Friday , 29 March 2024
Home kelvin
1173 Articles83 Comments
MichezoTangulizi

Beki wa zamani wa Liverpool atua Ikulu Zanzibar

Beki wa zamani wa Liverpool na klabu ya Crystal Palace kwa sasa Mamadou Sakho amekutana na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar...

Michezo

Carlinhos avunja mkataba Yanga, asepa zake

  UONGOZI wa klabu ya Yanga umethibitisha kuvunja mkataba na kiungo wake Raia wa Angola, Carlos Stenio Fernandes ‘Carlinhos’ mara baada ya makubaliano...

MichezoTangulizi

Chama, Onyango ‘out’ dhidi ya Namungo

  Wachezaji watatu wa klabu ya Simba Josh Onyango, Clatous Chama na Ame Ibrahim watakosekana kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Namungo kocha...

Michezo

Dilunga aondolewa kikosini Stars, Mudathiri ajumuishwa

KIUNGO wa klabu ya Simba Hassan Dilunga ameondolewa kwenye kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) mara baada ya jina lake...

MichezoTangulizi

Ligi Kuu Bara kusimama wiki mbili

   Mara baada ya kukamilika kwa mchezo wa tarehe 3 Juni, 2021 kati ya Ruvu Shooting dhidi ya Simba, Ligi Kuu Tanzania Bara...

Michezo

Zidane aondoka Real Madrid

  KOCHA wa klabu ya Real Madrid amechukua maamuzi ya kuachana na klabu hiyo mara baada ya kumaliza kwa msimu huu wa Ligi...

MichezoTangulizi

Klabu zenye madeni kutoshiriki Ligi Kuu msimu ujao

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeelezeka kuwa klabu yoyote ambayo inadaiwa na wachezaji haitoweza leseni na kushiriki michuano mbalimbali msimu...

MichezoTangulizi

Azam FC waitaka Simba nusu fainali

  MARA baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1, dhidi ya Rhino Rangers kocha msaidizi wa Azam FC vivie Bahati anaitaka klabu...

Michezo

Azam Fc, Simba dimbani leo

  Robo fainali ya tatu nan ne zitaendelea tena hii leo kwenye viwanja tofauti, ambapo Jijini Dar es Salaam mabingwa watetezi wa michuano...

Michezo

Manchester United, Villarreal kuminyana fainali Euroa leo

  Manchester United leo itashuka dimbani kumenyana na Villarreal kwenye fainali ya kombe la Europa ambao itapigwa kwenye dimba la Gudansk nchini Poland...

MichezoTangulizi

Yanga yaibamiza Mwadui FC, yatinga nusu fainali FA

  Ushindi wa mabao 2-0, dhidi ya Mwadui FC kwenye robo fainali ya pili ya michuano ya kombe la Shirikisho (Azam Federation Cup)...

Michezo

Karia atoa onyo mabilioni ya Azam TV

  RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ametoa onyo kwa klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara juu ya matumizi mabaya...

Michezo

Tanzania kuingiza timu nne michuano ijayo CAF

  MARA baada ya klabu ya ASC Jaraaf ya Senegal kuondolewa kwenye michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya Coton Sports...

Michezo

Ramos ‘OUT’ kikosini Hispania Euro

KOCHA Luis Enrique amemuacha mlizi wa Reala Madrid Sergio Ramos kwenye kikosi cha wachezaji 25 cha timu ya Taifa cha Hispania kitakachoshiriki michuano...

Michezo

Aguero aondoka EPL kwa kuvunja rekodi ya Rooney

  MABAO mawili kwenye dakika ya 71 na 76 yalimfanya Sergio Kun Aguero kufikisha mabao 184 ndani ya Ligi Kuu England na kuweka...

MichezoTangulizi

Ndugai aimwagia sifa Simba, atamba kuikata ngebe Yanga Julai 3

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ameipongeza klabu ya Simba kwa kufikia hatua ya robo Fainali ya...

MichezoTangulizi

Simba yaipiga Kaizer Chiefs 3, yaaga mashindano

PAMOJA na ushindi wa bao 3-0 walioupata kkabu ya Simba dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, lakini mabingwa hao wa Ligi Kuu...

Michezo

Wachezaji wa Simba wamvuruga kocha wao

  KUELEKEA mchezo wa marudiano dhidi ya Kaizer Chiefs, Kocha Mkuu wa kikosi cha Simba, Didier Gomes ameshangazwa na wachezaji wake kwa kila...

Michezo

Yacouba, Mukoko waitwa timu za Taifa

  Kwa mara ya kwanza toka aliposajiliwa ndani ya klabu ya Yanga mshambuliaji kutoka Burkina Faso Yacouba Sogne ameitwa kwenye timu yake ya...

Michezo

Bocco: Tunakwenda kupambana

  Nahodha wa klabu ya Simba John Bocco anaamini kuelekea mchezo wa marudiano dhidi ya Kaizer Chiefs watahakikisha wanapambana ili kuondoka na matokeo...

MichezoTangulizi

Kazier Chiefs kutua Dar na Ndege binafsi

  Wapinzani wa Simba kwenye mchezo wa robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika klabu ya Kazier Chiefs wamewasili jana...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ujenzi bomba la mfuta: Watanzania 3,832 kulipwa bilioni 28

  WAZIRI wa Nishati nchini Tanzania, Dk. Medard Kalemani, amesema takribani Sh. 28 bilioni, zimetengwa kwa ajili ya kulipa fidia wananchi 3,832, ambao...

Michezo

Yanga waing’ang’ania Simba kileleni

  BAADA ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0, dhidi ya Jkt Tanzania Yanga sasa inafikisha jumla ya pointi 61, sawa na Simba...

Habari Mchanganyiko

Zuio uvuvi Kambamiti: Serikali yatoa matumaini

  SERIKALI imeagiza Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI), irudie upya utafiti iliyoufanya kuhusu uvuvi wa samaki aina ya Kambamiti. Anaripoti Nasra...

Michezo

Simba: Ama zetu, Ama zao, mashabiki elfu 10 ruksa

  KUELEKEA mchezo wa marudiano wa Ligi Mabingwa Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs, klabu ya Simba imekuja na kauli mbiu ya ‘Ama zetu,...

MichezoTangulizi

Waziri Bashungwa: Simba ni Timu ya Taifa

  WAZIRI wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo innocent Bashungwa amewataka watanzania kwa pamoja kuinga mkono klabu ya Simba kwenye mchezo wa marudiano...

Michezo

Mwamuzi aliyekataa bao la Yanga dhidi ya Namungo afungiwa

Mwamuzi msaidizi namba moja Abdulaziz Ally aliyechezesha mchezo wa Namungo Fc dhidi ya Yanga ameondelewa kwenye orodha ya waamuzi kwa michezi mitatu mara...

Michezo

Mwadui FC waaga rasmi Ligi Kuu Tanzania Bara

  SASA ni rasmi klabu ya Mwadui FC imeshuka Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2020/21, baada ya kukubali kichapo cha bao...

Michezo

Kane aomba kuondoka Tottenham

  HARRY Kane, mshambuliaji Tottenham Hotspur ameandika barua ya kutaka kuondoka kwenye klabu hiyo licha ya kubakia na mkataba wa miaka mitatu na...

Michezo

Simba yaingia kambini haraka, kuivutia kasi Kaizer Chiefs

  KIKOSI cha Simba kimeingia kambili leo asubuhi kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa marudiano wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa...

Michezo

Real Madrid waingia hofu kutema ubingwa, Barcelona ‘out’

  IKIWA umesalia mchezo mmoja kukamilika kwa Ligi Kuu Hispania (La Liga), klabu ya Real Madrid ipo shakani kupoteza ubingwa wa Ligi hiyo...

Michezo

PSG hatihati kutetea ubingwa Ufaransa

  HUENDA kocha Mauricio Pochettino wa kikosi cha PSG, akawa kwenye wakati mgumu wa kutetea taji lake la Ligu Kuu Ufaransa baada ya...

Michezo

Lewandowski aifikia rekodi ya Gerd Muller

PENALTI ya dakika 26, kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Ujerumani ‘Bundesliga’ dhidi ya SC Freiburg uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2, ilitosha...

Michezo

Kocha Yanga amtimua nahodha wake kwa utovu wa nidhamu

NAHODHA Mkuu wa kikosi cha Yanga, Lamine Moro ameondolewa kwenye timu hiyo na Kocha Nasriddine Nabi, baada ya kuonesha utovu wa nidhamu, wakati...

MichezoTangulizi

Kocha Simba: Tunahitaji kuwa bora ili tupate matokeo

  MARA baada ya kukubali kichapo cha mabao 4-0, dhidi ya Kaizer Chiefs kocha mkuu wa kikosi cha Simba Didier Gomes ameonekana kutofurahishwa...

Michezo

Simba kusaka rekodi mpya mbele ya Kaizer Chiefs

  KIKOSI cha Simba kesho kitashuka dimbani kuwakabili Kaizer Chiefs kwenye mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika...

Michezo

Yanga kumalizna na Namungo, Simba bado kitendawili

KIKOSI cha Yanga kesho kitashuka Uwanjani kwenye mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Namungo Fc, utakaochezwa kwenye...

MichezoTangulizi

Rekodi kuipa Simba kiburi dhidi ya Kaizer Chiefs

  KUELEKEA mchezo wa kesho wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs, Simba inapewa nafasi kubwa ya...

Michezo

Liverpool, Manchester Kumaliza ‘kiporo’ chao leo

   Mara baada ya mchezo wa Ligi Kuu nchini England kati ya Liverpool na Manchester United kuarishwa kutokana na vurugu za Mashabiki wa...

MichezoTangulizi

Karia afunguka sababu za kuarishwa mechi ya Simba na Yanga

  RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), amesema sababu za kiusalama ndiyo zilipelekea kuarishwa kwa mchezo kati ya Simba na...

MichezoTangulizi

Shabiki wa Yanga awekwa Makumbusho ya Taifa

  SHABIKI wa Yanga, Mansur Hussen aliyetembea kwa miguu kutoka Kigoma hadi Dar es Salaam kwa ajili ya kutazama mchezo wa Simba na...

MichezoTangulizi

Man City bingwa mpya EPL

  KLABU ya Manchester City imetangzwa kuwa bingwa mpya wa Ligi Kuu nchini England mara baada ya Manchester United kukubali kichapo cha mabao...

MichezoTangulizi

Yanga na Mwadui, Simba na Dodoma Jiji, robo fainali Kombe la Shirikisho

RATIBA ya michuano ya Kombe la Azam Federation CUP (ASFC) nchini Tanzania, hatua ya robo fainali, itashuhudia Yanga ikisafiri kwenda Shinyanga kuwavaa Mwadui...

MichezoTangulizi

Bodi ya Ligi yahairisha tena mechi ya Simba

  MARA baada ya kuahirisha mchezo dhidi ya Yanga bodi ya Ligi Kuu imeahirisha tena mchezo wa Simba dhidi ya Coastal union kutoka...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Safari: Ndugai anatumia Katiba ipi?

  PROFSA Abdallah Safari, mmoja wa wananasheria mahiri nchini Tanzania, amesema, hatua ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuendelea kuwakingia kifua wabunge 19,...

Michezo

Sakata Simba, Yanga lapelekwa Kamati ya saa 72

  Kamati ua uwendeshaji na usimamizi wa Ligi (kamati ya saa 72) itakutana hii leo tarehe 10 Mei 2021, kwa ajenda moja ya...

MichezoTangulizi

Waziri Mkuu ataka wizara itoe taarifa kuahirishwa mchezo Simba na Yanga

  WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo kutoa tamko kuhusiana na...

Michezo

Simba yataka Yanga ishushwe daraja

KLABU ya Simba imelitaka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuishusha daraja Yanga kwa kugomea mchezo wao wa jan0a wa Ligi Kuu...

MichezoTangulizi

Mchezo wa Simba na Yanga waota mbawa

  Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba umeahilishwa kufuatia mkanganyiko wa muda wa kuanza mchezo huo. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar...

MichezoTangulizi

Yanga yaigomea TFF, kuingiza timu saa 11 jioni

  MABINGWA wa Kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam umesema, utaipeleka timu yao katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, muda uliopangwa...

error: Content is protected !!