Thursday , 28 March 2024
Home mwandishi
8551 Articles1219 Comments
Habari MchanganyikoTangulizi

Watanzania 2 wafa ajalini Zambia, wengine wajeruhiwa

RAIA wawili wa Tanzania, watatu wa Zambia na mmoja wa Kenya wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Serenje nchini Zambia,...

Habari Mchanganyiko

TAWA kuchunguza mamba aliyewindwa na mzungu

MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), imetangaza kuanza kufanya uchunguzi tukio la raia wa kigeni kuwinda mamba mwenye ukubwa unaodaiwa kuweka rekodi...

Michezo

Jumatano ya kuokota na Meridianbet, usipange kuikosa

MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni yaMeridianbet hawataki mteja wake utie huruma, Kwanikipindi hichi cha sikukuu wanataka kuhakikisha watejawake mnapiga maokoto ya kutosha katika...

Habari za Siasa

Umoja wa Mabalozi Afrika wakabidhi msaada Hanang

Umoja wa Mabalozi wa nchi za Afrika wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania wamekabidhi msaada wa mifuko 1,000 ya saruji kwa ajili ya kusaidia ujenzi...

Kimataifa

Sherehe za Christmas chungu kwa wapalestina, 241 wauawa

WAPALESTINA 241 wameripotiwa kuuawa, huku 382 wakijeruhiwa katika operesheni ya kijeshi iliyofanywa na vikosi vya kijeshi vya Israel kwenye Ukanda wa Gaza, ndani...

Habari za SiasaTangulizi

DPP afuta kesi ya Gekul, Madeleka kukata rufaa

OFISI ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), imeondoa mahakamani kesi ya jinai Na. 179/2023, iliyofunguliwa na Hashim Ally dhidi ya aliyekuwa Naibu Waziri...

Biashara

Uwezo wa Mungu wa Kigiriki Zeus kukupa maokoto kila siku ndani ya Meridianbet

  KABLA sijakupa kisa cha miungu ya Kigiriki hususani mungu Zeus, unapaswa kuelewa kwamba kwa kutambua historia ya kale hususani ya Taifa la...

Habari Mchanganyiko

Saba wadakwa na kilo 3,182 za ‘unga’

WATU saba wakiwemo wawili raia kutoka barani Asia, wanashikiliwa na vyombo vya ulinzi na usalama kwa tuhuma za kujihusisha na biashara haramu ya...

Michezo

Boxing Day, fungua zawadi na Meridianbet

  LEO Jumanne ya Boxing day yaani siku ya kufungua zawadi basi michezo mbalimbali ya ligi kuu ya Uingereza itapigwa katika viwanja tofauti...

Habari za SiasaKimataifa

Tshisekedi aongoza kwa 81%, Katumbi 15% uchaguzi DRC

TUME ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, CENI, imetoa matokeo zaidi ya awali ya uchaguzi wa rais, yakionesha rais Felix Tshisekedi...

Biashara

Fanya haya ushinde kiurahisi sloti ya Book of Eskimo

  MSIMU wa Sikukuu wa Krismas na Mwaka mpya hutawaliwa na theluji wenyewe huita White Chrismas, wakiwa na maana ya kwamba Krismasi nyeupe....

Afya

Hospitali binafsi zamwomba Rais Samia asitishe bei mpya ya matibabu

WAMILIKI wa hospitali binafsi nchini wametishia kugomea kutibu wagonjwa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), iwapo bei mpya zilizotangazwa na...

Habari Mchanganyiko

Rombo yafurika, LATRA watoa watoa vibali vya muda

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) mkoa wa Kilimanjaro, imelazimika kutoa kibali kwa mabasi madogo ya abiria maarufu kama Coaster  ya  kukodi...

Biashara

Sakura Wind mchezo wa kasino wenye siri kubwa ya ushindi

SAKURA Wind ni sloti kutoka kasino ya mtandaoni yaMERIDIANBET yenye nguzo tano zilizoandaliwa katikasafu tatu na mistari 20 ya malipo. Ili kushinda, unahitajikupata...

Habari za SiasaKimataifa

Askofu Mkuu: Uchaguzi DRC umekuwa wa machafuko

Katika misa yake ya Krismasi, Askofu Mkuu wa Kinshasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Kardinali Fridolin Ambongo ameelezea jana Jumapili jioni...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wakristo duniani washerehekea Sikukuu ya Krismasi

Shamrashamra za Krismasi zinaendelea  duniani kote leo Jumatatu, siku ambayo Wakiristo wanasherehekea sikukuu ya kuzaliwa kwa Mwokozi wao Yesu Kristo. Sikukuu hii imejiri...

Michezo

Biteko ashiriki Rombo marathon, apongeza ubunifu

  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Jumamosi ameshiriki mashindano ya Rombo Marathon yaliyohusisha mbio za Kilomita...

Habari MchanganyikoTangulizi

Silaa asimamisha matumizi ya kituo cha mafuta cha Barrel Dar

  WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amesimamisha matumizi ya Kituo cha Mafuta cha Barrel Petrol Energy cha Mikocheni...

Michezo

Kivumbi na jasho wikiendi hii pale Anfield

  JUMAMOSI hii utapigwa mchezo mkali sana katika ligi kuu ya Uingereza ambapo utashuhudia vinara wa ligi kuu ya Uingereza klabu ya Arsenal...

Afya

Wananchi walia ujenzi kituo cha afya kukwama kwa miaka 8

Wananchi wa kijiji cha Songambele kilichopo kata ya Magamba wilayani Songwe mkoani humo, wameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa kituo cha afya Ileza ambacho...

Biashara

Cheza sloti na Meridianbet ujishindie Samsung A32

KIPINDI hiki cha sikukuu kampuni bingwa ya michezo yakubashiri ya Meridianbet imekuja na promosheni kabambeambayo itatatoa ofa kwa washindi watakaocheza michezo yaKasino mitandaoni. Anaripoti...

Biashara

Aviator mchezo wa kasino unaotoa beti za bure kila siku

ILIKUWA ni asubuhi moja ya Jumatano kijana mmoja kutokafamilia duni aliamka mapema sana kisha akaanza kujiandaakwenda shule, kwakuwa alikuwa anaishi kwenye hali yaufukara...

Habari za Siasa

Wizara ya ardhi yazindua “ardhi app” kuwahudumia wananchi

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imezindua mfumo rasmi wa kuwahudumia wananchi popote walipo kupitia simu ya kiganjani “Ardhi App” wa...

Habari Mchanganyiko

NBC yafikisha huduma ya miamala kupitia Mashine ya POS katika Mlima Kilimanjaro

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) leo Ijumaa imewapokea wafanyakazi wake na wadau mbalimbali wa utalii wakiwemo waandishi wa habari mkoani Kilimanjaro ambao...

Biashara

NMB yawazawadia washindi 100 waliobahatika droo ya 7 ya MastaBata

BENKI ya NMB imetangaza washindi 100 waliobahatika katika droo ya 7 ya kampeni yake ya MastaBata Halipoi iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana...

Michezo

Simba gari limewaka Ligi ya Mabingwa Afrika

KUNA msemo waswahili wanasema baada ya dhiki faraja nahichi ndicho kinaonekana kwa klabu ya Simba kwasasa, Kwani walipitia kipindi kigumu lakini wameonekanakuanza kurejea...

Michezo

Yanga yaandika rekodi mpya CAFCL

MARA ya kwanza ilikuwa ni mwaka 1998 takribani miaka 25 imepita tangu Yanga aingie hatau ya makundi bila kushindamchezo wowote kwenye kundi lake...

Biashara

Vodacom waendesha mafunzo ya Tehama na Sayansi kwa wanafunzi wa kike

Meneja Rasilimali Watu wa Vodacom Tanzania PLC, Naiman Moshi (kulia) akikabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya masomo ya TEHAMA na Sayansi kwa mwanafunzi...

Habari za SiasaTangulizi

Salamu za Christmas: Askofu Bagonza atema nyongo

ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Dk. Benson Bagonza, amelia na kitendo cha mmomonyoko wa...

Biashara

Tanzania mwenyeji wa mkutano wa tano wa kimataifa wa Tanzania Energy Cooperation Summit 2024

WAWEKEZAJI  kutoka sekta mbalimbali, fedha na serikali zitakutana kuonyesha uwezo ilionao Tanzania. Uwezo ambao unaonyeshwa na nchi ambayo kwa sasa imeorodheshwa kuwa ya...

Biashara

Watakaolipa kwa M-Pesa Lake Energies kupata punguzo la bei

  WATEJA wa Kampuni ya Vodacom ambao watakaofanya manunuzi ya mafuta katika vituo vya mafuta vya Lake Energies kwa kutumia M-Pesa watapata punguzo...

Habari Mchanganyiko

Waumini wamefanya maombi kulaani vibaka

Waumini wa makanisa, mtaa wa Sanare kata ya Daraja mbili Jijini Arusha, wameungana na kufanya maombi ya pamoja kulaani vibaka wanaosumbua mtaani hapo...

Afya

Wafanyakazi NMB watoa mil. 11 matibabu ya watoto JKCI

WAFANYAKAZI wa Idara ya Wateja Wadogo na Biashara ya Benki ya NMB, wameikabidhi Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) ya Dar es...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dar wadaka watuhumiwa usambazaji picha za ngono

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu wawili wanaotuhumiwa kuwapa dawa za kulevya wanawake bila kujijua kisha kuwapiga picha...

Kimataifa

Tetemeko la ardhi lauwa watu 118 China

TETEMEKO la ardhi lililotokea nchini China maeneo ya Kaskazini-Magharibi, limesababisha vifo vya watu zaidi ya 100 na kujeruhi 397. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Ummy agoma kujiuzulu sakata wajawazito kujifungulia sakafuni

BAADA ya baadhi ya watu kumtaka Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, ajiuzulu kuonesha uwajibikaji kufuatia madai ya baadhi ya wajawazito kujifungulia kwenye sakafu...

Michezo

Mtanzania mwingine aogopwa Ukraine, akalia ubao miezi miwili

  NI miezi miwili sasa tangu Shaktar Donetsk ya Ukraine kufanya mabadiliko kwenye benchi lao la ufundi kwa kumfukuza mwalimu Patrick Van Leeuwen...

Biashara

Sloti ya Secret Book of Amun Ra maajabu ya kasino

  SECRET Book of Amun Ra sloti unatufanya turejee Misri ile ya kale yenye maandiko mbalimbali ya vitabu na historia isiyosahaulika ya taifa...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee wawaacha njia panda mawakili wao

WABUNGE Viti Maalum 19, waliovuliwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), bado hawajafanya maamuzi juu ya hukumu iliyotolewa na mahakama dhidi...

Habari za Siasa

Samia ateua, atengua na kuhamisha viongozi

RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali ikiwamo mbalimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Katika taarifa iliyotolewa leo tarehe...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aikabidhi NBC tuzo ya heshima kwa kukuza sekta ya viwanda

Rais Samia Suluhu Hassan amekabidhi tuzo ya heshima  kwa benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wa benki...

Habari za Siasa

Rafat ajitosa kuwania uongozi chipukizi Taifa

Mtoto Rafat Ally Simba ambaye hivi karibuni alitikisa vyombo mbalimbali vya habari nchini baada kuandika na kuzindua kitabu chake cha The First Female...

Habari za Siasa

Mradi wa umeme- Rusumo (80 mw) wafikia asilimia 99.9

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema mradi wa maporomoko ya umeme wa Rusumo wa megawati 80 unaotekelezwa kwa...

AfyaTangulizi

Wajawazito wadaiwa kujifungulia sakafuni, Serikali yatoa kauli

BAADHI ya akina mama wajawazito katika Kituo cha Afya cha Buzuruga, kilichopo Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza, wanadaiwa kujifungulia chini kwenye...

ElimuTangulizi

Haya hapa majina wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2024

Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa ametangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza...

Habari Mchanganyiko

Tuzo za PMYA zamfurahisha Rais Samia

RAIS Samia Suluhu Hassan, amelipongeza Shirikisho la Wenye Viwanda nchini (CTI) kwa namna namna linavyokuwa mwaka hadi mwaka na kuboresha tuzo za wenye...

Michezo

Sir Jef Ratcliffe ampiga dongo Bruno kuelekea mchezo dhidi ya Liverpool

TAREHE 8 Septemba 1994 ni siku muhimu sana kwa kijanawa Kireno kutoka mitaa ya Maia, Bruno Miguel Borges Fernandes ni jina lililo kwenye vitabu...

Michezo

Ni Liverpool dhidi ya Man United kwenye Super Sunday

JUMAPILI ya leo itakua ya kibabe sana kwani kutakua namichezo kadhaa ambayo inaweza kwenda kuhakikishaunapiga mkwanja wa kutosha, Lakini shughuli nzimaitasimamiwa na mchezo mkali...

Biashara

Infinix yawafikia wateja wa simu yao mpya na punguzo la bei

KWMPUNI ya simu za mkononi Infinix Tanzania inaendelezashangwe kwa wateja wake, Infinix ilianza kwa uzinduzi wapromosheni za Christmass mwanzoni mwa mwezi huu, hawajaishia...

Biashara

Meridianbet yamwaga msaada kwa madereva wa Bajaj

KAMPUNI bingwa ya michezo ya kubashiri Meridianbetimefanikiwa kutoa msaada kwa madereva Bajaji katikamaeneo mbalimbali jijini Dar-es-salaam ambapo wametoa maturubai ya kufunga kwenye Bajaji. Anaripoti...

error: Content is protected !!