Saturday , 20 April 2024
Home mwandishi
8680 Articles1237 Comments
Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro kuhusu ukaguzi wa pasipoti...

Kimataifa

Watu milioni 7.3 kuamua hatima ya Senegal leo

RAIA milioni 7.3 wa Senegal leo Jumapili wanatarajiwa kupiga kura kuamua kati ya wagombea 17 ambao wanapepetana katika kinyang’anyiro cha kumrithi Macky Sall,...

Habari za Siasa

Silaa atoa maagizo 3 matumizi ya ardhi

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amepiga marufuku kubadili matumizi ya eneo kwa kutumia mabango ya vitambaa na badala...

Biashara

Samsung yazindua muonekano wa vifaa kwa 3D kwa kutumia SmartThings na AI 

  KAMPUNI ya Samsung Electronics Co. Ltd imezindua huduma ya itakayomwezesha mteja kupata muonekano wa ramani kwa 3D, huduma hii imezinduliwa kwa mara...

Habari za SiasaTangulizi

Pato la kila Mtz dola 1,200, TRA yavunja rekodi

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema Tanzania imeendelea kuwa katika kundi la nchi zenye uchumi...

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa vya ujenzi kwa shule sita Nyasa  

BENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi vyenye thamani ya Zaidi ya shilingi milioni 29.7 kwa shule sita zilizopo katika...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wateja 20,000 NBC walamba mikopo ya bil. 28 kupitia La Riba

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imefanikiwa kutoa jumla ya mikopo yenye thamani ya Sh bilioni 28 kwa wateja zaidi 20,000 katika maeneo...

Habari Mchanganyiko

Chuo Kikuu Marekani champa udaktari wa heshima Dk. Rose Rwakatare

MWENYEKITI wa Wazazi Mkoa wa Morogoro (CCM), Dk. Rose Rwakatare ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima (PhD) na Chuo Kikuu cha All Nations...

Habari za Siasa

CCM yazoa kata zote 23 uchaguzi mdogo wa udiwani

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimefanikiwa kupata ushindi katika uchaguzi wa marudio uliofanyika tarehe 20 Machi mwaka huu, kwenye kata  zote 23 za Tanzania...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Samia asikia kilio cha wachimbaji wadogo Songwe, leseni 37 zagawiwa

Serikali ya Awamu Sita, chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imetekeleza ombi la siku nyingi la wachimbaji wadogo wilayani Songwe kwa...

Habari Mchanganyiko

Siku ya Hali ya Hewa Duniani, Tanzania yachukua tahadhari mabadiliko ya hali ya hewa

  SERIKALI ya Tanzania imeungana na nchi wanachama wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) kuchukua hatua za kukabiliana na athari mabadiliko...

Habari za Siasa

“Bila ya amani, hakuna mtangamano na maendeleo”

Nchi wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimetakiwa kufanya kila linalowezekana kuhakikisha kuwa nchi zao zinakuwa na amani, Umoja na...

Habari MchanganyikoKimataifa

Magaidi waua 93 Urusi, 4 wadakwa

Watu takribani 93 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 140 wamejeruhiwa baada ya watu wenye silaha za moto kufyatua risasi katika tamasha la...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge lamkana Mbowe nyongeza ya mishahara

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekanusha madai ya taarifa kwamba mwaka jana wabunge wamejiongezea mishahara kutoka Sh 13 milioni hadi Sh...

Habari Mchanganyiko

Oryx kufunga mtungi 1 wa kusambaza gesi Ferry

KAMPUNI ya Gesi ya Oryx Tanzania, imewaahidi Mama na Baba lishe katika Soko la Samaki la Kimataifa Feri kuwafungia mtambo wa nishati safi...

Habari Mchanganyiko

NMB yatoa vifaa vya ujenzi kwa shule 6 Nyasa

BENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi vyenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 29.7 kwa shule sita zilizopo katika...

Biashara

TRA yaweka kambi Shinyanga kutoa elimu, kukusanya maoni

  TIMU ya maofisa kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) idara ya Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano wameweka kambi katika mkoa wa Shinyanga...

Biashara

Maporomoko ya zawadi kutoka Super Heli kasino 

  MERIDIANBET imetanganza neema ya zawadi kibao kwa wachezaji wa michezo ya kasino ya mtandaoni, kupitia mchezo wa Super Heli moja kati ya...

Habari za Siasa

Mavunde aagiza kufutwa leseni 2,648 za utafiti wa madini

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amemuelekeza Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, kufuta jumla ya maombi na leseni za utafiti 2,648 ili kupisha...

Habari MchanganyikoKimataifa

Rais Museveni amteua mwanaye kuwa mkuu wa majeshi

Rais Yoweri Museveni wa Uganda amemteua mtoto wake wa kiume Jenerali Muhoozi Kainerugaba kuwa mkuu wa majeshiya nchi hiyo uteuzi ambao umetajwa kudhihirisha...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mpango atishia kujiuzulu

MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango ametishia kujiuzulu endapo Wizara ya Maji, itashindwa kukamilisha ujenzi wa mradi wa maji wilayani Same, Mkoa wa...

Habari Mchanganyiko

Wabunge wakagua jengo la Dawasa, kukamilika Juni 2024

Kamati ya Kudumu ya Bunge Uwekezaji na Mitaji ya Umma imekagua na kuridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa jengo jipya la Mamlaka ya...

Habari Mchanganyiko

WIMA, GGML washauri wazazi kuwapa elimu watoto wao wa kike

KWA ajili ya maendeleo ya familia na jamii kwa ujumla, wazazi na walezi wametakiwa kuunga mkono elimu kwa watoto wa kike ili kuwajengea...

Habari Mchanganyiko

NMB yapeleka mamilioni ya fedha kwa wateja

JUMLA ya Sh5 milioni na zawadi nyingine za fulana, kofia na mavazi mengine kwa ajili ya Mama Lishe jana zilikwenda kwa wateja wa...

Habari Mchanganyiko

PAC: Bila hati, eneo sio lako

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imemuagiza Katibu Mkuu wizara ya ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi kuhakikisha wanafikia...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mtanzania adaiwa kuuawa Sauz akidai pesa, Balozi afunguka

MTANZANIA aliyefahamika kwa jina Michael (Mike), anadaiwa kuuawa na rafiki yake aliyemfuata Afrika Kusini, kumdai pesa zake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari za Siasa

Dk. Mpango kumwakilisha Samia katika mkutano wa dharura wa SADC, Zambia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango anatarajiwa kumwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Wakuu wa...

Habari Mchanganyiko

Bil. 1.6 zatengwa kuhimili mabadiliko ya tabianchi

SERIKALI imetoa jumla ya Sh 1.6 bilioni kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa kuhimili mabadiliko ya tabianchi kwa kutumia mifumo Ikolojia Vijijini...

Habari za Siasa

Dk. Nchimbi ampigia chapuo Samia kwa vyama vya ukombozi Afrika

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Emmanuel Nchimbi, amesema Rais Samia ana dhamira ya dhati katika kuimarisha na kuboresha uhusiano wa...

AfyaTangulizi

Wanasayansi wagundua teknolojia ya kunyofoa VVU kutoka kwenye seli

TIMU ya wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Amsterdam cha nchini Uholanzi imesema imefanikiwa kuondoa Virusi Vya Ukimwi (VVU) kutoka kwa chembechembe seli zilizoambukizwa...

Habari Mchanganyiko

Katimba awashika mkono Mama Lishe Mwandiga

Mbunge wa viti maalumu  Zainab Katimba amekabidhi mitungi ya gesi kwa vikundi vya  wanawake wajasiriamali katika kata ya Mwandiga halmashauri ya Kigoma mkoani...

Habari Mchanganyiko

Polisi Tanga wakoshwa na Amend

JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Tanga limesema mafunzo ya usalama barabarani yanayotolewa na Shirika la Amend kwa ufadhili wa...

Biashara

Ifahamu mashine ya kufulia ya Samsung yenye ubunifu na urahisi kwa pamoja

VIFAA vya nyumbani vinavyotoa ufanisi, urahisi na sifa za hali ya juu vimekuwa muhimu katika dunia ya sasa. Wakati ulimwengu ukisukuma kila siku...

Habari za Siasa

10 matatani kwa kutorosha madini ya bil 1.5

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Kikosi kazi cha madini Taifa linawashikilia watuhumiwa 10 wote wakazi wa Ilomba Jijini Mbeya...

Habari Mchanganyiko

Polisi waendelea kuwabana wanavunja sheria, operesheni 3D yaendelea

  JESHI la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Kimeendelea na operesheni ya kutoa elimu na kuwakamata wale wote wanaoendelea kuvunja sheria za usalama...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yamhukumu mwandishi wa habari kifungo cha miezi 6

Mahakama ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imemhukumu kifungo cha miezi sita jela mwandishi wa habari wa Congo, Stanis Bujakera baada ya kukutwa...

Habari za Siasa

Wagombea 127 wa udiwani kutoka vyama 18 kuchaguliwa kesho

Wagombea udiwani 127 kutoka vyama 18 vya siasa wanatarajiwa kupigiwa kura katika uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata 22 za Tanzania Bara unaotarajiwa...

Habari Mchanganyiko

Diwani, wananchi wengine 463 wahama Ngorongoro

Makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ambaye pia ni Diwani wa kata ya Olbalbal iliyopo ndani ya hifadhi ya Ngorongoro, Emmanuel...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Geita (Geita Boys) kwa lengo...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

WAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video ya wimbo wao mpya unaoitwa Bwana Wastahili. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Video...

BiasharaHabari za Siasa

Zanzibar mbioni kuanza uchimbaji mafuta na gesi baharini

SERIKALI ya Zanzibar, imekamilisha mchakato wa uchimbaji wa mafuta na gesi asilia baharini ambapo imeanza kutangaza utoaji wa leseni za uchimbaji na vitalu...

Habari za Siasa

Wizara ya afya yataja mafanikio 10 miaka mitatu Samia madarakani

WIZARA ya Afya imetaja mafanikio 10 iliyoyapata ndani ya miaka mitatu ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, aliyeingia madarakani Machi 2021,...

Biashara

Cheza ushinde kirahisi kwenye Meridianbet kasino, Joker Ice Frenzy

  JOKER Ice Frenzy Epic Strike ni sloti iliyopo kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet ina nguzo tano zilizopangwa kwenye mistari mitatu yenye...

Habari MchanganyikoKimataifa

Shule zafungwa kutokana na ongezeko la joto

SUDAN Kusini imeamuru kufungwa kwa shule zote kuanzia leo Jumatatu, ikiwa ni hatua ya tahadhari kutokana na joto kali linalotarajiwa kudumu kwa wiki...

Habari za Siasa

Mbozi walilia kuwa manispaa, majimbo 3

HALMASHAURI ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe imeeleza dhamira yake ya kuomba kupandishwa hadhi kuwa manispaa pamoja na kupatikana majimbo matatu, kwamba ni...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara, NBC Premiere League jana Jumapili...

Afya

Wananchi 530,000 kufaidika na ujenzi wa hospitali ya bil. 1.8

  SERIKALI imetoa Sh 1.8 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa Hospital ya wilaya ya Moshi inayojengwa katika Kata ya Mabogini ukanda wa...

Kimataifa

Tanzania, Italia kuimarisha ushirikiano sekta za kimkakati

  SERIKALI ya Tanzania na Italia zimeahidi kuimarisha ushirikiano katika sekta za kimkakati ambazo ni kilimo, nishati, elimu pamoja na uchumi wa buluu...

Habari za Siasa

Wabunge waitaka TPDC kuongeza kasi ya kuunganisha wateja gesi asilia

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeliagiza Shirika la Maendeleo ya petrol nchini (TPDC), kuongeza kasi ya kuunganisha wateja...

Biashara

Benki ya Exim yaandaa Iftar kwa wadau wake

  BENKI ya Exim imeandaa futari ya pamoja kwa wateja wake katika hafla iliyofanyika katika hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam mnamo...

error: Content is protected !!