STAA ambaye alitambulishwa na ngoma maarufu, Afrowave ‘Drogba’, Afro B, ameachia video yake mpya ya kibao “Wo Wo Wo (Ebony)” – ikiwa ni...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2023CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeingia makubaliano na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) ya kuwapa mafunzo ya vitendo wanafunzi...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2023Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameonyesha kuvutiwa na mchango unaoendelea kutolewa na benki ya Taifa ya Biashara (NBC) katika kukuza sekta mbalimbali nchini ikiwemo...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2023HUENDA siku zinazidi kwenda mwaka unaisha lakini kila malengo yako hayatimii, kila njia umefanya lakini bado mambo ni magumu. Leo nataka kunena...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2023MFANYABIASHARA Sultan Salim wa jijini Tanga, amemuomba Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Kassim Majaliwa, kuingilia kati mchakato wa upatikanaji...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2023KATIBU tawala mkoani Songwe, Happiness Seneda, ameupongeza uongozi wa halmashauri ya wilaya ya Momba kwa kufikisha asilimia 54 ya makusanyo ya fedha....
By Mwandishi WetuNovember 14, 2023HALMASHAURI ya wilaya ya Momba mkoani Songwe,ili kujipatia mapato yake ya ndani imebuni kujenga Mwalo wa Samaki, kwa gharama ya Tshs,1,101,466,162.00 kwa...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2023MKUU wa mkoa wa Songwe Dk. Fransis Michael amewapa onyo maafisa kilimo wa wilaya zote mkoani humo kuacha kukaa maofisini na badala yake...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2023GEITA Gold Mining Limited (GGML) imeibuka kuwa kampuni inayoaminika zaidi kwenye sekta ya madini katika tuzo za mlaji (Consumer’s Choice Awards Africa) zilizotolewa...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2023Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amefanya ziara ya kikazi katika Kisiwa cha Songosongo mkoani Lindi kwa lengo la...
By Mwandishi WetuNovember 13, 2023SAKATA la wafanyabiashara ndogondogo (wamachinga) eneo la Kivule kuvunjiwa na vibanda vyao Kisha mali kuchukuliwa na mgambo limechukua sura mpya baada ya kuzifuatilia...
By Mwandishi WetuNovember 13, 2023FUNGA mwaka kibingwa na Meridianbet nyumba ya mabingwa wa odds kubwa na machaguo mengi lukuki. Zikiwa zimebaki siku chache mwaka kuisha Meridianbet...
By Mwandishi WetuNovember 13, 2023NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati wa Tanzania, Dk. Doto Biteko amezindua kituo cha kwanza cha kujaza gesi asilia (CNG) kinachojulikana...
By Mwandishi WetuNovember 13, 2023Chama cha ACT Wazalendo kimeielekeza Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Chama hicho kuichambua Miswada ya Sheria kuhusu Uchaguzi, Tume ya Uchaguzi na Vyama...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023Kituo cha Jemolijia Tanzania (TGC) kimedhamiria kuhuisha mitaala ya mafunzo yake ili kutengeneza Watanzania matajiri kupitia tasnia ya Uongezaji Thamani Madini. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023JE wajuwa? Paul Makonda amerejea kwenye ulingo wa siasa. Huyo ndiye Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Hamashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023BUNGE la Jamhuri linaloendelea mjini Dodoma, kwa wiki nzima limetawaliwa na mjadala juu ya ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023RIPOTI za ukaguzi za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mwaka wa fedha 2021/ 2022 zimejadiliwa bungeni. Je, umefurahishwa na...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023MICHEZO kabambe ya kasino mtandaoni kutokaExpanse itakufanya kuvuna bonasi kuanzia TZS 100,000/= kwenye mgao wa TZS 800,000/= Mwezi huu wa Novemba. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023JE unazijua timu zenye maokoto mengi leo hii?. Basi ungana nami ukaone nani na nani anataka kukupa pesa yako leo hii endapo...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023BENKI ya NMB imeazimia kuwa na ushirikiano wa kimkakati na taasisi za kisheria nchini kutokana na umuhimu wa tasnia ya sheria katika maisha...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023SHULE ya Msingi Hazina imeahidi kuendelea kuwa juu kitaaluma kwa kuhakikisha inakuwa na walimu mahiri na wenye wito wa kazi ya ualimu. Anaripoti...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023Katibu Mkuu Wizara ya uvuvi na Uchumi wa buluu Dkt. Aboud Jumbe tarehe 11 Novemba 2023 ametembelea banda la STAMICO wakati wa ufungaji...
By Mwandishi WetuNovember 11, 2023MAOKOTO ni ya kutosha wikiendi hii na mabingwa wa michezo ya kubahatisha Meridianbet ambapo ligi mbalimbali zitarejea huku zikikupa nafasi kujipigia maokoto...
By Mwandishi WetuNovember 11, 2023Baadhi ya Walimu wa shule za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Ileje mkoani Songwe ‘wamemvamia’ Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa...
By Mwandishi WetuNovember 11, 2023Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan...
By Mwandishi WetuNovember 11, 2023SERIKALI imevitaka vyuo vikuu kuwa na program atamizi na zile za uanagenzi ili kuzalisha wataalamu wenye uwezo wa kujiajiri na kuajiri wengine badala...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2023Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini (TEF) Deodatus Balile amesema kuwa ni muda muafaka wa kuwapa motisha wanafunzi katika tasnia ya habari. Anaripoti...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2023MOJA kati ya vitu vyenye thamani kubwa duniani kwa rasilimali za asili ukiachana na mafuta kuna hii kitu inaitwa dhahabu, Tanzania imejaliwa...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2023HII ni kwa kila mtu anayejua kucheza kasino mtandaoni na kwawasiojua lolote, mchongo mkubwa kabisa wa kufungia mwakahuku ukipata maokoto ni kuwa rubani...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2023Viongozi wa vijiji wametahadharishwa kuacha kushirikiana na mafundi vishoka wa umeme kupitia mgongo wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na kutapeli wananchi fedha...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2023MBUNGE Viti Maalum, Janejelly Ntate, amehoji mkakati wa Serikali katika kumaliza mashtaka ya kikodi yaliyoko kwenye bodi ya rufani za kodi na baraza...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2023MUSWADA wa Sheria ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi, pamoja na Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa, imesomwa kwa mara...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2023Serikali imesema hali ya upatikani umeme nchini imeimarika na sasa upungufu wa umeme umebakia 218 MW. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Hayo yameelezwa na...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Uganda zimetia saini mkataba mahsusi utakaowezesha kuanza kwa kazi ya upembuzi...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023SERIKALI imesema inaendelea kuwalipa pensheni ya ulemavu wazee 272, waliopigana vita ya Kagera 1979. Anaripoti Jemimah Samwel, Dar es Salaam…(endelea). Hayo yamesemwa leo...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023ALHAMISI ndiyo hii hapa na Meridianbet inasema hivi mechi za Europa ndio hizi hapa na wewe ndio nafasi yako ya kujiokotea kwanja imefika....
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, ameshauri mipango mbalimbali inayowekwa na Serikali, ijielekeze katika utekelezaji miradi ya kufuta umasikini nchini. Anaripoti Regina...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023SERIKALI imemaliza mgogoro wa ardhi kati ya Halmashauri ya Handeni na Kilindi, kwenye eneo la Bondo, uliodumu kwa miaka kadhaa. Anaripoti Jemimah Samwel,...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023UKIACHANA na ugumu wa maisha unavyokwenda kasi, kuna inshu nyingine inaweza kuwa kilainishi cha maisha ni kuzungusha gurudumu la bahati la Wheel...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023KAMPUNI ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imezindua kampeni ya ‘Sambaza Shangwe, Gusa Maisha’ itakayotoa Bima ya Afya kwa watoto 1,000 watakaozaliwa ndani...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameitaka Serikali kushughulikia sakata la wafugaji wilayani Ngorongoro kuuziwa mifugo yao zaidi ya 1,000 kinyume cha sheria,...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023CHAMA cha Mawakili wa Tanganyika (TLS) Kanda ya Iringa kimewataja mawakili 10 waliopangwa katika maandalizi na usikilizwaji wa rufaa ya hukumu ya kesi...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023Wananchi wa kijiji cha Mbembati kata ya Lubanda wilaya ya Ileje mkoani Songwe wamejenga zahanati ya Kijijini hapo kwa nguvu zao ili kupunguza...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023WAFANYABIASHARA ndogondogo (wamachinga), katika eneo la Kivule jijini Dar es Salaam, wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, awasaidie ili wapate mali zao zinazodaiwa kuchukuliwa...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023BALOZI wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle amesema serikali inapaswa kutengeneza sekta binafsi imara ili kufikia maendeleo makubwa ya biashara na ujenzi wa...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023WAZIRI wa zamani wa Mawasiliano na Uchukuzi, Profesa Mark Mwandosya, ameishauri serikali kutunga sera ya kudhibiti matumizi ya akili bandia ili kuzuia watu...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) leo Novemba 08, 20223 imeanza Wiki ya shukrani kwa mlipakodi ambapo itatambua walipakodi wao waliofanya vizuri katika...
By Mwandishi WetuNovember 8, 2023MICHEZO mbalimbali itapigwa leo Jumatano katika ligi yamabingwa ulaya ambapo michezo hiyo itasindikizwa namikwanja ya kutosha kutoka Meridianbet, Hii ni kwa wale ambao wataweza...
By Mwandishi WetuNovember 8, 2023Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amemuaga Balozi wa Australia nchini mwenye makazi yake nchini...
By Mwandishi WetuNovember 8, 2023