Tuesday , 23 April 2024
Home mwandishi
8696 Articles1243 Comments
BiasharaTangulizi

TLS yaishauri Serikali kufuta vifungu tata mkataba DP World, “vinakiuka masilahi ya Taifa”

CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kimeshauri Serikali kuondoa vifungu vinavyominya maslahi ya Taifa katika mkataba wa makubaliano ya kiserikali kati yake na...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Tulia aeleza sababu za kengele ya hatari kulia Bungeni

SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amesema kengele ya hatari iliyofanya mhimili huo usitishe shughuli zake kwa muda, imetokana na marekebisho yaliyokuwa yanafanywa...

Biashara

RC Chalamila azindua NMB Onja Unogewe, aiita akili kubwa

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Albert Chalamila ameipongeza Benki ya NMB  kwa kuzindua huduma mpya chini ya Mwamvuli wa Teleza...

Kimataifa

Biden asisitiza kuwa Rais Xi Jinping ni ‘Dikteta’

  RAIS wa Marekani Joe Biden amesisitiza kuwa ataendelea kumwita Rais wa China Xi Jinping ‘Dikteta.’  Imeripotiwa na VOA … (endelea). Biden alitoa...

HabariKitaifa

Spika Tulia aeleza sababu za kengele ya hatari kulia Bungeni

SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amesema kengele ya hatari iliyofanya mhimili huo usitishe shughuli zake kwa muda, imetokana na marekebisho yaliyokuwa yanafanywa...

GazetiHabari

Kikao cha Bunge chaahirishwa ghafla, larejea

KIKAO cha Bunge kilichokuwa kinaendelea leo Jumanne, tarehe 27 Juni 2023, kimeahirishwa ghafla baada ya kutokea dharura. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Kikao hicho...

Biashara

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Eliezer Feleshi atoa maneno mazito mjadala wa DP World

  MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Dkt. Eliezer Feleshi, amejitosa kwenye mjadala wa uwekezaji wa kampuni ya Dubai ya DP World unaotarajiwa kufanywa...

Elimu

Tunduma waiangukia Serikali kukamilisha ujenzi sekondari ya Samia

WADAU wa elimu mkoani Songwe wameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa mabweni katika shule mpya ya wasichana ya Dk. Samia S.H sekondari inayojengwa kwa...

Habari za Siasa

JUVICUF wataka elimu zaidi kuhusu mkataba bandari

WAKATI Serikali ikiendelea kutoa ufafanuzi kuhusu mkataba wake na Kampuni ya DP World, kuhusu ushirikiano wa uendeshaji Bandari ya Dar es Salaam, Jumuiya...

Biashara

NMB yatangaza neema Zanzibar, Rais Samia atoa neno

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameipongeza Benki ya NMB kwa jitihada zake za kuendelea kuiunga mkono Serikali kwa kuongeza ushirikishwaji wa kifedha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Simulizi mwanafunzi aliyedaiwa kuwekwa kinyumba na Baba Jose inasikitisha, RC aonya viboko

TAKRIBANI mwezi mmoja na siku kadhaa tangu Mwanafunzi Ester Noah (18) wa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari ya Pandahili mkoani Mbeya...

Habari za Siasa

Mkutano wa CHADEMA Temeke kupinga bandari wasusiwa na viongozi, wananchi

MKUTANO ulioandaliwa leo na chama cha upinzani cha CHADEMA na kada wake wa zamani, Wilbrod Slaa, kwenye viwanja vya Bulyaga, Temeke, jijini Dar...

Habari Mchanganyiko

Katibu Mkuu Maji apokea taarifa ya utekelezaji Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu

KARIBU Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Nadhifa Kemikimba amefanya ziara ya Kikazi Mkoani Morogoro ambapo amekutana  na viongozi pamoja na watumishi wa sekta...

Habari za Siasa

Kamati ya siasa yakagua miradi ya bilioni 9.3 Ileje, yabaini madudu

KAMATI YA siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Songwe  imekagua miradi nane yenye thamani ya Sh 9.3 bilioni katika wilaya ya Ileje...

Biashara

NBC Connect yabisha hodi Dodoma

KAMPUNI pamoja na taasisi mbalimbali  ambazo ni wateja wa Benki ya Taifa ya Biashara ya (NBC) mkoani Dodoma, sasa zinaweza kupata uzoefu mpya...

Habari za Siasa

Tanzania yafungua rasmi ubalozi wake nchini Indonesia

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Alhamisi imefungua rasmi Ubalozi wake Jijini Jakarta nchini Indonesia. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Akizungumza katika...

Kimataifa

Mlipuko wa gesi waua 31 China, tisa mbaroni

WATU takribani 31 wamepoteza maisha huku kadhaa wakijeruhiwa, baada ya mtungi wa gesi ya kupikia kulipuka katika mgahawa wa Fuyang, ulioko mjini Yinchuan...

Biashara

BoT yaonya wananchi kuacha kukopa katika taasisi zisizo na leseni

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT), imewataka wananchi kuepuka kukopa au kufanya biashara na taasisi au watu wasiokuwa na leseni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Michezo

SBL: Taifa Stars ina matumaini ya kufuzu AFCON

  MDHAMINI Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Serengeti Breweries Limited (SBL) ina matumaini kuwa timu hiyo itafanikiwa kufuzu kucheza...

Habari MchanganyikoTangulizi

7 wapoteza dunia ajali ya New Force akiwemo dereva

Watu saba wamefariki dunia akiwemo mtoto wa kike  katika ajali ya basi la New force lenye namba za usajili T173 DZU linalofanya safari...

Habari za Siasa

Tanzania kufungua rasmi ofisi za ubalozi Indonesia

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Stergomena Tax amewasili Jakarta nchini Indonesia kwa ajili ya ziara ya kikazi,...

Biashara

Wateja wa TotalEnergies kurudishiwa 10% kupitiaushirikiano na LIPA KWA M-PESA

KUPITIA dhamira yakuendeleza mfumo wa maisha wa kutotumia pesataslimu nchini, huduma ya M-Pesa ya Vodacom naTotalEnergies Marketing Tanzania Limited wamezinduaushirikiano wa kimkakati ili...

Habari Mchanganyiko

Msako NGO’s zinazokiuka maadili waendelea

SERIKALI inaendelea kufanya uchunguzi ili kubaini mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO’s), yanayotekeleza majukumu yake kinyume cha sheria na maadili ya nchi. Anaripoti Mwandishi...

BiasharaTangulizi

Prof. Lipumba:Miradi isiyo na tija imedumaza uchumi Taifa

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, ameitaka Serikali iachane na miradi ya maendeleo inayochukua muda mrefu bila kuleta tija kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ataka kamati iundwe kupitia upya mkataba wa DP World

MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba ameishauri Serikali iboreshe mkataba wa ushirikiano wa uendeshaji Bandari ya Dar es Salaam, ulioingiwa...

Habari za Siasa

Kamati ya siasa Songwe yakagua miradi 7, yatoa maagizo

KAMATI ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi  (CCM) mkoani Songwe imekagua miradi saba ya maendeleo yenye thamani ya Sh 5.5 bilioni wilayani Songwe...

Habari Mchanganyiko

Same yamkosha kiongozi mbio za Mwenge

  WILAYA ya Same mkoani Kilimanjaro imepongezwa kwa kusimamia fedha na miradi ya maendeleo inayotelezwa wilayani hapo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimanjaro … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango awataka watumishi kuacha alama nzuri kwenye jamii

MAKAMU wa Rais Dk.Philip Mpango ametoa wito kwa jamii hususani watumishi wa umma kuendelea kufanya kazi kwa bidii na upendo ili kuacha alama...

Habari Mchanganyiko

Waajiri wasiowasilisha michango ya wanachama NSSF, PSSSF wapewa siku 7

NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi ameagiza wakurugenzi wakuu wa mifuko ya pensheni ya PSSSF...

Kimataifa

Tinubu awaachisha kazi maofisa wa jeshi, polisi

RAIS wa Nigeria, Bola Tinubu amefanya mabadiliko makubwa kwa vikosi vya ulinzi jana Jumatatu na kuwasimamisha kazi wakuu wa usalama na mkuu wa...

Biashara

Vodacom yazindua mnara wa mawasiliano Makunduchi, Zanzibar

KATIKA kuunga mkono azma ya serikali ya kupanua na kuimarisha huduma za mawasiliano nchini kote, kampuni ya teknolojia na mawasiliano ya Vodacom Tanzania...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yaipukutisha Chadema Kigoma

WALIOKUWA wagombea udiwani wa CHADEMA katika Kata za Rugongwe, Mukabuye na Nyaruyoba kwenye uchaguzi Mkuu 2020 wamejiunga ACT Wazalendo. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea)....

Kimataifa

Uchomaji maiti China ni kuzuia kiashiria muhimu cha idadi ya vifo vya Covid-19

  TAIFA la China limepunguza idadi ya uchomaji maiti uliofanyika msimu wa baridi uliopita kutoka kwa ripoti ya robo mwaka. Imeripotiwa na Gazeti...

Biashara

Rostam, Kitila wamshukia vikali Mbowe kwa kauli za ubaguzi

  MFANYABIASHARA maarufu nchini Tanzania, Rostam Azizi, na mbunge wa Ubungo, Prof. Kitila Mkumbo, wamemshukia vikali Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, kwa kutoa...

BiasharaTangulizi

Lema, Zitto waishauri Serikali mkataba DP World “hatupingi uwekezaji bandari”

SERIKALI ya Tanzania, imeshauriwa kurekebisha baadhi ya vifungu vinavyolalamikiwa na wananchi katika mkataba wa ushirikiano wa kuendesha bandari ya Dar es Salaam, kati...

BiasharaTangulizi

Rostam, Kitila wamvaa Mbowe kwa kauli za ubaguzi

MFANYABIASHARA maarufu nchini Tanzania, Rostam Azizi, na Mbunge wa Ubungo, Prof. Kitila Mkumbo (CCM), wamemtaka Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, aombe radhi kutokana...

BiasharaTangulizi

Dk. Kitila aanika maeneo yatakayoendeshwa na DP World, Wassira achafukwa na ubaguzi

WAKATI mjadala wa mkataba wa ushirikiano kuhusu uendeshaji bandari, kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Dubai Port World (DP World), ukishika...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo aibana TPDC, TANESCO

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, amelitaka amelitaka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), liache kuwa wauzaji wa mafuta yanayotoka nje...

Habari Mchanganyiko

 SBL yakabidhiwa tuzo na Waziri Mkuu kwa uwekezaji kwenye miradi ya maji safi

  WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameikabidhi Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), tuzo ya kutambuliwa mchango wao...

AfyaTangulizi

Wananchi Ludewa waiangukia serikali zahanati iliyotelekezwa miaka 7, Filikunjombe atajwa

WANANCHI wa kijiji cha Nsele kata ya Kilondo tarafa ya Mwambao halmashauri ya wilaya ya Ludewa mkoani Njombe, wameiomba serikali kumalizia ujenzi wa...

Biashara

NMB yatoa gawio la bilioni 45.5, Rais Samia apongeza

BENKI ya NMB imetoa gawio la Sh.  45.5 bilioni ikiwa ni gawio kubwa zaidi kuwahi kutolewa na taasisi ya kifedha kwa Serikali. Serikali inamiliki...

ElimuMichezo

Ubongo Kids sasa waja na Nuzo na Namia

UBONGO Kids waliotamba na katuni za watoto za Ubongo Kids na Akili na Me, sasa wamekuja na hadithi mpya za watoto wa Afrika...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yamtaka CAG akague fedha za tozo, UVIKO-19

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimemtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kufanya ukaguzi dhidi ya fedha za tozo za miamala ya...

Habari Mchanganyiko

Tunduma yang’ara kwa kupata hati safi

MKAGUZI mkuu wa hesabu za nje katika mkoa wa Songwe, Chausiku Marco ameipongeza  halmashauri ya mji Tunduma kwa kuwa na hoja chache kuliko...

Habari Mchanganyiko

Shida ya maji Same, Mwanga kuisha

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu, amesema Mradi wa Maji unaotekelezwa katika ya Same na Mwanga utamaliza tatizo la uhaba wa maji...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo: Bajeti kuu haina vipaumbele vya kuboresha maisha ya Watanzania

CHAMA Cha ACT-Wazalendo, kimekosoa bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2023/24 na kudai kuwa haijaweka vipaumbele vinavyolenga kuboresha maisha ya wananchi...

Habari Mchanganyiko

Wazazi waonywa kuwalinda wanaokatili watoto

WAZAZI na walezi wametakiwa kuacha tabia ya kuwalinda watu wanaofanya vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto, kwa kupokea rushwa ili kuwanusuru na...

Habari Mchanganyiko

Mifugo 319 iliyoibiwa yakamatwa pamoja na watuhumiwa

  JESHI la Polisi kupitia kikosi cha kupambana na kuzuia wizi wa mifugo Nchini limesema kuwa katika kipindi cha mwezi juni mwaka huu...

Habari Mchanganyiko

Siku ya Mtoto wa Afrika; Wazazi, walezi watakiwa kuwaongoza watoto na matumizi ya kidijitali

KATIKA kuadhimisha siku ya mtoto wa Afrika wazazi na walezi wametakiwa kuwaongoza vyema watoto wao juu ya matumizi salama ya kidigitali kwa kuwa...

error: Content is protected !!