Wednesday , 24 April 2024
Home mwandishi
8710 Articles1239 Comments
Habari za Siasa

Rais Samia ataka mahakama za Afrika zijipange utatuzi migogoro soko huru

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amezitaka mahakama za nchi za Afrika zijipange kutatua migogoro itakayojitokeza katika eneo la biashara huru barani humo, huku...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda awagawa Watanzania, Karume aishangaa CCM

UTEUZI wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, katika nafasi ya ukatibu wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

Biashara

Maliza matatizo yako ya kifedha kwa kucheza sloti ya Pirates Power

  MERIDIANBET kasino ya mtandaoni imepanga kukutajirisha Zaidi msimu huu wa kiangazi wakati ligi nyingi zikiwa zimeisha, endelea kupiga mtonyo kwa kucheza kasino...

Habari Mchanganyiko

Baba wa Mtanzania: Sina mawasiliano na mwanangu aliyepo Israel tangu washambuliwe na Hamas

“Mara ya mwisho nimewasiliana na mwanangu ilikuwa ni tarehe 5 Oktoba 2023, isipokuwa mara ya mwisho nilimuona ‘online’ tarehe 7 Oktoba saa 4:03...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 60 kujenga barabara ya Isongole – Kasumulu

SERIKARI imetenga zaidi ya Sh 50 bilioni kujenga barabara kutoka Isongole wilayani Ileje mkoani Songwe hadi Kasumulu wilayani Kyela mkoani Mbeya yenye urefu...

Habari Mchanganyiko

Wananchi waiangukia serikali daraja mto Mpemba

WANANCHI wa mitaa iliyopo Kata ya Mpemba halmashauri ya Mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe wameiomba serikali kupitia halmashauri ya mji huo kuwajengea...

Biashara

NMB Foundation, Save the Children kushirikiana kuboresha maisha

ASASI ya NMB Foundation na Shirika la Save the Children International zimeunganisha nguvu kusaidia kuboresha maisha nchini kwa kuingia makubaliano ya kushirikiana kuchangia...

Afya

NMB yatoa vifaa vya kuezekea kwa zahanati ya polisi Mtwara

BENKI ya NMB Kanda ya kusini imetoa vifaa vya kuezekea katika zahanati ya polisi iliyopo mkoani hapa vyenye thamani ya Sh17 milioni. Anaripoti...

Elimu

St Mary’s yaahidi kuendelea kuwa juu kitaaluma

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE) kimeahidi kuiunganisha shule ya St Mary’s Mbezi Beach na Maktaba Kuu ya Taifa ili wanafunzi wa shule...

Biashara

Meridianbet yawakaribisha wadau kwenye familia ya kibingwa wafurahie sloti Bursting Slot 5

KASINO ya mtandaoni ya Meridianbet imekusogezeasloti ya kijanja ya Bursting Hot 5 kiganjani mwakosasa! Bursting Hot 5 ni mchezo unaotumia matundakama zile sloti...

BiasharaMichezo

Wakali wa muziki kutoka Tanzania, Kenya, na Uganda wakutananishwa kwenye jukwaa moja

  KWA mara yakwanza nchini Tanzania, Serengeti Lite Oktobafest ilileta pamoja vipaji vya muziki na ubunifu wa hali yajuu wa Afrika Mashariki katika...

BiasharaTangulizi

TPA: TRA itakusanya trilioni 26.7 bandarini

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa leo Jumapili amesema kwa kawaida Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hukusanya tozo...

BiasharaTangulizi

TZ kupata 60% ya mapato DP World

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usimamizi Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa leo Jumapili amesema katika mikataba hiyo mitatu, serikali itakuwa inapata ada na tozo...

Habari za SiasaTangulizi

Mikataba 3 DP World yasainiwa, haihusu bandari zote

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema katika kutekeleza mkakati wa Serikali wa kuimarisha shughuli za bandari Dar es Salaam,...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda amrithi Mjema uenezi CCM

HATIMAYE aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameteuliwa na Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Katibu wa...

Biashara

Unataka ukusanye mpunga wa maana, suka mkeka wako na Meridianbet

KAMA unataka kukusanya maokoto leo hii nenda pale Meridianbet suka jamvi lako vizuri kabisa kisha weka dau lako usubiri maokoto ya maana hapo...

Habari za SiasaTangulizi

Mjema ‘out’ CCM, Makonda atajwa

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Sophia Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum. Kabla ya uteuzi huu Sophia alikuwa...

Elimu

Vipaji St Mary’s  vyawashangaza wazazi

SHULE ya Msingi na Sekondari St. Marys Mbezi Beach imesema imejenga viwanja vya michezo shuleni hapo kama moja ya njia ya kuhamasisha michezo...

Biashara

Meridianbet yawafikia wakazi wa Tabata Kisiwani

  HAYAWI hayawi sasa hatimae yamekua na hiyo ni baada yakampuni ya michezo ya kubashiri ya Meridianbet kufikamaeneo ya Tabata Visiwani na kugawa vifaa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aonya wachimbaji kuacha kutorosha madini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaasa wachimbaji wadogo kuachana na vitendo vya utoroshaji madini. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea)....

Kimataifa

24 wajitosa urais DRC

Tume ya uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imethibitisha kupokea orodha ya wagombea 24 wa urais ambao wamejisajili kuwania katika uchaguzi wa...

Biashara

Kasino ya mtandaoni Meridianbet yaja na sloti ya kijanja

KAMA umewahi kucheza kasino ya mtandaoni Meridianbet naumejaribu kucheza michoz mingi na kuwa mshindi, basinakwambia bado hujamaliza yote kuna hii sloti ya Book...

Michezo

Nyashinski atua Bongo, aahidi makubwa Serengeti Oktoba Fest

  NYAMARI Ongegu anayejulikana zaidi kama Nyashinski ameahidi makubwa katika onyesho lake la kesho katika Tamasha kubwa la Serengeti Oktoba Festival litakalofanyika kesho...

KimataifaTangulizi

Viongozi wa Hamas wauawa, vifo vyafikia 3,785.

TANGU vita baina ya taifa la Israel na wanamgambo wa Hamas kutoka Ukanda wa Gaza nchini Palestina viibuke tarehe 7 Okotoba 2023, kumeripotiwa...

Habari Mchanganyiko

Ongezeko la wanawake magerezani lashtua, watetezi haki binadamu waja juu

Washiriki katika Kongamano la Mashariki mwa Afrika kuhusiana na haki za wanawake katika masuala ya jinai lililofanyika nchini Uganda, wameelezea wasiwasi wao kuhusu...

Habari MchanganyikoTangulizi

RC Dar: Chanzo ajali ya moto Kariakoo ni hujuma

CHANZO cha ajali ya moto ulioteketekeza Soko la Kariako eneo la Mnadani na kusababisha hasara kubwa kwa wafanyabiashara zaidi ya 550, kimetajwa kuwa...

Habari za Siasa

UVCCM yaonya viongozi wanaoshindwa kusaidia vijana

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umesema umejipanga kuhakikisha chama hicho kinaendelea kupata ushindi katika chaguzi zijazo, huku wakiwataka wapinzani kujiandaa...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yawatoa hofu wananchi kuhusu upatikanaji wa mafuta

Naibu waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa hali ya utoshelevu wa mafuta nchini kwa kipindi cha  mwezi Julai...

Habari za Siasa

Tanzania yapokea ombi la Palestina

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Balozi Dkt. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Palestina nchini Tanzania, Hamdi Mansour Abuali ...

Afya

GGML wafanya matembezi kuhamasisha mwezi wa afya ya akili

WAKATI Tanzania ikiungana na dunia mwezi huu wa Oktoba kuadhimisha uhamasishaji wa afya ya akili, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Geita Gold Mining...

Elimu

Wanafunzi Sekondari ya Samia waomba uzio kudhibiti mafataki

WANAFUNZI kutoka mikoa mbalimbali nchini walioanza masomo ya kidato cha tano katika shule mpya ya wasichana Dk. Samia -SSH iliyopo kijiji cha Namole ...

Habari Mchanganyiko

Kaya 11 Ngorongoro zahamia maeneo waliyochagua nje ya Ngorongoro

Kundi la pili lenye kaya 11 na wananchi 43 pamoja na mifugo 36 waliokuwa wamejiandikisha kuhama kwa hiari wameagwa leo tarehe 19 Oktoba...

Habari Mchanganyiko

Baba Mtakatifu amteua Padre Mwijage Askofu Mpya Bukoba

BABA Mtakatifu Fransisko amemtea Padre Jovitus Francis Mwijage wa Jimbo Katoliki la Bukoba kuwa Askofu mpya wa jimbo la Bukoto kuanzia leo tarehe...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Muunganiko Twiga, Tanga Cement wakataliwa tena mahakamani

Baraza la Ushindani (FCT) la Tanzania limefutilia mbali uamuzi wa Tume ya Ushindani (FCC) uliotolewa  tarehe 28 Februari mwaka huu wa kuiruhusu Scancem...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mhagama: Hakuna Tsunami

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama amewataka wananchi kupuuza taarifa iliyosambaa  katika mitandao mbalimbali ya kijamii...

Elimu

Mitihani darasa la nne, kidato cha pili kufutwa Zanzibar

SERIKALI ya Zanzibar, imetangaza mpango wake wa kufuta mitihani ya darasa la nne kwa shule za msingi  na kidato cha pili kwa sekondari,...

Habari Mchanganyiko

ASA yaongeza uzalishaji mbegu kufikia tani 3,500

WAKALA wa Mbegu za Kilimo nchini (ASA), umesema uzalishaji mbegu imeongezeka kutoka tani 500 hadi kufikia 3,500. Anaripoti Mwandishi Wetu, Tabora…(endelea). Ongezeko hilo...

Kimataifa

Uingereza yatahadharisha raia wake Uganda

Serikali ya Uingereza imetoa tahadhari kwa raia wake wajiepushe kuitembelea mbuga mashuhuri ya wanyama nchini Uganda ambako watalii wawili, akiwemo raia mmoja wa...

Habari za Siasa

Afrika, Nordic wakubaliana kuboresha biashara na uwekezaji

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi za Afrika na Mawaziri wa nchi za Nordic wamekubaliana kuimarisha biashara na uwekezaji, kubadilishana ujuzi, teknolojia...

KimataifaTangulizi

500 wauawa katika shambulio la hospitali Gaza

ZAIDI ya watu 500 wameripotiwa kuuawa usiku wa leo Jumanne kwenye shambulizi ambalo limetokea hospitalini Ahli Arab katika Ukanda wa Gaza. Inaripoti Mitandao...

Biashara

Meridianbet yaja na promosheni ya Endorphina itakayokupa mkwanja wa kutosha

  KAMPUNI kongwe ya michezo ya kubashiri Meridianbet  imekuja na promosheni ya michezo ya kasino Mitandaoni ambayo itawawezesha wateja wake kushinda viwango tofauti...

Michezo

Klabu ya madini yaibuka na medali 4 SHIMIWI, mikakati yaanikwa

Katika kuhakikisha Klabu ya Michezo ya Madini ( Madini Sports Club) inashiriki michezo kwa mafanikio makubwa   imebainisha mikakati ya kiufundi itakayo leta...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mikesha makanisani, mahubiri barabarani kutozwa kodi 334,600

BAADHI ya wahubiri na makasisi wamesema hatua ya serikali ya Kaunti ya Kisii nchini Kenya kuanza kutoza ushuru makanisa na wahubiri itarudisha nyuma...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mume mbaroni kwa kumteka nyara mkewe

MUME anayedaiwa kumteka nyara mkewe na kumficha katika Kaunti ya Meru nchini Kenya, amefikishwa kortini. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa …(endelea). Abdullahi Mohammed Gullei...

Habari MchanganyikoTangulizi

Madadapoa kutoka TZ wafurika Rift Valley kuwakamua wakulima

KAMA ulidhani madadapoa hufurika mikoa ya Kanda ya Ziwa pekee pindi wakulima wanapovuna na kuuza pamba, umekosea kwani hali kama hiyo pia imetokea...

Michezo

Hii hapa Jumanne ya kibabe na mechi za EURO

USIJIULIZE utapata wapi pesa ya kuanzia siku ya kesho, maana chimbo ni moja tuu nalo ni Meridianbet ambapo huku kwa dau dogo tu...

Elimu

Ujenzi vyuo vya VETA washika kasi

KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), Anthony Kasore, amesema Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan,...

Habari za SiasaTangulizi

Samia ataka wizara zibane matumizi

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amezitaka wizara nchini zibane matumizi katika fedha za miradi ya maendeleo ili zilete matokeo yenye tija. Anaripoti Mwandishi...

Biashara

SBL yazindua ‘Maokoto chini ya Kizibo’ wateja kushinda mpaka Mil. 1.5

  KAMPUNI ya Bia ya Serengeti Breweries Limited (SBL), imezindua kampeni yake ya ‘Maokoto chini ya Kizibo’ ambayo itawafanya wapenzi wa bia kuwa...

Habari Mchanganyiko

FAO yaahidi kuiunga mkono Tanzania

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) limeahidi kuunga mkono jitihada za Serikali ya Tanzania...

error: Content is protected !!