TIMU kongwe nchini Tanzania za Simba na Yanga zote za jijini Dar es Salaam, zinatarajia kukwea pipa kwenda nchini Morocco kwa ajili...
By Kelvin MwaipunguAugust 10, 2021MABINGWA wa kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya Dar es Salaam, imeendelea kujiimalisha kwa msimu wa 2021/22 kwa kumsajili kiungo mkabaji, Kharid Haucho....
By Kelvin MwaipunguAugust 9, 2021UONGOZI wa mabingwa wa kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya Dar es Salaam umesema, unakamilisha majadiliano na moja ya timu nchini Morocco kwa...
By Kelvin MwaipunguAugust 9, 2021JONAS Mkunde, Kiungo mkabaji wa mabingwa wa ligi kuu Tanzania Bara 2020/21 na kombe la shirikisho, Simba ya jijini Dar es Salaam,...
By Kelvin MwaipunguAugust 9, 2021WANACHAMA na wafuasi wa Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania-Chadema, wameendelea kufanya maombi maalum, ya kumsihi Mungu aingilie kati kwenye kesi inayomkabili...
By Kelvin MwaipunguAugust 8, 2021SERIKALI ya Tanzania, imeonya kwamba itachukua hatua kali, dhidi ya watu watakaobainika kughushi vyeti vya chanjo ya Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19). Anaripoti...
By Kelvin MwaipunguAugust 8, 2021MARA baada ya kucheza kwa miaka 21, hatimaye mchezaji hatari kwa sasa Duniani, Lionel Messi ameiaga rasmi klabu yake ya Barcelona, Uwanjani...
By Kelvin MwaipunguAugust 8, 2021KLABU ya soka ya Yanga, imekamilisha usajili wa mlinda mlango Djigui Diarra, kutoka nchini Mali ambaye ameingia mkataba wa miaka miwili na...
By Kelvin MwaipunguAugust 8, 2021BAADHI ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamekamatwa na Polisi Tanzania nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini...
By Kelvin MwaipunguAugust 5, 2021MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imetoa amri ya kufikishwa mahakamani hapo kesho Ijumaa tarehe 6 Agosti 2021, saa...
By Kelvin MwaipunguAugust 5, 2021MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, inasikiliza kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema,...
By Kelvin MwaipunguAugust 5, 2021JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu wanne, kwa tuhuma za kutishia kuuwa watu kwa kutumia silaha aina...
By Kelvin MwaipunguAugust 4, 2021ALIYEKUWA Afisa Habari na mawasiliano wa klabu ya Simba, Haji Manara amesema kuwa sababu za kufanya biashara na kampuni zingine na umaarufu...
By Kelvin MwaipunguAugust 4, 2021Winga wa kimataifa wa Malawi Peter Banda, amekuwa mchezaji wa kwanza kufungua dirisha la usajilin ndani ya klabu ya Simba mara baada...
By Kelvin MwaipunguAugust 4, 2021LIGI Kuu soka Tanzania Bara kwa msimu wa 2021/22, itaanza kupigwa kuanzia tarehe 29 Septemba 2021, mara baada ya kuchezwa mchezo wa...
By Kelvin MwaipunguAugust 3, 2021KLABU ya Soka ya Yanga, imekana kuhusishwa na kumsajili winga wa kimataifa wa Malawi, Peter Banda kufuatia tetesi za kuwa fundi huyo...
By Kelvin MwaipunguAugust 3, 2021SHIRIKA la Utangazaji Tanzania (TBC) limeingia mkataba wa miaka 10, wa matangazo ya matnagazo ya Radio kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara na...
By Kelvin MwaipunguAugust 3, 2021IKIWA Ligi Kuu Tanzania Bara imemalizika na Shirikisho la Mpira Tanzania (TFF), limeshafungua dirisha la usajili kwa klabu za Ligi Kuu na...
By Kelvin MwaipunguAugust 2, 2021KLABU ya soka ya Yanga, imefanikiwa kunasa saini ya mshambuliaji Yusuph Athuman Akitokea klabu ya Biashara United, Mara iliyokuwa inashiriki Ligi Kuu...
By Kelvin MwaipunguAugust 2, 2021MICHUANO ya klabu kwa ukanda wa Afrika Mashariki na kati (CECAFA Kagame Cup) yataanza kutimu vumbi rasmi kesho kwa jumla ya timu tisa...
By Kelvin MwaipunguJuly 31, 2021KLABU ya Azam FC imefanikiwa kunasa saini ya mshambuliaji raiawa kidemokrasia ya Congo, Idris Mbombo kwa mkataba wa miaka miwili. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)...
By Kelvin MwaipunguJuly 31, 2021Mfanyabiashara na mwekezaji ndani ya klabu ya Simba, Mohammed Dewji (MO), ameweka rasmi kiasi cha pesa shilingi 20 bilioni, kama sehemu ya uwekezaji...
By Kelvin MwaipunguJuly 30, 2021Wachezaji Bernad Morrison wa klabu ya Simba na Mukoko Tonombe kutoka Yanga wamefungiwa kutocheza michezo mitatu na kamati ya mashindano ara baaada...
By Kelvin MwaipunguJuly 30, 2021MAHAKAMA ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Kimichezo (CAS), itatoa hukumu ya kesi ya rufaa kati ya klabu ya Yanga na mchezaji, Bernard...
By Kelvin MwaipunguJuly 29, 2021RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia ni miongoni mwa viuongozi waliopata chanjo ya corona, katika hafla iliyofanyika...
By Kelvin MwaipunguJuly 29, 2021KLABU ya Yanga imeachana rasmi na mlinzi wake wa kati, ambaye pia alikuwa nahodha wa kikosi hicho, Lamine Moro baada ya makubaliano...
By Kelvin MwaipunguJuly 29, 2021BAO la dakika ya 79, lilofungwa na Thadeo Lwanga, lillitosha kuifanya Simba kutetea ubingwa wake wa kombe la Shirikisho (ASFC), dhidi ya Yanga,...
By Kelvin MwaipunguJuly 25, 2021KOCHA wa klabu ya Simba ya Dar es Salaam nchini Tanzania, Didier Gomes amesema, hana presha kuelekea mchezo wa fainali wa kombe...
By Kelvin MwaipunguJuly 24, 2021JUMLA ya tiketi elfu 11 zimeshauzwa kuelekea mchezo wa fainali wa Kombe la Shirikisho (FA) kati ya Simba dhidi ya Yanga utakaopigwa...
By Kelvin MwaipunguJuly 23, 2021KIKOSI cha klabu ya Simba, kimewasili mkoani Kigoma kwa ajili ya mchezo wa Fainali wa kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga. Anaripoti Kelvin...
By Kelvin MwaipunguJuly 22, 2021KLABU ya Yanga imeonekana kusikitishwa na kitendo cha Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kumchagua Ahmed Arajiga kuwa mwamuzi wa mchezo...
By Kelvin MwaipunguJuly 22, 2021KUELEKEA mchezo wa fainali wa Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation) siku ya tarehe 25 Julai, 2021, vikosi vya Simba na Yanga...
By Kelvin MwaipunguJuly 22, 2021KIKOSI cha klabu ya Yanga kimetua rasmi mkoani Kigoma, kwa ajili ya mchezo wa fainali wa Kombe la Shirikisho (FA) dhidi ya...
By Kelvin MwaipunguJuly 22, 2021SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limefungua rasmi dirisha kubwa la usajili litakalodumu kwa siku 42, baada ya kumalizika kwa msimu...
By Kelvin MwaipunguJuly 19, 2021MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam, imeiweka pembeni kesi ndogo namba 305, ya zuio la shughuli za uchaguzi TFF, na kutaka...
By Kelvin MwaipunguJuly 16, 2021KLABU ya Biashara United, kutoka Mara imefanikiwa kushiriki michuano ya kimataifa kwa msimu ujao, mara baada ya kumaliza katika nafasi ya nne...
By Kelvin MwaipunguJuly 16, 2021KOCHA wa klabu ya Simba, Didier Gomes pamoja na mshambuliaji wa klabu hiyo John Bocco wameshinda tuzo, mwezi Juni kwenye Ligi Kuu...
By Kelvin MwaipunguJuly 16, 2021KIUNGO wa klabu ya Yanga, Feisal Salum ambaye ndiye mfunga wa mabao yote mawili kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, dhidi...
By Kelvin MwaipunguJuly 15, 2021VITA dhidi ya dawa za kulevya imelipuka upya nchini Tanzania, baada kuanza kufahamika kwa mtandao wa watumishi ndani ya taasisi za umma,...
By Kelvin MwaipunguJuly 15, 2021INAELEZWA kila mtu anazaliwa tajiri, pia masikini. Utajiri au umasikini wake unategemea na mazingira anayokulia, lakini inategemea zaidi na yeye mwenyewe. Anaripoti...
By Kelvin MwaipunguJuly 15, 2021KLABU ya Soka ya Yanga imepenga kwenda kufanya maandalizi (Pre Season) kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano nchini Morroco, siku chache...
By Kelvin MwaipunguJuly 15, 2021MSHAMBULIAJI wa klabu ya Azam FC, Prince Dube pamoja na kiungo wa klabu hiyo, Salum Abubakar ‘Sure Boy’ wataokusa mchezo dhidi ya Simba...
By Kelvin MwaipunguJuly 14, 2021KUELEKEA mchezo wa fainali wa kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup), idadi ya mashabiki watakaoruhusiwa kutazama mchezo huo ni elfu 10...
By Kelvin MwaipunguJuly 14, 2021NAHODHA wa Timu ya Taifa ya Uingereza Harry Maguire, Rahim Sterling na Kyle Walker wamejumuhishwa kwenye kikosi cha wachezaji 11 bora wa michuano...
By Kelvin MwaipunguJuly 13, 2021KIUNGO mshambuliaji Raia wa Rwanda, Haruna Niyonzima, ataagwa rasmi ndani ya klabu ya Yanga tarehe 15 Julai, 2021, baada ya kuhudumu kwenye kikosi...
By Kelvin MwaipunguJuly 13, 2021MARA baada ya kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kwa mara ya nne mfululizo, klabu ya Simba itakabidhiwa kombe hilo...
By Kelvin MwaipunguJuly 13, 2021WACHEZAJI Haruna Niyonzima pamoja na Lamine Moro wamerejea kwenye kambi ya klabu hiyo, Kigamboni Jijini Dar es Salaam mara baada ya kusimamishwa...
By Kelvin MwaipunguJuly 12, 2021KUFUATIA kupata ajali mbaya ya gari, kwa kikosi cha timu ya Polisi Tanzania mkoani Kilimanjaro, bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imesogeza...
By Kelvin MwaipunguJuly 12, 2021STAA na Nahodha wa timu ya Taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo, pamoja na mlinda mlango wa timu ya Taifa ya Italia, Gianluigi Donnarumma,...
By Kelvin MwaipunguJuly 12, 2021MABAO mawili ya John Bocco na Chriss Mugalu yalitosha kuifanya Simba kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu...
By Kelvin MwaipunguJuly 11, 2021