Tuesday , 19 March 2024
Home mwandishi
8493 Articles1215 Comments
Habari Mchanganyiko

Diwani, wananchi wengine 463 wahama Ngorongoro

Makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ambaye pia ni Diwani wa kata ya Olbalbal iliyopo ndani ya hifadhi ya Ngorongoro, Emmanuel...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Geita (Geita Boys) kwa lengo...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

WAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video ya wimbo wao mpya unaoitwa Bwana Wastahili. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Video...

BiasharaHabari za Siasa

Zanzibar mbioni kuanza uchimbaji mafuta na gesi baharini

SERIKALI ya Zanzibar, imekamilisha mchakato wa uchimbaji wa mafuta na gesi asilia baharini ambapo imeanza kutangaza utoaji wa leseni za uchimbaji na vitalu...

Habari za Siasa

Wizara ya afya yataja mafanikio 10 miaka mitatu Samia madarakani

WIZARA ya Afya imetaja mafanikio 10 iliyoyapata ndani ya miaka mitatu ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, aliyeingia madarakani Machi 2021,...

Biashara

Cheza ushinde kirahisi kwenye Meridianbet kasino, Joker Ice Frenzy

  JOKER Ice Frenzy Epic Strike ni sloti iliyopo kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet ina nguzo tano zilizopangwa kwenye mistari mitatu yenye...

Habari MchanganyikoKimataifa

Shule zafungwa kutokana na ongezeko la joto

SUDAN Kusini imeamuru kufungwa kwa shule zote kuanzia leo Jumatatu, ikiwa ni hatua ya tahadhari kutokana na joto kali linalotarajiwa kudumu kwa wiki...

Habari za Siasa

Mbozi walilia kuwa manispaa, majimbo 3

HALMASHAURI ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe imeeleza dhamira yake ya kuomba kupandishwa hadhi kuwa manispaa pamoja na kupatikana majimbo matatu, kwamba ni...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara, NBC Premiere League jana Jumapili...

Afya

Wananchi 530,000 kufaidika na ujenzi wa hospitali ya bil. 1.8

  SERIKALI imetoa Sh 1.8 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa Hospital ya wilaya ya Moshi inayojengwa katika Kata ya Mabogini ukanda wa...

Kimataifa

Tanzania, Italia kuimarisha ushirikiano sekta za kimkakati

  SERIKALI ya Tanzania na Italia zimeahidi kuimarisha ushirikiano katika sekta za kimkakati ambazo ni kilimo, nishati, elimu pamoja na uchumi wa buluu...

Habari za Siasa

Wabunge waitaka TPDC kuongeza kasi ya kuunganisha wateja gesi asilia

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeliagiza Shirika la Maendeleo ya petrol nchini (TPDC), kuongeza kasi ya kuunganisha wateja...

Biashara

Benki ya Exim yaandaa Iftar kwa wadau wake

  BENKI ya Exim imeandaa futari ya pamoja kwa wateja wake katika hafla iliyofanyika katika hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam mnamo...

Habari za SiasaTangulizi

CDF Mabeyo: Magufuli alijua anakufa

  ALIYEKUWA Mkuu wa Majeshi nchini (CDF), Jenerali Venance Mabeyo, amesema Hayati Dk. John Magufuli, alijua kama siku zake za kuishi duniani zimekisha....

Biashara

Kamilisha ushindi kwa kucheza Super Heli kasino ya mtandaoni

  SUPER Heli moja ya mchezo bora na pendwa kabisa kwa wachezaji wote wa Meridianbet kasino ya mtandaoni, moja ya miujiza ya mchezo...

Habari Mchanganyiko

DC Same aitaka Kamati kufanya kazi kwa kasi na uadilifu mkubwa

SERIKALI imeitaka Kamati ya Maandalizi ya Siku ya Misitu Duniani pamoja na Siku ya Upandaji Miti Kitaifa kuhakikisha inafanya kazi kwa bidii, ufanisi...

AfyaBiashara

Meridianbet yatoa msaada zahanati ya Mwenge

MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni yaMeridianbet wamefanikiwa kufika eneo la Mwenge na kutoamsaadfa katika Zahanati inayopatika katika eneo hilo Mlalakuwa. Kama ilivyo kawaida...

AfyaTangulizi

Serikali yafafanua kuondolewa dawa 178 kitita cha NHIF

SERIKALI imesema imeondoa dawa 178 katika kitita cha Mfuko wa Taifa wa Bima (NHIF), ili kupisha dawa bora zaidi zinazoendana na wakati wa...

Habari Mchanganyiko

Kamati ya Bunge ya Miundombinu yapongeza uwekezaji sekta ya Hali ya Hewa

  KAMATI ya Kudumu ya Miundombinu ya Bunge la Tanzania imeipongeza Serikali kwa uwekezaji mkubwa kwenye sekta hali ya hewa wakati wa ziara...

Habari Mchanganyiko

Serikali kusasisha upya taarifa anwani za makazi Kigoma ujiji

Serikali imeanza zoezi kusasisha, kuhuisha na kukusanya taarifa mpya za Anwani za makazi katika manispaa ya Kigoma ujiji mkoani Kigoma. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari Mchanganyiko

THRDC: Yanayoendelea Ngorongoro yanatia doa Serikali ya Samia

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umedai malalamiko yanayotolewa na wananchi waishio wilayani Ngorongoro mkoa wa Arusha, kuhusu ukiukwaji wa...

Habari Mchanganyiko

12 wafanyiwa upasuaji rekebishi wa macho Mloganzila

WATU 12 wamefanyiwa upasuaji rekebishi wa macho kwenye kambi ya macho iliyoendeshwa na Hospitali Muhimbili Mloganzila kwa kushirikiana na taasisi ya utalii tiba...

Habari za SiasaKimataifa

Odinga avuka kihunzi cha kwanza uenyekiti AUC

AZMA ya kiongozi wa Azimio La Umoja-One Kenya, Raila Odinga kuwania wadhifa wa Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Afrika (AUC) imepata nguvu...

Biashara

NBC yafuturisha wateja, yapongezwa kwa ushirikiano

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeandaa hafla ya futari mahususi kwa wateja wake wa Kiislamu Visiwani Zanzibar ikiwa ni muendelezo wa jitihada...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua, amtumbua Kamishna Ngorongoro

  RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi mbalimbali ikiwamo utenguzi Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo...

Habari Mchanganyiko

RPC Muliro azindua huduma ya taxi mtandaoni

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, amezitaka kampuni za usafiri mtandaoni kuajiri vijana wenye sifa ya kudadisi abiria...

Habari za Siasa

Wabunge wataka magari ya mawaziri yatumie gesi kubana matumizi

SERIKALI imetakiwa kuhakikisha magari ya viongozi wa umma wakiwemo mawaziri, yanabadilishwa mfumo wa matumizi ya mafuta kwenda gesi ili kubana matumizi. Anaripoti Mwandishi...

Biashara

Machi ya mizawadi kutoka Meridianbet kasino 

  Haujawahi kuwa mwezi wa kinyonge hata kidogo inapofika mwezi Machi. Ni promosheni na bonasi za kasino deilee. Na hatimaye unapocheza michezo ya...

Habari Mchanganyiko

Polisi yafunguka kutekwa kwa Imamu Geita na wasiojulikana

JESHI la Polisi Mkoa wa Geita, limesema linamshikilia Imamu wa Msikiti wa Nyamkumbo Lake Oil, ulioko mkoani humo, Sheikh Abdulrahman Yasini na kwamba...

Habari Mchanganyiko

Equity yaibuka benki imara zaidi barani Afrika

Equity Group, taasisi kubwa zaidi ya kifedha ya Afrika Mashariki na Kati, imeimarisha nafasi yake kama mojawapo ya chapa imara zaidi za kibenki...

Habari za Siasa

Byabato awafunda wabunge EALA, watumishi ubalozi Kenya

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Stephen Byabato ametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini...

Habari Mchanganyiko

Wafugaji Igunga wachagua viongozi, matapeli waonywa

Chama cha wafugaji wilaya ya Igunga mkoani Tabora kimefanya uchaguzi wa viongozi ngazi ya kata  na wilaya watakaoongoza kwa kipindi cha miaka mitatu....

Habari Mchanganyiko

Serikali yapongeza Dira ya miaka 50 CBE

SERIKALI imekitaka Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kuweka mikakati ya kujiimarisha kiteknolojia, uvumbuzi na ubunifu ili kuendana na mahitaji ya soko la...

Kimataifa

‘Wachawi’ 50 wafariki baada ya kumeza dawa mitishamba

Watu zaidi ya 50 wanaoshutumiwa kwa ‘uchawi’ wamefariki dunia nchini Angola baada ya kulazimishwa kunywa mchanganyiko wa mitishamba ili kubaini kama wanafanya vitendo...

Kimataifa

Urusi yafanya uchaguzi wa urais

Raia nchini Urusi kuanzia leo Ijumaa wanapiga kura katika uchaguzi wa urais utakaofanyika kwa siku tatu na unaotarajiwa kumuongezea muda zaidi, Rais Vladimir...

Kimataifa

Mpinzani mkuu Senegal aachiwa huru

KIONGOZI mkuu wa upinzani nchini Senegal, Ousmane Sonko, aliachiliwa kutoka jela jana Alhamisi jioni ikiwa ni siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa...

Habari za Siasa

Biteko awashukia wakandarasi SUMA-JKT, TONTAN, atoa maagizo Tanesco

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko leo Alhamisi amezindua mradi mkubwa wa umeme jua utakaozalisha megawati 150 katika Kijiji...

Michezo

Tusua kijanja na mechi za Europa leo

  Alhamisi ya leo EUROPA inaendelea ambapo ni mechi za marudiano ambapo hizi zitakuw azikiamua nani kwenda hatua inayofuata na nani kubaki. Liverpool,...

Tangulizi

5 mbaroni madai ya Makamba kumng’oa Samia 2025

WATU watano wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma za kuandika uchochezi dhidi ya viongozi wakuu serikalini,...

Biashara

Drop &Win promosheni inayotoa Tsh Bil 80 mpaka 2025 

  PROMOSHENI ya Pragmatic Play ya Drop&Win sasa imeanza tangu Machi 6, 2024 na itadumu mpaka 2025 Promosheni hii ni maalum kwa wateja...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanawake GGML wawanoa wanafunzi Kalangalala Sec. kujitambua

KATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, Umoja wa wanawake wanaofanya kazi katika Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML Ladies) wametoa...

Habari Mchanganyiko

Mama mbaroni tuhuma za kumuua kisha kumla nyama mwanaye

NYANSOLOLI Paul, mkazi wa Kijiji cha Kishapu mkoani Shinyanga, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumuua kisha kumla mtoto wake wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yaimarisha mfumo utoaji mikopo kwa wanafunzi vyuo vikuu

Benki ya NMB imekamilisha zoezi la kuunganisha mfumo wake mkuu wa kibenki na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB)...

Habari Mchanganyiko

CTI yapongeza uwekezaji mkubwa kiwanda cha Lodhia Mkuranga

SHIRIKISHO la Wenye Viwanda nchini (CTI), limeiomba serikali na taasisi zake kulinda viwanda vya ndani kwa kununua bidhaa zinazotengenezwa na viwanda hivyo kama...

Michezo

Hapa Diego Simeone, pale Simeone Inzaghi kivumbi cha Ligi ya Mabingwa Ulaya

LIGI ya Mabingwa ulaya itaendelea usiku wa leo ambapoitakwenda kupigwa michezo miwili ya kibabe sana, Ambapoitaamua hatma ya timu hizo nne kuelekea hatua...

Biashara

Oryx Gesi yagawa mitungi 700 Zanzibar

KAMPUNI Gesi ya Oryx Tanzania imeendeleza kasi yake ya kuwafikishia wananchi nishati safi ya kupikia ili kuwaondoa katika changamoto ya kupika kwa kuni...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ampa kibarua kizito Chongolo

  MKUU wa Mkoa mpya wa Songwe, Daniel Chongolo, amekabidhiwa jukumu la kudhibiti uhalifu wa kiuchumi unaotokea ndani ya mkoa huo hususan mpaka...

Habari za Siasa

Rais Samia: Tunataka kupunguza kukopa

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassana, amesema Serikali yake inakwenda kupunguza kukopa fedha kwa ajili ya utekelezaji huduma za kijamii kwa wananchi, kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awavaa wakuu wa mikoa “msisubiri Makonda apite”

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameonesha kutoridhishwa na baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya ambao wanashindwa kutatua changamoto za wananchi zilizokuwa...

Biashara

Maokoto ya kutosha na Super Heli kasino 

  HAPO mwanzo baada ya kuutambulisha mchezo wa Super Heli ambao namba moja pendwa kwa michezo ya kasino ya mtandaoni, wengi walikuwa wanauchukulia...

error: Content is protected !!