Friday , 19 April 2024
Home mwandishi
8674 Articles1238 Comments
Habari za SiasaTangulizi

Hoja sita kutikisa kesi kupinga mkataba wa bandari

HOJA sita zinatarajiwa kutikisa katika usikilizwaji kesi ya kikatiba iliyofunguliwa kupinga mkataba wa ushirikiano wa kiserikali kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai,...

Habari za Siasa

Rais Samia ataka vijana watumike kuleta mageuzi uchumi Afrika

RAIS Samia Suluhu Hassan, amezitaka nchi za Afrika kutumia vijana katika kuleta mageuzi ya kiuchumi barani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari za Siasa

Dk. Mpango ataka ubunifu kusaka suluhu changamoto za kifedha

MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amesema taasisi za kifedha za kikanda na kimataifa zinapaswa kujishughulisha zaidi katika kubuni na kutoa masuluhisho ya...

Habari Mchanganyiko

TCRA yazuia vifaa 108,395

JUMLA ya simu 108,395 na vifaa vingine vya mawasiliano vimezuiliwa kwa kipindi cha mwaka mmoja, baada ya kuhusishwa na vitendo vingi vya jinai,...

Habari za Siasa

Rais Samia: Tusikubali mtu, kikundi kutugawa

Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumanne ametoa wito kwa Watanzania kuwaenzi mashujaa kwa kudumisha amani, umoja, mshikamano na utulivu wa nchi na kufanya...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Festo Dugange arejea kazini

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dk. Festo Dugange leo Jumanne ameonekana kwa mara ya kwanza hadharani kwenye shughuli ya kiserikali ikiwa...

Elimu

Vyuo vikuu 15 bora Malasyia kuonyesha fursa za masomo Dar

VYUO vikuu vikubwa 15 vya nchini Malaysia vinatarajia kufanya maonyesho hapa nchini kwa lengo la kuwaonyesha watanazania fursa mbalimbali za kielimu zinazopatikana kwenye...

Habari za Siasa

CCM yamkingia kifua Rais Samia sakata la bandari

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema mpango wa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, kutafuta mwekezaji binafsi wa kuendesha bandari nchini, ni utekelezaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge aliyefukuzwa Chadema aibuka mkutano CCM

MBUNGE Viti Maalum, aliyefukuzwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jesca Kishoa, ameibuka katika mkutano wa hadhara wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaahidi kuunga mkono kampeni GGML KiliChallenge

WAZIRI wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama amesema Serikali itaendelea kuunga mkono kampeni ya GGML KiliChallenge inayolenga...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mkuu aipongeza NBC kwa kusaidia afya ya uzazi

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kuandaa mbio za NBC Marathon ambazo zinalenga kukusanya fedha kwa ajili...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa amuomba mambo 3 Rais Samia “toa kauli utuokoe”

BALOZI Mstaafu Dk. Wilbroad Slaa amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan atokeo hadharani atoke hadharani na kutoa kauli ili kuliokoa Taifa katika janga lililoibuka...

Habari za Siasa

Dk. Slaa: Tuache unafiki, vyama vya siasa vimegoma…

BALOZI mstaafu Dk. Wilbroad Slaa amewataka Watanzania kuacha unafiki kwani alialika baadhi ya vyama vya siasa kushiriki mkutano unaolenga kujadili mkataba wa uwekezaji...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto, Lipumba ‘waukwepa’ mkutano wa Dk. Slaa, Chadema

VIONGOZI machachari wa vyama vya upinzani, Profesa Ibrahim Lipumba (Mwenyekiti CUF) na Zitto Kabwe (Kiongozi Mkuu ACT Wazalendo) wametajwa kuutosa mkutano ulioandaliwa leo...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia: Serikali iache kiburi, irudi kwenye meza ya mazungumzo

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia leo Jumapili ametoa wito kwa Serikali kuacha kiburi na kukubali kurudi kwenye meza ya mazungumzo ili...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yampuuza msajili

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimegoma kutii agizo la Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, la kuahirisha kufanya mkutano uliolenga kuchambua...

Habari Mchanganyiko

THRDC: Walioshambulia waandishi wa habari wachukuliwe hatu za kisheria

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umetaka watu walioshambulia waandishi wa habari wa Kampuni ya Mwananchi Communication Ltd, wachukuliwe hatua...

Habari za SiasaTangulizi

Heche amtaka Mwenyekiti bodi TPA atoke mafichoni

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche amemtaka Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Bandari...

Habari za SiasaTangulizi

Viongozi wa dini wataka mkataba DP world uvunjwe, waliokamatwa waachiwe

BAADHI ya viongozi wa dini, wameiangukia Serikali wakiitaka ivunje mkataba iliyoingia na Serikali ya Dubai kupitia kampuni ya DP world kwa ajili ya...

Habari Mchanganyiko

Ufanisi STAMICO waivutia Kenya, watua nchini kujinoa

UFANISI wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO   pamoja na Wizara ya Madini kwa ujumla umetajwa kuvutia Serikali ya Kenya kuja Tanzania kujifunza...

KimataifaTangulizi

Kenyatta amchana Ruto, amwambia nitafuteni mimi, siyo familia yangu

RAIS mstaafu wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amesema nyumba ya mwanaye wa kiume imevamiwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, kwa msaada wa BBC…(endelea). Akizungumza na waandishi...

Habari za SiasaKimataifa

Rais Ruto akaribisha wawekezaji Dubai, DRC, Zambia kufuata

WAKATI baadhi ya wanasiasa wa upinzani na wanaharakati wakipinga mpango wa kampuni ya DP World ya Dubai kuwekeza kwenye bandari ya Dar es...

AfyaTangulizi

Mganga mfawidhi mbaroni madai wizi wa dawa, vifaa tiba

Jeshi la Polisi mkoa wa Songwe linamshikilia mtumishi mmoja aitwaye Rioba Nyamos (34) ambaye ni Mganga mfawidhi wa Zahanati ya Kijiji Cha Iporoto...

Kimataifa

Ushirikiano wa China, Nepal Kutoka kwenye mradi wa BRI mpaka Silk Roadster

MBELE ya vyama kadhaa vya kisiasa na mashirika ya kijamii, Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) kilizindua jukwaa la “Silk Roadster” wiki iliyopita...

Habari Mchanganyiko

Wachimbaji wadogo waaswa kuzingatia sheria za madini kupunguza migogoro

MKURUGENZI wa Ukaguzi wa Migodi na Mazingira, Mhandisi Henry Mditi amewaasa wachimbaji na wafanyabiashara wa madini nchini kuzingatia sheria, usalama, utunzaji wa mazingira...

Afya

855 milioni kutafiti viashiria magonjwa yasiyoambukiza

  SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) linatarajiwa kuipatia Serikali ya Tanzania fedha Sh 855 milioni kwa ajili ya kuwezesha kufanya utafiti wa kitaifa...

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa 106 jela kwa uhalifu Arusha

JESHI la Polisi mkoani Arusha limedai kuwa kuanzia Januari hadi Juni mwaka huu 2023 limewafikisha mahakamani watuhumiwa wa makosa makubwa ya uhalifu ambapo...

Biashara

NBC yasaini mkataba na Wizara ya Elimu kusaidia elimu ya ufundi

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imesaini mkataba wa makubaliano na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknalojia kwa ajili ya kutoa ufadhili wa...

Biashara

RC Senyamule: NMB imetutua mzigo sekta ya afya, elimu

MKUU wa mkoa wa Dodoma (RC), Rosemary Senyamule ameitaja benki ya NMB kama mwarobaini uliowafuta machozi wananchi katika mkoa wake kwenye idara za...

Habari Mchanganyiko

Mkutano wa Polisi wanawake Duniani kuwajengea uwezo, kupambana na uhalifu na kutangaza utalii

MKUTANO wa Umoja wa askari wa kike duniani (IAWP-international Association of Women Police) kanda ya Afrika unatarajiwa kufanyika jijini Dar es salaam kuanzia...

Habari MchanganyikoTangulizi

AG adai ugumu wa maisha chanzo mahabusu kufurahia kukaa rumande

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), Dk. Eliezer Feleshi, amedai baadhi ya mahabusu ambao makosa yao yanaruhusu kupewa dhamana, wamekuwa wakikataa nafuu hiyo ya...

Habari Mchanganyiko

AG adai ugumu wa maisha chanzo mahabusu kufurahia kukaa rumande

  MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), Dk. Eliezer Feleshi, amedai baadhi ya mahabusu ambao makosa yao yanaruhusu kupewa dhamana, wamekuwa wakikataa nafuu hiyo...

Habari za SiasaTangulizi

Samia awaachia huru mahabusu 2,240 waliobambikizwa kesi

MAHABUSU zaidi ya 2,240 waliokuwa wanashikiliwa katika vyombo vya kisheria kwa kesi za kubambikizwa, wameachwa huru tangu Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan,...

Habari za Siasa

CCM yaendelea kushusha presha wananchi sakata la bandari

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeendelea kutumia mikutano ya hadhara kutoa ufafanuzi wa maswali yaliyoibuka kuhusu mkataba wa ushirikiano wa kiserikali kati ya Serikali...

Biashara

Tume ya madini yatoa siku 7 wamiliki leseni kutekeleza masharti

TUME ya Madini imetoa siku saba kwa wamiliki wote wa leseni za madini zikiwemo leseni za utafutaji wa madini, leseni za uchimbaji mdogo,...

Elimu

Wanafunzi 3,000 MNMA wafundwa uongozi, maadili

CHUO cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA), kilichopo wilayani Kigamboni jijini Dar es Salaam, kimetoa mafunzo ya uongozi na maadili kwa wanafunzi wanaotarajia...

Michezo

Jinsi Watanzania wanavyoweza kuvuna mamilioni na Bikoboost

ULINGO wa fursa za kiuchumi kupitia mchezo wa kubahatisha wa Biko Tanzania, umezidi kuboreshwa baada ya kampuni hiyo kuzindua promosheni yao inayojulikana kama...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu aitwa na DCI

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amedai kuitwa na Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum Dar es...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mahakama: Afande Rama hana hatia

Mahakama ya Mkoa wa Vuga mjini Unguja imemwachia huru mshtakiwa Ramadhan Ali maarufu kama Afande Rama aliyekuwa akikabiliwa na mashtaka ya kuingiliwa kinyume...

Habari za Siasa

Rais Samia amlilia Jecha Salim Jecha

RAIS Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kutokana na kifo cha aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Kikwete afunguka misukosuko anayokumbana nayo Rais Samia

RAIS Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete, amesema anaridhika na uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, hususan utulivu wake anaouonesha katika kipindi ambacho Serikali...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 134 kutatua changamoto ya maji kanda maalum

NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Cyprian Luhemeja ametembelea na kukagua mradi wa maji Tarime – Rorya wenye lengo la kuboresha hali...

Habari za Siasa

Rais Kikwete: Demokrasia Afrika inapitia changamoto

RAIS Mstaafu wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, amesema demokrasia ya barani Afrika, inapitia changamoto nyingine, ambazo baadhi yake zinasababishwa na taasisi zinazosimamia suala...

Habari Mchanganyiko

Maadhimisho wiki ya msaada kisheria yazinduliwa, mambo manne kutikisa

MAADHIMISHO ya wiki ya msaada wa kisheria Zanziba kwa 2023, yamezinduliwa huku masuala matano yakitarajiwa kufanyika kwenye zoezi hilo, ikiwemo utoaji elimu na...

Habari za Siasa

Tanzania, Hungary wafungua mazungumzo uwekezaji na biashara

SERIKALI ya Tanzania na Hungary, zimefungua majadiliano kuhusu uimarishaji mahusiano ya kidiplomasia katika masula ya uwekezaji na biashara. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za Siasa

Rais Dk. Mwinyi atangaza mapumziko mwaka mpya wa kiislamu

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi ametangaza siku kuu ya mwaka mpya wa dini ya kiislamu, kuwa mapumziko visiwani humo. Anaripoti Maryam Mdhihiri,...

Biashara

DC Momba ajitosa mkataba bandari, aeleza Tunduma itakavyofaidika

MKUU wa Wilaya ya Momba mkoani Songwe, Faki Lulandala amejitosa katika sakata la mjadala kuhusu mkataba wa uwekezaji kwenye bandari ya Dar es...

Elimu

Mgogoro wa ardhi wakwamisha ujenzi nyumba ya walimu Ileje

MGOGORO wa mpaka kati ya vijiji vya Sange na Mswima kata ya Sange wilayani Ileje mkoani Songwe umetajwa kukwamisha ujenzi wa nyumba ya...

Biashara

SBL yaja na kampeni ya ‘Jibambe Kibabe’

  KAMPUNI ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua kampeni yake kubwa ya kitaifa ‘Jibambe Kibabe’ inayolenga kuchochea uwezeshaji kiuchumi katika mfumo wake mzima...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wakili Madeleka kusota rumande hadi Julai 31, sababu zatajwa

  IMEBAINIKA kuwa sababu ya Wakili Peter Madeleka, kukamatwa tena jana Jumatatu na Jeshi la Polisi ni kufufua kesi ya uhujumu uchumi Na./2020...

error: Content is protected !!