BENKI ya NMB kupitia matawi yake yote nchini inatarajiwa kuanza rasmi Jumatatu tarahe 10 Julai 2023, kusajili na kutoa kadi za uanachama wa...
By Mwandishi WetuJuly 8, 2023BALOZI Ali Karume amedai uamuzi kumvua uanachama uliochukuliwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ni batili hivyo hana haja ya kukata rufaa kuupinga. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJuly 8, 2023CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Kusini Unguja kupitia kamati ya Halmashauri Kuu ya CCM ya mkoa huo imeridhia kumfukuza uanachama Balozi Ali...
By Mwandishi WetuJuly 8, 2023WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa amezindua programu maalum ya ujenzi wa vituo maalum 16 kwa ajili ya kuthibiti wanyama waharibifu...
By Mwandishi WetuJuly 8, 2023JUMLA ya washindi 22 wa Kampeni ya uhamasishaji wa kuweka akiba ya Benki ya NMB ‘Bonge la Mpango’ wamekabidhiwa zawadi zao jijini Dar...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2023KUELEKEA maadhimisho ya kupinga usafirishaji haramu wa binadamu duniani yatakayofanyika tarehe 30 Julai mwaka huu, mkoa wa Songwe umetajwa kuwa kinara kwa...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2023KIONGOZI wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, ametimiza azma yake ya kuitisha maandamano kwa ajili ya kupinga muswada mpya wa sheria ya...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2023BAADHI ya wafanyabiashara katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, wamedai changamoto wanazokabiliana nazo zinasababishwa na masuala mbalimbali, ikiwemo kisiasa. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2023KUNDI la waumini wa Kanisa la Bungonya lililoko wilayani Kayunga nchini Uganda limesusa kushiriki ibada kanisani hapo baada ya wanandoa wawili kufumaniwa...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2023ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia amemfikisha mahakamani Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Joseph Selasini na wengine sita, akitaka wamlipe...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2023KATIKA kutekeleza adhma yake ya kutumia ubunifu wa kidigitali kuongeza ufanisi kwenye shughuli mbali mbali ikiwemo zile za kibiashara, kampuni ya mawasiliano...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2023KUTOKANA na ukosefu wa eneo sahihi la kufanyia michezo halmashauri ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe imetenga kiasi cha Sh.1.5 bilioni kujenga...
By Mwandishi WetuJuly 6, 2023ALIYEKUWA Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Dk. Rugemeleza Nshalla, amewataka watu anaodai wanapanga kumuuwa waache mara moja, kwa kuwa wakifanya...
By Mwandishi WetuJuly 6, 2023KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke aliyefahamika kwa jina la Veronica Paul (27) amedaiwa kumuua kikatili mtoto wa kambo Mageshi Busanda (7) kwa...
By Mwandishi WetuJuly 6, 2023MAONESHO ya 47 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam, yanayofanyika katika viwanja vya SabaSaba, yamekuwa ni fursa adhimu kwa wadau mbalimbali kushuhudia...
By Mwandishi WetuJuly 6, 2023AJALI mbaya ya gari imetokea leo Jumatano katika barabara kuu ya Tunduma – Mbeya (TANZAM) maeneo ya Mpakani – Chapwa wilayani Momba mkoani...
By Mwandishi WetuJuly 5, 2023HATIMAYE Rais Samia Suluhu Hassan amemrejesha kwenye baraza lake la mawaziri, Prof. Kitila Mkumbo baada ya kukaa benchi kwa muda wa zaidi ya...
By Mwandishi WetuJuly 5, 2023BEI za mafuta ya dizeli na petroli yaliyopokelewa katika Bandari ya Dar es Salaam, imeshuka kwa mwezi Julai. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Mwandishi WetuJuly 5, 2023TAASISI na kampuni wateja za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) mkoani Arusha, wameipongeza benki hiyo kwa kuwapelekea huduma ya malipo kidigitali inayojulikana...
By Mwandishi WetuJuly 5, 2023WAKALA wa Elimu Nje ya nchi Global Education Link (GEL), imeendesha zoezi la kudahili wanafunzi vyuo nje ya nchi papo hapo kwenye maonyesho...
By Mwandishi WetuJuly 5, 2023BAADHI ya wafanyabiashara katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, wamedai changamoto wanazokabiliana nazo zinasababishwa na masuala mbalimbali, ikiwemo kisiasa. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJuly 5, 2023JESHI Polisi Mkoa wa Songwe liliwashikilia na kuwahoji viongozi wa watano wa Chama cha Ushirika wa Kilimo na Masoko (Amcos) cha Isaiso kilichopo Kata...
By Mwandishi WetuJuly 5, 2023MWANAFUNZI wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Lumbira kata ya Luanda wilayani Mbozi mkoani Songwe,Japhari Mwashitete (16) amekutwa amefariki dunia kwa...
By Mwandishi WetuJuly 5, 2023KATIBU mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Felchesmi Mramba ametembelea banda la Maonesho la Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) katika maonesho...
By Mwandishi WetuJuly 5, 2023KAMPENI ya uhamasishaji wa kuweka akiba ya Benki ya NMB iliyopewa jina la ‘Bonge la Mpango’ Msimu wa Tatu imefikia kilele tarehe 5...
By Mwandishi WetuJuly 5, 2023SERIKALI imesema kupitia Bajeti ya mwaka 2023/2024, imepanga kufanya upembuzi yakinifu, usanifu wa kina kwa ajili ujenzi wa Bwawa la Yongoma lililopo...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa mikataba mitatu ya msaada wa maendeleo inayofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) wenye thamani ya...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2023MTANDAO wa Matawi ya Benki ya NMB nchini umezidi kutanuka, baada ya Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango kuzindua Tawi la...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2023BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imeungana na Taasisi ya Benjamini Mkapa kuanzisha mpango wa kutoa ufadhili wa masomo (scholaships) kwa wanafuzi wa...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2023JESHI la Polisi kupitia Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam kimeendelea kupata elimu na maarifa kutoka kwa vyuo mbalimbali ndani...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2023MFANYABIASHARA maarufu nchini Tanzania, Rostam Aziz, ameomba radhi kufuatia kauli yake iliyodai kuwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam,...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2023MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ufungaji wa tamasha la ushairi lililoandaliwa na Taasisi ya Usanifu wa Kiswahili...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2023WAFANYABIASHARA katika Bandari Kavu ya Jimbiza, iliyoko Kilwa Masoko, mkoani Lindi, wameiangukia Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan wakiitaka iingilie kati ili wasiondolewe...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2023MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mbeya, imepanga kuanza kusikiliza mfululizo kesi ya kupinga mkataba wa ushirikiano wa kiserikali kati ya Serikali ya Tanzania...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2023MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), imefuta ratiba za safari kwa mabasi 38 ya Kampuni ya New Force Enterprises kutokana na kile kilichoelezwa...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2023JIMBO la Musoma Vijjiini mkoani Mara, limeomba Serikali ianzishe shule za kidato cha tano na sita, huku likisema kuna baadhi ya shule zilizojengwa...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2023KAMANDA wa polisi mkoa wa Songwe, Kamishna msaidizi wa Jeshi la polisi, Theopista Mallya amewaasa vijana kujiepusha na vitendo vya kihalifu ili kuishi...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2023KESI ya kupinga mkataba wa kiserikali wa ushirikiano juu ya uendeshaji bandari nchini, ulioingiwa kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai,...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2023MJADALA kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai ambayo inatarajiwa kuwekeza katika Bandari ya Dar es Salaam umezidi kushika...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2023TEKNOLOJIA za kidigitali na uunganishwaji ni ufunguo wa kuwawezesha vijana wa Afrika kuonyesha uwezo wao. Kwa kuwafungulia milango ya fursa kwa vijana wa...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2023KAMPUNI ya Vodacom Tanzania katika msimu huu wa sabasaba imetoa zawadi kwa watanzania kwa kuwarudishia mpaka 10% ya pesa watakapolipia bidhaa mbalimbali...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2023RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo tarehe 02 Julai, 2023 ametengua uteuzi wa wakuu wa wilaya ya Kilindi...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2023RIPOTI ya Wall Street Journal (WJS) inaituhumu Mamlaka ya Serikali za mitaa ya China kwa kuongeza kwenye kukusanya mapato ya takribani dola...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2023WANANCHI wa vitongoji vilivyopo katika kata ya Mlowo halmashauri ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wamechangia nguvu kazi kujenga shule ya sekondari Nambala...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2023MWENYEKITI wa halmashauri ya mji Tunduma, Ayoub Mlimba amesema katika bajeti ya mwaka huu wa fedha 2023/2024 wamejipanga kubuni vyanzo vipya vya mapato...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2023MBUNGE wa Jimbo la Mbarali Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, Fransis Leonard Mtega (CCM) leo Jumamosi alasiri amefariki dunia baada ya kupata ajali...
By Mwandishi WetuJuly 1, 2023RAIS wa Kenya, William Ruto amegomea pendekezo la Tume ya mishara ya nchi hiyo (SRC) la nyongeza ya mshahara kutoka TSh 24.8 milioni...
By Mwandishi WetuJuly 1, 2023WATU zaidi ya 55 wanahofiwa kufariki dunia baada ya lori lenye trela kugonga daladala nchini Kenya pamoja na waendesha bodaboda na watembea kwa...
By Mwandishi WetuJuly 1, 2023JUMLA wanafunzi 800 wamehitimu masomo katika Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) kati yao wanaume 279 sawa na asilimia 35 na wanawake...
By Mwandishi WetuJune 30, 2023MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umewahimiza wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam na waliotoka katika maeneo mbalimbali nchini kufika...
By Mwandishi WetuJune 30, 2023