Saturday , 20 April 2024
Home mwandishi
8682 Articles1239 Comments
Afya

MOI yaonya watumishi wanaokimbiza wateja kwenda hospitali binafsi

  TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), imewataka watumishi wake kukwepa vitendo vya ukiukwaji wa maadili, ikiwemo kuwa madalali wa...

Biashara

Furahia mavuno na Bounty Hunter kasino ya mtandaoni ya Meridianbet

  CHUKULIA upo kwenye msitu mkubwa wenye wanyamapori na utajiri wa madini kama dhahabu, kisha unapewa nafasi ya kuchagua kimoja kati ya dhahabu...

Habari za Siasa

UWT yavimba na wabunge wa Viti Maalum

  JOKATE Mwegelo, katibu mkuu wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), amewataka wabunge wa viti maalumu kufanya mikutano ya hadhara,...

Habari Mchanganyiko

Mchango wa wachimbaji wadogo wafikia  asilimia 40 

WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amesema kutoka na serikali kuweka mazingira mazuri kwenye sekta ya madini, mchango wa wachimbaji wadogo umeweza kufikia asilimia...

Habari za SiasaTangulizi

Mwenyekiti CCM Arusha afariki dunia, Chongolo, Silaa wamlilia

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Zelote Stephen amefariki dunia jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za Siasa

Dk. Biteko ataka sekta ya uvuvi iwe nyenzo ya kuondoa umaskini nchini

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaagiza watendaji wa Sekta ya Uvuvi nchini kuifanya Sekta hiyo kuwa nyenzo...

Habari za Siasa

GGML yanyakua tuzo 2 Usiku wa Madini, Waziri Malawi atoa ujumbe

JITIHADA za Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) katika kuzingatia uwajibikaji wake kwa jamii pamoja na kuzingatia masuala ya usalama kazini, zimeendelea...

Michezo

Maliza Alhamisi yako kijanja na Ligi ya Konferensi

LIGI ya Konferensi inatarajiwa kupigwa leo hii kwa michezo kibao ambapo michezo hiyo itaanza saa 1:45. Hivyo kama unahitaji kujilusanyia maokoto leo ndio...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watanzania wawili ni miongoni mwa mateka wa Hamas

  RAIA wawili wa Tanzania na mmoja wa Afrika Kusini, ni miongoni mwa mateka 224, wanaoshikiliwa na wanamgambo wa Hamas, baada ya mashambulizi...

Biashara

Fanya yafuatayo unapocheza kasino ya Zombie Apocalypse

  UNAICHEZA ndivyo utamu unavyozidi kuwa mwingi, mchezo mzuri na wenye mandhari ya sinema za Mazombie unakupa uhuru wa kujitafuta mara tu unapouanza...

Michezo

Usikubali Ligi ya Europa ikupite bila faida, piga mkwanja na Meridianbet

BAADA ya kutazama michezo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya siku ya Jumanne na Jumatano sasa ni zamu ya usiku wa Ligi ya Uefa Europa...

Habari Mchanganyiko

TCRA yahamasisha usalama mtandaoni, upatikanaji leseni kidijitali

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeendelea kutoa elimu kwa umma na kuhamasisha juu ya usalama mtandaoni. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Akizungumza na waandishi...

Biashara

Biteko aipongeza GGML kwa kuwezesha kongamano TMIF, awaita wawekezaji

NAIBU Waziri Mkuu, Dk. Doto Biteko ametoa wito kwa wawekezaji wa ndani na nje kuja nchini kuwekeza katika sekta ya madini kutokana na...

Biashara

NMB yawezesha wakulima Tabora kulipwa fidia kwa wakati

BENKI ya NMB imesaidia wakulima wa tumbaku zaidi ya 400 mkoani Tabora kulipwa kwa wakati fidia ya hasara waliyopata baada ya mashamba yao...

Biashara

Chimbo la utajiri lipo Meridianbet kwenye sloti ya Book of Egypt  

  KILA wakati Meridianbet wanajaribu sana kutengeneza njia rahisi kwa wateja wao kuendela kupiga mishindo ya hela kila mara, sasa wamekuja na mchezo...

Biashara

Starlight Princess kumwaga mamilioni ndani Meridianbet

MICHEZO ya Kasino mitandaoni ndio imekua kivutiokikubwa kwa wateja na Meridianbet wanakuletea mchezohuu wa kasino ambao utamuwezesha mteja kujishindiamamilioni ya Pesa. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mchengerwa ataka mshindani mpya huduma za mabasi ya mwendokasi Dar

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa ameelekeza Uongozi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka...

Habari za Siasa

Mbowe aikumbuka UKAWA kuelekea chaguzi zijazo

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema ushindi wa vyama vya upinzani katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, ulitokana na...

Habari za SiasaTangulizi

Mjane wa Mrema aonja urithi, utata wa ndoa wamalizwa

Mahakama Kuu ya Tanzania Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki Temeke kimetoa uamuzi juu ya urithi wa mali za marehemu Augustino Lyatonga Mrema ambapo...

Habari za Siasa

Rais Samia aweka shada kaburi la Dk. Kaunda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameungana na Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema, kuweka mashada ya maua kwenye Mnara...

Biashara

Utajiri leo hii upo Meridianbet bashiri sasa

LEO hii ligi mbalimbali zinaendelea ambapo tayari Meridianbet wamekuhakikishia mkwanja wa maana endapo utabashiri mechi hizo kwa usahihi kwani hapa kuna kila ambacho...

Biashara

Wafanyabiashara waliowezeshwa na NBC kwenda China warejea nchini

BAADHI ya wafanyabiashara kutoka maeneo mbalimbali nchini waliopata fursa ya kwenda nchini China ili kushiriki  Maonyesho ya Uagizaji na Uuzaji wa bidhaa za...

Habari za Siasa

Rais Samia ataka mahakama za Afrika zijipange utatuzi migogoro soko huru

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amezitaka mahakama za nchi za Afrika zijipange kutatua migogoro itakayojitokeza katika eneo la biashara huru barani humo, huku...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda awagawa Watanzania, Karume aishangaa CCM

UTEUZI wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, katika nafasi ya ukatibu wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

Biashara

Maliza matatizo yako ya kifedha kwa kucheza sloti ya Pirates Power

  MERIDIANBET kasino ya mtandaoni imepanga kukutajirisha Zaidi msimu huu wa kiangazi wakati ligi nyingi zikiwa zimeisha, endelea kupiga mtonyo kwa kucheza kasino...

Habari Mchanganyiko

Baba wa Mtanzania: Sina mawasiliano na mwanangu aliyepo Israel tangu washambuliwe na Hamas

“Mara ya mwisho nimewasiliana na mwanangu ilikuwa ni tarehe 5 Oktoba 2023, isipokuwa mara ya mwisho nilimuona ‘online’ tarehe 7 Oktoba saa 4:03...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 60 kujenga barabara ya Isongole – Kasumulu

SERIKARI imetenga zaidi ya Sh 50 bilioni kujenga barabara kutoka Isongole wilayani Ileje mkoani Songwe hadi Kasumulu wilayani Kyela mkoani Mbeya yenye urefu...

Habari Mchanganyiko

Wananchi waiangukia serikali daraja mto Mpemba

WANANCHI wa mitaa iliyopo Kata ya Mpemba halmashauri ya Mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe wameiomba serikali kupitia halmashauri ya mji huo kuwajengea...

Biashara

NMB Foundation, Save the Children kushirikiana kuboresha maisha

ASASI ya NMB Foundation na Shirika la Save the Children International zimeunganisha nguvu kusaidia kuboresha maisha nchini kwa kuingia makubaliano ya kushirikiana kuchangia...

Afya

NMB yatoa vifaa vya kuezekea kwa zahanati ya polisi Mtwara

BENKI ya NMB Kanda ya kusini imetoa vifaa vya kuezekea katika zahanati ya polisi iliyopo mkoani hapa vyenye thamani ya Sh17 milioni. Anaripoti...

Elimu

St Mary’s yaahidi kuendelea kuwa juu kitaaluma

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE) kimeahidi kuiunganisha shule ya St Mary’s Mbezi Beach na Maktaba Kuu ya Taifa ili wanafunzi wa shule...

Biashara

Meridianbet yawakaribisha wadau kwenye familia ya kibingwa wafurahie sloti Bursting Slot 5

KASINO ya mtandaoni ya Meridianbet imekusogezeasloti ya kijanja ya Bursting Hot 5 kiganjani mwakosasa! Bursting Hot 5 ni mchezo unaotumia matundakama zile sloti...

BiasharaMichezo

Wakali wa muziki kutoka Tanzania, Kenya, na Uganda wakutananishwa kwenye jukwaa moja

  KWA mara yakwanza nchini Tanzania, Serengeti Lite Oktobafest ilileta pamoja vipaji vya muziki na ubunifu wa hali yajuu wa Afrika Mashariki katika...

BiasharaTangulizi

TPA: TRA itakusanya trilioni 26.7 bandarini

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa leo Jumapili amesema kwa kawaida Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hukusanya tozo...

BiasharaTangulizi

TZ kupata 60% ya mapato DP World

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usimamizi Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa leo Jumapili amesema katika mikataba hiyo mitatu, serikali itakuwa inapata ada na tozo...

Habari za SiasaTangulizi

Mikataba 3 DP World yasainiwa, haihusu bandari zote

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema katika kutekeleza mkakati wa Serikali wa kuimarisha shughuli za bandari Dar es Salaam,...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda amrithi Mjema uenezi CCM

HATIMAYE aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameteuliwa na Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Katibu wa...

Biashara

Unataka ukusanye mpunga wa maana, suka mkeka wako na Meridianbet

KAMA unataka kukusanya maokoto leo hii nenda pale Meridianbet suka jamvi lako vizuri kabisa kisha weka dau lako usubiri maokoto ya maana hapo...

Habari za SiasaTangulizi

Mjema ‘out’ CCM, Makonda atajwa

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Sophia Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum. Kabla ya uteuzi huu Sophia alikuwa...

Elimu

Vipaji St Mary’s  vyawashangaza wazazi

SHULE ya Msingi na Sekondari St. Marys Mbezi Beach imesema imejenga viwanja vya michezo shuleni hapo kama moja ya njia ya kuhamasisha michezo...

Biashara

Meridianbet yawafikia wakazi wa Tabata Kisiwani

  HAYAWI hayawi sasa hatimae yamekua na hiyo ni baada yakampuni ya michezo ya kubashiri ya Meridianbet kufikamaeneo ya Tabata Visiwani na kugawa vifaa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aonya wachimbaji kuacha kutorosha madini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaasa wachimbaji wadogo kuachana na vitendo vya utoroshaji madini. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea)....

Kimataifa

24 wajitosa urais DRC

Tume ya uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imethibitisha kupokea orodha ya wagombea 24 wa urais ambao wamejisajili kuwania katika uchaguzi wa...

Biashara

Kasino ya mtandaoni Meridianbet yaja na sloti ya kijanja

KAMA umewahi kucheza kasino ya mtandaoni Meridianbet naumejaribu kucheza michoz mingi na kuwa mshindi, basinakwambia bado hujamaliza yote kuna hii sloti ya Book...

Michezo

Nyashinski atua Bongo, aahidi makubwa Serengeti Oktoba Fest

  NYAMARI Ongegu anayejulikana zaidi kama Nyashinski ameahidi makubwa katika onyesho lake la kesho katika Tamasha kubwa la Serengeti Oktoba Festival litakalofanyika kesho...

KimataifaTangulizi

Viongozi wa Hamas wauawa, vifo vyafikia 3,785.

TANGU vita baina ya taifa la Israel na wanamgambo wa Hamas kutoka Ukanda wa Gaza nchini Palestina viibuke tarehe 7 Okotoba 2023, kumeripotiwa...

Habari Mchanganyiko

Ongezeko la wanawake magerezani lashtua, watetezi haki binadamu waja juu

Washiriki katika Kongamano la Mashariki mwa Afrika kuhusiana na haki za wanawake katika masuala ya jinai lililofanyika nchini Uganda, wameelezea wasiwasi wao kuhusu...

Habari MchanganyikoTangulizi

RC Dar: Chanzo ajali ya moto Kariakoo ni hujuma

CHANZO cha ajali ya moto ulioteketekeza Soko la Kariako eneo la Mnadani na kusababisha hasara kubwa kwa wafanyabiashara zaidi ya 550, kimetajwa kuwa...

Habari za Siasa

UVCCM yaonya viongozi wanaoshindwa kusaidia vijana

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umesema umejipanga kuhakikisha chama hicho kinaendelea kupata ushindi katika chaguzi zijazo, huku wakiwataka wapinzani kujiandaa...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yawatoa hofu wananchi kuhusu upatikanaji wa mafuta

Naibu waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa hali ya utoshelevu wa mafuta nchini kwa kipindi cha  mwezi Julai...

error: Content is protected !!