Friday , 29 March 2024
Home kelvin
1173 Articles83 Comments
HabariMichezo

Rasmi Pogba aondoka Manchester United

  KLABU ya Manchester United imeachana rasmi na kiungo wake Paul Pogba, mara baada ya kumaliza mkataba wake ndani ya klabu hiyo ambayo...

MichezoTangulizi

Simba yaachana na Pablo

  MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara, klabu ya soka ya Simba imeachana rasmi na kocha wake Pablo Franco Martni mara...

Michezo

Mourinho aingia kwenye rekodi mpya barani Ulaya

  KOCHA wa zamani wa Chelsea na Manchester United za Uingereza, Jose Mourinho ambaye kwa sasa anakinoa kikosi cha AS Roma ameimeingia kwenye...

Michezo

Mayele atetema Mwanza, mabao 14 sawa na Mpole

BAO la dakika 74 lililowekwa kambani na Fiston Mayele kwenye mchezo dhidi ya Biashara United lilitosha kumfanya mshambuliaji huyo wa klabu ya Yanga...

BiasharaHabari

NMB yavutia wabunifu suluhisho za kifedha, Dk. Mpango agusia vijana

  MFUMO wa majaribio wa suluhishi za kifedha ulioandaliwa na Benki ya NMB umefungua wigo wa kuwawezesha wabunifu kujaribu suluhisho zao. Anaripoti Mwandishi...

HabariMichezo

Kim aita 28 Stars

  KOCHA wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Kim Poulsen ameita wachezaji 28 watakaojiunga na kambi, kwa ajili ya maandalizi ya...

MichezoTangulizi

Simba, Azam FC hakuna mbabe, Yanga ubingwa njia nyeupe

  KLABU za Simba na Azam FC zimetoshana nguvu kwa sare ya mabao 1-1, kwenye mchezo wa mzunguko wa 24 wa Ligi Kuu...

HabariMichezo

Kocha Mbeya Kwanza afungiwa miaka mitano

  KOCHA wa klabu ya Mbeya Kwanza inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, Mbwana Makata pamoja na meneja wa kikosi hiko David Naftari wamefungiwa...

HabariMichezo

Simba wampa mkono wa kwaheri Morrison

  HATIMAYE klabu ya Simba imempa mkono wa kwaheri kiungo wake mshambuliaji Bernard Morrison, Raia wa Ghana ambaye atakauwa nje ya kikosi hiko...

Michezo

Dakika 270, Yanga bila bao

  MARA baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana dhidi ya Tanzania Prison, klabu ya Soka ya Yanga imetikiza dakika 27o sawa na...

HabariMichezo

Inonga akabadhiwa Tuzo na Emirates mchezaji bora Aprili

  Mlinzi wa kati wa klabu ya Simba, Henock Inonga amekabidhiwa tuzo ya mchezaji bora wa mashabiki (Emirate Aluminium Simba ACP Fans Player...

Michezo

Emirates wamfuta jasho msemaji Simba, wamzawadia Mil 2

  Kampuni ya Emirates Aluminium Profile imemzawadia kiasi cha shilingi Milioni mbili, Meneja Habari na mawasiliano wa klabu ya Simba Ahmed Ally, kwa...

Michezo

Kauli ya udhaifu wa Ligi yamuibua Ally Mayay

  Mchezaji wa zamani wa klabu ya Yanga, Ally Mayay amefunga juu ya ubora wa Ligi Kuu Tanzania Bara na kusema kuwa wanaosema...

Michezo

Siku 17, Yanga kumaliza Kazi, yasisitiza ubingwa ni suala la muda tu.

  KLABU ya Soka ya Yanga ndani ya siku 17 zijazo, huwenda ikamaliza mchezo kwa kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu soka...

HabariMichezo

Kanoute ‘Out’ dhidi ya Namungo

   KIUNGO mkabaji wa klabu ya Simba Raia wa Mali, Sadio Kanoute  hatokuwa sehemu ya kikosi cha klabu ya Simba kitakachoshuka dimbani kwenye...

HabariMakala & Uchambuzi

Mambo matano mchezo Simba na Yanga

  LICHA ya kwenda sare ya bila kufungana kwenye mchezo wa watani wa jadi, uliowakutanisha klabu za Simba na Yanga kwenye dimba la...

HabariMichezo

Simba yawasili Afrika kusini, walia kunyimwa Askari

  KLABU ya Simba imewasili salama nchini Afrika Kusini kwenye mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya Orlando Pirates, huku wakilalamika kuwa wenyeji...

HabariMichezo

Stars mdomoni mwa Algeria na Uganda

  TIMU ya Taifa ya Tanzania imepangwa kundi F, sambamba na timu za Taifa za Uganda na Algeria katika kuwania tiketi ya kufuzu...

Habari

Simba yaomba kupewa ulinzi Afrika Kusini

  KLABU ya Soka ya Simba imeziomba mamlaka husika kuwapatia ulinzi wa kutosha wakati wa safari yao kuelekea nchini Afrika Kusini kwenye mchezo...

Michezo

Simba: mechi ya Yanga ni nyepesi

  KLABU ya soka ya Simba imeonekana kutouwazia mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya wapinzani wa karibu klabu ya Yanga, kwa...

Habari

CAG abaini kasoro michezo ya kubahatisha

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini Tanzania, Charles Kichere amebaini ufanisi duni kwenye mchakato wa utoaji leseni kwa waendeshaji...

HabariMichezo

Orlando Pirates yaikaushia Simba

  KLABU ya Orlando Pirates ya nchi Afrika Kusini, mpaka sasa haijatoa taarifa kuwa ni lini inatarajia kuingia nchini, kwa ajili ya mchezo...

HabariMichezo

Simba yazindua kampeni ya hamasa kuimaliza Orlando

  KLABU ya soka ya Simba imezindua rasmi kampeni ya hamasa kuelekea mchezo wa hatua ya robo fainali wa michuano ya kombe la...

HabariMichezo

Ahmed Ally afunguka ubora wa Fiston Mayele

  MARA baada ya kuibuka mjadala kwenye mitandao ya kijamii juu ya ubora wa mshambuliaji wa klabu Yanga Fiston Mayele, Meneja Habari na...

Michezo

Nabi kuikosa Simba

  KOCHA mkuu wa Yanga, Mohammed Nabi hatokuwa sehemu ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Simba kufuatia kuoneshwa kadi nyekundu kwenye mchezo...

HabariMichezo

Pablo amgalagaza Nabi

  KOCHA wa klabu ya Simba Pablo Franco amechaguliwa kuwa kocha bora wa LigI Kuu Tanzania Bara mwezi Machi mara baada ya kumshinda...

HabariMichezo

Chama amfunika Mayele

KIUNGO wa klabu ya Simba Clatous Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara mwezi Machi kufuatia kuonesha kiwango bora akiwa...

HabariMichezo

Majaliwa: Simba wameupiga mwingi

  WAZIRI mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Kassim Majaliwa, ameipongeza klabu ya soka ya Simba kwa kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania...

HabariMichezo

Barbara afunguka sakata la Morrison kuzuiliwa Afrika kusini

  MTENDAJI mkuu wa klabu ya Simba Barbara Gonzalez amekili kuwa, huwenda winga wao Bernad Morisson atakosekana kwenye mchezo wa marudiano wa kombe...

HabariMichezo

Aucho, Fei Toto kuikosa Azam FC, Bangala Farid hati hati

  VIUNGO wa klabu ya Yanga Feisal Salum ‘Fei Toto’ sambamba na Khalid Aucho hawatakuwa sehemu ya kikosi cha klabu hiyo kitakachoshuka dimbani...

Habari

Samia: Walioiba pembejeo ruzuku nataka wazione rangi zangu

RAIS SamiaSuluhu Hassan ameiagiza Taasisi yaKuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) “kuwashughulikia kisawasawa” wezi wa pembejeo za ruzuku na fedha za vyama vya...

Michezo

Simba yatinga robo fainali kombe la Shirikisho kibabe

USHINDI wa mabao 4-0, ulitosha kuifanya klabu ya Simba kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika mara...

Habari za SiasaKimataifa

Bunge DRC lapiga kura kutokuwa na imani na Waziri

  BUNGE la Jamhuri ya Kidemocrasia ya Congo , limepiga kura kumuondoa Waziri wa Uchumi Jean Marie Kalumba , katika wadhifa wake Jumatano...

HabariMichezo

Kim Poulsen akoshwa na bao la Samatta

  KOCHA wa Timiu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Kim Polusen ameonekana kukoshwa na bao la pili kwenye mchezo wa kimataifa wa...

Habari

Nitazindua miradi ya Chato mwenyewe: Rais Samia

Rais Samia Suluhu Hassan amesema ataizindua mwenyewe miradi yote inayotekelezwa Wilayani Chato mkoani Geita kama ambavyo angefanya mtangulizi wake Hayati Dk. John Magufuli....

GazetiHabariTangulizi

Mwaka mmoja wa Rais Samia, sekta ya michezo yatoka kifua mbele.

  KATIKA kuelekea kutimiza mwaka mmoja wa uongozi wake, toka alipoingia madarakani, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameonekana...

GazetiHabariMichezo

Yanga yamwalika Rais Samia Uwanjani, mchezo dhidi ya Kmc

KLABU ya soka ya Yanga, imemualika Rais wa Jamhuri ya Muungano Samia Suluhu Hassan, kuwa mgeni rasmi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania...

MichezoTangulizi

Simba hatari, Ibenge hafui dafu kwa Mkapa

  BAO la dakika 42, lililowekwa kamabi na Pape Ousamne Sakho dhidi ya RS Berkane, lilitosha kuifanya klabu ya Simba kuwa kileleni kwenye...

Michezo

MO afunguka usajili Simba, kuanza na Adebayor na Phiri

  RAIS wa heshima na mwekezaji wa klabu ya Simba Mohammed Dewji “MO” amefunguka kuwa klabu hiyo tayari imeshaanza mazungumzo na baadhi ya...

Michezo

Kocha Biashara: Tuna timu ya kupambana na Simba

  KUELEKEA mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya klabu ya Simba, kocha mkuu wa kikosi cha Biashara United Vivie Bahati, amefunguka...

Michezo

Nabi: Ni bahati kuwa na mchezaji kama Mayele

  KOCHA mkuu wa kikosi cha Yanga, Mohammed Nasredin Nabi hakusita kumwagia sifa mshambuliaji wake kiongozi, Fiston Mayele raia wa Jamhuri ya Congo...

HabariMichezo

Yanga kusaka pointi 35 za Ubingwa

  UONGOZI wa klabu ya Soka ya Yanga umesema kuwa, katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara wanahitaji pointi 35 tu,...

Tangulizi

Kigogo Chadema afutiwa kesi, akamatwa tena

  MWENYEKITI wa Baraza la Wazee la chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Hashim Issa Juma, amekamatwa na Jeshi la Polisi,...

HabariMichezo

Wawili Yanga, kuikosa Biashara United leo

  KLABU ya Soka ya Yanga hii leo itashuka dimbani kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora dhidi ya Biashara United kutoka mkoani...

HabariTangulizi

Dk. Mpango awatwisha zigo mawaziri 5 uharibifu Bonde la Ihefu

  MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amewaagiza mawaziri watano kuelekea katika Bonde la Ihefu na kufanya tathmini ya uharibifu wa mazingira katika...

Tangulizi

Spika Tulia awapa kipimo cha mavazi wabunge

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson amewakumbusha wabunge kuzingatia uvaaji wa mavazi yanayoruhusiwa kikanuni na kuwa tayari kwa jambo lolote...

Habari za Siasa

Zungu atumia kanuni za Bunge kuomba kura

  MBUNGE wa Ilala (CCM), Mussa Azan Zungu, ametumia Kanuni za Bunge toleo la 2020, kuomba wabunge wamchague katika kiti cha U-Naibu Spika....

Michezo

Simba: malalamiko ya Yanga hayana tija

   MARA baaada ya klabu ya soka ya Yanga hivi karibuni kutoa malalamiko yao kuhusu mwenendo wa waamuzi kwenye baadhi ya michezo ya...

HabariMichezo

Simba waiwekea mipango mizito ASEC

  KUELEKEA mchezo wa hatua ya makundi wa michuano ya kombe la Shirikisho Afrika, klabu ya Simba imeonekana kuzamilia kufanya vizuri kwenye michezo...

HabariMichezo

Sakho mchezaji bora wa mashabiki mwezi Januari, akabithiwa tuzo yake.

  KIUNGO mshambuliaji wa klabu ya Simba Raia wa Senegal, Pape Sakho amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mashabiki mwezi januari, (Emirate Aluminium ACP...

error: Content is protected !!