Friday , 19 April 2024
Home mwandishi
8670 Articles1243 Comments
Habari Mchanganyiko

Rais Samia apewa tano ujenzi barabara Mtwara

WANANCHI wa Mkoa wa Mtwara, wameishukuru Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kuboresha miundombinu ya barabara, kitendo kinachoimarisha shughuli zao...

Biashara

NMB yazindua hati fungani mpya ya trilioni 1

BENKI ya NMB imezindua rasmi programu mpya yenye hati fungani zenye thamani ya jumla ya Sh. trilioni moja, huku ikitajwa kuwa ya kwanza...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Serikali kununua mitambo 15 ya kuchoronga miamba

Serikali kupitia Wizara ya Madini imepanga kununua mitambo 15 ya uchorongaji wa miamba kwa ajili ya utafiti wa kina wa madini. Anaripoti Mwandishi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Mtanzania aweka rekodi kimataifa kwa kiwanda cha kusafisha dhahabu

IMEELEZWA kuwa Kiwanda cha Kusafisha dhahabu cha Geita Gold Refinery (GGR) kinachomilikiwa na Mwekezaji Mtanzania, Sarah Masasi kimeiweka Tanzania katika Soko la Kimataifa...

Habari za Siasa

Kamugisha aanika utekelezaji mpango kazi 2022/23

MWENYEKITI wa Ngome ya Vijana ya Chama Cha ACT-Wazalendo Mkoa wa Dar es Salaam, Felix Kamugisha, amebabainisha masuala sita yaliyofanyiwa kazi kupitia mpango...

Habari Mchanganyiko

MAIPAC kusaidia Kompyuta shule ya Arusha Alliance

Taasisi ya Wanahabari ya kusaidia Jamii za pembezoni (MAIPAC) imeahidi kutoa msaada wa kompyuta kwa shule ya msingi ya Arusha Alliance ambayo inamilikiwa...

AfyaHabari Mchanganyiko

Wafanyakazi GGML wajitokeza kuchunguzwa saratani

WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) leo Ijumaa wamejitokeza katika maonesho ya sita ya teknolojia ya madini Geita na kupatiwa...

BiasharaMichezo

Piga pesa kupitia Derby ya London Kaskazini kwa kubadhiri na Meridianbet

NAJUA umesikia na unazijua Derby nyingi kutoka jiji la London, lakini kuna hii ambayo inakwenda kupigwawikiendi hii pale katika dimba la Emirates kati ya...

Habari za Siasa

Vijana ACT-Wazalendo wakabidhiwa kivumbi kulinda kura uchaguzi 2024,2025

NGOME ya Vijana ya Chama cha  ACT-Wazalendo, imetakiwa kuwanoa wafuasi wake ili wahakikishe chama hicho kinapata ushindi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa...

Habari Mchanganyiko

Dk. Biteko aacha alama sekta ya madini

Dk. Biteko aacha alama sekta ya madini Imeelezwa kuwa, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk.  Doto Biteko ameacha alama kubwa katika...

Habari Mchanganyiko

ATCL yataja sababu kusitisha safari za ndege China

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imetoa ufatanuzi kuhusu mabadilko ya ratiba zake za safari za China kwa abiria wake kuwa zimetokana na ndege...

Sanaa

Msanii Kusah apagawisha wanafunzi Green Acres

MSANII  wa nyimbo za bongo fleva Salmin Ismail maarufu kama Kusah,  amezitaka shule nchini kutenga muda wa kutosha wa michezo ili waweze kuibua...

Elimu

Vipaji Green Acres vyawafurahisha wazazi

WANAFUNZI wa Shule ya Msingi Green Acres, wamewapagawisha wazazi na wageni waalikwa kwenye mahafali yao baada ya kuzungumza kwa ufasaha lugha ya Kifaransa...

AfyaHabari Mchanganyiko

GGML yatoa msaada wa vifaa tiba kuboresha afya Geita

KATIKA jitihada za kuendelea kuboresha sekta ya afya mkoani Geita, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa msaada wa vifaa tiba kwa...

Afya

Hospitali Kanda Mtwara yaokoa mamilioni, yajipanga kuhudumia nchi jirani

  MAMILIONI ya fedha yaliyopaswa kutumika katika kusafirisha wagonjwa kutoka mikoa ya Kusini hadi Dar es Salaam, yameokolewa baada ya Hospitali ya Kanda...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua, atengua, Msigwa apelekwa wizara ya michezo

  RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya teuzi na utenguzi wa viongozi mbalimbali, akiwemo aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, ambaye amepelekwa kuwa...

ElimuHabari Mchanganyiko

Mtwara Girls waondokana na changamoto ya maji

  WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari ya Wasichana mkoani Mtwara (Mtwara Girls High School), wameishukuru Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme wang’oa vigogo TANESCO

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewahamisha waliokuwa vigogo wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), katika kipindi ambacho kuna changamoto ya ratiba ya...

Biashara

Emirates SkyCargo inaendeleza uzoefu wake wa kibunifu kwa wateja kwa kutumia Cargo.

  EMIRATES SkyCargo sasa iko hai kwenye suluhisho la soko la CargoAi, CargoMART, ikisonga mbele zaidi katika uzoefu wa dijiti kwa wateja na...

BiasharaMichezo

Wikiendi hii ushindi upo Meridianbet na si kwingine

USHINDI huu ni wako mteja wa Meridianbet kama mechi za UEFA na Europa hazikukupatia pesa basi usihfu wikendi hii inaenda kutenda maajabu yani...

Biashara

Cheza Keno bonanza ya Meridianbet ushinde bodaboda

HII hapa promosheni nyingine kutoka Meridianbetinayokupa zawadi kabamebe kama vile Bodaboda mpya napesa taslim bila kusahau simjanja za kijanja zitamwagikakama mvua. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mgogoro wa ardhi Kiteto: Wakulima wadaiwa kutwanga risasi ng’ombe wa wafugaji Kiteto

MGOGORO kati ya wafugaji na wakulima katika Kijiji cha Lembapuli, Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara umechukua sura mpya baada ya wakulima kudaiwa kuvamia...

Biashara

Makamu Rais AngloGold Ashanti-GGML atembelea maonesho ya madini Geita

MAKAMU Rais wa kampuni ya AngloGold Ashanti Tanzania-GGML anayeshughulikia miradi endelevu kwa upande wa Ghana na Tanzania, Simon Shayo leo Ijumaa ametembelea maonesho...

Kimataifa

Uvamizi wa kijeshi Milango ya bahari ya Taiwan G7 yapinga China

MKUTANO wa Mawaziri wa Mambo ya nje wa nchi za G7 zimepinga kitendo cha uvamizi wa Jeshi la China katika ukanda wa Bahari...

Habari za SiasaTangulizi

Mchengerwa amtumbua mkurugenzi Busega

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busega...

Habari Mchanganyiko

Wadau wakutana kujadili mpango kazi wa uwekezaji miundombinu ya hali ya hewa

  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Hali ya Hewa ya Denmark (DMI) kama Mshauri...

Biashara

Pata ushindi mnono na mechi za Europa kupitia Meridianbet

KAMA unataka ubingwa wakati wa kubashiri mechi zako chimbo ni moja tuu ambalo lipo ndani ya Meridianbet yani ODDS KUBWA, Machaguo zaidi ya...

BiasharaMichezo

Safari ya Gavi kutoka Academy ya Real Betis mpaka Barca

  ANITWA Pablo Martín Páez Gavira ‘Gavi’, sasa ni mchezaji wa kutegemewa katika kikosi cha Barcelona na amecheza mechi zaidi ya 100 mpaka...

BiasharaHabari Mchanganyiko

RC Geita aipongeza GGML kudhamini maonesho ya madini, 400 kushiriki

MKUU wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuendelea kuwa mdhamini mkuu wa maonesho ya...

Biashara

Chama cha Wasioona waishukuru Meridianbet

  MAISHA ya binadamu yamejaa mambo mengi sana, kuna mengi ya kidunia unaweza kupitia ukajiona hauna thamani tena kwa jamii, lakini uwepo wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Waziri Mkuu aiagiza PURA kuharakisha zoezi la kunadi vitalu

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameitaka Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuharakisha mchakato wa kunadi vitalu vya mafuta na gesi...

BiasharaMichezo

SBL yazindua Serengeti Oktoba Festival

  KAMPUNI ya Bia ya Serengeti Breweries Ltd (SBL) kupitia bia yake ya Serengeti Lite imezindua Tamasha kubwa la Serengeti Oktoba Festival litakalofanyika...

Biashara

Majaliwa afungua kongamano la nishati, atembelea banda la NMB

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Tanzania haitegemei kuzalisha umeme kwa kutumia maji pekee bali inaendelea kuweka mkazo katika uzalishaji wa umeme kwa kutumia...

Biashara

GGML yatoa milioni 150 kudhamini Maonesho ya 6 ya Madini Geita

KATIKA kuendelea kudumisha dhamira ya ubunifu wa kiteknolojia, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML)  imetoa kiasi cha Sh milioni 150 kudhamini Maonyesho...

Habari za Siasa

CCM yatetea jimbo Mbarali

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuvigaragaza vyama vya upinzani baada ya kutetea jimbo la Mbarali katika uchaguzi mdogo uliofanyika jana Jumanne. Anaripoti Mwandishi...

BiasharaMichezo

Hatimaye yametimia, Novatus aingia katika rekodi ya Uefa

  BAADA ya Mbwana Samatta na Sunday Manara kuandika rekodi ya kucheza Uefa Champions League ambapo Samatta alifanikiwa kuifunga Liverpool ya Jurgen Klopp,...

Habari Mchanganyiko

CP Suzan Kaganda atoa taarifa ya mkutano wa IAWP

  KAMISHNA wa Polisi wa kamisheni ya Utawala na manejimenti ya rasilimali watu, CP Suzan Kaganda amewasilisha taarifa ya Mkutano wa Jumuiya ya...

Kimataifa

Rais Kagame kuwania muhula wa nne

Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema atawania muhula wa nne katika uchaguzi wa rais mwaka ujao. Anaripoti Matilda Peter kwa msaada wa Mitandao...

Kimataifa

Ukraine kufungua kituo cha nafaka Kenya

Rais wa Kenya, William Ruto amesema serikali ya Ukraine inapanga kuweka kituo cha nafaka mjini Mombasa kama sehemu ya hatua kubwa ya kukabiliana...

Biashara

Watumiaji mtandao wa X sasa kulipia huduma

MMILIKI wa mtandao wa kijamii  X, Elon Mask ambao zamani ulikuwa unaitwa Twitter anatarajiwa kuweka tozo za malipo katika utumiaji wa mtandao huo....

Habari Mchanganyiko

Jeshi la Polisi laanza uchunguzi wa clip inayosambaa mtandaoni

  JESHI la Polisi limesema limeona video fupi (clip) ikimwonesha Mtoto aliyefanyiwa vitendo vya ukatili na udhalilishaji. Anaripoti Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi,...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo aanika miradi ya maendeleo Musoma

  OFISI ya Mbunge wa Musoma Vijijini, Prof. Sospster Muhongo, imeishukuru Serikali na wadau wa maendeleo kwa kufanikisha ujenzi wa miradi ya maendeleo...

Habari za Siasa

Ubunge Mbarali: ACT-Wazalendo yamtega Rais Samia

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema kinashiriki uchaguzi wa marudio wa ubunge katika Jimbo la Mbarali, ili kuipima Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu...

Biashara

Mechi za kukupa pesa usiku wa Ulaya hizi hapa

BAADA ya kungojea kwa muda mrefu hatimaye Ligi ya Mabingwa imerejea ambapo leo na kesho ni kivumbi tuu timu 32 zinawania ushindi kwenye...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Prof Mwafenga ulijiamini katika utendaji wako na degree zako 10 – Maige

KIFO cha Prof Hadley Mpoki Mwafenga- Afisa Usimamizi wa Fedha Mkuu Daraja la kwanza wa kitengo cha ubia kati ya Sekta umma na...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia agoma ombi la wananchi kumwondoa mwekezaji

RAIS Samia Suluhu Hassan, amekataa ombi la wananchi lililotaka afute hati ya umiliki ardhi inayodaiwa kuporwa kinyume cha sheria na mwekezaji Kampuni ya...

Habari za Siasa

Serikali kujenga bandari ya uvuvi Bagamoyo

SERIKALI ina mpango wa kujenga bandari ya uvuvi wilayani Bagamoyo, ili kuimarisha shughuli za uchumi wa buluu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Serikali imeweka mikakati kukabiliana na ukatili wa kijinsia- Msigwa

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Serikali imeweka mikakati ya kukabiliana na ukatili wa kijinsia hususan kwa Wanawake kwenye maeneo mbalimbali nchini,...

Biashara

NMB yashinda tena tuzo ya kuongoza kuwafadhili wajasiriamali

Benki ya NMB imetunukiwa tena tuzo na jukwaa la kufadhili ujasiriamali duniani (SME Finance Forum) kutokana na huduma zake wezeshi na ufadhili wake...

Habari za SiasaTangulizi

Wapiga kura 216,282 kupiga kura uchaguzi mdogo Mbarali, kata sita  

Wapiga kura 216,282 walioandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wanatarajiwa kupiga kura kesho tarehe 19 Septemba 2023 kwenye uchaguzi mdogo wa...

error: Content is protected !!