mchanganyiko

Wateja wa Vodacom wafanya miamala ya tril 6, yapata faida bil. 44.6

KAMPUNI pekee ya mawasiliano ya simu iliyoorodheshwa kwenye soko la hisa la Dar es Salaam, Vodacom Tanzania Plc, imetangaza taarifa ya ripoti ya...

Habari Mchanganyiko

RC Mongela awataka wafanyabiashara kuunga mkono kampeni ya GGML Kili Challenge

KATIKA kuendeleza mapambano dhidi ya Virusi Vya Ukimwi/ Ukimwi, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongela ametoa wito kwa wafanyabiashara wa mkoa huo...

Habari Mchanganyiko

Madaktari bingwa wa moyo JKCI watia fora Malawi

MADAKTARI bingwa wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), wamefanikiwa kuwapatia matibabu ya kibingwa wagonjwa zaidi ya 724 wa moyo nchini Malawi...

Michezo

Yanga SC. yatwaa ubingwa wa pili mfululizo

  KLABU ya Yanga SC imeweka rekodi ya kutwaa ubingwa wa 29 Ligi Kuu Tanzania bara  msimu wa 2022/23 baada ya kupata ushindi...

Habari za Siasa

Samia ashuhudia utiaji saini ujenzi wa minara 758 ya bilioni 265

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa kampuni za simu kubuni teknolojia ya gharama nafuu itakayowezesha kila Mtanzania kupata huduma ya mawasiliano...

Michezo

Meridianbet yagawa ‘reflector’ kwa bodaboda Mbagala

  KAMPUNI ya Meridianbet imeendelea kuiunga mkono jamii yake inayowazunguka baada ya leo kufika katika mtaa wa Mbagala na kugawa vifaa kwa vijana...

Habari Mchanganyiko

Wafugaji wanaotorosha mifugo nje ya nchi waonywa

  WAFUGAJI wanaotorosha mifugo yao kwenda nje ya nchi bila kufuata utaratibu uliowekwa na Serikali wametakiwa kuacha vitendo hivyo kwani hatua za kisheria...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo aibana Halmashauri ya Musoma

  MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, mkoani Mara, kutumia mapato yake ya ndani kukamilisha miradi...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua mwenyekiti, wajumbe bodi ya ushauri wa mapato ya mafuta na gesi

  RAIS Samia Suluhu Hassan leo Ijumaa amemteua Mussa Mohamed Makame, Mkurugenzi Mtendaji, Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuwa Mwenyekiti wa...

Habari za Siasa

Daktari: Membe hajapewa sumu

  DAKTARI wa aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje nchini Bernard Membe, ameondoa utata kuhusu ya kifo cha mwanasiasa huyo mkongwe na...

Kimataifa

Maofisa 110,000 wakalia koti kavu kwa ufisadi China

  CHAMA tawala cha China (CCP), kimewaadhibu zaidi ya maofisa 110,000, katika mapambano ya ufisadi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Kwa mujibu...

Habari za Siasa

Wanakijiji Kinyang’erere waepukana na adha ya usafiri

  WANAKIJIJI zaidi ya 4,000 wa Kinyang’erere, Musoma Vijijini mkoani Mara, wameepukana na adha ya usafiri baada ya Serikali kujenga barabara inayowaunganisha katika...

Habari za Siasa

Tanzania, Uingereza zadhamiria kuimarisha biashara na uwekezaji

TANZANIA imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha ushirikiano wake na Serikali ya Uingereza katika sekta za biashara pamoja na uwekezaji. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za Siasa

Balozi Shelukindo ateta na mabalozi China, Italia, Denmark…

KATIBU Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dk. Samwel Shelukindo amekutana na kuzungumza na mabalozi wa China,...

Habari za Siasa

BAWACHA waandamana, polisi wawapa ulinzi mzito

  HATIMAYE Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) leo Alhamisi wamekusanyika kwenye viwanja vya posta ya zamani jijini Dar es salaam na kuandamana...

Michezo

Cheza kasino ya Meridianbet ushinde

  UNAHITAJI urahisi wa odds kubwa, michezo mingi ya kasino ya mtandaoni, kuhusu machaguo mengi, ofa na promosheni na bonasi juu, ichague Meridianbet...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango aagiza mawakili wala rushwa ‘vigeugeu’ washughulikiwe

  MAKAMU wa Rais wa Dk. Philip Mpango ametoa wito kwa Chama Cha Mawakili Tanganyika (TLS) na Kamati ya Mawakili kuchukua hatua kali...

Michezo

Majaliwa aipongeza Yanga, aitaka Simba ijifunze

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Klabu ya Yanga kwa kuichabanga timu ya Marumo Galants kutoka nchini Afrika Kusini jumla ya bao 2-0...

Habari Mchanganyiko

Mradi wa 630 milioni kufaidisha wakazi 12,500

  ZAIDI ya wakazi 12,500 wa vijiji vya Milola na Mavimba Wilayani Ulanga mkoani Morogoro wanatarajia kunuafaika na mradi wa maji wenye thamani...

Habari Mchanganyiko

Wabunge watembelea pori la akiba Kilombero, waahidi ushirikiano kulinda mazingira

  MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imesema pori la Akiba Kilombero ni chachu ya kufungua fursa za utalii ikiwemo shughuli za...

Habari Mchanganyiko

GGML Kili Challenge-2023 kukusanya bilioni 2 kudhibiti VVU/UKIMWI

KAMPENI ya GGML Kili Challenge inayoratibiwa na Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS)...

Habari Mchanganyiko

Tanzania, Uganda zakubaliana kuondoa vikwazo vya kibiashara

TANZANIA na Uganda zimekubaliana kuondoa vikwazo vya biashara ili kuendelea kuboresha ushirikiano kati ya mataifa hayo kwenye nyanja mbalimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Makubaliano...

Michezo

Yanga yaizaba Marumo, yaweka mguu mmoja fainali CAFCC

WAWAKILISHI pekee katika Kombe la Shirikisho barani Afrika, Klabu ya Yanga SC imejiweka nafasi nzuri ya kutinga Fainali ya Michuano hiyo baada ya...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa atembelea Banda la NMB, atoa maagizo

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezielekeza halmashauri zote za wilaya na miji, kwenye maeneo yenye madini ziandae sheria ndogo (by-laws) kwa kushirikiana na wadau...

Habari Mchanganyiko

Polisi wamuaga rasmi IGP Mstaafu, Balozi Simon Sirro

JESHI la Polisi Tanzania, limemuaga rasmi IGP Mstaafu, Balozi Simon Sirro leo tarehe 10 Mei  2023 baada ya kustaafu Utumishi ndani ya Jeshi...

Habari za Siasa

Lissu ashuhudia gari lake polisi, akanusha uvumi wa kuzuiwa kuliona, ataka waliompiga risasi watafutwe

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameliomba jeshi la polisi nchini kuendelea kumsaka aliyehusika na shambulio dhidi...

Michezo

Meridianbet yamtambulisha mshindi wa milioni 60

  MANENO kidogo pesa nyingi kauli hii inathibitishwa na moja ya mteja wa Meridianbet (Jina lake limehifadhiwa) alicheza Sloti ya Aviator na kupiga...

Habari za Siasa

Waitara alia tena, wabunge wamcheka… atoka bungeni

  MBUNGE wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) leo Jumanne ameangua tena kilio bungeni na kutoka nje ya ukumbi wa mhimili huo kwa...

Habari Mchanganyiko

NMB, ZIPA zasaini makubaliano kukuza uwekezaji Zanzibar

KATIKA kuunga mkono jitihada za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kuharakisha maendeleo ya kiuchumi, Benki ya NMB na Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji...

Kimataifa

Mahakama yaagiza akaunti 15 za mchungaji mwenye utata Ezekiel Odero kuzuiliwa

  AKAUNTI 15 zinazomilikiwa na Mchungaji mtata, Ezekiel Odero, zimeamriwa na Mahakama nchini Kenya kuzuiliwa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa zinasema, amri...

Habari Mchanganyiko

Maji yaendelea kusambazwa Musoma Vijijini

  WAKALA wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), umeendelea kusambaza maji katika vijiji vya Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara. Anaripoti...

Michezo

Meridianbet yamjengea heshima Awesu kitaani kwake

  KAMPUNI ya Meridianbet katika kuhakikisha inarudisha fadhira kwa kwa jamii, iliandaa shindano la mikwaju ya penati ambapo kila itakayozaa goli inalipwa Sh....

Habari za Siasa

Lissu: Chadema haijawahi kuridhiana na Serikali

CHAMA Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimeiomba Serikali ianze kutekeleza dhana ya maridhiano mapema kabla ya kubandika kwenye matangazo kuwa wameridhiana  kumbe si...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango akemea viongozi wa dini kuburuzana mahakamani

MAKAMU wa Rais  Dk. Philip Mpango amewataka viongozi wa dini nchini kuwa na utaratibu wa kusuluhisha migogoro yao wenyewe badala ya kuipeleka mahakamani....

Habari za Siasa

ACT wazalendo wampa tano Samia kufufua mchakato Katiba mpya

CHAMA cha ACT Wazalendo kimeunga mkono na kuikaribisha kwa mikono miwili hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kumuagiza Msajili wa Vyama vya Siasa...

Habari Mchanganyiko

Polisi wachunguza kifo cha mwanamke anayehusishwa katika ajali ya Naibu Waziri

JESHI la Polisi nchini limeanza uchunguzi wa kifo cha mwanafuzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom),  Nusura Hassan Abdallah kinachodaiwa kutokana na kipigo...

Habari Mchanganyiko

Dk. Kiruswa atoa wiki moja kuweka ‘bicon’ eneo la wawekezaji Kilimanjaro

NAIBU Waziri wa Madin Dk. Steven Kiruswa ametoa wiki moja kuweka alama (bicon) kwenye mipaka baina ya wawekezaji wawili wa uchimbaji wa madini...

Habari Mchanganyiko

CWT Igunga: Rais Samia amerejesha ari ya walimu kufanya kazi

CHAMA cha Walimu (CWT) Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, kimesema juhudi za  Rais Samia Suluhu Hassan zinatoa muelekeo chanya wa ukuaji wa sekta...

Kimataifa

Mhuhiri Mackenzie, mkewe walalamika polisi kuwanyima chakula

MHUBIRI mwenye utata kutoka nchini Kenya, Paul Mackenzie pamoja na mkewe ambao wamedaiwa kusababisha vifo vya zaidi ya watu 100 ambao waliwalazimisha kufunga...

Habari Mchanganyiko

NMB yakarabati wodi ya uzazi Muhimbili

BENKI ya NMB imekarabati na kukabidhi wodi ya wazazi pamoja na vifaa tiba kwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Ukarabati huo uliogharimu zaidi...

error: Content is protected !!