SOPHIA Nyerere, ambaye ni mjukuu wa Baba wa Taifa la Tanzania, Hayati Julius Nyerere, amefariki dunia leo Jumanne, tarehe 27 Julai 2021,...
By Hamisi MgutaJuly 27, 2021KOCHA mkuu wa kikosi cha Yanga, Nasriddine Nabi ameshindwa kutokea kwenye mkutano na wanahabari kuelekea mchezo wa fainali wa kombe la Shirikisho,...
By Hamisi MgutaJuly 24, 2021WAZIRI Ofisi ya Rais-Tamisemi, Ummy Mwalimu amewaahidi Sh.5 milioni, wachezaji wa Coastal Union endapo watafanikiwa kubaki Ligi Kuu Tanzania bara huku akilipia...
By Hamisi MgutaJuly 24, 2021SERIKALI ya Tanzania imesema, mpaka sasa wagonjwa 29 walioambukizwa virusi vya corona (COVID-19), wamefariki dunia. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam …...
By Hamisi MgutaJuly 23, 2021WAKALA wa Barabara Tanzania (Tanroads), umekubali kuongeza muda wa notisi kwa wamiliki wa nyumba na vibanda vya biashara, vilivyopo katika hifadhi ya...
By Hamisi MgutaJuly 18, 2021WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima, ametoa siku 10 kwa Taasisi ya Tiba na Mifupa Muhimbili...
By Hamisi MgutaJuly 18, 2021UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), mkoani Shinyanga, wameuomba Rais Samia Suluhu Hassan, apunguze kiwango cha tozo ya mitandao ya...
By Hamisi MgutaJuly 18, 2021MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka, amepiga marufuku mabasi ya abiria ‘daladala’, kusimamisha abiria, ili kudhibiti maambukizi ya mlipuko wa ugonjwa...
By Hamisi MgutaJuly 10, 2021WAFANYAKAZI wa Kampuni ya CZ Information and Media, wanatarajia kumpeleka mahakamani mmiliki wa kampuni hiyo , Cyprian Musiba, kwa madai ya kutowalipa...
By Hamisi MgutaJuly 10, 2021MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Mwanza, Dk. Anthony Diallo, amewataka wanasiasa wa vyama vya upinzani Tanzania, wadai mifumo bora ya...
By Hamisi MgutaJuly 10, 2021BARAZA la Taifa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), nchini Tanzania- NACONGO, limeomba kufanya mazungumzo na Rais Samia Suluhu Hassan, ili kutafuta...
By Hamisi MgutaJuly 10, 2021WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaanzisha ushuru wa huduma za mitandaoni ‘Digital Service Tax’. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Hamisi MgutaJuly 10, 2021JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma na Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Dk. Edward Hoseah, wamewashauri mawakili na...
By Hamisi MgutaJuly 9, 2021MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla, ameagiza wamiliki wa mabasi yaendayo mkoani, wafuate utaratibu wa kupakia na kushusha abiria...
By Hamisi MgutaJuly 9, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzania nchini humo-Chadema kufuatia...
By Hamisi MgutaJuly 8, 2021TIMOTHEO Paul Mzava, mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), amelitishia gazeti la Raia Mwema, kuwa atalifikisha mahakamani kwa madai ya kuchapisha “habari za...
By Hamisi MgutaJuly 6, 2021MWENYEKITI wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashim Rungwe amesema Rais Samia Suluhu Hassan, amewakosea Watanzania, kufuatia msimamo wake wa kuweka...
By Hamisi MgutaJuly 6, 2021MBUNGE wa Korogwe Vijijini (CCM), Timotheo Mnzava, anatarajiwa kuburuzwa mahakamani kesho Jumanne, tarehe 6 Julai 2021, kufuatia kuibuka kwa mgogoro katika ndoa...
By Hamisi MgutaJuly 5, 2021KAULI ya kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mdude Nyagali ya kutaka kumnyoa kwa wembe Rais Samia Suluhu Hassan, imezua...
By Hamisi MgutaJuly 4, 2021MWANAMKE anayedai kuwa ni mchumba, aliyezaa na kuishi na mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), Timotheo Mnzava, anamtuhumu Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili...
By Hamisi MgutaJuly 3, 2021KASIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania ameahirisha shughuli za Bunge la 12 la Tanzania leo Jumatano, tarehe 30 Juni 2021, jijini Dodoma...
By Hamisi MgutaJune 30, 2021LAUREAN Bwanakunu, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa nchini (MSD), amesema Hayati Padri Privatus Karugendo ni miongoni mwa watu waliomtia moyo...
By Hamisi MgutaJune 28, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaagiza wakuu wa mikoa na wilaya, kufufua mabaraza ya biashara katika maeneo yao. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Hamisi MgutaJune 26, 2021KATIBA na baadhi ya sheria kandamizi, zimetajwa kukwamisha kiu ya haki katika uongozi wa Rais wa Awamu ya Sita, Samia Suluhu Hassan. Anaripoti...
By Hamisi MgutaJune 26, 2021SIKU 100 za Rais Samia Suluhu Hassan, zimerudisha matumaini kwa Watanzania pamoja na kutibu waliokuwa na majeraha, hasa waliokutana na changamoto ya kesi...
By Hamisi MgutaJune 24, 2021MSANII wa HipHop nchini Tanzania, Webiro Wakazi Wassira maarufu ‘Wakazi,’ amesema ni muhimu kuhuisha mchakato wa Katiba Mpya. Anaripoti Matilda Peter…(endelea). Amesema, anatamani...
By Hamisi MgutaJune 24, 2021KAMATI Kuu ya Chama cha ACT-Wazalendo, jana tarehe 19 Juni 2021, iliuchambua uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita ya Tanzania, chini...
By Hamisi MgutaJune 20, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wakuu wa wilaya (DC) 139 katika mikoa ya Tanzania Bara. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Hamisi MgutaJune 20, 2021MCHUNGAJI wa Kanisa la Evangelist Assemblies of God (EAGT), Nason Manyere, amewashauri Watanzania kujiunga na bima ya afya, ili kuepukana na mzigo...
By Hamisi MgutaJune 20, 2021KATA tano katika Jimbo la Segerea jijini Dar es Salaam, zinakabiliwa na changamoto ya ubovu wa miundombinu ya barabara za mitaa, hali...
By Hamisi MgutaJune 20, 2021MKURUGENZI mpya wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP), Sylvester Mwakitalu, ametangaza neema kwa mahabusu, wafungwa na watuhumiwa wengine wanaokabiliwa na mashtaka ya jinai...
By Hamisi MgutaJune 18, 2021MFANYABIASHARA Habinder Sethi, aliyesota rumande kwa miaka minne ( 2017 hadi 2021), ameachwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar...
By Hamisi MgutaJune 16, 2021BUNGE la Tanzania, limeiagiza Serikali ifanye uchunguzi katika maduka makubwa ‘Super Market’, ili kuondoa biadhaa za kughushi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Agizo...
By Hamisi MgutaJune 16, 2021MKURUGENZI wa Mashtaka nchini (DPP), Sylvester Mwakitalu, amewafutia mashtaka viongozi 18 kati ya 36, wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar,...
By Hamisi MgutaJune 16, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, ameagiza korosho zote zinazozalishwa mikoa ya Ruvuma, Mtwara...
By Hamisi MgutaJune 6, 2021WABUNGE wa zamani wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania- Chadema, Mchungaji Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi maarufu ‘Sugu’ wamewafungulia mashtaka Kamishna...
By Hamisi MgutaJune 2, 2021SERIKALI ya Tanzania, imesema itatumia Sh. 6.0 bilioni, kwa ajili ya ujenzi wa nyumba 20 za viongozi, katika makao makuu ya nchi,...
By Hamisi MgutaMay 31, 2021WATU watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya, kwa tuhuma za kumuuwa Elizabeth Mwaike. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mbeya…(endelea). Taarifa hiyo imetolewa...
By Hamisi MgutaMay 29, 2021MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, ameendelea na utekelezaji wa operesheni mpya ya chama hicho, iliyozinduliwa hivi karibuni...
By Hamisi MgutaMay 29, 2021BAADHI ya walimu katika Shule ya Msingi Mwachambia mkoani Singida, wamelazimika kugeuza madarasa kuwa nyumba za kuishi. Anaripoti Hamisi Mguta, Dar es...
By Hamisi MgutaMay 29, 2021MBUNGE wa Moshi Mjini mkoani Kilimanjaro (CCM), Priscus Tarimo, ameiomba Serikali iweke mipango ya kuwawezesha wanaume kiuchumi, kama inavyofanya kwa wanawake, vijana...
By Hamisi MgutaMay 27, 2021MBUNGE wa Biharamulo (CCM), Ezra Chiwelesa, ameiomba Serikali ijenge Barabara ya Nyamirembe-Chato mpaka Katoke Biharamulo , kwa kiwango cha lami, ili kurahisisha...
By Hamisi MgutaMay 26, 2021MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, amewaonya watu wanaojihusisha na uhalifu wa kutumia silaha (ujambazi), kwamba wasipoacha atawaonyesha ‘Show’....
By Hamisi MgutaMay 25, 2021WIZARA ya Kilimo nchini Tanzania, imeshauriwa ibadilishe utendaji wake katika kuiendeleza sekta ya kilimo, kutoka kwenye mikakati ya nadharia kwenda kwa vitendo....
By Hamisi MgutaMay 25, 2021UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umeiomba Serikali ichukue hatua za haraka, kumaliza tatizo la vijana kukosa ajira nchini. Anaripoti...
By Hamisi MgutaMay 23, 2021CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anakwamishwa na baadhi ya watendaji wake, hasa waliopewa dhamana ya kusimamia michakato...
By Hamisi MgutaMay 23, 2021RAIS wa Zanzibar,Dk. Hussein Mwinyi ameagiza watu waliohusika katika ubadhirifu wa fedha za umma, uliofichuliwa kwenye Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu...
By Hamisi MgutaMay 23, 2021IKIWA zimebaki siku mbili kuelekea maadhimisho ya kutokomeza Fistula ya Uzazi, bado takwimu zinaonyesha, idadi ya wanawake wenye tatizo hilo imekuwa ikiongezeka....
By Hamisi MgutaMay 21, 2021BAADHI ya Wananchi wa Jimbo la Njombe Mjini, wamelazimika kuweka kikao na Mbunge wao, Deo Mwanyika, kujadili namna ya kumaliza changamoto sugu...
By Hamisi MgutaMay 15, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Dk. Edwin Mhede kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (UDART). Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaMay 15, 2021