Thursday , 25 April 2024
Home mwandishi
8717 Articles1241 Comments
BiasharaMichezo

NMB kuanza kusajili wanachama Yanga Julai 10

BENKI ya NMB kupitia matawi yake yote nchini inatarajiwa kuanza rasmi Jumatatu tarahe 10 Julai 2023, kusajili na kutoa kadi za uanachama wa...

Habari za SiasaTangulizi

Balozi Karume: Sikati rufaa kufukuzwa CCM, uamuzi ni batili

BALOZI Ali Karume amedai uamuzi kumvua uanachama uliochukuliwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ni batili hivyo hana haja ya kukata rufaa kuupinga. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

CCM wamtimua Balozi Karume, urais watajwa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Kusini Unguja kupitia kamati ya Halmashauri Kuu ya CCM ya mkoa huo imeridhia kumfukuza uanachama Balozi Ali...

Habari Mchanganyiko

Muarobaini wakudhibiti tembo vamizi waja

  WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa amezindua programu maalum ya ujenzi wa vituo maalum 16 kwa ajili ya kuthibiti wanyama waharibifu...

Biashara

Washindi 22 promosheni NMB “Bonge la Mpango”, wabeba zawadi zao  

JUMLA ya washindi 22 wa Kampeni ya uhamasishaji wa kuweka akiba ya Benki ya NMB ‘Bonge la Mpango’ wamekabidhiwa zawadi zao jijini Dar...

Habari Mchanganyiko

Songwe yatajwa kuwa kinara biashara haramu usafirishaji binadamu

  KUELEKEA maadhimisho ya kupinga usafirishaji haramu wa binadamu duniani yatakayofanyika tarehe 30 Julai mwaka huu, mkoa wa Songwe umetajwa kuwa kinara kwa...

Kimataifa

Raila akinukisha tena Kenya “wakati wa mazungumzo umekwisha”

  KIONGOZI wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, ametimiza azma yake ya kuitisha maandamano kwa ajili ya kupinga muswada mpya wa sheria ya...

Biashara

Wafanyabiashara Kariakoo waibua mapya, Lissu atoa kauli

  BAADHI ya wafanyabiashara katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, wamedai changamoto wanazokabiliana nazo zinasababishwa na masuala mbalimbali, ikiwemo kisiasa. Anaripoti...

Kimataifa

Mwanandoa afumwa akishiriki ngono na mchepuko kanisani, waumini wasusa..

  KUNDI la waumini wa Kanisa la Bungonya lililoko wilayani Kayunga nchini Uganda limesusa kushiriki ibada kanisani hapo baada ya wanandoa wawili kufumaniwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia amburuza mahakamani Selasini, Diamond Platnumz akitaka wamlipe fidia Sh. 10 Bil

  ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia amemfikisha mahakamani Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Joseph Selasini na wengine sita, akitaka wamlipe...

Biashara

Vodacom yazindua kampeni ya ‘Biashara Pamoja, Tuamini Sisi’, katika maonyesho ya Sabasaba

  KATIKA kutekeleza adhma yake ya kutumia ubunifu wa kidigitali kuongeza ufanisi kwenye shughuli mbali mbali ikiwemo zile za kibiashara, kampuni ya mawasiliano...

Michezo

Tunduma watenga billioni 1.5 kujenga uwanja

KUTOKANA na ukosefu wa eneo sahihi la kufanyia michezo halmashauri ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe imetenga kiasi cha Sh.1.5 bilioni kujenga...

Habari MchanganyikoTangulizi

Dk. Nshalla aonya wanaotaka kumuua kisa bandari

ALIYEKUWA Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Dk. Rugemeleza Nshalla, amewataka watu anaodai wanapanga kumuuwa waache mara moja, kwa kuwa wakifanya...

Habari Mchanganyiko

Kisa ng’ombe 2 kupotea, Mama amuadhibu mtoto na kumuua

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke aliyefahamika kwa jina la Veronica Paul (27) amedaiwa kumuua kikatili mtoto wa kambo Mageshi Busanda (7) kwa...

Habari Mchanganyiko

GGML yaelimisha wadau utekelezaji mpango wa CSR

MAONESHO ya 47 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam, yanayofanyika katika viwanja vya SabaSaba, yamekuwa ni fursa adhimu kwa wadau mbalimbali kushuhudia...

Habari Mchanganyiko

RPC ataja chanzo ajali Songwe, majina 6 waliofariki

AJALI mbaya ya gari imetokea leo  Jumatano katika barabara kuu ya Tunduma – Mbeya (TANZAM) maeneo ya Mpakani – Chapwa wilayani  Momba mkoani...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia amrejesha Prof. Kitila Mkumbo baraza la mawaziri

HATIMAYE Rais Samia Suluhu Hassan amemrejesha kwenye baraza lake la mawaziri, Prof. Kitila Mkumbo baada ya kukaa benchi kwa muda wa zaidi ya...

Habari Mchanganyiko

Bei za mafuta ya petroli, dizeli zashuka

BEI za mafuta ya dizeli na petroli yaliyopokelewa katika Bandari ya Dar es Salaam, imeshuka kwa mwezi Julai. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Biashara

Kampuni, taasisi Arusha zakoshwa na huduma ya NBC Connect

TAASISI na kampuni wateja za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) mkoani Arusha, wameipongeza benki hiyo kwa kuwapelekea huduma ya malipo kidigitali inayojulikana...

Elimu

Global Education Link yatoa fursa vyuo vya nje sabasaba

WAKALA wa Elimu Nje ya nchi Global Education Link (GEL), imeendesha zoezi la kudahili wanafunzi vyuo nje ya nchi papo hapo kwenye maonyesho...

Biashara

Wafanyabiashara Kariakoo waibua mapya, Lissu atoa kauli

BAADHI ya wafanyabiashara katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, wamedai changamoto wanazokabiliana nazo zinasababishwa na masuala mbalimbali, ikiwemo kisiasa. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Vigogo 5 wa AMCOS Songwe mbaroni kwa kutafuna 160 milioni za wakulima

JESHI Polisi Mkoa wa Songwe liliwashikilia na kuwahoji viongozi wa watano wa Chama cha Ushirika wa Kilimo na Masoko (Amcos) cha Isaiso kilichopo Kata...

ElimuTangulizi

Mwanafunzi kidato cha 3 ajinyonga darasani, akutwa na ujumbe wa kugomea shule

MWANAFUNZI wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Lumbira kata ya Luanda wilayani Mbozi mkoani Songwe,Japhari Mwashitete  (16) amekutwa amefariki dunia kwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Mramba atembelea banda la GGML sabasaba, akoshwa na miradi, rekodi za kampuni hiyo

KATIBU mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Felchesmi Mramba ametembelea banda la Maonesho la Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) katika maonesho...

Biashara

‘Bonge la Mpango’ ya NMB yafikia tamati, wateja wajishindia zawadi nono

KAMPENI ya uhamasishaji wa kuweka akiba ya Benki ya NMB iliyopewa jina la ‘Bonge la Mpango’ Msimu wa Tatu imefikia kilele tarehe 5...

Habari Mchanganyiko

Serikali kujenga Bwawa la Yongoma

  SERIKALI imesema kupitia Bajeti ya mwaka 2023/2024, imepanga kufanya upembuzi yakinifu, usanifu wa kina kwa ajili ujenzi wa Bwawa la Yongoma lililopo...

Habari za Siasa

Rais Samia ashuhudia mikataba ya msaada wa bilioni 455

RAIS Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa mikataba mitatu ya msaada wa maendeleo inayofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) wenye thamani ya...

Biashara

Tawi la 229 la NMB lazinduliwa Buhigwe, Dk Mpango asema…

MTANDAO wa Matawi ya Benki ya NMB nchini umezidi kutanuka, baada ya Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango kuzindua Tawi la...

Afya

NBC yaungana na Taasisi ya Benjamini Mkapa kusomesha wakunga 100

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imeungana na Taasisi ya Benjamini Mkapa kuanzisha mpango wa kutoa ufadhili wa masomo (scholaships) kwa wanafuzi wa...

Habari Mchanganyiko

Polisi wapata maarifa na mbinu ukatili wa kijinsia kutoka Tengeru

  JESHI la Polisi kupitia Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam kimeendelea kupata elimu na maarifa kutoka kwa vyuo mbalimbali ndani...

HabariTangulizi

Majaji wamkalia kooni Rostam, aomba radhi

  MFANYABIASHARA maarufu nchini Tanzania, Rostam Aziz, ameomba radhi kufuatia kauli yake iliyodai kuwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam,...

Michezo

Dk Mpango mgeni rasmi tamasha la washairi

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ufungaji wa tamasha la ushairi lililoandaliwa na Taasisi ya Usanifu wa Kiswahili...

Biashara

Wafanyabiashara wamuanguakia Samia wasiondolewe Bandari kavu Jimbiza

WAFANYABIASHARA katika Bandari Kavu ya Jimbiza, iliyoko Kilwa Masoko, mkoani Lindi, wameiangukia Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan wakiitaka iingilie kati ili wasiondolewe...

Habari

Kesi kupinga mkataba DP World kuanza kusikilizwa 20 Julai, mawakili waomba zuio

  MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mbeya, imepanga kuanza kusikiliza mfululizo kesi ya kupinga mkataba wa ushirikiano wa kiserikali kati ya Serikali ya Tanzania...

HabariKitaifa

Mabasi ya New Force yapigwa kitanzi kisa ajali

MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), imefuta ratiba za safari kwa mabasi 38 ya Kampuni ya New Force Enterprises kutokana na kile kilichoelezwa...

Elimu

Musoma Vijijini waomba shule za kidato cha tano, sita

JIMBO la Musoma Vijjiini mkoani Mara, limeomba Serikali ianzishe shule za kidato cha tano na sita, huku likisema kuna baadhi ya shule zilizojengwa...

Habari Mchanganyiko

RPC atinga kanisani, awafunda vijana

KAMANDA wa polisi mkoa wa Songwe, Kamishna msaidizi wa Jeshi la polisi, Theopista Mallya amewaasa vijana kujiepusha na vitendo vya kihalifu ili kuishi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kesi kupinga mkataba wa DP World yaanza kuunguruma

KESI ya kupinga mkataba wa kiserikali wa ushirikiano juu ya uendeshaji bandari nchini, ulioingiwa kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai,...

Makala & Uchambuzi

Haya ndio maeneo 12 ambayo Tanzania itafaidika uwekezaji DP World bandarini

MJADALA kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai ambayo inatarajiwa kuwekeza katika Bandari ya Dar es Salaam umezidi kushika...

BiasharaElimu

Teknolojia ya kidigitali kuleta mapinduzi ya elimu Kusini mwa Jangwa la Sahara   

TEKNOLOJIA za kidigitali na uunganishwaji ni ufunguo wa kuwawezesha vijana wa Afrika kuonyesha uwezo wao. Kwa kuwafungulia milango ya fursa kwa vijana wa...

Biashara

Wateja wa Vodacom kurudishiwa 10% wakilipa kwa simu bidhaa mbalimbali banda la Sabasaba

  KAMPUNI ya Vodacom Tanzania katika msimu huu wa sabasaba imetoa zawadi kwa watanzania kwa kuwarudishia mpaka 10% ya pesa watakapolipia bidhaa mbalimbali...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia atumbua wakuu wa wilaya

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo tarehe 02 Julai, 2023 ametengua uteuzi wa wakuu wa wilaya ya Kilindi...

Kimataifa

Ripoti: Serikali za Mitaa China tuhumani kuuza ardhi bandia

  RIPOTI ya Wall Street Journal (WJS) inaituhumu Mamlaka ya Serikali za mitaa ya China kwa kuongeza kwenye kukusanya mapato ya takribani dola...

Elimu

Wananchi wajitolea ujenzi shule mpya Mbozi, watoto hutembea kilomita 10

WANANCHI wa vitongoji vilivyopo katika kata ya Mlowo halmashauri ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wamechangia nguvu kazi kujenga shule ya sekondari Nambala...

Habari za Siasa

Tunduma yaanza mikakati kubuni vyanzo vipya vya mapato, yalenga kuipiga teke Ilala

MWENYEKITI wa halmashauri ya mji Tunduma, Ayoub Mlimba amesema katika bajeti ya mwaka huu wa fedha 2023/2024 wamejipanga kubuni vyanzo vipya vya mapato...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM afariki baada ya kugongwa na trekta

MBUNGE wa Jimbo la Mbarali Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, Fransis Leonard Mtega (CCM) leo Jumamosi  alasiri amefariki dunia  baada ya kupata ajali...

KimataifaTangulizi

Rais agomea nyongeza ya mshahara wake, “walimu, polisi … wanastahili”

RAIS wa Kenya, William Ruto  amegomea pendekezo la Tume ya mishara ya nchi hiyo (SRC) la nyongeza ya mshahara kutoka TSh 24.8 milioni...

Habari MchanganyikoKimataifa

Lori laparamia daladala, bodaboda, machinga, laua zaidi ya 55 Kenya, Rais atuma salama za pole

WATU zaidi ya 55 wanahofiwa kufariki dunia baada ya lori lenye trela kugonga daladala nchini Kenya pamoja na waendesha bodaboda na watembea kwa...

Elimu

800 wahitimu masomo elimu ya watu wazima

JUMLA wanafunzi 800 wamehitimu masomo katika Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) kati yao wanaume 279 sawa na asilimia 35  na wanawake...

Afya

NHIF yaita Watanzania kujisajili uanachama Sabasaba

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umewahimiza wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam na waliotoka katika maeneo mbalimbali nchini kufika...

error: Content is protected !!