Saturday , 20 April 2024
Home kelvin
1174 Articles83 Comments
HabariMichezo

Sakho mchezaji bora wa mashabiki mwezi Januari, akabithiwa tuzo yake.

  KIUNGO mshambuliaji wa klabu ya Simba Raia wa Senegal, Pape Sakho amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mashabiki mwezi januari, (Emirate Aluminium ACP...

Kimataifa

DR Congo yashtukia njama ya kuitikisa serikali

  WACHUNGUZI kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamesema wanao ushahidi wa kutosha unaoonyesha hatua kwa hatua namna maadui wanavyotaka kuiyumbisha nchi hiyo....

Michezo

Simba, ASEC kuchimbika kombe la Shirikisho

  KLABU ya soka ya Simba itashuka dimbani Jumapili tarehe 13, dhidi ya ASEC Mimosas, kwenye mchezo wa hatua ya makundi ya kombe...

Michezo

GSM yajiondoa udhamini Ligi Kuu

  KAMPUNI ya GSM imejiondoa kwenye udhamini mwenza wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kufuatia Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) pamoja na...

Michezo

Kisa Ubingwa wa AFCON, Rais Senegal atangaza mapumziko

  MARA baada ya Timu ya Taifa ya Senegal kutwaa ubingwa wa michuano ya kombe la Mataifa Afrika (AFCON), Rais wa nchi hiyo...

Michezo

Mwigulu aja na wazo la VAR 

  WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba amefunguka kuwa katika bajeti  ijayo ya Serikali atashauliana na Waziri mwenye dhamana ya michezo...

HabariMichezo

Morrison Pasua Kichwa, asimamishwa kwa muda Simba

  UONGOZI wa klabu ya soka ya Simba umemsimamishwa kwa muda, kiungo mshambuliaji wake Bernad Morrison Raia wa Ghana kufuatia kuwa na matatizo...

Habari MchanganyikoMichezo

Watu 17 wakamatwa uuzwaji jezi feki

  Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limewakamata watu 17 kwa tuhuma za kuuza jezi feki za Mabingwa wa kihistoria wa...

Tangulizi

Serikali kusaka vijana wenye vipaji mtaa kwa mtaa

  SERIKALI imepanga kuanza kupita kila kijiji, mtaa, wilaya, halmashauri na mkoa kusaka vijana wenye vipaji vya sanaa mbalimbali ili kuwasaidia. Anaripoti Kelvin...

HabariMichezo

Lampard kocha mpya Everton

  Kiungo wa kati wa zamani wa klabu ya Chelsea Frank Lampard, ameteuliwa kuwa kocha mpya wa klabu ya Everton kwa mkataba wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi wavunja ukimya utata askari aliyejinyonga mahabusu

  JESHI la Polisi limetoa ufafanuzi kuhusu utata wa tukio la kujinyonga hadi kufa kwa Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi, Grayson Mahembe...

HabariMichezoTangulizi

Mukoko atimkia Mazembe, Yanga yampa mkono wa kwaheri

  KIUNGO mkabaji Raia wa Jamhuri ya Congo, Mukoko Tonombe amekamilisha usajili wake na kijiunga na klabu ya Tp Mazembe ya nchini mwao,...

Habari Mchanganyiko

Usafi wa mazingira: Dodoma yawaonya wananchi

  UONGOZI wa la Dodoma nchini Tanzania, umesema hautasita kumchukulia hatua za kisheria mtu ambaye anakwamisha juhudi za maendeleo sambamba na utunzaji wa...

Michezo

Simba wapoteza mchezo wa kwanza dhidi ya Mbeya City

  KLABU ya soka ya Simba imepoteza mchezo wake wa kwanza kwenye Ligi Kuu Tanzania mara baada ya kukubali kichapo cha bao 1-0,...

Michezo

Simba kuikabili Dar City, Yanga kujikumbusha na Mbao 32 bora kombe la Shirikisho

  DROO ya 32 ya michuano ya kombe la Shirikisho la Azam imechezeshwa hii leo, ambapo bingwa mtetezi wa michuano hiyo klabu ya...

Michezo

Mayele akamatiki, aiongoza Yanga kwenye ushindi dhidi ya Coastal

  FISTON Kalala Mayele kwa sasa ni moja ya washambuliaji ambao hawakamiti kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara mara baada ya kuingoza Yanga kwenye...

Habari za Siasa

CCM yafunga pazia fomu kuwania uspika, 69 warejesha

  DIRISHA la kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa katika nafasi ya uspika kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo tarehe 15 Januari limefungwa rasmi...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi 214 wafutiwa matokeo, 555 wazuiliwa

  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza kufuta matokeo yote ya watahiniwa 214 waliofanya udanganyifu katika upimaji kitaifa wa darasa la nne,...

MichezoTangulizi

Chama arejea Simba, atangazwa rasmi

  KLABU ya soka ya Simba imetangaza rasmi kumrejesha kiungo wake raia wa Zambia Clatous Chama, mara baada ya kufanikiwa kumsajili tena akitokea...

Michezo

Simba yatawala tuzo kombe la Mapinduzi

  LICHA ya kutwaa taji la kombe la Mapinduzi, klabu ya soka ya Simba imetwaa tuzo tatu muhimu kwenye michuano hiyo ambayo imeunguruma...

HabariTangulizi

Serikali ya Tanzania yaagiza uchunguzi ajali za wanahabari

  SERIKALI ya Tanzania, imeagiza uchunguzi dhidi ya wimbi la wanahabari kupata ajali, wakiwa katika misafara ya viongozi wa umma. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari

Rais Samia ataka wanawake kuchangamkia fursa vyuo vya ufundi

  Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wanawake kujifunza mafunzo ya ufundi wa ushonaji wa nguo kwa kuwa ni mojawapo ya sekta...

Michezo

Simba kuikabili Azam FC fainali kombe la Mapinduzi

  KLABU ya soka ya Simba imefanikiwa kutinga fainali ya michuano ya kombe la Mapinduzi inayofanyika visiwani Zanzibar kufuatia kuondoka na ushindi wa...

Michezo

Kocha Yanga amtetea kipa wake aliyefungwa penati 9

  KOCHA wa klabu ya Yanga, Cedric Kaze amemtetea mlinda mlango wake Erick Johora aliyeingia kuchukua nafasi ya Aboutwalib Mshery na kufungwa penati...

Habari

Dk. Mpango kumwakilisha Rais Samia mkutano SADC

  MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango ameondoka kwenda Lilongwe nchini Malawi kuhudhuria mkutano wa dharura wa wakuu wa nchi na...

Habari za Siasa

Mbunge CCM amwaga ahadi akiwania uspika

  MBUNGE wa Mlimba (CCM), Mkoa wa Morogoro, Godwin Kunambi amechukua fomu za kuwania kurithi mikoba ya Job Ndugai ya uspika wa Bunge...

Habari za Siasa

Masele ajitosa kumrithi Ndugai

  ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM), Stephen Masele amechukua fomu za kuwania Uspika wa Bunge la Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu..(endelea). Masele...

Michezo

Kisa Corona wachezaji wanne Morocco kuikosa Ghana AFCON

  Wachezaji wanne wa timu ya Taifa ya Morocco wataukosa mchezo wa leo dhidi ya timu ya Taifa ya Ghana, kwenye michuano ya...

Michezo

Mkude mchezaji bora mwezi Desemba

  KIUNGO wa klabu ya Simba Jonas Mkude amechgauliwa kuwa mchezaji bora wa mashabiki wa klabu ya Simba mwezi Desemba kwenye tuzo za...

Michezo

Yanga yafunga mwaka kwa kishindo

  KLABU ya soka ya Yanga imefanikiwa kufunga mwaka 2021 kwa kishindo mara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-0, dhidi ya...

Michezo

Kocha wa Simba amzungumzia Ajibu, amtakia kila la kheri

  KOCHA mkuu wa klabu ya Simba Pablo Martin amemtakiwa kila la kheri mchezaji Ibrahim Ajibu mara baada ya kujiunga na Azam Fc...

Michezo

Banda awagawa viongozi Simba

  UONGOZI wa klabu ya Simba pamoja na benchi la ufundi kwa sasa wapo katika wakati mgumu juu ya kuamua hatma ya mkataba...

Michezo

Djuma Shaban hati hati kuikosa Dodoma Jiji

  MLINZI wa kulia wa klabu ya Yanga Raia wa Jamhuri ya Congo, Djuma Shaban yupo hati hati kuukosa mchezo wa Ligi Kuu...

Michezo

Ajibu avunja mkataba na simba, aibukia Azam FC

  KIUNGO mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Simba Ibrahim Ajibu amejiunga rasmi na matajiri wa jiji la Dar es Salaam, klabu ya...

Michezo

Vita kinara wa mabao Ligi Kuu

  WAKATI Ligi Kuu Tanzania Bara ikiendelea kupamba moto, kwa kupigwa michezo 11 kwa baadhi ya timu, vita nyingine imeibuka katika kutafuta mfungaji...

Michezo

Mshery achukua mikoba ya Diarra Yanga

  KLABU ya Soka ya Yanga imemtangaza rasmi mlinda mlango Aboutwalib Hamidu Mshery kama usajili mpya ndani ya klabu hiyo akitokea kwenye kikosi...

Habari za Siasa

Waliokufukuzwa CUF wamkumbusha Msajili, yeye awajibu

  WALIOKUWA wajumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Wananchi (CUF), wamehoji ukimya wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, juu ya...

Michezo

Diarra awapa wakati mgumu Yanga

  WAKATI mlinda mlango namba moja wa klabu ya Yanga Djigui Diarra akitimka kwa ajili ya kujiunga na kambi ya Timu ya taifa...

Michezo

Chama uso kwa uso na Simba, kombe la Shirikisho

  Clatous Chama Raia wa Zambia akiwa na kikosi cha RS Berkane atakutana uso kwa uso na timu yake ya Zamani ya Simba...

HabariTangulizi

Vifo vilivyoitikisa dunia 2021

  HATIMAYE zimesalia siku tatu 2021 kufika ukingoni usiku wa Ijumaa, tarehe 31 Desemba mwaka huu, huku dunia ikitikiswa na vifo vya watu...

Michezo

Simba yaikata ngebe Kmc, waishushia kichapo cha mabao manne

  KLABU ya Simba imewakata ngebe Kmc ambao walitamba hapo awali kuondoka na ushindi kwenye mchezo huo, mara baada ya kuwabugiza mabao 4-1,...

Michezo

Peter Banda kutimka Simba

  WINGA wa klabu ya Simba Peter Banda anatarajia kutimka ndani ya kikosi cha Simba mara baada ya kujumuishwa kwenye kikosi cha Timu...

Michezo

Mmewasikia KMC, wataka kuwapa mashabiki wao zawadi ya Krisimasi

  KLABU ya KMC ya Kinondoni inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, imetamba kuibuka na ushindi kwenye mchezo wa leo wa Ligi Kuu dhidi...

Michezo

Guardiola, Trend watamba tuzo mwezi Novemba Epl

  Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Novemba kwenye Ligi Kuu nchini England “EPL”,. Huku...

HabariTangulizi

Tanzania kuiuzia gesi Kenya

  SERIKALI ya Tanzania, inatarajia kuanzisha mradi wa kuiuzia gesi Kenya. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Hayo yamesemwa leo Ijumaa, tarehe 10...

Michezo

Nyoni awaita mashabiki wa Simba Uwanjani

  MCHEZAJI kiraka wa klabu ya simba na Timu ya Taifa ya Tanzania Erasto Nyoni, amewataka mashabiki wa klabu ya Simba kujitokeza kwa...

Michezo

Samia aruhusu mashabiki kuingia Bure, Tanzania dhidi ya Uganda

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameruhusu mashabki kuingia bure kwenye michezo miwili ya kirafiki kati ya Tanzania...

Michezo

Simba yamtangaza mrithi wa Nienov

  LEO Disemba 7, 2021 klabu ya soka ya Simba imemtangaza Tyron Damons Raia wa Afrika kusini kuwa kocha mpya wa makipa, akija...

Habari

Rais Dk. Mwinyi: Watanzania tusibaki watazamaji katika uwekezaji

  RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa wito kwa Watanzania kushirikia kikamilifu katika harakati za uwekezaji nchini badala...

HabariHabari Mchanganyiko

Mgogoro KKKT: Askofu Munga acharuka, amtuhumu Askofu Mbilu kumchafua

  ASKOFU Mkuu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Steven Munga, amewakingia kifua wachungaji sita....

error: Content is protected !!