BAADHI ya viongozi wa dini, wameiangukia Serikali wakiitaka ivunje mkataba iliyoingia na Serikali ya Dubai kupitia kampuni ya DP world kwa ajili ya...
By Mwandishi WetuJuly 23, 2023UFANISI wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO pamoja na Wizara ya Madini kwa ujumla umetajwa kuvutia Serikali ya Kenya kuja Tanzania kujifunza...
By Mwandishi WetuJuly 22, 2023RAIS mstaafu wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amesema nyumba ya mwanaye wa kiume imevamiwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, kwa msaada wa BBC…(endelea). Akizungumza na waandishi...
By Mwandishi WetuJuly 22, 2023WAKATI baadhi ya wanasiasa wa upinzani na wanaharakati wakipinga mpango wa kampuni ya DP World ya Dubai kuwekeza kwenye bandari ya Dar es...
By Mwandishi WetuJuly 22, 2023Jeshi la Polisi mkoa wa Songwe linamshikilia mtumishi mmoja aitwaye Rioba Nyamos (34) ambaye ni Mganga mfawidhi wa Zahanati ya Kijiji Cha Iporoto...
By Mwandishi WetuJuly 22, 2023MBELE ya vyama kadhaa vya kisiasa na mashirika ya kijamii, Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) kilizindua jukwaa la “Silk Roadster” wiki iliyopita...
By Mwandishi WetuJuly 21, 2023MKURUGENZI wa Ukaguzi wa Migodi na Mazingira, Mhandisi Henry Mditi amewaasa wachimbaji na wafanyabiashara wa madini nchini kuzingatia sheria, usalama, utunzaji wa mazingira...
By Mwandishi WetuJuly 21, 2023SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) linatarajiwa kuipatia Serikali ya Tanzania fedha Sh 855 milioni kwa ajili ya kuwezesha kufanya utafiti wa kitaifa...
By Mwandishi WetuJuly 21, 2023JESHI la Polisi mkoani Arusha limedai kuwa kuanzia Januari hadi Juni mwaka huu 2023 limewafikisha mahakamani watuhumiwa wa makosa makubwa ya uhalifu ambapo...
By Mwandishi WetuJuly 21, 2023BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imesaini mkataba wa makubaliano na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknalojia kwa ajili ya kutoa ufadhili wa...
By Mwandishi WetuJuly 21, 2023MKUU wa mkoa wa Dodoma (RC), Rosemary Senyamule ameitaja benki ya NMB kama mwarobaini uliowafuta machozi wananchi katika mkoa wake kwenye idara za...
By Mwandishi WetuJuly 21, 2023MKUTANO wa Umoja wa askari wa kike duniani (IAWP-international Association of Women Police) kanda ya Afrika unatarajiwa kufanyika jijini Dar es salaam kuanzia...
By Mwandishi WetuJuly 21, 2023MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), Dk. Eliezer Feleshi, amedai baadhi ya mahabusu ambao makosa yao yanaruhusu kupewa dhamana, wamekuwa wakikataa nafuu hiyo ya...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2023MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), Dk. Eliezer Feleshi, amedai baadhi ya mahabusu ambao makosa yao yanaruhusu kupewa dhamana, wamekuwa wakikataa nafuu hiyo...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2023MAHABUSU zaidi ya 2,240 waliokuwa wanashikiliwa katika vyombo vya kisheria kwa kesi za kubambikizwa, wameachwa huru tangu Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan,...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2023CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeendelea kutumia mikutano ya hadhara kutoa ufafanuzi wa maswali yaliyoibuka kuhusu mkataba wa ushirikiano wa kiserikali kati ya Serikali...
By Mwandishi WetuJuly 19, 2023TUME ya Madini imetoa siku saba kwa wamiliki wote wa leseni za madini zikiwemo leseni za utafutaji wa madini, leseni za uchimbaji mdogo,...
By Mwandishi WetuJuly 19, 2023CHUO cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA), kilichopo wilayani Kigamboni jijini Dar es Salaam, kimetoa mafunzo ya uongozi na maadili kwa wanafunzi wanaotarajia...
By Mwandishi WetuJuly 19, 2023ULINGO wa fursa za kiuchumi kupitia mchezo wa kubahatisha wa Biko Tanzania, umezidi kuboreshwa baada ya kampuni hiyo kuzindua promosheni yao inayojulikana kama...
By Mwandishi WetuJuly 19, 2023MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amedai kuitwa na Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum Dar es...
By Mwandishi WetuJuly 19, 2023Mahakama ya Mkoa wa Vuga mjini Unguja imemwachia huru mshtakiwa Ramadhan Ali maarufu kama Afande Rama aliyekuwa akikabiliwa na mashtaka ya kuingiliwa kinyume...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kutokana na kifo cha aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2023RAIS Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete, amesema anaridhika na uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, hususan utulivu wake anaouonesha katika kipindi ambacho Serikali...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2023NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Cyprian Luhemeja ametembelea na kukagua mradi wa maji Tarime – Rorya wenye lengo la kuboresha hali...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2023RAIS Mstaafu wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, amesema demokrasia ya barani Afrika, inapitia changamoto nyingine, ambazo baadhi yake zinasababishwa na taasisi zinazosimamia suala...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2023MAADHIMISHO ya wiki ya msaada wa kisheria Zanziba kwa 2023, yamezinduliwa huku masuala matano yakitarajiwa kufanyika kwenye zoezi hilo, ikiwemo utoaji elimu na...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2023SERIKALI ya Tanzania na Hungary, zimefungua majadiliano kuhusu uimarishaji mahusiano ya kidiplomasia katika masula ya uwekezaji na biashara. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2023RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi ametangaza siku kuu ya mwaka mpya wa dini ya kiislamu, kuwa mapumziko visiwani humo. Anaripoti Maryam Mdhihiri,...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2023MKUU wa Wilaya ya Momba mkoani Songwe, Faki Lulandala amejitosa katika sakata la mjadala kuhusu mkataba wa uwekezaji kwenye bandari ya Dar es...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2023MGOGORO wa mpaka kati ya vijiji vya Sange na Mswima kata ya Sange wilayani Ileje mkoani Songwe umetajwa kukwamisha ujenzi wa nyumba ya...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2023KAMPUNI ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua kampeni yake kubwa ya kitaifa ‘Jibambe Kibabe’ inayolenga kuchochea uwezeshaji kiuchumi katika mfumo wake mzima...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2023IMEBAINIKA kuwa sababu ya Wakili Peter Madeleka, kukamatwa tena jana Jumatatu na Jeshi la Polisi ni kufufua kesi ya uhujumu uchumi Na./2020...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2023ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha, amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Jeshi la Lugalo, jijini...
By Mwandishi WetuJuly 18, 2023Wadhamini wakuu wa ligi ya Tanzania bara maarufu kama Ligi ya NBC, Benki ya Taifa ya Biashara(NBC), imewapelekea wakazi wa jiji la Mwanza...
By Mwandishi WetuJuly 17, 2023TANZANIA inatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika kuhusu rasilimali watu, utakaofungwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, tarehe...
By Mwandishi WetuJuly 17, 2023RAIS wa Hungary, Katalin Novak anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku nne nchini kwa lengo la kuimarisha mahusiano ya mataifa hayo mawili....
By Mwandishi WetuJuly 17, 2023UMOJA wa Vijana wa unaojitanabaisha kwa jina la ‘Team Wazalendo’ umesema kuwa utachukua jukumu la kuuelimisha umma juu ya umuhimu wa uwekezaji katika...
By Mwandishi WetuJuly 17, 2023CHAMA cha Waandishi wa Mazingira Tanzania (JET) kwa kushirikiana na USAID Tuhifadhi Maliasili wameandaa mafunzo kwa wahariri 25 wa vyombo vya habari kuhusu...
By Mwandishi WetuJuly 17, 2023WAKILI wa kujitegemea nchini, Peter Madeleka amekamatwa na Jeshi la polisi mkoani Arusha katika Kituo Jumuishi cha utoaji haki baada ya kutoka Mahakama...
By Mwandishi WetuJuly 17, 2023NAIBU Waziri wa Maji, Eng. Maryprisca Mahundi ametoa pongezi kwa Kampuni ya Serengeti Breweries Limited (SBL) kwa mchango wake wenye bidii katika...
By Mwandishi WetuJuly 17, 2023RAIS mstaafu, Jakaya Kikwete ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuonesha njia katika kuunga mkono malengo ya Serikali kwenye mapambano...
By Mwandishi WetuJuly 17, 2023KAMPUNI ya Vodacom Tanzania imeshinda tuzo ya banda bora la utoaji huduma kwa kundi la makampuni ya Simu wakati wa kuhitimisha Maonyesho ya...
By Mwandishi WetuJuly 17, 2023BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetangaza kukamilika kwa taratibu ambazo zimewezesha Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kupata mkopo wa Dola za Marekani...
By Mwandishi WetuJuly 16, 2023JESHI la Polisi nchini limepiga marufuku maandamano yaliyoitishwa na Umoja wa Vijana CCM (UVCCM) katika wilaya zote nchini kwa kufafanua kuwa yataleta vurugu...
By Mwandishi WetuJuly 16, 2023SHULE ya St Anne Marie Academy ya Mbezi Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam imepongezwa kwa kuendelea kuwekeza kwenye miundombinu ya shule...
By Mwandishi WetuJuly 16, 2023WANANCHI wa Wilaya ya Songwe wametambulishwa uwepo wa leseni ya uchimbaji mkubwa wa madini ya Rare Earth Elements yanayotumika katika teknolojia ya kisasa....
By Mwandishi WetuJuly 16, 2023UFUATILIAJI wa miradi ya nguvu ya CPEC unahusishwa na ukosefu wa riba ya Wachina katika kutoa fedha zaidi huku kukiwa na deni...
By Mwandishi WetuJuly 16, 2023UONGOZI wa Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam (DPA) Pamoja na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga wametembelea Uwanja wa...
By Mwandishi WetuJuly 15, 2023BENKI ya NMB na Klabu ya Simba, zimezindua ushirikiano wa kibiashara uliopewa jina la ‘Ukaribu wa Nguvu,’ kwa lengo la kuongeza ufanisi katika...
By Mwandishi WetuJuly 15, 2023TUME ya Kuangalia Jinsi ya Kuboresha Taasisi za Haki Jinai nchini, imetoa mapendekezo juu ya masuala mbalimbali yanayohusu mfumo huo, ikiwemo dhamana kwa...
By Mwandishi WetuJuly 15, 2023