Alhamisi ya leo EUROPA inaendelea ambapo ni mechi za marudiano ambapo hizi zitakuw azikiamua nani kwenda hatua inayofuata na nani kubaki. Liverpool,...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2024WATU watano wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma za kuandika uchochezi dhidi ya viongozi wakuu serikalini,...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2024PROMOSHENI ya Pragmatic Play ya Drop&Win sasa imeanza tangu Machi 6, 2024 na itadumu mpaka 2025 Promosheni hii ni maalum kwa wateja...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2024KATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, Umoja wa wanawake wanaofanya kazi katika Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML Ladies) wametoa...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2024NYANSOLOLI Paul, mkazi wa Kijiji cha Kishapu mkoani Shinyanga, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumuua kisha kumla mtoto wake wa...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2024Benki ya NMB imekamilisha zoezi la kuunganisha mfumo wake mkuu wa kibenki na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB)...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2024SHIRIKISHO la Wenye Viwanda nchini (CTI), limeiomba serikali na taasisi zake kulinda viwanda vya ndani kwa kununua bidhaa zinazotengenezwa na viwanda hivyo kama...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2024LIGI ya Mabingwa ulaya itaendelea usiku wa leo ambapoitakwenda kupigwa michezo miwili ya kibabe sana, Ambapoitaamua hatma ya timu hizo nne kuelekea hatua...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2024KAMPUNI Gesi ya Oryx Tanzania imeendeleza kasi yake ya kuwafikishia wananchi nishati safi ya kupikia ili kuwaondoa katika changamoto ya kupika kwa kuni...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2024MKUU wa Mkoa mpya wa Songwe, Daniel Chongolo, amekabidhiwa jukumu la kudhibiti uhalifu wa kiuchumi unaotokea ndani ya mkoa huo hususan mpaka...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassana, amesema Serikali yake inakwenda kupunguza kukopa fedha kwa ajili ya utekelezaji huduma za kijamii kwa wananchi, kwa...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameonesha kutoridhishwa na baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya ambao wanashindwa kutatua changamoto za wananchi zilizokuwa...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2024HAPO mwanzo baada ya kuutambulisha mchezo wa Super Heli ambao namba moja pendwa kwa michezo ya kasino ya mtandaoni, wengi walikuwa wanauchukulia...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2024WAKULIMA wa Mpunga Kata ya Madibira wilaya ya Mbarali, Mbeya wameishukuru Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa utekelezaji wa Mradi wa...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024Tanzania na Pakistan zimeahidi kuendelea kushirikiana kuimarisha zaidi sekta za biashara na uwekezaji kwa maslahi ya pande zote mbili. Anaripoti Mwandishi Wetu …...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024LIGI ya Mabingwa Ulaya itaendelea leo ambapo itakwenda kupigwa michezo miwili milkali ambayo itakwenda kutoa fursa ya timu mbili kutinga hatua ya...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amekataa ombi la Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kurejea katika chama...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024SAKATA la mzabuni Maarifa Nampela aliyetoa vifaa kukarabati Hospitali ya wilaya ya Liwale na kisha kudhulumiwa malipo yake ya Sh 25 milioni, limechukua...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024HII sio ndoto hata kidogo ni uhalisia uliopo katika nyumba ya mabingwa Meridianbet, kuna Jackpot endelevu ya michezo ya kasino ya mtandaoni...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024Raia mmoja wa Korea Kusini amekamatwa nchini Urusi kwa madai ya ujasusi na kuzuiliwa katika mji wa mbali wa mashariki mwa nchi wa...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi kesho inatarajia kutoa uamuzi wa kukubali ama kuyakataa maombi ya Freeman Mbowe ya kutaka waandishi wa habari wanaodai...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Angola, Tete Antonio amesema jana Jumatatu jioni Rais Paul Kagame wa Rwanda amekubali kukutana na...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024MFUKO wa Self umetoa mikopo ya zaidi ya Sh bilioni 324 kwa wananchi 314,055 wa mikoa 30 nchini huku ukijipanga kupanua wigo siku...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024AngloGold Ashanti ambayo ni kampuni mama ya Geita Gold Mining Limited imemuahidi Rais Samia Suluhu Hassan kuendelea kuwa sehemu ya mabadiliko chanya ya...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024Mkurugenzi wa M-Pesa, Epimack Mbeteni (wa pili kushoto) akizungumza wakati wa mkutano wa 21 wa Taasisi za Fedha ulioandaliwa na Benki Kuu ya...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Rebecca Nsemwa, amekipongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kwa kuanzisha kozi ya uchunguzi wa masuala ya ufisadi...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2024ULE mzuka wa kucheza kasino na kushinda unaupata Meridianbet kasino pekee ambapo kuna michezo mingi ya kasino ya Mtandaoni, moja kati ya...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2024BENKI ya NMB na Kampuni ya Mwani Zanzibar (ZASCO), zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU), ya ushirikiano, lengo kuu likiwa ni kuliongezea thamani zao...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2024Chama kikuu cha upinzani nchini Burundi kimekumbwa na mgawanyiko baada ya jana Jumapili kusema kuwa limemuondoa madarakani kiongozi wa chama hicho Agathon Rwasa...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2024SERIKALI ya Thailand imepanga kufufua mpango wa wa biashara ya mwanamke kukubali kushika mimba na kujifungua mtoto kwa niaba ya familia fulani maarufu...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2024MWENYEKITI wa Chama cha UDP, Mzee John Cheyo, amewaasa vijana wenye nia ya kuingia katika siasa kwa ajili ya kutafuta pesa, wasifanye hivyo...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2024NAIBU Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu kutoka Umoja wa Mataifa (UN), Nada Alnashef, amefanya mazungumzo na Mtandao wa Watetezi wa Haki za...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2024Baada ya jana kushuhudia mitanange mikali kabosa Duniani kote, leo tena kuna mechi kali zaidi za kukupatia pesa ligi mbalimbali, yani ni bandika...
By Mwandishi WetuMarch 10, 2024MOJA ya habari njema kuwahi kutokea ni uwepo wa historia ya kale kuhusiana na miungu, na maisha ya zamani, hadithi hizi zinafurahisha...
By Mwandishi WetuMarch 10, 2024Kampuni ya Meridianbet imefanikiwa kujumuika nawanawake katika siku yao baada ya kufika katika soka la Mwananyamala jijini Dar-es-salaam na kutoa msaada kwakina Mama...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2024HATIMAYE wikendi imefika tena ambapo kwa wale ambao hubashiri hii ni siku nzuri sana kwao kwani mechi mbalimbali kutoka katika ligi mbalimbali...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2024KITUO cha Msaada wa Kisheria cha Ngorongoro (NGOLAC)mkoani Arusha, kimewataka wananchi wanaokumbana na matatizo ya ukatili wa kijinsia, wafike ofisini kwao kwa ajili...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2024SERIKALI ya Tanzania, imeibwaga Kampuni ya Alchemist Energy Trading DMCC, katika Baraza la Kimataifa la Biashara (ICC), baada ya kampuni hiyo ya kiarabu...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemuondoa aliyekuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART), Gilliard Wilson Ngewe na kumteua Waziri Kindamba, kuiongoza...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2024KATIKA kuandimisha ya siku ya mwanamke duniani yanayofanyika tarehe 8 Machi, kila mwaka, wanawake wa kata ya Kideleko katika halmashauri ya mji...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi amefanya uteuzi na kuwahamisha vituo wakuu wa mikoa na kuwaacha kando watatu. Anaripoti Mwandishi Wetu …...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2024WAKATI ambao sakata la Prince Mpumelelo Dube likipamba moto pale viunga vya Azam Complex, pale Msimbazi mambo sio mambo, Jangwani wao wanakula...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2024KAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania imekabidhi msaada wa vifaa tiba vikiwemo vya viti mwendo na mashine za kupima presha vyenye thamani ya...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2024MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Taifa(CHADEMA), Freeman Mbowe ameagiza uongozi wa chama hicho kuanzia ngazi ya taifa hadi shina kupitia mabaraza...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2024WATAALAM kutoka Benki ya Dunia wanaendesha semina kwa Wataalam wanao simamia utekelezaji wa Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2024IJUMAA ya leo hii ligi mbalimbali zinaendelea hivyo kama mteja wa meridianbet tengeneza jamvi lako sasa na uanze kubashiri vyema kabisa na...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2024Mtuhumiwa wa kutapeli na kudhulumu viwanja vya watu na kujimilikisha kinyume na utaratibu jijini Dar es salaam ajulikanae kama Paul Mushi leo Ijumaa...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2024Watu waliojihami kwa bunduki wamewateka nyara zaidi ya wanafunzi 280 baada ya kuivamia shule moja kaskazini magharibi mwa Nigeria katika mojawapo ya visa...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2024HOSPITALI ya Kitonka iliyopo Gongolamboto Dar es Salaam, imeshinda kesi ya uzembe iliyofunguliwa na mgonjwa wake, Mwalu Dege akiidai fidia ya Sh700 milioni...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2024KUTANA na nguruwe watatu pamoja na mbwa mwitu ambao asili yao ni kutoa pesa kwa kila mzunguko wa kasino unaoucheza, hakikisha unafatilia...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2024