Tuesday , 19 March 2024
Home maalum
82 Articles14 Comments
Habari Mchanganyiko

Katibu Mkuu uchukuzi atoa rai Chuo cha Hali ya Hewa kuanzisha shahada

  KATIBU Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara ametoa rai kwa Chuo cha Hali ya Hewa Kigoma (NMTC) kuanzisha Shahada ya Sayansi...

Michezo

Ukarabati Uwanja wa Mkapa: Sababu, mantiki na umuhimu

  BAADA ya Serikali kutangaza gharama za ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa zilizokadiriwa kufikia shilingi bilioni 31, baadhi ya wadau wa michezo...

Habari Mchanganyiko

Polisi Kutoka Ujerumani na Thailand wabadilisha Uzoefu katika Maswala ya Polisi Jamii

  ASKARI Polisi kutoka Ujeruman na Thailand wametoa uzoefu wao katika maswala ya Polisi Jamii na namna ambavyo wanatoa huduma kwa jamii katika...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nimekomaa zaidi kisiasa katika miaka 9 ya ACT Wazalendo

  LEO tarehe 5 Mei, ni ACT Dei. Ni siku ambayo Chama cha ACT Wazalendo kilipata usajili wa kudumu. Tunaadhimisha siku hii kwa...

Habari Mchanganyiko

Watoto 37 wafariki kwa kusombwa na maji, Polisi watoa onyo

  JESHI la Jeshi la Polisi Tanzania limetanga kuwa watoto 37 wamepoteza maisha katika matukio ya kusombwa na maji katika maeneo mbalimbali nchini...

Makala & Uchambuzi

ZITTO: Hii ndio sababu Malaysia kuushinda umasikini kupitia kilimo, Tanzania ikikwama

  MNAMO Februari 2017, miaka sita sasa imepita, niliandika, kupitia ukurusa wangu wa Facebook, makala haya kuelekea kuadhimisha miaka 50 ya Azimio la...

HabariTangulizi

Kuhamia Dodoma mwisho mwaka 2025

  SERIKALI imesema imekamilisha ratiba na mwongozo mpya wa Serikali na taasisi zake kuhamia Dodoma ambapo mwisho ni mwaka wa fedha 2024/25. Anaripoti...

Kimataifa

Putin amtumbua Jenerali aliyeongoza vita Ukraine

RAIS wa Urusi, Vladimir Putin amemuondoa Kamanda mkuu wa nchi hiyo, Sergei Surovikin aliyekuwa anaongoza vita nchini Ukraine ikiwa ni miezi mitatu tu...

Kimataifa

Yuko wapi Masood Azhar, Pakistan au Afghanistan?

  YUPO wapi Masood Azhar, Mkuu wa kikosi cha Jaish e Mohammad (JeM). Ni swali linalojiuliza Serikali ya Pakistani. Ni siri iliyo wazi...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mkutano wa SCO ni suluhu la ubinafsi na kukidhi haja ya unganiko hilo?

  INAELEZWA kuwa kuna mzozo wa kwa nchi wanachama wa SCO unatokana na kuteteleka na kushindwa kufanya mkutano wa pamoja wa kujadili tishio...

Makala & UchambuziTangulizi

Kosa la Mwigulu ni nini?

  KWA wanaofahamu jinsi serikali inavyofanya kazi, wanaofahamu kutungwa kwa muswada, kufikishwa kwa mswada huo bungeni na hadi kuwa sheria, hakuna shaka kuwa...

Makala & Uchambuzi

Bunge la Tanzania bila upinzani wa kutosha linailaza Serikali

  MIAKA ya nyuma tukiwa watoto, shuleni tukijifunza Fizikia, walimu wetu walituelewesha nini maana ya chanya na hasi katika somo hilo na umuhimu...

Tangulizi

Ajira ni janga la kidunia, nini kifanyike?

  NI dhahiri sasa kuwa ajira ni tatizo la kidunia. Hakuna ubishi sasa hili ni janga. Nchi zote ulimwenguni zinajaribu kukabiliana na janga...

Kimataifa

Guinea-Bissau: Wengi walikufa baada ya jaribio la mapinduzi, Rais anasema

  MAPINDUZI yameripotiwa katika nchi ya Afrika Magharibi ya Guinea-Bissau, yamesababisha vifo vya maafisa kadhaa wa vikosi vya usalama, rais wake anasema. Inaripoti...

Habari za Siasa

Profesa Tibaijuka: Rais Samia iangalie Kagera kwa jicho la huruma

  MWAKA 1961 tulipopata Uhuru wa Tanganyika (sasa Tanzania Bara), Kagera ulikuwa mkoa wa pili kwa maendeleo baada ya Kilimanjaro. Hivi sasa wakati...

Makala & Uchambuzi

Rais usiwaendekeze kijani wakupingao ndani

  JAPO mimi siyo mwanachama wa chama chochote cha siasa nchini, hata hivyo, bado nitavitazama vyama vyote kwa jicho sawa hasa ikizingatiwa kuwa...

Habari Mchanganyiko

Huawei’s multi-prong approach to cybersecurity

  In prioritising the safety of its customers, Huawei takes several approaches to keeping customers protected from cybersecurity threats – including AI, tech...

Habari Mchanganyiko

Training to enhance awareness and skills for cybersecurity

  While cybersecurity certainly requires sophisticated technology interventions, staff training is equally important in protecting client information. Conscious of this, Huawei conducts regular...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Zitto achokonoa upya sheria za madini

  MAJUZI, Waziri wa Madini nchini Tanzania, Dotto Biteko ameainisha uwekezaji wa miradi mipya mikubwa mitatu inayoanza kufanyiwa uwekezaji nchini. Anaandika Zitto Kabwe,...

Makala & Uchambuzi

Kesi ya Mbowe ni ya kubumba?

  HATI ya mashitaka – Charge Sheet – yaweza kukosa uhalali wa kisheria, ikiwa Mkurugenzi wa Mashitaka ya Jinai nchini (DPP), atashidwa kuandaa...

Makala & Uchambuzi

TFF: Ni uchaguzi huru usio na haki

  KIPYENGA cha uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kimepulizwa rasmi. Anaandika Mwandishi Maalum … (endelea). Kwa mujibu wa...

Makala & Uchambuzi

Makunga: Tangulia Mzindakaya, shuhuda mwenza wa Kifo cha Sokoine

  ILIKUWA siku ya Alhamisi tarehe 12 Aprili 1984, mimi nikiwa na Mwandishi mwanafunzi mwenzangu aitwaye Mosoeu Magalefa raia wa Afrika Kusini tuliyekuwa...

Makala & UchambuziTangulizi

Matatizo sekta ya afya ni zaidi ya hili

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la magonjwa ya dharura...

Habari za Siasa

Mlipuko mpya corona, Uingereza yatengwa

NCHI ya Uingereza imetengwa na mataifa kadhaa ya Ulaya na Amerika kutokana na mlipuko mpya wa virusi vya corona. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea). Mataifa...

Habari za SiasaTangulizi

Msafara wa Lissu warushiwa mawe Chato

MSAFARA wa mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu umepigwa mawe na watu wasiojulikana Chato mkoani wa...

Michezo

Mbwana Samatta ajiunga Fenerbahce ya Uturuki

NAHODHA wa timu ya soka la Tanzania ‘Taifa stars’ Mbwana Samatta amejiunga na Fenerbahce ya Uturuki kwa mkataba wa miaka minne kutoka Aston...

Habari za Siasa

NEC yatangaza wabunge wateule 18 wa CCM

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza wabunge wateule 18 wa chama tawa cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania ambao wanasubiri kuapishwa. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Corona: Saa 24 watu 572 wafariki A. Kusini

SAA 24 zilizopita, watu 572 wameripotiwa kufariki dunia nchini Afrika Kusini kwa ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19). Inaripoti...

Habari za Siasa

CCM Ubungo wamdhamini Magufuli, wasema anatosha

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam wamesema, mgombea wa chama hicho wa nafasi ya Urais, Dk. John Pombe...

Habari za Siasa

Mapambano ya corona: Bunge kumpongeza Rais Magufuli

BUNGE la Tanzania, linatarajia kupitisha azimio la kumpongeza Rais wa nchi hiyo, John Pombe Magufuli, kwa namna alivyoliongoza Taifa katika Mapambano dhidi ya...

ElimuTangulizi

Serikali ya Tanzania: Hatuajiri walimu wa sanaa

SERIKALI ya Tanzania imesema, itawaajiri walimu wa masomo ya sanaa  pale idadi ya walimu wa sayansi, hisabati, kilimo, biashara, elimu maalum na mafundi sanifu...

Habari za Siasa

Askofu Bagonza: Ni Mungu tu asiyekosea

UMMA na mataifa huongozwa na wanadamu. Sifa kuu ya mwanadamu ni kukosea au kuishi katika uwezekano wa kufanya makosa. Anaandika Mwandishi Maalum …...

Makala & Uchambuzi

Alibakwa, akaambukizwa Ukimwi, sasa shujaa

NI binti anayetimiza miaka 28 mwaka huu. Alibakwa akiwa na miaka 10 na kuwa chanzo cha kuambukizwa ugonjwa wa ukimwi. Ameishi na virusi...

Habari Mchanganyiko

Papa amteua Askofu Nzigilwa, kuwa Askofu Mkuu jimbo la Mpanda

BABA Mtakatifu, Francisko amemteuwa Askofu msaidizi, Eusebius Nzigilwa kuwa Askofu mpya wa Jimbo Katoliki la Mpanda, Mkoa wa Katavi. Kabla ya uteuzi huu, Askofu...

Makala & Uchambuzi

Fili Karashani, Mtoto wa Tasnia ya Habari Barani Africa

SAA sita na dakika ishirini na moja mchana wa Jumapili terehe 10 Mei 2020 nilizungumza na Kagina Karashani kuhusu maendeleo ya matibabu ya...

Makala & Uchambuzi

Buriani Kaka Evod Herman Mmanda

EVOD Mmanda, naomba uamke kaka yangu. Umeondoka mapema mno kaka. Kwa nini lakini? Anaandika Moses Machali … (endelea) Kwangu hukuwa rafiki tu, bali...

Habari Mchanganyiko

Chui aambukizwa corona

SHIRIKA la Habari la Uingrereza (BBC), limetengaza mnyama wa kwanza (Chui) kukutwa na virusi vya corona (COVID-19). Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea). Chui huyo wa...

Afya

Corona: Waziri Mkuu wa Uingereza hoi, akimbizwa hospitali

BORIS Johnson, Waziri Mkuu wa Uingereza amekimbizwa hospitali kutokana na makali ya virusi vya corona (COVID-19). Linaripoti Shirika la Habari la BBC. Boris...

Afya

Mtangazaji maarufu afa kwa corona

ZORORO Makamba (30), mtangazaji maarufu wa vipindi vya televisheni nchini Zimbabwe, amefariki dunia kwa ugonjwa wa corona (COVID-19). Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea). Makamba aliyefariki...

Afya

Elimu mpya: Je, Covid-19 vinaishi muda gani katika vitu kabla kuambukiza?

JINSI hofu ya kuambukizwa ugonjwa wa Covid-19 inavyozidi kupanda, ndivyo hofu ya kushika vitu mbalimbali ambavyo vinaweza kuwa na virusi pia inapanda. Unaripoti Mtandao...

Habari Mchanganyiko

Mpalestina azindua gari la umeme

JIHAD Mohammed, Mpalestina na mmiliki wa Kampuni ya Electra iliyopo Lebanon, amezindua gari linalotumia umeme. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea) Uzinduzi huo, unafanyika kwa mara...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Lissu aichomea tena Serikali ya JPM

TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ameandika wakala wake kwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kati, Lazaro Nyalandu...

Makala & Uchambuzi

Bavicha na UV-CCM, ni pipa na mfuniko

BARAZA la taifa la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo ((BAVICHA), jana Alhamisi, tarehe 13 Februari 2020, liliitisha mkutano na waandishi wa...

Habari za Siasa

‘Kabendera hajamalizana na DPP’

ERICK Kabendera, mwandishi wa habari za uchunguzi nchini, bado yupo kwenye majadiliano na Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa Makosa ya Jinai (DPP). Anaripoti Faki...

Makala & Uchambuzi

Mafuriko Bonde la Msimbazi: Kutoka hofu mpaka fursa

SASA ni wazi kwamba mafuriko yanayotokana na mvua kubwa zinazonyesha jijini Dar es Salaam tangu miaka ya 1990, yameikumbusha serikali ya Tanzania kuhusu...

Kimataifa

Habari za hivi punde: Iran yakiri kuangusha ndege ya Ukraine

HATIMAYE Serikali mjini Tehran, imekiri madai kuwa imeidungua ndege ya abiria Ukraine, runinga ya taifa ya Iran imeripoti. Kwa mujibu wa taarifa hiyo,...

Habari za Siasa

Mwambe ameonja sumu kwa ulimi

IMBUNGE wa Chadema, katika jimbo la Ndanda, wilayani Masasi, mkoani Mtwara, Cecil David Mwambe (45), amethubutu. Amejaribu na ameweza kutenda kile kilicho washinda...

Habari MchanganyikoTangulizi

Zitto amchambua bilionea Mufuruki, amuombea makazi mema Peponi 

MWILI wa mfanyabiashara mzalendo na ambaye amejipatia umashuhuri mkubwa nchini, Ali Abdul Mufuruki, aliyefariki dunia Jumapili iliyopita, nchini Afrika Kusini, unaagwa leo jijini...

Kimataifa

Ni uvamizi, unyanyasaji na mauaji tu Palestina

WAKAZI wa Palestina ni moja ya raia wanaoishi katika mateso makubwa ndani ya ardhi yao. Wananyanyaswa, wanateswa na hata kuuawa. Kutoka katika mitandao...

Makala & Uchambuzi

Kifo cha Mhandisi Lwajabe: Maswali bila majibu 

JESHI la Polisi jana tarehe 31 Julai 2019, lilitoa ripoti yake fupi ya uchunguzi kuhusu kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi Msaidizi wa Miradi ya Umoja...

error: Content is protected !!