Friday , 29 March 2024
Home mwandishi
8556 Articles1227 Comments
Michezo

Tusua kijanja na mechi za Europa leo

  Alhamisi ya leo EUROPA inaendelea ambapo ni mechi za marudiano ambapo hizi zitakuw azikiamua nani kwenda hatua inayofuata na nani kubaki. Liverpool,...

Tangulizi

5 mbaroni madai ya Makamba kumng’oa Samia 2025

WATU watano wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma za kuandika uchochezi dhidi ya viongozi wakuu serikalini,...

Biashara

Drop &Win promosheni inayotoa Tsh Bil 80 mpaka 2025 

  PROMOSHENI ya Pragmatic Play ya Drop&Win sasa imeanza tangu Machi 6, 2024 na itadumu mpaka 2025 Promosheni hii ni maalum kwa wateja...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanawake GGML wawanoa wanafunzi Kalangalala Sec. kujitambua

KATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, Umoja wa wanawake wanaofanya kazi katika Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML Ladies) wametoa...

Habari Mchanganyiko

Mama mbaroni tuhuma za kumuua kisha kumla nyama mwanaye

NYANSOLOLI Paul, mkazi wa Kijiji cha Kishapu mkoani Shinyanga, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumuua kisha kumla mtoto wake wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yaimarisha mfumo utoaji mikopo kwa wanafunzi vyuo vikuu

Benki ya NMB imekamilisha zoezi la kuunganisha mfumo wake mkuu wa kibenki na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB)...

Habari Mchanganyiko

CTI yapongeza uwekezaji mkubwa kiwanda cha Lodhia Mkuranga

SHIRIKISHO la Wenye Viwanda nchini (CTI), limeiomba serikali na taasisi zake kulinda viwanda vya ndani kwa kununua bidhaa zinazotengenezwa na viwanda hivyo kama...

Michezo

Hapa Diego Simeone, pale Simeone Inzaghi kivumbi cha Ligi ya Mabingwa Ulaya

LIGI ya Mabingwa ulaya itaendelea usiku wa leo ambapoitakwenda kupigwa michezo miwili ya kibabe sana, Ambapoitaamua hatma ya timu hizo nne kuelekea hatua...

Biashara

Oryx Gesi yagawa mitungi 700 Zanzibar

KAMPUNI Gesi ya Oryx Tanzania imeendeleza kasi yake ya kuwafikishia wananchi nishati safi ya kupikia ili kuwaondoa katika changamoto ya kupika kwa kuni...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ampa kibarua kizito Chongolo

  MKUU wa Mkoa mpya wa Songwe, Daniel Chongolo, amekabidhiwa jukumu la kudhibiti uhalifu wa kiuchumi unaotokea ndani ya mkoa huo hususan mpaka...

Habari za Siasa

Rais Samia: Tunataka kupunguza kukopa

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassana, amesema Serikali yake inakwenda kupunguza kukopa fedha kwa ajili ya utekelezaji huduma za kijamii kwa wananchi, kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awavaa wakuu wa mikoa “msisubiri Makonda apite”

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameonesha kutoridhishwa na baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya ambao wanashindwa kutatua changamoto za wananchi zilizokuwa...

Biashara

Maokoto ya kutosha na Super Heli kasino 

  HAPO mwanzo baada ya kuutambulisha mchezo wa Super Heli ambao namba moja pendwa kwa michezo ya kasino ya mtandaoni, wengi walikuwa wanauchukulia...

Habari Mchanganyiko

Wakulima wa mpunga Madibira wampa tano Rais Samia mradi wa Regrow

  WAKULIMA wa Mpunga Kata ya Madibira wilaya ya Mbarali, Mbeya wameishukuru Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa utekelezaji wa Mradi wa...

Habari za Siasa

Tanzania, Pakistan kushirikiana sekta za biashara na uwekezaji

Tanzania na Pakistan zimeahidi kuendelea kushirikiana kuimarisha zaidi sekta za biashara na uwekezaji kwa maslahi ya pande zote mbili. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea leo

  LIGI ya Mabingwa Ulaya itaendelea leo ambapo itakwenda kupigwa michezo miwili milkali ambayo itakwenda kutoa fursa ya timu mbili kutinga hatua ya...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa amgomea Mbowe

MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amekataa ombi la Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kurejea katika chama...

Habari za Siasa

Sakata la mzabuni anayedai mil. 25 Liwale, lamng’oa mmoja

SAKATA la mzabuni Maarifa Nampela aliyetoa vifaa kukarabati Hospitali ya wilaya ya Liwale na kisha kudhulumiwa malipo yake ya Sh 25 milioni, limechukua...

Biashara

Expanse Kasino Jackpot mzigo umeongezeka mpaka milioni 30

  HII sio ndoto hata kidogo ni uhalisia uliopo katika nyumba ya mabingwa Meridianbet, kuna Jackpot endelevu ya michezo ya kasino ya mtandaoni...

Habari MchanganyikoKimataifa

Urusi yamdaka raia wa Korea Kusini kwa ushushushu

Raia mmoja wa Korea Kusini amekamatwa nchini Urusi kwa madai ya ujasusi na kuzuiliwa katika mji wa mbali wa mashariki mwa nchi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, waandishi wa habari ngoma nzito

Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi kesho inatarajia kutoa uamuzi wa kukubali ama kuyakataa maombi ya Freeman Mbowe ya kutaka waandishi wa habari wanaodai...

Kimataifa

Rais Kagame akubali kukutana na Tshisekedi

Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Angola, Tete Antonio amesema jana Jumatatu jioni Rais Paul Kagame wa Rwanda amekubali kukutana na...

Biashara

Mikoa 30 yapata mikopo ya bil.324 kutoka SELF

MFUKO wa Self umetoa mikopo ya zaidi ya Sh bilioni 324 kwa wananchi 314,055 wa mikoa 30 nchini huku ukijipanga kupanua wigo siku...

Habari Mchanganyiko

AngloGold Ashanti yamuahidi Samia kuwa kinara kuwezesha wanawake sekta ya madini

AngloGold Ashanti ambayo ni kampuni mama ya Geita Gold Mining Limited imemuahidi Rais Samia Suluhu Hassan kuendelea kuwa sehemu ya mabadiliko chanya ya...

Biashara

Vodacom yashiriki mkutano wa 21 wa Taasisi za kifedha ulioandaliwa na BOT

Mkurugenzi wa M-Pesa, Epimack Mbeteni (wa pili kushoto) akizungumza wakati wa mkutano wa 21 wa Taasisi za Fedha ulioandaliwa na Benki Kuu ya...

Habari Mchanganyiko

CBE waja na kozi ya uchunguzi wa rushwa

MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Rebecca Nsemwa, amekipongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kwa kuanzisha kozi ya uchunguzi wa masuala ya  ufisadi...

Biashara

Msisimko na Super Heli kasino, mizawadi kama yote

  ULE mzuka wa kucheza kasino na kushinda unaupata Meridianbet kasino pekee ambapo kuna michezo mingi ya kasino ya Mtandaoni, moja kati ya...

Biashara

NMB, ZASCO zasaini makubaliano kuongeza thamani zao la kimkakati Z’bar

BENKI ya NMB na Kampuni ya Mwani Zanzibar (ZASCO), zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU), ya ushirikiano, lengo kuu likiwa ni kuliongezea thamani zao...

Habari za SiasaKimataifa

Kiongozi mkuu upinzani Burundi ang’olewa kwenye chama

Chama kikuu cha upinzani nchini Burundi kimekumbwa na mgawanyiko baada ya jana Jumapili kusema kuwa limemuondoa madarakani kiongozi wa chama hicho Agathon Rwasa...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mpango wa kuajiri mwanamke kushika mimba wafufuliwa

SERIKALI ya Thailand imepanga kufufua mpango wa wa biashara ya mwanamke kukubali kushika mimba na kujifungua mtoto kwa niaba ya familia fulani maarufu...

Habari za Siasa

Cheyo: Mkitaka kufilisika ingieni kwenye siasa, wenye pesa wezi

MWENYEKITI wa Chama cha UDP, Mzee John Cheyo, amewaasa vijana wenye nia ya kuingia katika siasa kwa ajili ya kutafuta pesa, wasifanye hivyo...

Habari Mchanganyiko

Kigogo UN ateta na THRDC kuhusu haki za binadamu Tanzania

NAIBU Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu kutoka Umoja wa Mataifa (UN), Nada Alnashef, amefanya mazungumzo na Mtandao wa Watetezi wa Haki za...

Michezo

Jumapili ya kukupatia pesa ni leo

Baada ya jana kushuhudia mitanange mikali kabosa Duniani kote, leo tena kuna mechi kali zaidi za kukupatia pesa ligi mbalimbali, yani ni bandika...

Biashara

Cheza kasino ya Age of the Gods Spin a Win ushinde

  MOJA ya habari njema kuwahi kutokea ni uwepo wa historia ya kale kuhusiana na miungu, na maisha ya zamani, hadithi hizi zinafurahisha...

Biashara

Meridianbet yawainua kina mama Siku ya Wanawake Duniani

Kampuni ya Meridianbet imefanikiwa kujumuika nawanawake katika siku yao baada ya kufika katika soka la Mwananyamala jijini Dar-es-salaam na kutoa msaada kwakina Mama...

Michezo

Jumamosi ya leo ni ya kupiga pesa na Meridianbet

  HATIMAYE wikendi imefika tena ambapo kwa wale ambao hubashiri hii ni siku nzuri sana kwao kwani mechi mbalimbali kutoka katika ligi mbalimbali...

Habari Mchanganyiko

Kituo cha msaada kisheria Ngorongoro chaita wanaopitia ukatili

KITUO cha Msaada wa Kisheria cha Ngorongoro (NGOLAC)mkoani Arusha, kimewataka wananchi wanaokumbana na matatizo ya ukatili wa kijinsia, wafike ofisini kwao kwa ajili...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Kampuni iliyoshindwa kuingiza mafuta Tanzania, yaamriwa kulipa Bil.24.7

SERIKALI ya Tanzania, imeibwaga Kampuni ya Alchemist Energy Trading DMCC, katika Baraza la Kimataifa la Biashara (ICC), baada ya kampuni hiyo ya kiarabu...

Habari za Siasa

Rais Samia amng’oa “boss” mwendokasi

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemuondoa aliyekuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART), Gilliard Wilson Ngewe na kumteua Waziri Kindamba, kuiongoza...

Habari Mchanganyiko

Waadhimisha siku ya wanawake kwa kulinda vyanzo vya maji

  KATIKA kuandimisha ya siku ya mwanamke duniani yanayofanyika tarehe 8 Machi, kila mwaka, wanawake wa kata ya Kideleko katika halmashauri ya mji...

Habari za Siasa

Ma-RC waliopigwa panga hawa hapa

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi amefanya uteuzi na kuwahamisha vituo wakuu wa mikoa na kuwaacha kando watatu. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Michezo

Bashiri mechi za Ligi Kuu ya NBC wikiendi hii upate bonasi kibao 

  WAKATI ambao sakata la Prince Mpumelelo Dube likipamba moto pale viunga vya Azam Complex, pale Msimbazi mambo sio mambo, Jangwani wao wanakula...

Habari Mchanganyiko

Puma Tz yakabidhi vifaa tiba vya mil. 6.5 Kogamboni

KAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania imekabidhi msaada wa vifaa tiba vikiwemo vya viti mwendo na mashine za kupima presha vyenye thamani ya...

Habari za Siasa

Mbowe: Uchaguzi 2024/2025 kufa kupona, atakayeshindwa kuusimamia ang’oke

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Taifa(CHADEMA), Freeman Mbowe ameagiza uongozi wa chama hicho kuanzia ngazi ya taifa hadi shina kupitia mabaraza...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Dunia yatoa somo kwa Regrow

  WATAALAM kutoka Benki ya Dunia wanaendesha semina kwa Wataalam wanao simamia utekelezaji wa Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii...

Michezo

Kusanya mpunga wa Meridianbet leo

  IJUMAA ya leo hii ligi mbalimbali zinaendelea hivyo kama mteja wa meridianbet tengeneza jamvi lako sasa na uanze kubashiri vyema kabisa na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mtuhumiwa wa utapeli, kudhulumu viwanja aburuzwa mahakamani

Mtuhumiwa wa kutapeli na kudhulumu viwanja vya watu na kujimilikisha kinyume na utaratibu jijini Dar es salaam ajulikanae kama Paul Mushi leo Ijumaa...

Kimataifa

Wanafunzi 280 watekwa nyara Nigeria

Watu waliojihami kwa bunduki wamewateka nyara zaidi ya wanafunzi 280 baada ya kuivamia shule moja kaskazini magharibi mwa Nigeria katika mojawapo ya visa...

Habari Mchanganyiko

Hospitali ya Kitonka yamshinda mgonjwa wake mahakamani

HOSPITALI ya Kitonka iliyopo Gongolamboto Dar es Salaam, imeshinda kesi ya uzembe iliyofunguliwa na mgonjwa wake, Mwalu Dege akiidai fidia ya Sh700 milioni...

Biashara

Nguruwe na mbwa mwitu ndani ya kasino ya mtandaoni 

  KUTANA na nguruwe watatu pamoja na mbwa mwitu ambao asili yao ni kutoa pesa kwa kila mzunguko wa kasino unaoucheza, hakikisha unafatilia...

error: Content is protected !!