Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro kuhusu ukaguzi wa pasipoti...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2024RAIA milioni 7.3 wa Senegal leo Jumapili wanatarajiwa kupiga kura kuamua kati ya wagombea 17 ambao wanapepetana katika kinyang’anyiro cha kumrithi Macky Sall,...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2024Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amepiga marufuku kubadili matumizi ya eneo kwa kutumia mabango ya vitambaa na badala...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2024KAMPUNI ya Samsung Electronics Co. Ltd imezindua huduma ya itakayomwezesha mteja kupata muonekano wa ramani kwa 3D, huduma hii imezinduliwa kwa mara...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2024Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema Tanzania imeendelea kuwa katika kundi la nchi zenye uchumi...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2024BENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi vyenye thamani ya Zaidi ya shilingi milioni 29.7 kwa shule sita zilizopo katika...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2024Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imefanikiwa kutoa jumla ya mikopo yenye thamani ya Sh bilioni 28 kwa wateja zaidi 20,000 katika maeneo...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2024MWENYEKITI wa Wazazi Mkoa wa Morogoro (CCM), Dk. Rose Rwakatare ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima (PhD) na Chuo Kikuu cha All Nations...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2024CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimefanikiwa kupata ushindi katika uchaguzi wa marudio uliofanyika tarehe 20 Machi mwaka huu, kwenye kata zote 23 za Tanzania...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2024Serikali ya Awamu Sita, chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imetekeleza ombi la siku nyingi la wachimbaji wadogo wilayani Songwe kwa...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2024SERIKALI ya Tanzania imeungana na nchi wanachama wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) kuchukua hatua za kukabiliana na athari mabadiliko...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2024Nchi wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimetakiwa kufanya kila linalowezekana kuhakikisha kuwa nchi zao zinakuwa na amani, Umoja na...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2024Watu takribani 93 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 140 wamejeruhiwa baada ya watu wenye silaha za moto kufyatua risasi katika tamasha la...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2024BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekanusha madai ya taarifa kwamba mwaka jana wabunge wamejiongezea mishahara kutoka Sh 13 milioni hadi Sh...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2024KAMPUNI ya Gesi ya Oryx Tanzania, imewaahidi Mama na Baba lishe katika Soko la Samaki la Kimataifa Feri kuwafungia mtambo wa nishati safi...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2024BENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi vyenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 29.7 kwa shule sita zilizopo katika...
By Mwandishi WetuMarch 22, 2024TIMU ya maofisa kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) idara ya Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano wameweka kambi katika mkoa wa Shinyanga...
By Mwandishi WetuMarch 22, 2024MERIDIANBET imetanganza neema ya zawadi kibao kwa wachezaji wa michezo ya kasino ya mtandaoni, kupitia mchezo wa Super Heli moja kati ya...
By Mwandishi WetuMarch 22, 2024Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amemuelekeza Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, kufuta jumla ya maombi na leseni za utafiti 2,648 ili kupisha...
By Mwandishi WetuMarch 22, 2024Rais Yoweri Museveni wa Uganda amemteua mtoto wake wa kiume Jenerali Muhoozi Kainerugaba kuwa mkuu wa majeshiya nchi hiyo uteuzi ambao umetajwa kudhihirisha...
By Mwandishi WetuMarch 22, 2024MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango ametishia kujiuzulu endapo Wizara ya Maji, itashindwa kukamilisha ujenzi wa mradi wa maji wilayani Same, Mkoa wa...
By Mwandishi WetuMarch 21, 2024Kamati ya Kudumu ya Bunge Uwekezaji na Mitaji ya Umma imekagua na kuridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa jengo jipya la Mamlaka ya...
By Mwandishi WetuMarch 21, 2024KWA ajili ya maendeleo ya familia na jamii kwa ujumla, wazazi na walezi wametakiwa kuunga mkono elimu kwa watoto wa kike ili kuwajengea...
By Mwandishi WetuMarch 21, 2024JUMLA ya Sh5 milioni na zawadi nyingine za fulana, kofia na mavazi mengine kwa ajili ya Mama Lishe jana zilikwenda kwa wateja wa...
By Mwandishi WetuMarch 21, 2024Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imemuagiza Katibu Mkuu wizara ya ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi kuhakikisha wanafikia...
By Mwandishi WetuMarch 20, 2024MTANZANIA aliyefahamika kwa jina Michael (Mike), anadaiwa kuuawa na rafiki yake aliyemfuata Afrika Kusini, kumdai pesa zake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....
By Mwandishi WetuMarch 20, 2024Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango anatarajiwa kumwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Wakuu wa...
By Mwandishi WetuMarch 20, 2024SERIKALI imetoa jumla ya Sh 1.6 bilioni kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa kuhimili mabadiliko ya tabianchi kwa kutumia mifumo Ikolojia Vijijini...
By Mwandishi WetuMarch 20, 2024KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Emmanuel Nchimbi, amesema Rais Samia ana dhamira ya dhati katika kuimarisha na kuboresha uhusiano wa...
By Mwandishi WetuMarch 20, 2024TIMU ya wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Amsterdam cha nchini Uholanzi imesema imefanikiwa kuondoa Virusi Vya Ukimwi (VVU) kutoka kwa chembechembe seli zilizoambukizwa...
By Mwandishi WetuMarch 20, 2024Mbunge wa viti maalumu Zainab Katimba amekabidhi mitungi ya gesi kwa vikundi vya wanawake wajasiriamali katika kata ya Mwandiga halmashauri ya Kigoma mkoani...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2024JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Tanga limesema mafunzo ya usalama barabarani yanayotolewa na Shirika la Amend kwa ufadhili wa...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2024VIFAA vya nyumbani vinavyotoa ufanisi, urahisi na sifa za hali ya juu vimekuwa muhimu katika dunia ya sasa. Wakati ulimwengu ukisukuma kila siku...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2024Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Kikosi kazi cha madini Taifa linawashikilia watuhumiwa 10 wote wakazi wa Ilomba Jijini Mbeya...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2024JESHI la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Kimeendelea na operesheni ya kutoa elimu na kuwakamata wale wote wanaoendelea kuvunja sheria za usalama...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2024Mahakama ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imemhukumu kifungo cha miezi sita jela mwandishi wa habari wa Congo, Stanis Bujakera baada ya kukutwa...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2024Wagombea udiwani 127 kutoka vyama 18 vya siasa wanatarajiwa kupigiwa kura katika uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata 22 za Tanzania Bara unaotarajiwa...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2024Makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ambaye pia ni Diwani wa kata ya Olbalbal iliyopo ndani ya hifadhi ya Ngorongoro, Emmanuel...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2024Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Geita (Geita Boys) kwa lengo...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2024WAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video ya wimbo wao mpya unaoitwa Bwana Wastahili. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Video...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024SERIKALI ya Zanzibar, imekamilisha mchakato wa uchimbaji wa mafuta na gesi asilia baharini ambapo imeanza kutangaza utoaji wa leseni za uchimbaji na vitalu...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024WIZARA ya Afya imetaja mafanikio 10 iliyoyapata ndani ya miaka mitatu ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, aliyeingia madarakani Machi 2021,...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024JOKER Ice Frenzy Epic Strike ni sloti iliyopo kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet ina nguzo tano zilizopangwa kwenye mistari mitatu yenye...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024SUDAN Kusini imeamuru kufungwa kwa shule zote kuanzia leo Jumatatu, ikiwa ni hatua ya tahadhari kutokana na joto kali linalotarajiwa kudumu kwa wiki...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024HALMASHAURI ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe imeeleza dhamira yake ya kuomba kupandishwa hadhi kuwa manispaa pamoja na kupatikana majimbo matatu, kwamba ni...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara, NBC Premiere League jana Jumapili...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024SERIKALI imetoa Sh 1.8 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa Hospital ya wilaya ya Moshi inayojengwa katika Kata ya Mabogini ukanda wa...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024SERIKALI ya Tanzania na Italia zimeahidi kuimarisha ushirikiano katika sekta za kimkakati ambazo ni kilimo, nishati, elimu pamoja na uchumi wa buluu...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeliagiza Shirika la Maendeleo ya petrol nchini (TPDC), kuongeza kasi ya kuunganisha wateja...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024BENKI ya Exim imeandaa futari ya pamoja kwa wateja wake katika hafla iliyofanyika katika hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam mnamo...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024