RAIA wawili wa Tanzania, watatu wa Zambia na mmoja wa Kenya wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Serenje nchini Zambia,...
By Mwandishi WetuDecember 28, 2023MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), imetangaza kuanza kufanya uchunguzi tukio la raia wa kigeni kuwinda mamba mwenye ukubwa unaodaiwa kuweka rekodi...
By Mwandishi WetuDecember 28, 2023MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni yaMeridianbet hawataki mteja wake utie huruma, Kwanikipindi hichi cha sikukuu wanataka kuhakikisha watejawake mnapiga maokoto ya kutosha katika...
By Mwandishi WetuDecember 27, 2023Umoja wa Mabalozi wa nchi za Afrika wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania wamekabidhi msaada wa mifuko 1,000 ya saruji kwa ajili ya kusaidia ujenzi...
By Mwandishi WetuDecember 27, 2023WAPALESTINA 241 wameripotiwa kuuawa, huku 382 wakijeruhiwa katika operesheni ya kijeshi iliyofanywa na vikosi vya kijeshi vya Israel kwenye Ukanda wa Gaza, ndani...
By Mwandishi WetuDecember 27, 2023OFISI ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), imeondoa mahakamani kesi ya jinai Na. 179/2023, iliyofunguliwa na Hashim Ally dhidi ya aliyekuwa Naibu Waziri...
By Mwandishi WetuDecember 27, 2023KABLA sijakupa kisa cha miungu ya Kigiriki hususani mungu Zeus, unapaswa kuelewa kwamba kwa kutambua historia ya kale hususani ya Taifa la...
By Mwandishi WetuDecember 27, 2023WATU saba wakiwemo wawili raia kutoka barani Asia, wanashikiliwa na vyombo vya ulinzi na usalama kwa tuhuma za kujihusisha na biashara haramu ya...
By Mwandishi WetuDecember 27, 2023LEO Jumanne ya Boxing day yaani siku ya kufungua zawadi basi michezo mbalimbali ya ligi kuu ya Uingereza itapigwa katika viwanja tofauti...
By Mwandishi WetuDecember 26, 2023TUME ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, CENI, imetoa matokeo zaidi ya awali ya uchaguzi wa rais, yakionesha rais Felix Tshisekedi...
By Mwandishi WetuDecember 26, 2023MSIMU wa Sikukuu wa Krismas na Mwaka mpya hutawaliwa na theluji wenyewe huita White Chrismas, wakiwa na maana ya kwamba Krismasi nyeupe....
By Mwandishi WetuDecember 26, 2023WAMILIKI wa hospitali binafsi nchini wametishia kugomea kutibu wagonjwa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), iwapo bei mpya zilizotangazwa na...
By Mwandishi WetuDecember 26, 2023Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) mkoa wa Kilimanjaro, imelazimika kutoa kibali kwa mabasi madogo ya abiria maarufu kama Coaster ya kukodi...
By Mwandishi WetuDecember 26, 2023SAKURA Wind ni sloti kutoka kasino ya mtandaoni yaMERIDIANBET yenye nguzo tano zilizoandaliwa katikasafu tatu na mistari 20 ya malipo. Ili kushinda, unahitajikupata...
By Mwandishi WetuDecember 25, 2023Katika misa yake ya Krismasi, Askofu Mkuu wa Kinshasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Kardinali Fridolin Ambongo ameelezea jana Jumapili jioni...
By Mwandishi WetuDecember 25, 2023Shamrashamra za Krismasi zinaendelea duniani kote leo Jumatatu, siku ambayo Wakiristo wanasherehekea sikukuu ya kuzaliwa kwa Mwokozi wao Yesu Kristo. Sikukuu hii imejiri...
By Mwandishi WetuDecember 25, 2023NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Jumamosi ameshiriki mashindano ya Rombo Marathon yaliyohusisha mbio za Kilomita...
By Mwandishi WetuDecember 23, 2023WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amesimamisha matumizi ya Kituo cha Mafuta cha Barrel Petrol Energy cha Mikocheni...
By Mwandishi WetuDecember 23, 2023JUMAMOSI hii utapigwa mchezo mkali sana katika ligi kuu ya Uingereza ambapo utashuhudia vinara wa ligi kuu ya Uingereza klabu ya Arsenal...
By Mwandishi WetuDecember 23, 2023Wananchi wa kijiji cha Songambele kilichopo kata ya Magamba wilayani Songwe mkoani humo, wameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa kituo cha afya Ileza ambacho...
By Mwandishi WetuDecember 23, 2023KIPINDI hiki cha sikukuu kampuni bingwa ya michezo yakubashiri ya Meridianbet imekuja na promosheni kabambeambayo itatatoa ofa kwa washindi watakaocheza michezo yaKasino mitandaoni. Anaripoti...
By Mwandishi WetuDecember 23, 2023ILIKUWA ni asubuhi moja ya Jumatano kijana mmoja kutokafamilia duni aliamka mapema sana kisha akaanza kujiandaakwenda shule, kwakuwa alikuwa anaishi kwenye hali yaufukara...
By Mwandishi WetuDecember 22, 2023Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imezindua mfumo rasmi wa kuwahudumia wananchi popote walipo kupitia simu ya kiganjani “Ardhi App” wa...
By Mwandishi WetuDecember 22, 2023Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) leo Ijumaa imewapokea wafanyakazi wake na wadau mbalimbali wa utalii wakiwemo waandishi wa habari mkoani Kilimanjaro ambao...
By Mwandishi WetuDecember 22, 2023BENKI ya NMB imetangaza washindi 100 waliobahatika katika droo ya 7 ya kampeni yake ya MastaBata Halipoi iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana...
By Mwandishi WetuDecember 21, 2023KUNA msemo waswahili wanasema baada ya dhiki faraja nahichi ndicho kinaonekana kwa klabu ya Simba kwasasa, Kwani walipitia kipindi kigumu lakini wameonekanakuanza kurejea...
By Mwandishi WetuDecember 21, 2023MARA ya kwanza ilikuwa ni mwaka 1998 takribani miaka 25 imepita tangu Yanga aingie hatau ya makundi bila kushindamchezo wowote kwenye kundi lake...
By Mwandishi WetuDecember 21, 2023Meneja Rasilimali Watu wa Vodacom Tanzania PLC, Naiman Moshi (kulia) akikabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya masomo ya TEHAMA na Sayansi kwa mwanafunzi...
By Mwandishi WetuDecember 21, 2023ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Dk. Benson Bagonza, amelia na kitendo cha mmomonyoko wa...
By Mwandishi WetuDecember 21, 2023WAWEKEZAJI kutoka sekta mbalimbali, fedha na serikali zitakutana kuonyesha uwezo ilionao Tanzania. Uwezo ambao unaonyeshwa na nchi ambayo kwa sasa imeorodheshwa kuwa ya...
By Mwandishi WetuDecember 21, 2023WATEJA wa Kampuni ya Vodacom ambao watakaofanya manunuzi ya mafuta katika vituo vya mafuta vya Lake Energies kwa kutumia M-Pesa watapata punguzo...
By Mwandishi WetuDecember 21, 2023Waumini wa makanisa, mtaa wa Sanare kata ya Daraja mbili Jijini Arusha, wameungana na kufanya maombi ya pamoja kulaani vibaka wanaosumbua mtaani hapo...
By Mwandishi WetuDecember 20, 2023WAFANYAKAZI wa Idara ya Wateja Wadogo na Biashara ya Benki ya NMB, wameikabidhi Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) ya Dar es...
By Mwandishi WetuDecember 20, 2023JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu wawili wanaotuhumiwa kuwapa dawa za kulevya wanawake bila kujijua kisha kuwapiga picha...
By Mwandishi WetuDecember 19, 2023TETEMEKO la ardhi lililotokea nchini China maeneo ya Kaskazini-Magharibi, limesababisha vifo vya watu zaidi ya 100 na kujeruhi 397. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea)....
By Mwandishi WetuDecember 19, 2023BAADA ya baadhi ya watu kumtaka Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, ajiuzulu kuonesha uwajibikaji kufuatia madai ya baadhi ya wajawazito kujifungulia kwenye sakafu...
By Mwandishi WetuDecember 19, 2023NI miezi miwili sasa tangu Shaktar Donetsk ya Ukraine kufanya mabadiliko kwenye benchi lao la ufundi kwa kumfukuza mwalimu Patrick Van Leeuwen...
By Mwandishi WetuDecember 19, 2023SECRET Book of Amun Ra sloti unatufanya turejee Misri ile ya kale yenye maandiko mbalimbali ya vitabu na historia isiyosahaulika ya taifa...
By Mwandishi WetuDecember 19, 2023WABUNGE Viti Maalum 19, waliovuliwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), bado hawajafanya maamuzi juu ya hukumu iliyotolewa na mahakama dhidi...
By Mwandishi WetuDecember 19, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali ikiwamo mbalimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Katika taarifa iliyotolewa leo tarehe...
By Mwandishi WetuDecember 18, 2023Rais Samia Suluhu Hassan amekabidhi tuzo ya heshima kwa benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wa benki...
By Mwandishi WetuDecember 18, 2023Mtoto Rafat Ally Simba ambaye hivi karibuni alitikisa vyombo mbalimbali vya habari nchini baada kuandika na kuzindua kitabu chake cha The First Female...
By Mwandishi WetuDecember 18, 2023Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema mradi wa maporomoko ya umeme wa Rusumo wa megawati 80 unaotekelezwa kwa...
By Mwandishi WetuDecember 18, 2023BAADHI ya akina mama wajawazito katika Kituo cha Afya cha Buzuruga, kilichopo Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza, wanadaiwa kujifungulia chini kwenye...
By Mwandishi WetuDecember 18, 2023Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa ametangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza...
By Mwandishi WetuDecember 18, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan, amelipongeza Shirikisho la Wenye Viwanda nchini (CTI) kwa namna namna linavyokuwa mwaka hadi mwaka na kuboresha tuzo za wenye...
By Mwandishi WetuDecember 18, 2023TAREHE 8 Septemba 1994 ni siku muhimu sana kwa kijanawa Kireno kutoka mitaa ya Maia, Bruno Miguel Borges Fernandes ni jina lililo kwenye vitabu...
By Mwandishi WetuDecember 17, 2023JUMAPILI ya leo itakua ya kibabe sana kwani kutakua namichezo kadhaa ambayo inaweza kwenda kuhakikishaunapiga mkwanja wa kutosha, Lakini shughuli nzimaitasimamiwa na mchezo mkali...
By Mwandishi WetuDecember 17, 2023KWMPUNI ya simu za mkononi Infinix Tanzania inaendelezashangwe kwa wateja wake, Infinix ilianza kwa uzinduzi wapromosheni za Christmass mwanzoni mwa mwezi huu, hawajaishia...
By Mwandishi WetuDecember 17, 2023KAMPUNI bingwa ya michezo ya kubashiri Meridianbetimefanikiwa kutoa msaada kwa madereva Bajaji katikamaeneo mbalimbali jijini Dar-es-salaam ambapo wametoa maturubai ya kufunga kwenye Bajaji. Anaripoti...
By Mwandishi WetuDecember 17, 2023